TANGAZA NASI MASANJA TV: SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates: 👇 👇 / @masanjatvgospel
Пікірлер: 88
@elizabethkisogole34Күн бұрын
Nilichogundua Masanja umejuankucheza na fahamu zao Kwa nafasi zao kuwacgomoa pesa
@erodiasmallya2869Күн бұрын
Nyakati Za mwisho tutaona mengi. Manabii wa uongo wameongezeka na wanazidi kuongezeka😭
@user-qy7he6cl8w2 күн бұрын
Haahahhahha jamaa anaesambZa maiki goti mpaka chini 😂😂
@danielmrashani87104 күн бұрын
Yesu akutunze Sana bishop masanja
@deborahmchona55844 күн бұрын
Nimemwona sijui wanamuita kiboko ya wachawi jmni 😭😭😭 Mungu tusaidie
@chrisdeoglatias8665Күн бұрын
Na atusaidi kwlkwel
@DeogratiusAndrew-zi7zv4 күн бұрын
Ila masanja pia jifunze maana umekuwa ukiwashambulia sana manabii
@user-wi8og3sv4jКүн бұрын
Hapa and anataka hela
@neemamwanga40721 сағат бұрын
Jamani wanaume nao wanapiga magoti😂😂
@user-tt1nm9xs4nКүн бұрын
Masanja naomba milion mbili
@chrisdeoglatias8665Күн бұрын
Ha ha haaaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa ha ha haaaaa!!! Nawew kusanya manabii!!!!
@jumakihiyoКүн бұрын
Genge la wahuni tu hilo
@WilbertChambilo-yl1kc7 күн бұрын
Duuh, kweli tutafute hela coz majungu cyo mtaji
@user-cb7io3pk4l19 сағат бұрын
Hahaa izo makanisa jamani niku lomba lomba mavazi na pesa shida😢😂😂
@ashasalim612Күн бұрын
Kabla hujambeza mwenzako au kumsema vibaya jichunguze kwanza je wew ukosahihi kwakila kitu MUNGU atusamehe
@user-jw8pw2pd9l4 күн бұрын
Ivi kweli na ninyi ni kanisa la Mungu hilo ni kundi la wasanii Mungu hakai mahali pa jins hiyo
@user-dx4ow8vq1c3 күн бұрын
Anakaa sehemu gani?
@user-pw2sw1sk1b2 күн бұрын
😅😅😅😅@@user-dx4ow8vq1c
@user-pw2sw1sk1b2 күн бұрын
Anakaa wap😅
@user-vg9bu6zv8v2 күн бұрын
Wakiristo tuwen makinisana hiimizaha katka Kaz ya MUNGu mh najua watu wa mungu wapo tuingie kwenye maombi shetan anapambana kulivunja kabisa la bwana
@chrisdeoglatias8665Күн бұрын
N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!
@nicholausrwezaura19716 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
@evodiajohn79917 күн бұрын
Tafuta hela wacha kuhukumuhuku
@festinamwakipale39192 күн бұрын
Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti
@chrisdeoglatias8665Күн бұрын
Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?
@festinamwakipale3919Күн бұрын
@@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe23 сағат бұрын
Hata Mimi Nashangaa sijui wanasoma biblia Gani maana amevaa suluali alafu eti amekaa mbele ya mazabahu sijui anamuwakilisha shatani maana du ajabu.
@festinamwakipale391920 сағат бұрын
@@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe
@RobertMolell16 сағат бұрын
Ndg zangu tuchunge midomo yetu kwani itaja tugharimu siku 1,wawe wa ukweli au wauongo watajua wao na aliyewaumba.
@user-nd9kd2wi4h2 күн бұрын
Wamevaa ngozi ya kondoo kmbe chui mi cijuhi ila yeye tu aliye juu
@danielbrizzyКүн бұрын
mbalikiwe sana
@hajjisanga7895 күн бұрын
Acha kumchukia mtu mwingine yeye anafikisha yale anayo ya amini kwahiyo tusiwe na donge sana kumuona masanja anafanya neno sasa unataka afanyeje atangaze ushoga au
@warakawayohana2896Күн бұрын
Watu wasio na hela utaona comment zao tu😂😂😂 jamani hela inaondoa hasira
@festinamwakipale391920 сағат бұрын
@@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa
@MasanjaTVgospel14 сағат бұрын
😆😆😆
@pumarice27103 күн бұрын
Eeh, Mwenyezi Mungu tusaidie.
@VictorJohn-fu7ch4 күн бұрын
Wow❤❤❤
@valenakomba7686Күн бұрын
MUNGU SIYO KITU CHA KUFANYIWA VICHEKESHO.
