BARAKA MAGUFULI AMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU,AWAITA WABUNGE

  Рет қаралды 490,531

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

BARAKA MAGUFULI AMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU,AWAITA WABUNGE
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa amewataka watumishi wote wa Serikali kuwahudumia wananchi badala ya kukaa maofisini sanjari na kutoa maagizo kwa Viongozi wa Serikali wasio waadilifu kwa wananchi kuchukuliwa hatua.
Hayo ameyazungumza leo Sept 26 wakati alipofanya ziara yake ya kikazi Wilayani Mufindi katika Hosipitali ya Wilaya iliyopo Igowole ambapo amepongeza ujenzi wa hosipitali hiyo na kuwataka viongozi kufanya kazi kwa ueledi.
Katika hatua nyingine Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mhandisi wa maji Mufindi kuhakikisha anapeleka maji katika hosipitali ya Wilaya ya Mufindi kwani hajaridhishwa na utendaji kazi wa mhandisi huyo
(HABARI MPYA DAILY)
kzfaq.info?list...
(HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA)
kzfaq.info?list...
(GLOBAL RADIO TV)
kzfaq.info?list...
(EXCLUSIVE INTERVIEWS)
kzfaq.info?list...

Пікірлер: 281
@prospermsanzi8815
@prospermsanzi8815 4 жыл бұрын
Kipaji si kukionesha tu Bali na kujua unakitumiaje kupata kipato ,like za Baraka magufuri
@jamalsalim2845
@jamalsalim2845 4 жыл бұрын
Waziri mkuu uko pisi sana allah akupe iman zaidi
@rajabngunga9530
@rajabngunga9530 4 жыл бұрын
Kama umesikia jamaa ana mjulia makufuli weka like yako hp twende pamoja
@hilaliabeid1590
@hilaliabeid1590 4 жыл бұрын
Rajab Ngunga i
@mkalihanzuruni4924
@mkalihanzuruni4924 4 жыл бұрын
Duh! Baada yakukusanya pesa akamwambia wazir mkuu haya endelea.. Huyu jamaa noma!!
@maryriongo2911
@maryriongo2911 4 жыл бұрын
hatariiiii😂😂
@esperancenathali
@esperancenathali 4 жыл бұрын
Ni fire 🔥 fire kweli
@winifridamunibi8891
@winifridamunibi8891 3 жыл бұрын
Hahaha jamaa anaweza
@patrickakitanda7709
@patrickakitanda7709 4 жыл бұрын
Achilia mbali uchekeshaji Jamaa kichwani zimo saaafi go on Baraka
@veronicamchilo8552
@veronicamchilo8552 4 жыл бұрын
Kama umemuona waziri mkuu amecheka hadi machozi gonga like hapa👇👇
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 4 жыл бұрын
Huyu jamaa anaweza kuwa maaruf sana kama wapo wanao amini hilo tuwe pamoja hapo
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 4 жыл бұрын
Kiukweri nimeinjoy mb zangu
@mamachris6811
@mamachris6811 4 жыл бұрын
Uko vizuri saaaana Big up Umemburudisha Waziri Mkuu,mchapa kazi
@amenyekibona8730
@amenyekibona8730 4 жыл бұрын
wengi tumewaona lakini baraka magufuri ni wapekee,, umetisha mkuu
@hassanjuma2688
@hassanjuma2688 3 жыл бұрын
KWELI
@jumakusekwa9499
@jumakusekwa9499 3 жыл бұрын
Yes
@mussamonga575
@mussamonga575 4 жыл бұрын
VERY CREATIVE PERSON. KAZI NA DAWA.
