Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.
@JoelMoshi27 күн бұрын
Ww uliloga na yy
@audaxemmanuel792726 күн бұрын
Hujaelewa alicho maanisha@@JoelMoshi
@basilisamsaka84699 күн бұрын
Wewe ni mwanga
@vesentsikainda24 күн бұрын
Mzee namwandishe wotewaongo watupu
@swalehramadhani419224 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 ah! Stori za majini,
@joycehaule97174 күн бұрын
MUNGU anisamehe kwakweli mm mtuakisema Alikua ni mchawi na sasa ni mchungaji mmh bado sina hakika na yeye MUNGU ANISAMEHE , TUWE MAKINI SANA WAGANGA NA WACHAWI SASAHIVI NI WAVAA SUTI WAMEHAMIA MAKANISANI JAMANI......
@kilalamuhumba4612Ай бұрын
Daaaah, mtangazaji Mungu anakuona! Tafuta wenye taaluma hiyo wewe unasababisha tuichoke stori wakati ni nzuri....
@lusekelomwalyaje58976 күн бұрын
We kichwani unaupungufu
@user-vl3sg1fz7w6 ай бұрын
Daah story imenifunza sema mwendelezo ndo changamoto tena
@marymassawe8655Ай бұрын
Jaman kueni makini na hawa wachungaji wanao sema walikua wabaya ila wameokoka.
@meshack3266Ай бұрын
Sijaelewa maana yako
@joycehaule97174 күн бұрын
Nakwambia waganga wote wamehamia kanisani saahz wanavaa SU TI YAN SIMWAMINI HATA CHEMBE,
@AizackKalenge-ro5rc2 күн бұрын
Mch Dk Mwasekaga,Naomba namba yako
@njiaya683323 күн бұрын
safi kwa yesu kuna furaha
@faithe4063Ай бұрын
Mtangazi wewe unaharibu wachana ajielezee mwenyewe au pia wewe umewai kua mchawi 😂
@ElimuyaufalmewambinguniАй бұрын
Mtangazaji Mara nyingi maswali yako yanaharibu mwendelezo wa ushuhuda.
@festokivuyo712128 күн бұрын
Mm sijui lkn maongeo yake tu ni uongo mzee wa ovyo tu
@AlexAyubuАй бұрын
Muuliza maswali daaa achaaa
@joshuaedward275Ай бұрын
Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview...... Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.
@trophywilson721129 күн бұрын
kabisaa
@MohamedAbdirahman-qs4pl9 күн бұрын
Au Davistar Mata TV
@user-uj7kj3fh7nАй бұрын
Ushuhuda ni mzuri japo kidogo muuliza maswali ana haraka ya maneno yake
@tumsifumassawe1273Ай бұрын
Mtangazaji ana kiherehere kama nn yaan
@tumsifumassawe1273Ай бұрын
Ana kimuhemuhe kama nn huyuu litangazaji
@ElisifaLukasАй бұрын
Ila we unayehoji unaharibu ushuhuda uu
@nabihelias821Ай бұрын
Mwendelezo haupo
@TuroRukikoАй бұрын
Anaye hoji anakatisha history ina kuwa haina maana
@IssaOmary-j6f5 күн бұрын
Mtangazaji shida miswali isiyonamana unamtoa mtu kwenye mtiririko
@lusekelomwalyaje28974 күн бұрын
Hapo ndo Ufahamu wako ulipo fika
@kennethmagupa69825 күн бұрын
Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..
@festinamwakipale3919Ай бұрын
Angalia selikari ilifikili ni mtu wa kawaida wanamlipa hela nyingi kweli dunia ni upepo
@valenakomba768624 күн бұрын
Kweli niki kusikia hayo unayosema, bai ni kweli wachungaji wengine ni waganga.
@meshack3266Ай бұрын
Lusekelo umezingua yan kwanza kitendo cha kuweka nyimbo katikati ya mahojiano unazani watu wanasikiliza nikupeleka tu mbele
@vickylayda633611 күн бұрын
Haleluya
@vickylayda633611 күн бұрын
Hkweli tuwe makini
@renatusmtakyawa594Ай бұрын
Mbona uweki sehemu ya tatu
@valenakomba768621 күн бұрын
Anakamuliwa NGAMA.
@utakatifunahaki5095Ай бұрын
bahati mbaya amefariki tuvumilie tu
@optimamarenda7082Ай бұрын
Wewe mtangazaji wewe
@ameenaameena42220 күн бұрын
Mtagazaj kasome
@DAWASADAWASAАй бұрын
Dunia inamambo
@AizackKalenge-ro5rcАй бұрын
Naomba namba ya Mchungaji Mwasekaga
@utakatifunahaki5095Ай бұрын
Huyu babu kama umesikia Mtumishi wa Mungu amesema alifariki