@GideonMsengi20 сағат бұрын
Masanja😂😂😂😂😂😂
@MlyakadoHassan3 күн бұрын
Jamani pesa nikitu kingine wewe fanya yako sikiliza tuu
@nelsonnyamle3 күн бұрын
HAKUNA MANABII TANZANIA BALI TUNAWAWAKILISHI WA SHETANI KUELEKEZA WATU KWENDA KUZIMU
@SGIT-jd6fg3 күн бұрын
Unajuaje kama hawapo mpendwa usipingane na Neno la Mungu kama wauongo wapo jua hata mmoja wa kweli anaweza kuwepo
@CharlesMakasi-jp2hs3 күн бұрын
@@SGIT-jd6fgsahh kabsa watu wanashindwa kuelewa sana
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm2 күн бұрын
Maandiko ndio yanayo. thibitsha kuwa kutakuwa na manabii soma kitabu Cha ufunuo yey sikawambia yey ni Alfa na omega mwanzo na mwisho ?@@SGIT-jd6fg
@YustoMlay-cv4zb2 күн бұрын
Acha tu Mungu atuokoe na kuzimu
@JeffJoeNyaКүн бұрын
Sawa MuNGU
@BeniJohn-xd3cn7 күн бұрын
Uganga mtupu wapinga Kristo Yesu wote
@RehemaMtono5 күн бұрын
Na zumaridi
@BeniJohn-xd3cn5 күн бұрын
@@RehemaMtono ukweli mtupu Mungu ktk Kristo Yesu akubariki kwa kujuwa kweli
@RehemaMtono5 күн бұрын
@@BeniJohn-xd3cn manabii wa kuzimu hao woote
@BeniJohn-xd3cn5 күн бұрын
@@RehemaMtono Asante Sana ndungu yangu ktk Kristo Yesu ubarikiwe Sana kwa kujuwa kweli na kweli imekuweka uru🙏🙏
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc4 күн бұрын
Wewe unashingap
@MlyakadoHassan3 күн бұрын
Jamani hebu tujiulize yakwetu
@BeniJohn-xd3cn7 күн бұрын
Amekosekana Mzee wa Kenya na Mzee wa Arusha Ezekiel na Jodevi
@mwana3887Күн бұрын
Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)
@BeniJohn-xd3cnКүн бұрын
@@mwana3887 angekuwa anafanya show ya mavazi kanisani si ushetani tena ya kike na wanapita mbele yake ata wewe pia uoni kuwa uwo ni shetani
@BeniJohn-xd3cnКүн бұрын
@@mwana3887 ni wa Mungu gani uyo Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe awezi kuruusu ujinga kama uo unajuwa Maana ya Roho Mtakatifu wewe
@BeniJohn-xd3cnКүн бұрын
@@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani
@godfreysanziki14615 күн бұрын
Ulijua kuwakamata ma bishop
@user-bz5ti6op6z3 күн бұрын
MUNGU pamoja nasi
@danielamosi68716 күн бұрын
Una sifa sana wew sikupendi
@neymishytz93022 күн бұрын
Dah watu wengine km wachawi ampendi maendeleo ya wenzenu
@rosekihawa88243 күн бұрын
Mungu wa mbinguni akutumie zaidi mtumishi
@user-oc3zp5sp4yКүн бұрын
Dunia isisile vayawe
@user-kn8pw7vk4e3 күн бұрын
Hapo kuna manabii au manabii wa uongo 100%
@MlyakadoHassan3 күн бұрын
Kwani uganga unashida gani
@ElizabethMisunza2 күн бұрын
hili ni jopo la mitume wa mashetani
@DeogratiusAndrew-zi7zv4 күн бұрын
Hao wanakuonyesha ukomavu
@julianabenard78403 күн бұрын
wanamvuta huyu masanja atakuja kujuta... so utumishi sio mchezo
@deborahmchona55844 күн бұрын
Kuna mtu nimemwona hapo mpka nimestuka manake hata
@BeniJohn-xd3cn2 күн бұрын
Mtaje ndungu na sisi pia tupate kushangaa maana kushangaa kunafungua kitu fulani ktk maisha yetu ya Ukristo Yesu
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm2 күн бұрын
Mbon hamjamwalika yule nabii anae gawaga pesa?
@kadejahh4036Күн бұрын
Yupo apo
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm2 күн бұрын
Kwan huy masanja kajiunga na manabii naye? Baada ya siku chache utasikia nae ni nabii hiyo ndio bongo tz
@user-tt1nm9xs4nКүн бұрын
Ameshajiunga
@godlovemrosso5973Күн бұрын
Chaaaa uyana chu ngachoooka Kama Mungu yupo basi atatenda yenye haki maana yy ndo anaona yaliyo sirini