@elidaimamnzava3649
@elidaimamnzava3649 2 жыл бұрын
OpopoxoxxxizzxzoZzozxzIzxzI8zkoiioóoooinmjjkjicxxcckvonnckkkkllkkkkllkklkkkjkk k j K j. k k K K M Kkklllkklklkkkkkkkkmjññmmmmmkmk Ñknk Nj Jkm K m K K Km k Km Mmjjj Ñjjkk kñk .l K
@onlinemovie8580
@onlinemovie8580 4 жыл бұрын
😂😂ukiachana na kuiga sauti jamaaa anaongea vitu vya maana mno safi sana bro
@nicodemusmoshi2228
@nicodemusmoshi2228 4 жыл бұрын
boe_bryn tv asrei
@jacksonkimario6033
@jacksonkimario6033 4 жыл бұрын
huyu jamaa anaongea point sana maguful amwangalie ampe hata kauenyekiti
@iffahbahet1499
@iffahbahet1499 4 жыл бұрын
Uko na utoto sana
@prospermsanzi8815
@prospermsanzi8815 4 жыл бұрын
Inatakiwa aombe ridhaa kwa wananchi wanaomzunguka
@manilabonalumanula9210
@manilabonalumanula9210 4 жыл бұрын
Huyo kajaaliwa hicho kipaji. Uongozi ni kitu kingine
@malaikamushi6032
@malaikamushi6032 4 жыл бұрын
Mungu akusimamie
@reubenbegashe2372
@reubenbegashe2372 4 жыл бұрын
Kama ikikupendeza Mungu ninaimani Awamu ya Tano Itaandika historia mpya Waziri Mkuu kuwa Rais wa Nchi 2025, Mungu Bariki Tanzania ,Mungu Bariki Viongozi wetu .Amen
@daudisima797
@daudisima797 4 жыл бұрын
Reuben Begashe Nina imani rais ajaye ni majaliwa
@giftgodson5603
@giftgodson5603 4 жыл бұрын
Itakua kama nyerere
@pastoremmanuelmhomisoli9782
@pastoremmanuelmhomisoli9782 4 жыл бұрын
Kabisa Majaliwa anafaa kuwa Raisi ajaye
@amanijolam4140
@amanijolam4140 4 жыл бұрын
sisi wakaguaji wa comment tumegundua kuwa hakuna asiyemkubali huyu jamaa noma sana
@luganojacob
@luganojacob 4 жыл бұрын
Yap
@mbarakabdallah4631
@mbarakabdallah4631 4 жыл бұрын
Daah ukisikia kupata kwa halali ndio hku hyu jamaa hta jacho hatowi anavuna pesa kma fyasaaa siamini macho yangu!
@hassanabdalla2741
@hassanabdalla2741 4 жыл бұрын
My PM Majaaliwa today you wrote historical event for giving a public joyful tears because of our talent comedian Baraka. God bless u all
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Dah! Waziri mkuu majaliwa majaliwa imemkosha sanaaaa
@sidneykanumba8165
@sidneykanumba8165 4 жыл бұрын
Waziri Mkuu kafurahi mpaka machozi yamemtoka Nani kaona!? 🙌🙌🙌🙌
@dicksonulotu9717
@dicksonulotu9717 4 жыл бұрын
Bila unafiki Baraka unatisha wewe ni mkali,serikali ikuwezeshe angalau uende chuo cha sanaa
@dottorenatus9760
@dottorenatus9760 4 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua sana kutengeneza mkeka wake hahahaaaa.
