🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Пікірлер: 11
@Mima-cl2imАй бұрын
Huyu naye, FISADI ALIYESHINDIKANA. NIYEYE TU KIONGOZI WA CHAMA, MWAKA MPAKA MIAKA, YUPO TU.
@hawaelymaricca7602Ай бұрын
Hamna sera chama cha matukio.
@hawaelymaricca7602Ай бұрын
Acha uchochezi Vijana hawana shida wenye shida na vijana wa chadema ndo wenye maisha magumu acheni uchochezi na pupa ya hasira. wewe mbona hutaki kuachia uenyekiti kwani unachopambana nini sii ili ukae na wewe sehemu Zuri. acheni uchochezi.
@user-nf1tg3kt3yАй бұрын
Nchi hii Kuna siku kitanuka hawataamini lakini ukweli ndio huo
@allyabdallah4970Ай бұрын
HATA HAO WANACHAMA WAKE WANAMSHANGAA HATA MAKOFI HAWAMPIGII MBOWE HUNA SERA
@gladnesskombe1664Ай бұрын
mbowe acha uchochezi
@hawaelymaricca7602Ай бұрын
Acha ujinga hizo ni chuki binafsi hao waliokufa ni ajali kama ajali nyingine, Acha uchochezi waache vijana washindane wapate faida . mbona zamani walikua wanashiriki na kupata laki na nusu leo wanapata mamilioni .
@johnfani9380Ай бұрын
Mbowe huna akiri
@francismadirisha3511Ай бұрын
Muachi makonda afanye kazi huyo ni njembe
@clemencemkondya8561Ай бұрын
Mbowe wewe ndiye huna maono ndiyo maana chama chako hakijaendelea kipo pale pale ruzuku zote unakula unataka na Tanzania itokee kama Kenya wewe nimjinga sana Mbowe .Kenya unasema inakatiba zuri
@hawakassimu6120Ай бұрын
Kenye nchi iliharibika toka pale tuu walipo acha chama tawala na kuwapa nchi wapinzani Ulaaniwe wewe unae omba mambo yalio tokea kenya yatoker Tanzania Hata kwenye chama chako iko siku vijana watachoma gari yako na nyumba yako maana watu wakiutaka uenyekiti unawafanyia figisu kama wewe ni mpenda haki kaa pembeni sema uenyekiti chadema mimi basi kiti wachukue wengine