TAZAMA MANABII WALIVYO MWAGA PESA KWA MASANJA

  Рет қаралды 24,756

Masanja TV

Masanja TV

9 күн бұрын

TANGAZA NASI MASANJA TV:
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel

Пікірлер: 88
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 Күн бұрын
Nilichogundua Masanja umejuankucheza na fahamu zao Kwa nafasi zao kuwacgomoa pesa
@erodiasmallya2869
@erodiasmallya2869 Күн бұрын
Nyakati Za mwisho tutaona mengi. Manabii wa uongo wameongezeka na wanazidi kuongezeka😭
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w 2 күн бұрын
Haahahhahha jamaa anaesambZa maiki goti mpaka chini 😂😂
@danielmrashani8710
@danielmrashani8710 4 күн бұрын
Yesu akutunze Sana bishop masanja
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 4 күн бұрын
Nimemwona sijui wanamuita kiboko ya wachawi jmni 😭😭😭 Mungu tusaidie
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Күн бұрын
Na atusaidi kwlkwel
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 4 күн бұрын
Ila masanja pia jifunze maana umekuwa ukiwashambulia sana manabii
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j Күн бұрын
Hapa and anataka hela
@neemamwanga407
@neemamwanga407 21 сағат бұрын
Jamani wanaume nao wanapiga magoti😂😂
@user-tt1nm9xs4n
@user-tt1nm9xs4n Күн бұрын
Masanja naomba milion mbili
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Күн бұрын
Ha ha haaaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa ha ha haaaaa!!! Nawew kusanya manabii!!!!
@jumakihiyo
@jumakihiyo Күн бұрын
Genge la wahuni tu hilo
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc 7 күн бұрын
Duuh, kweli tutafute hela coz majungu cyo mtaji
@user-cb7io3pk4l
@user-cb7io3pk4l 19 сағат бұрын
Hahaa izo makanisa jamani niku lomba lomba mavazi na pesa shida😢😂😂
@ashasalim612
@ashasalim612 Күн бұрын
Kabla hujambeza mwenzako au kumsema vibaya jichunguze kwanza je wew ukosahihi kwakila kitu MUNGU atusamehe
@user-jw8pw2pd9l
@user-jw8pw2pd9l 4 күн бұрын
Ivi kweli na ninyi ni kanisa la Mungu hilo ni kundi la wasanii Mungu hakai mahali pa jins hiyo
@user-dx4ow8vq1c
@user-dx4ow8vq1c 3 күн бұрын
Anakaa sehemu gani?
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 2 күн бұрын
😅😅😅😅​@@user-dx4ow8vq1c
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 2 күн бұрын
Anakaa wap😅
@user-vg9bu6zv8v
@user-vg9bu6zv8v 2 күн бұрын
Wakiristo tuwen makinisana hiimizaha katka Kaz ya MUNGu mh najua watu wa mungu wapo tuingie kwenye maombi shetan anapambana kulivunja kabisa la bwana
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Күн бұрын
N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!
@nicholausrwezaura1971
@nicholausrwezaura1971 6 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
@evodiajohn7991
@evodiajohn7991 7 күн бұрын
Tafuta hela wacha kuhukumuhuku
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 2 күн бұрын
Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Күн бұрын
Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Күн бұрын
@@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe 23 сағат бұрын
Hata Mimi Nashangaa sijui wanasoma biblia Gani maana amevaa suluali alafu eti amekaa mbele ya mazabahu sijui anamuwakilisha shatani maana du ajabu.
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 20 сағат бұрын
@@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe
@RobertMolell
@RobertMolell 16 сағат бұрын
Ndg zangu tuchunge midomo yetu kwani itaja tugharimu siku 1,wawe wa ukweli au wauongo watajua wao na aliyewaumba.
@user-nd9kd2wi4h
@user-nd9kd2wi4h 2 күн бұрын
Wamevaa ngozi ya kondoo kmbe chui mi cijuhi ila yeye tu aliye juu
@danielbrizzy
@danielbrizzy Күн бұрын
mbalikiwe sana
@hajjisanga789
@hajjisanga789 5 күн бұрын
Acha kumchukia mtu mwingine yeye anafikisha yale anayo ya amini kwahiyo tusiwe na donge sana kumuona masanja anafanya neno sasa unataka afanyeje atangaze ushoga au
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 Күн бұрын
Watu wasio na hela utaona comment zao tu😂😂😂 jamani hela inaondoa hasira
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 20 сағат бұрын
@@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa
@MasanjaTVgospel
@MasanjaTVgospel 14 сағат бұрын
😆😆😆
@pumarice2710
@pumarice2710 3 күн бұрын
Eeh, Mwenyezi Mungu tusaidie.
@VictorJohn-fu7ch
@VictorJohn-fu7ch 4 күн бұрын
Wow❤❤❤
@valenakomba7686
@valenakomba7686 Күн бұрын
MUNGU SIYO KITU CHA KUFANYIWA VICHEKESHO.
@GideonMsengi
@GideonMsengi 20 сағат бұрын
Masanja😂😂😂😂😂😂
@MlyakadoHassan
@MlyakadoHassan 3 күн бұрын
Jamani pesa nikitu kingine wewe fanya yako sikiliza tuu
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 3 күн бұрын
HAKUNA MANABII TANZANIA BALI TUNAWAWAKILISHI WA SHETANI KUELEKEZA WATU KWENDA KUZIMU
@SGIT-jd6fg
@SGIT-jd6fg 3 күн бұрын
Unajuaje kama hawapo mpendwa usipingane na Neno la Mungu kama wauongo wapo jua hata mmoja wa kweli anaweza kuwepo