@fahadfaraj1263
@fahadfaraj1263 4 жыл бұрын
Moja ya vipaji vya Hali ya juu
@jazzmancoltrane
@jazzmancoltrane 4 жыл бұрын
Na pesa kawachangisha! this is classic
@rahimmarions5712
@rahimmarions5712 4 жыл бұрын
Daaaah kila mtu mungu amempangia ridhiki yake aisee..binadamu ni wivu tu ndio unaotufanya tunatofautiana
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 4 жыл бұрын
Kaka hongera sana,Mungu akuinue na kipaji chako uzidi kufika mbali
@lameckeliakimu8677
@lameckeliakimu8677 4 жыл бұрын
Binafisi mimi nampongeza sana mh Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mh majaliwa hata akampatia fursa Ndugu yetu Baraka Magufuli, pia nampongeza mh Waziri mkuu Kwa uhodari wake wa kazi ndani ya Nchi hii, mwisho Baraka Magufuli anakipaji cha pekee sana, Mwenyezi MUNGU ampe kila haja ya moyo wake
@geofreymhapu2401
@geofreymhapu2401 4 жыл бұрын
Nani anaangalia mwaka 2020 gonga like hapa
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 4 жыл бұрын
Baraka maguli upo vzr. endeleza kumuenzi Rais wetu kipenzi na mzalendo wa kweli chapa kazi makini
@ezekielmwenda
@ezekielmwenda 4 жыл бұрын
wakwanza ku view wakwanza kulike na wakwanza kucomment kama umeona like hapa
@kipipakipipa5050
@kipipakipipa5050 4 жыл бұрын
Techniques za fundraising. I like it
@fokasikalinga5623
@fokasikalinga5623 4 жыл бұрын
Huyu mwamba ni most talented yuko vzr
@stanjr1125
@stanjr1125 4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁 kanifurahisha na style ya kutokea🤣🤣🤣🤣🤣
@bkaymartine2696
@bkaymartine2696 4 жыл бұрын
Jamaa yuko vizur. Natoa marks 101% Excellent
@ericklibaba1198
@ericklibaba1198 4 жыл бұрын
Yaan Hyu jamaa yuko vizur kwenye sound similarities na Mh mjomba Magu 😂😂😂
@elipidiuskweyamba5787
@elipidiuskweyamba5787 4 жыл бұрын
Endelea kijana usirudi nyuma hata Kama utakatishwa tamaa🙏🙏
@rachelkibaya8537
@rachelkibaya8537 4 жыл бұрын
MUHESHIMIWA MAJALIWA ASANTE SANA
@shukranitv2971
@shukranitv2971 4 жыл бұрын
Kaka huna mpinzan endeleaa hivyo hivyo ww ni mungu amekupa hiyo tarandaaaa
@nicodemusmoshi2228
@nicodemusmoshi2228 4 жыл бұрын
beka
@EzraSulemani
@EzraSulemani 25 күн бұрын
HONGERA sana waziri mkuu kasim majaliwa pamoja na baraka
@djsamyofficial5452
@djsamyofficial5452 4 жыл бұрын
Magufuri Fanya moango Mpe kaz baraka magufuri anakuwakilisha vyema sana mh John Pombe magufuri
@issazakaria9704
@issazakaria9704 4 жыл бұрын
Mungu akupe wepesi Mr President akimaliza muda wake 2025 uwe Rais wetu Mh. Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa tunaimani na utendaji kazi wako.
@aidandamian1992
@aidandamian1992 4 жыл бұрын
anajua kuchekesha wazir had ametoa machoz kisa kucheka
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 4 жыл бұрын
Huyu jamaa noma nimecheka mpk nimelia
@kipesekiaruwamallya3098
@kipesekiaruwamallya3098 4 жыл бұрын
Narudi zangu ccm naona kumenoga💃
@laylisaid9563
@laylisaid9563 4 жыл бұрын
😂😂😂😂 Mashaallah uko vizuri sanaaaa👏👏
@nashonmwinuka6501
@nashonmwinuka6501 4 жыл бұрын
Daaaah Waziri ameflahishwa saana
@malcomx4067
@malcomx4067 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili nyingi.
@joromimwanga3274
@joromimwanga3274 4 жыл бұрын
Ameweza kula pesa za viongoza wakubwa wa serkal hicho ni kipaji cha haki yake kabisa.
@deogratiuskaijage6685
@deogratiuskaijage6685 4 жыл бұрын
Anajua sana na ana contents. He is goood
@barakamarmo8104
@barakamarmo8104 4 жыл бұрын
Huyu ni comedian kweli,kipaji kipo juu sana kuliko hapa Pierre na akina mc pilipili,alichokosa ni support!!!
