Fabi na wenzako na wanayechangia Mwenyezi mungu awazidishie
@user-ko6lg9tw6w2 күн бұрын
Mashallah BB bwana unafurahisha Sana Mungu akupe umferu wenyeher na Baraka ❤😂
@umsulaiman7468Ай бұрын
Fabi Allah akujalie Kila lakher yarab Amin Akupe unacho Taman Chenye kher na ww tunakupenda mwana wetu kwa KAZI unayo Fanya Mungu akuhifadhi
@halimaoman8726Ай бұрын
Bibi na mpenda huyu jamani mchangamvu sana ata kama ana kitu yupo mchangamvu sana mungu ijalie hii familia na wote wanaojitolea ktka hii familia na pia mungu awajalie kaka fabi na kaka adamu kwa kujituma yarabi
@hannymasu73222 күн бұрын
Allahuma Aamiin.🤲🏽
@halimamfaume1925Ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ Mungu awabariki wote waliomsaidia Bibi
@safiyaalmaamari4991Ай бұрын
Bibi na mpenda saaana
@oman1oman179Ай бұрын
Ninacho mmpendea huu bibi manshallaah mcheshi sana
@attyambaraka3756Ай бұрын
Mwenyezi Mungu amfurahishe aliyetoa hela kumpa bibi yetu huyu mcheshi, na awalipe wote waliotoa kumsaidia
@ashasaidy5769Ай бұрын
Mashallah bibi angejengewa hata banda la vyumba viwili atafutiwe kaeneo kake ingependeza Sana
@FATMA.NOTICYMANZUАй бұрын
Wee fabi na bibi aki mwatuvunja mbavu na kucheka🤣🤣🤣🤣
@user-ug4dg3zh1wАй бұрын
Menyezi Mungu awazidishe uyu kk ana moyo
@elizabethmukeba2528Ай бұрын
Mke wa fabi mchangamshi kweli
@OmanOman-bx5duАй бұрын
Ongereni nyote mlochangia. Mungu awape wepesi
@user-my5di6kx3cАй бұрын
Mashallaahh kk fabii na Adamu mungu awajalie kila la kheriii 🤲
@fatmafatu1128Ай бұрын
Allah bariki kila alie weka mkono wake amiiiiiin
@lastborn7810Ай бұрын
Allah ajaalie malipo yenu yawe pepo ya firdaus 🙏🏻❤️ nyote mlochangia
@user-cj2kl7cd9kАй бұрын
Mashallah nimempenda bibi mpaka basi Allah amzidishie furaha amjalie afya njema yeye na Sisi ameen
@ZsbAlbarwaniАй бұрын
Amiin 🤲
@oman1oman179Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah mungu awajalie wote walie jitolea kwa kumsaidia bibi na fabie na team yako allaah awalipe kila la kheri inshallaah
@chikujuma18Ай бұрын
❤❤❤ mashallah kwa wanaotoa misaada mola awazidishie mlipo mtoa awaongezee inshallah shukuran mwendeleze kutia furaha kwa wote wanaosaidiwa kutoa ni moyo sio utajir
@NassoroSipemba25 күн бұрын
Wanadamu ndivyo tunavyo takiwa kuishi, Walio barikiwa watoe kwa wale wasionacho nakuwapatia furaha wasionacho.Hongera napongenźi kwa wale wote walio msaaidia mama huyu Mungu awazidishie pale walipo punguza.Inshallah.
@user-uh7to2kw2zАй бұрын
Mungu awabariki wt wanaochangia🙏
@OmanOman-bx5duАй бұрын
Ajengewe nyumb yake wasilekebishe apo. Utakua utata
@MarianaDonarldКүн бұрын
Mwanamke kungwa ndy Huku, uaiende😂😂😂Bibi wewe mcheshi sn, Mungu awasaidie wote wenye uhitaji km huu
@SalamaAli-cv6ujАй бұрын
Mashallah congratulations kazi nzuri mungu awabariki nyote
@SalmaSamiryАй бұрын
Bibi nakupenda sana jamani awe amepata awe amekosa yeye anayo happy ❤❤❤❤
@user-uc1fj9wg6nАй бұрын
Mungu awabariki sana
@FatimaAli-of4ghАй бұрын
Nyumba ya family kuja kuijenga munatafuta ugomvi bora hata angekuwa na kiwanja chake na mwanawe Omry
@user-he2pk6io4dАй бұрын
Bibi ❤❤❤😂😂😂😂
@ChristinaBukholt20 күн бұрын
Kutoa ni moyo kwa kweli si lazima Uwe nazo kiasi gani kijana Mwenyezi Mungu akuzidishie pale ulipotoa❤
@aminaomary5567Ай бұрын
Fab ongera sana.Bibi apate mbomba kule anakochota maji mbali sana kwa mtu asiyeona❤❤❤
@OmanOman-bx5duАй бұрын
Mungu anamuonyesh 🎉🎉 naanaenda pekeyako
@user-dx1hz3ow7kАй бұрын
Mashaallah Allah anifanyie wepesi Na bibi zangu uwa nawapenda sana mda wt ni watu wa furaha ht km awana kitu ndo uyu bibi yy mda wote mtu wa furaha nikjaaliwa kurudi nilichokipata nitawakiiisha kwa Fabi na Adamu wampelekee bibi hata kwenda kumuona nitaenda nikijaaliwa