No video

BILA UOGA MFANYA BIASHARA AWACHANA MAWAZIRI, SIOGOPI MTU YOYOTE, TRA NI KICHOMI

  Рет қаралды 39,205

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 23
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Majaliwa ww ni bonge la kiongozi. Mungu pekee akutunze kwa ajili ya nchi yetu. Much respect Papa. Natamani sana kufanya kazi na wewe mkuu
@hamisimsosi6237
@hamisimsosi6237 Жыл бұрын
Daa huyu dada amenigusa hapo kwa wachina kweli Hawa jamaa wameipandisha Sana kkoo ni ukweri usiopingika♥️♥️♥️😭😭😭
@mangashajunior242
@mangashajunior242 Жыл бұрын
Naona Majaliwa rais ajae baada ya mama samia kumaliza muda wake...
@summanelson5523
@summanelson5523 Жыл бұрын
Kodi ni kubwa sana kwenye magari. Na sisi waturuhusu tumiliki vitu. Tunajichanga ndiyo tunaweza kununua!!! Safi sana.
@ramadhanikalungwana8377
@ramadhanikalungwana8377 Жыл бұрын
Jamani kweli maendeleo tunataka,ila naona Kuna shida!!! Heb nunua umeme wa tsh 20,000. Kisha uangalie unakatwa shs ngapi!!!
@user-zd4sv5pk6q
@user-zd4sv5pk6q Жыл бұрын
Asante dada kwa sauti yako wanawake wanapuuziwaga wakitoa lalamiko lakini jamani dada ameongea kea uchungu sana
@omarisaid7318
@omarisaid7318 Жыл бұрын
Mm tunakutegemea Sana malizahayo watoto wakiliya ujuwe kunajambo halihi ya fd machine ikomee viwandani na bandarini wananchi tukadiriwe sababu hatukusoma tumeshidwa na hiyo bishara hakuna nchi inayo jegwa kwa siku moja
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Жыл бұрын
Mwigulu anacheka anaona mnapoteza mda wenu na nguvu bure mwisho wa siku anarudi ofisini,kuendelea na uporaji wake kupitia vijana wake.
@mangashajunior242
@mangashajunior242 Жыл бұрын
Wizi wizi...tumechoka...
@shizoshop2469
@shizoshop2469 Жыл бұрын
Ndiyo nikishalipa kodi miaka 20 harafu nikifilisika ni sawa na mstaafu kwanini na sisi tusipate kiinua mgongo ?
@farajiissa560
@farajiissa560 Жыл бұрын
Tatizo remote iko msoga
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Жыл бұрын
Enzi za magufuri mgambo walichukua ndizi kule mwanza mgambo akafutiwa cheti chake cha mgambo yale mambo saasaiv hakuna,tena unweza kukuta yule mgambo amesharudi kuwa mgambo tena yaan we acha tuu
@mangashajunior242
@mangashajunior242 Жыл бұрын
Kwetu kuna afya mazingira levy fire leseni ya biashara na nyingine nyingi...
@bettymeshack7759
@bettymeshack7759 Жыл бұрын
Na Sisi waturuhusu kumiliki vitu😂
@victorernest7702
@victorernest7702 Жыл бұрын
Sasa kikwazo kipo wap kama kuongea ukweli mpk umnyang'aNye maiki .. ndio mnao sabisha migogoro maana kumsema mtoto wa kiongozi kosa
@hassanosman3824
@hassanosman3824 Жыл бұрын
Mwigulu umeshiba aachaa kazi hujui kitu umeshiba hujali ondoka huoni haya????
@farajiissa560
@farajiissa560 Жыл бұрын
Ameweka nne ana minya pumbu tu
@missmwayway4704
@missmwayway4704 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@fatmashaibumkwpo2488
@fatmashaibumkwpo2488 Жыл бұрын
😂😂😂anakenua tu kama kapakanzwa pilipili ya meno
@farajiissa560
@farajiissa560 Жыл бұрын
@@fatmashaibumkwpo2488 kaz kubana pumbu tu hii mijamaaaa sijui ikoje
@marymgimwa
@marymgimwa Жыл бұрын
Tunaviziana kama wakoloni loooh
@oningoindungai
@oningoindungai Жыл бұрын
mama unasema ukwel
@DaudNgodilo
@DaudNgodilo Жыл бұрын
Harafu unakuta kiongozi anakwambia anafanya kazi kwa bidii kumbe wizi tu, hivi kweli magufuli angekuwepo huo uchafu ungeonekana kweli? At the end watu wanasema mama anaupiga mwingi dah
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 21 МЛН
Советы на всё лето 4 @postworkllc
00:23
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 3,1 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 43 МЛН
UNASEMAJE WEWE ? TRA HAWAJUI HESABU, NJOO HAPA USEME VIZURI
10:56
OSTAZ AOMBA ULINZI KWA WAZIRI MKUU BAADA YA KUWANYEA TRA
9:21
Mbengo Tv
Рет қаралды 200 М.
MR PIMBI AMCHANA HARMONIZE KUHUSU DENI LA CRDB, BOSS HUNA PESA
13:30
BARAKA MAGUFULI AMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU,AWAITA WABUNGE
6:30
Global TV Online
Рет қаралды 494 М.
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 21 МЛН