@Linkmycommunity
@Linkmycommunity 4 жыл бұрын
Schools got nothing, street got talent 😂 ❤ ❤
@kimwerionlinetv5574
@kimwerionlinetv5574 4 жыл бұрын
Mh. Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa ni mfano wa kuigwa👏👏👏👏👏
@geryteachermarisa5707
@geryteachermarisa5707 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni truly comedian, jambo la kumsaidia ni kuendeleza ucomedy wake sio kumpa political post. Wapi matajiri wakubwa sana duniani ambao ni comedians.
@jumakapesa726
@jumakapesa726 4 жыл бұрын
Hii ndiyo sanaa tunayoitaka. Nakukubali sana Baraka Magufuli
@nashonmwinuka6501
@nashonmwinuka6501 4 жыл бұрын
Ahahaahhahahaha Jamani Baraka magufuli duuuuuhh Kipaji Unacho saana
@benedictyegon3622
@benedictyegon3622 3 жыл бұрын
Kassim. I love u
@elijahmalema4249
@elijahmalema4249 3 жыл бұрын
C.C.M should consider this young eloquent and energetic leader of his own nature!! he's going extra miles.
@nsreenmoafee1064
@nsreenmoafee1064 4 жыл бұрын
😂😂😂Kanifurahisha kweli alivyowaita hao wabunge
@glorymrema6609
@glorymrema6609 4 жыл бұрын
nsreen moafee unishindi mimi
@paulambrose2055
@paulambrose2055 4 жыл бұрын
Huyu ndo anakopi kabisa sauti ya Mh. Raisi 👊wengine hapana
@aloycegadau7177
@aloycegadau7177 4 жыл бұрын
duuu kaka umetisha sana hongera
@mtavangumenace6611
@mtavangumenace6611 4 жыл бұрын
Jamaa anajua sana kuigiza sauti eti "Enhee aya" alafu anaunga kidogo na kakicheko ka mzee baba, huyu kwenye noma.
@linussngolly2089
@linussngolly2089 4 жыл бұрын
nipeni like zenu hapa kama mnmkubal baraka magufuli
@hazibonplatformafrica9617
@hazibonplatformafrica9617 4 жыл бұрын
So talented, so creative kapigampunga Kwa akili Sana🤣🤣
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 3 жыл бұрын
Kijana yupo vizuri ukiachia acting. Inawezekana elimu yake pia nzuri!
@mwanadamtz1298
@mwanadamtz1298 4 жыл бұрын
AMAZING ONE
@jonathanstephen6616
@jonathanstephen6616 4 жыл бұрын
Hongera nyingi sana
@melkizedekiwiliam5533
@melkizedekiwiliam5533 4 жыл бұрын
Baraka Magufuli unatuumiza mbavu! yaan! nimecheka jaman mpaka mbavu zinauma. safi kijan mwenye kipaji. safi viongozi wetu mnakuza kipaji chake kwa kumkaribisha jukwaan kila mara.
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 4 жыл бұрын
Nimefurahi sana. rais mwenye herufu ndogo (rais) Ishatofautiana na (Rais) Yuko vizuri sana Mungu Awatie nguvu.
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
so nice...wachangishe haooo,,props
@mustafag110
@mustafag110 4 жыл бұрын
Dah imeni chekesha sana
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 4 жыл бұрын
Siku nyingine Baraka useme hivi 'Musikosee kuchagua kwenye uchaguzi' Ila uko vizuri kuna mwingine yuko Dodoma atasubiria sana.
@rehemahadiga3179
@rehemahadiga3179 4 жыл бұрын
hahaha et wa Dodoma atasubiri sana
@user-uy8vp1fr7e
@user-uy8vp1fr7e 4 ай бұрын
Jamaa anajua sana anafuata usemaji na furaha za magufuli.
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Nanikamkubali kama mimi
@shafiikhamis2336
@shafiikhamis2336 4 жыл бұрын
duhhh,,, yan baraka hongera sana kwa hilo upo vizur sanaaaaaaaaaaa
@josephkomba4695
@josephkomba4695 4 жыл бұрын
Jamaa ni smart sana, anafuatilia mambo yanavyoendelea vzr sana.....
