MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2

  Рет қаралды 34,512

LUSEKELO MWALYAJE

LUSEKELO MWALYAJE

7 ай бұрын

Пікірлер: 57
@flm1530
@flm1530 6 ай бұрын
Mchungaj angepata mda mrefu angesimulia vzr zaid sema anaehoji ana mrukisha
@lusekelomwalyaje5897
@lusekelomwalyaje5897 6 күн бұрын
Aliyekwambia kapewa mda mfupi Nani?
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc 2 күн бұрын
Mwasekaga kwanza msomi mzuri,Ni Mtu wa Mungu sana
@ahadimalamso4155
@ahadimalamso4155 Ай бұрын
Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.
@JoelMoshi
@JoelMoshi 27 күн бұрын
Ww uliloga na yy
@audaxemmanuel7927
@audaxemmanuel7927 26 күн бұрын
Hujaelewa alicho maanisha​@@JoelMoshi
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 9 күн бұрын
Wewe ni mwanga
@vesentsikainda
@vesentsikainda 24 күн бұрын
Mzee namwandishe wotewaongo watupu
@swalehramadhani4192
@swalehramadhani4192 24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 ah! Stori za majini,
@joycehaule9717
@joycehaule9717 4 күн бұрын
MUNGU anisamehe kwakweli mm mtuakisema Alikua ni mchawi na sasa ni mchungaji mmh bado sina hakika na yeye MUNGU ANISAMEHE , TUWE MAKINI SANA WAGANGA NA WACHAWI SASAHIVI NI WAVAA SUTI WAMEHAMIA MAKANISANI JAMANI......
@kilalamuhumba4612
@kilalamuhumba4612 Ай бұрын
Daaaah, mtangazaji Mungu anakuona! Tafuta wenye taaluma hiyo wewe unasababisha tuichoke stori wakati ni nzuri....
@lusekelomwalyaje5897
@lusekelomwalyaje5897 6 күн бұрын
We kichwani unaupungufu
@user-vl3sg1fz7w
@user-vl3sg1fz7w 6 ай бұрын
Daah story imenifunza sema mwendelezo ndo changamoto tena
@marymassawe8655
@marymassawe8655 Ай бұрын
Jaman kueni makini na hawa wachungaji wanao sema walikua wabaya ila wameokoka.
@meshack3266
@meshack3266 Ай бұрын
Sijaelewa maana yako
@joycehaule9717
@joycehaule9717 4 күн бұрын
Nakwambia waganga wote wamehamia kanisani saahz wanavaa SU TI YAN SIMWAMINI HATA CHEMBE,
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc 2 күн бұрын
Mch Dk Mwasekaga,Naomba namba yako
@njiaya6833
@njiaya6833 23 күн бұрын
safi kwa yesu kuna furaha
@faithe4063
@faithe4063 Ай бұрын
Mtangazi wewe unaharibu wachana ajielezee mwenyewe au pia wewe umewai kua mchawi 😂
@Elimuyaufalmewambinguni
@Elimuyaufalmewambinguni Ай бұрын
Mtangazaji Mara nyingi maswali yako yanaharibu mwendelezo wa ushuhuda.
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 28 күн бұрын
Mm sijui lkn maongeo yake tu ni uongo mzee wa ovyo tu
@AlexAyubu
@AlexAyubu Ай бұрын
Muuliza maswali daaa achaaa
@joshuaedward275
@joshuaedward275 Ай бұрын
Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview...... Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 29 күн бұрын
kabisaa
@MohamedAbdirahman-qs4pl
@MohamedAbdirahman-qs4pl 9 күн бұрын
Au Davistar Mata TV
@user-uj7kj3fh7n
@user-uj7kj3fh7n Ай бұрын
Ushuhuda ni mzuri japo kidogo muuliza maswali ana haraka ya maneno yake
@tumsifumassawe1273
@tumsifumassawe1273 Ай бұрын
Mtangazaji ana kiherehere kama nn yaan
@tumsifumassawe1273
@tumsifumassawe1273 Ай бұрын
Ana kimuhemuhe kama nn huyuu litangazaji
@ElisifaLukas
@ElisifaLukas Ай бұрын
Ila we unayehoji unaharibu ushuhuda uu
@nabihelias821
