USHUHUDA WA ASKOFU ELIBARIKI SUMBE ALIVYOOKOLEWA NA MUNGU
Пікірлер: 72
@user-st6ve9ce5k5 күн бұрын
Nakupenda bule❤❤❤❤ Bishop umegusa moyo wangu sana hata mm nilikuwa natokewa lakini vita vilipozidi nimeshindwa niombeee mtumishi natamani kumtumikia mungu
@alainwapol31347 күн бұрын
Bonjour pasteur, je suis en RDC 🇨🇩, dans la province de l'ituri, j'ai besoin de la prière que Dieu me délivrer, car je travaille mais l'argent de mon salaire n'est m'aide pas
@ElizabethJoseph-to6po2 ай бұрын
Huyu baba nampenda sana kutoka moyoni
@frankmsechu6462 ай бұрын
MTUMISHI NAKUPENDA SANA MUNGU AZIDI KUKUTUMIA UMEFANYIKA BARAKA SANA KWANGU NA KWA WINGINE KEEP GOING MTUMISHI
@Ibrahimally-i6r8 күн бұрын
Nime barkiwa sana kutoka daresalam
@AinessRobath16 күн бұрын
Amen mtumishi wa mungu
@AndrewJonathan-ru6ph2 ай бұрын
Kiukweli Mungu azidi kukuinua umefanyika baraka za watu wengi mataifa kwa mataifa yani nakupenda sana Sumbe hata kama watu waseme nini wewe ni mtumishi wa kweli
@agnesspaul1866Ай бұрын
❤❤❤❤❤asilimia mia moja uko Kama mimi
@user-io1tp6nz8m5 күн бұрын
😂😂😂😂❤❤❤❤❤ ubarikiwe mutumishi wa Mungu
@user-dv9bx9eh8s2 ай бұрын
Ameniiiiiiii!! Ubarikiwe Kwa ushuhuda mtumishi wa Mungu.
@JosephatMollel-fe7yd2 ай бұрын
Naomba uniombee naumwa mguu nilifunjika na Bado naumwa Mungu anisaidie Bishop sumb
@user-eo1ru4tc8sАй бұрын
Ushuuda wakutia nguvu❤❤❤🎉🎉
@SynphorienZamukulАй бұрын
amen amen amen Mungu azidi kutupeleka juuu🎉🎉🎉
@rosengowi8472 ай бұрын
Be blessed our bishop elibarik🙏🙏🙏🙏
@VeronicaNyahegaАй бұрын
Ushuhuda umenigusa sana,barikiwa sana baba🙏🙏
@gracesenzota65552 ай бұрын
Awesome GOD 🔥
@user-xc4or2vp6l2 ай бұрын
Kuandaliwa ni gharama❤❤🙏
@yukundapeter82002 ай бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu.
@MughunaKisayАй бұрын
Ameen nabarikiwa sana
@marygumbo3296Ай бұрын
NABARIKIWA NA USHUHUDA. BARIKIWA SANA BABA
@PriscaMasanja-rw1hjАй бұрын
God bless you more
@alistidiacharles87622 ай бұрын
Napenda anavyoongea mtumishi,ubarikiwe
@justice6072 ай бұрын
Karibu kanisani Kisongo waya
@yalalaambobe95282 ай бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah
@carolinetoto87062 ай бұрын
Amen👏🏻👏🏻
@gukawafly2 ай бұрын
Hallelujah amen
@flaviajudy22762 ай бұрын
Amina Amina
@user-pt9hv3pz5v2 ай бұрын
Amen
@eugenejohnmassawe89392 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba
@jefwakalama43362 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@valenakomba76862 ай бұрын
Ameeen.
@loserianlaizer67112 ай бұрын
Amen ❤Amen ❤
@user-st6ve9ce5k5 күн бұрын
Nimependa mafundisho yako
@redemptervictor50062 ай бұрын
Ameeen 🙏
@StevenMutale-xt9yjАй бұрын
Nani kweli maana atulisha neno la Mungu sisi atuidaji wanabii wametekwa na ibilisi
@user-yk4yu2wl4y2 ай бұрын
Ameeen
@neemanyagawa94792 ай бұрын
Ameeeeeeeeen Baba
@carolinetoto87062 ай бұрын
Ameen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@millicentrabera2 ай бұрын
Nakombolewa na damu yesu
@NjunaelSwai2 ай бұрын
ameeeen
@RehemaGodfrey2 ай бұрын
Ameniiiiiiiii kubwa 🎉🎉🎉❤❤
@elishamafulu1062 ай бұрын
I received
@carolinetoto87062 ай бұрын
Ameen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MAYASASULEIMAN-ho8ufАй бұрын
Miezi 5 kwa sumbe kwa sasa niko amerca sumbe ni noma
@JONASNGHOKA2 ай бұрын
Amen Amen Amen Amen ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AbigaeliSelemanАй бұрын
Ameen
@AfredSimpanga2 ай бұрын
Ameeeen
@elishamafulu1062 ай бұрын
I received I received I received
@elishamafulu1062 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
@happymbise3399Ай бұрын
Kwa kupita ushuhuda wako past nimejifunza kumwogopa Mungu
@NjunaelSwai2 ай бұрын
eeeeeeemeeeeeeeeennn tayari nimejiunganisha madhabahu ya vuka yordan
@piusnkwale2 ай бұрын
Dah hadi kimpumu unaijua😊
@JaneMaiga2 ай бұрын
Naomba no yako ya simu mtumishi kanisa lipo wapi
@justice6072 ай бұрын
Kanisa lipo Kisongo waya ukipanda gari za kwenda monduli waambie wakushushe waya, Karibu sana mpendwa
@trophywilson72112 ай бұрын
Na IPM alisema ametokewa na Yesu ila sasa yanayotoka mdomoni mwake ni hatari kwa Wakristo
@hurumajosephat63332 ай бұрын
Na kukengeuka kupo
@user-tt7cu2et1x2 ай бұрын
Ipm.saah amekengeukaa mana alianza vizuri kabsaaa na YESU KRISTO...bt anaenda akimaliza na ukimwengu wake..ila shetan basi tu..uwa akati tamaa akimfatilia mtu aliyeamu kumrudia MUNGU wake.😢YESU tusaidie tuwe na mwisho mwema
@Kamkono2 ай бұрын
Acha kutokewa mbona Yuda Iskariote aliishi na YESU!
@zilpahchijendi2 ай бұрын
IPM ni nani?
@Kamkono2 ай бұрын
@@zilpahchijendi IPM ni sheikh Ibrahim Mohamed ambaye YESU kristo alimtokea AKIWA msikitini kwenye swala ya asubuhi. Kwa sasa ni nabii