@damasjohn545
@damasjohn545 4 жыл бұрын
Najivunia sana kua Mtanzania Amani tosha
@chambachao4445
@chambachao4445 3 жыл бұрын
Dah huyu jamaa noma sana
@saidmakumlo8930
@saidmakumlo8930 4 жыл бұрын
Baraka Magufuli .....Kaza buti kk na kampeni lazima uwepo
@user-iz4rb4ln7p
@user-iz4rb4ln7p 8 ай бұрын
Tunakukubari Sana waziri mkuu unastaili urais
@chadotv257burundi9
@chadotv257burundi9 4 жыл бұрын
Jama noma sana kakusanya fedha kibao
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
Sijawahi muona Majaliwa kufarahi hivi..hii ndio TZ ,smiles all around.
@annachales9623
@annachales9623 4 жыл бұрын
Kwa kweli huyu kijana amenifutahisha
@gabrieladam491
@gabrieladam491 4 жыл бұрын
Talented and Gifted
@hellenditram4465
@hellenditram4465 4 жыл бұрын
So talented.....
@mariamcrispo8296
@mariamcrispo8296 4 жыл бұрын
Baraka namwelewa
@hajiismaily3401
@hajiismaily3401 4 жыл бұрын
Baraka magufuli unatisha bhana
@ibrahimbullah8088
@ibrahimbullah8088 4 жыл бұрын
He so talented
@saidmakumlo8930
@saidmakumlo8930 4 жыл бұрын
Brother You are so talented big up🙌🙌🙌
@agf9944
@agf9944 4 жыл бұрын
Kwenye kampen mwakani lazima ale pesa za kutosha huyu jamaa
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 жыл бұрын
Waziri Mkuu.... Safi Sana Kiongozi wetu....
@aminayasin9895
@aminayasin9895 3 жыл бұрын
Baraka bigapu sana unawezaa mpaka unakeraa
@maxmaxmo5545
@maxmaxmo5545 4 жыл бұрын
Da!! nakukubali Sanaa baraka unatisha
@petermim
@petermim 4 жыл бұрын
😀😀😀😀👏nice sana hiiii
@zubedamwanjirani5597
@zubedamwanjirani5597 4 жыл бұрын
Masha Allah
@mwigakatumpula2175
@mwigakatumpula2175 4 жыл бұрын
Nacho msifu nipale anapojiongeza kukusanya hela kiaina maana ukisubiri mgao ungepigwa changalamacho hapo safi sana unñawajuliana hao viongozi
@yohanasimon5190
@yohanasimon5190 4 жыл бұрын
Jamaa namkubali sana
@godfreyleka5839
@godfreyleka5839 4 жыл бұрын
TALENTED
@mirajikinuke9849
@mirajikinuke9849 4 жыл бұрын
Jamaa anajua sana, ila asilewe sifa afanye kazi
@masakaupdate1488
@masakaupdate1488 4 жыл бұрын
daa jamaa anaongea point mambo ya miundo mbinu asantee kijanaa subiri kidogo tutakupa ataa mwenyekiti wa mufindi wa ccm unafanya kazi vzr
@lwitikomwakibete7525
@lwitikomwakibete7525 4 жыл бұрын
Duuh hatari like za kutosha
@mamahustru
@mamahustru 4 жыл бұрын
Baraka mAGUFULI ameshanawili gafla gafla.
@mohdsalum3832
@mohdsalum3832 4 жыл бұрын
Safi
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Saaafii mno
@davidnyaonge2035
@davidnyaonge2035 4 жыл бұрын
Hapo hata Viongoz wanafurah
Duh! Barakah Magufuli AMVUNJA MBAVU Rais MAGUFULI, Amwagiwa PESA..
5:08
Global TV Online
Рет қаралды 586 М.
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 5 МЛН
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 51 МЛН
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
TAZAMA OSCAR NYERERE ALIVYOMUACHA HOI RAIS SAMIA, AITWA KUTUNZWA
6:20
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 5 МЛН