@nabihelias821 Ай бұрын
Mwendelezo haupo
@TuroRukiko
@TuroRukiko Ай бұрын
Anaye hoji anakatisha history ina kuwa haina maana
@IssaOmary-j6f
@IssaOmary-j6f 5 күн бұрын
Mtangazaji shida miswali isiyonamana unamtoa mtu kwenye mtiririko
@lusekelomwalyaje2897
@lusekelomwalyaje2897 4 күн бұрын
Hapo ndo Ufahamu wako ulipo fika
@kennethmagupa698
@kennethmagupa698 25 күн бұрын
Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Ай бұрын
Angalia selikari ilifikili ni mtu wa kawaida wanamlipa hela nyingi kweli dunia ni upepo
@valenakomba7686
@valenakomba7686 24 күн бұрын
Kweli niki kusikia hayo unayosema, bai ni kweli wachungaji wengine ni waganga.
@meshack3266
@meshack3266 Ай бұрын
Lusekelo umezingua yan kwanza kitendo cha kuweka nyimbo katikati ya mahojiano unazani watu wanasikiliza nikupeleka tu mbele
@vickylayda6336
@vickylayda6336 11 күн бұрын
Haleluya
@vickylayda6336
@vickylayda6336 11 күн бұрын
Hkweli tuwe makini
@renatusmtakyawa594
@renatusmtakyawa594 Ай бұрын
Mbona uweki sehemu ya tatu
@valenakomba7686
@valenakomba7686 21 күн бұрын
Anakamuliwa NGAMA.
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 Ай бұрын
bahati mbaya amefariki tuvumilie tu
@optimamarenda7082
@optimamarenda7082 Ай бұрын
Wewe mtangazaji wewe
@ameenaameena422
@ameenaameena422 20 күн бұрын
Mtagazaj kasome
@DAWASADAWASA
@DAWASADAWASA Ай бұрын
Dunia inamambo
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc Ай бұрын
Naomba namba ya Mchungaji Mwasekaga
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 Ай бұрын
Huyu babu kama umesikia Mtumishi wa Mungu amesema alifariki
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 Ай бұрын
Sikiliza kwa makini maelekezo part 1
@JeanMabele
@JeanMabele 16 күн бұрын
Chiting only
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 Ай бұрын
huyu mchungaji babu yetu amefariki hivo ushuhuda hauwezi kupatikana
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu Ай бұрын
Yaaan ningelikuwa karibu na uyo kaka ningemnyang'anya maike maana hajui kazi yake
@lusekelomwalyaje5897
@lusekelomwalyaje5897 6 күн бұрын
Hujapata hio nafasi kwa kuwa unachodhani wewe uko sahihi kumbe uko 0
@renatusmtakyawa594
@renatusmtakyawa594 Ай бұрын
Ndo imeisha au
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu Ай бұрын
Yaaan uyo mtangazaji ni fake 😏😏😏
@JoelMoshi
@JoelMoshi 27 күн бұрын
Kabisaa awape watu na fani zao
@lusekelomwalyaje5897
@lusekelomwalyaje5897 6 күн бұрын
Hujitambui wewe
@lusekelomwalyaje5897
@lusekelomwalyaje5897 6 күн бұрын
Wewe unashida ya Afya ya Akili
MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 1
23:24
LUSEKELO MWALYAJE
Рет қаралды 14 М.
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,6 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 19 МЛН
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 36 МЛН
FAHAMU VIASHIRIA VYA KUWEPO KWA HESHIMA KATIKA MAHUSIANO
16:41
Mwl. JOYCE KISHA
Рет қаралды 3 М.
MY WIFE LEFT ME WITHOUT NOTICE- PK KARITEI
1:19:01
JEFF KURIA
Рет қаралды 37 М.
Wanaosema heri mchawi kuliko mnafiki hamuwajui vizuri wachawi
21:51
Pastor Musa sheka
Рет қаралды 10 М.
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37