@CharlesMakasi-jp2hs
@CharlesMakasi-jp2hs 3 күн бұрын
​@@SGIT-jd6fgsahh kabsa watu wanashindwa kuelewa sana
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 2 күн бұрын
Maandiko ndio yanayo. thibitsha kuwa kutakuwa na manabii soma kitabu Cha ufunuo yey sikawambia yey ni Alfa na omega mwanzo na mwisho ?​@@SGIT-jd6fg
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 2 күн бұрын
Acha tu Mungu atuokoe na kuzimu
@JeffJoeNya
@JeffJoeNya Күн бұрын
Sawa MuNGU
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 7 күн бұрын
Uganga mtupu wapinga Kristo Yesu wote
@RehemaMtono
@RehemaMtono 5 күн бұрын
Na zumaridi
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 5 күн бұрын
@@RehemaMtono ukweli mtupu Mungu ktk Kristo Yesu akubariki kwa kujuwa kweli
@RehemaMtono
@RehemaMtono 5 күн бұрын
@@BeniJohn-xd3cn manabii wa kuzimu hao woote
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 5 күн бұрын
@@RehemaMtono Asante Sana ndungu yangu ktk Kristo Yesu ubarikiwe Sana kwa kujuwa kweli na kweli imekuweka uru🙏🙏
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc 4 күн бұрын
Wewe unashingap
@MlyakadoHassan
@MlyakadoHassan 3 күн бұрын
Jamani hebu tujiulize yakwetu
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 7 күн бұрын
Amekosekana Mzee wa Kenya na Mzee wa Arusha Ezekiel na Jodevi
@mwana3887
@mwana3887 Күн бұрын
Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Күн бұрын
@@mwana3887 angekuwa anafanya show ya mavazi kanisani si ushetani tena ya kike na wanapita mbele yake ata wewe pia uoni kuwa uwo ni shetani
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Күн бұрын
@@mwana3887 ni wa Mungu gani uyo Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe awezi kuruusu ujinga kama uo unajuwa Maana ya Roho Mtakatifu wewe
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Күн бұрын
@@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani
@godfreysanziki1461
@godfreysanziki1461 5 күн бұрын
Ulijua kuwakamata ma bishop
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z 3 күн бұрын
MUNGU pamoja nasi
@danielamosi6871
@danielamosi6871 6 күн бұрын
Una sifa sana wew sikupendi
@neymishytz9302
@neymishytz9302 2 күн бұрын
Dah watu wengine km wachawi ampendi maendeleo ya wenzenu
@rosekihawa8824
@rosekihawa8824 3 күн бұрын
Mungu wa mbinguni akutumie zaidi mtumishi
@user-oc3zp5sp4y
@user-oc3zp5sp4y Күн бұрын
Dunia isisile vayawe
@user-kn8pw7vk4e
@user-kn8pw7vk4e 3 күн бұрын
Hapo kuna manabii au manabii wa uongo 100%
@MlyakadoHassan
@MlyakadoHassan 3 күн бұрын
Kwani uganga unashida gani
@ElizabethMisunza
@ElizabethMisunza 2 күн бұрын
hili ni jopo la mitume wa mashetani
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 4 күн бұрын
Hao wanakuonyesha ukomavu
@julianabenard7840
@julianabenard7840 3 күн бұрын
wanamvuta huyu masanja atakuja kujuta... so utumishi sio mchezo
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 4 күн бұрын
Kuna mtu nimemwona hapo mpka nimestuka manake hata
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 2 күн бұрын
Mtaje ndungu na sisi pia tupate kushangaa maana kushangaa kunafungua kitu fulani ktk maisha yetu ya Ukristo Yesu
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 2 күн бұрын
Mbon hamjamwalika yule nabii anae gawaga pesa?
@kadejahh4036
@kadejahh4036 Күн бұрын
Yupo apo
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 2 күн бұрын
Kwan huy masanja kajiunga na manabii naye? Baada ya siku chache utasikia nae ni nabii hiyo ndio bongo tz
@user-tt1nm9xs4n
@user-tt1nm9xs4n Күн бұрын
Ameshajiunga
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 Күн бұрын
Chaaaa uyana chu ngachoooka Kama Mungu yupo basi atatenda yenye haki maana yy ndo anaona yaliyo sirini
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 10 МЛН
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 112 МЛН
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 46 М.
MITUME NA MANABII WACHACHE NDIYO WENYE SHIDA - Askofu Dastan Maboya.
22:49
Archbishop Prof. Sylvester Gamanywa
Рет қаралды 24 М.
MASANJA AKIWAKARIBISHA WAZUNGU WA IMANI MATENDO NA MIUJIZA #FREECHURCH  #MKANDAMIZAJI
8:03
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 84 М.
SIRI YA FICHULIWA UONGO WA MIUJIZA WANAYO IFANYA EV PASCHAL CASSIAN
17:24
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 163 М.
BAMBO NA MTU MREFU COMEDY RECAP
8:53
Bambo Comedy
Рет қаралды 40 М.
SHUHUDIA ULINZI MKALI WA MASANJA #MASANJATV
17:09
Masanja TV
Рет қаралды 4,3 М.
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 448 М.
Когда все обошлось 😮‍💨 | Королева Двора
0:16
Аминка Витаминка
Рет қаралды 3,7 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
0:25
Watch Me
Рет қаралды 20 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
0:51
Аришнев
Рет қаралды 2,1 МЛН
ToRung short film: 😭i'm not blind😢
0:58
ToRung
Рет қаралды 97 МЛН