Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
Пікірлер: 52
@ashamahadi528127 күн бұрын
Mungu yu mwema Allah atakusimamia umetoka mbali Sana na uvumilivu unao Allah akunusuru Kwa kila jicho lenye kudhuru mwanangu nakupendaga Sana Mie TIMU RIAMA hata kwenye movie.
@user-qo8eu1br6f24 күн бұрын
Rihama Ally ❤❤❤🔥 🔥 🔥 Nakujua vzr nishafanya nawe kazi huna baya i love you 😍 💋 💋 💋 hongera sn pambana 💯
@Chrisblaze-beats27 күн бұрын
Hii redio itakua smart sana sio ile nyingine, wanaturingia waskilizaji mwanzo mpaka mwisho mtangazaji anatamba badala ya kutangaza kwa ufanisi.❤😊
@kilungahamis12705 күн бұрын
Watu mnaroho mbaya jamani Sasa wanakutambia vp Yani kazima tu uonekane una roho ya kuchonganisha
@wemakalama645824 күн бұрын
Hongera riama Allah akutangulie❤❤😍😍
@nailaomar481027 күн бұрын
Mashaallah mstaarabu sana nimependa jinsi alivojibu mungu atuhifadhi ❤
@caramellaswirl35036 сағат бұрын
Hongera sana Riama ❤
@fikirinimalange816427 күн бұрын
RIAMA ALLY UNAPENDEZA NA KIPINDI JIRANI NAKUAMINI. NAKUPENDA SANAAAAAA MAMA WA KULIA LIA
@thamani584224 күн бұрын
Ma Sha ALLAH Riyama una lafudh nzuri
@fatmamansour276421 күн бұрын
Mashaallah mpenzi wangu Riyamma hongera zako
@fatmamasoud139822 күн бұрын
Tuko.pamoja kipnzi dada Riana Allah akuongoze kwenye jaz zako❤❤❤❤❤❤
@MwanaidyMgonja-ek5lsКүн бұрын
Umeongea vzr sana❤❤❤❤❤
@khadijakimana88097 күн бұрын
Congratulations Rihana❤
@GalaxyA-ve8tu20 күн бұрын
Nakupenda kwenye movie kuliko kwenye uandishi tena njoo uzidi kutubirudisha mwaya
@ruqaiamohammed34524 күн бұрын
Mashaallah ❤kipenz changu
@salomewandya725719 күн бұрын
Mashaallah Riyama ulipo na sisi tupo❤❤❤❤❤
@miskyabdillah745122 күн бұрын
❤❤❤ Allah akutangulie kwa kila jambo la kher love
@AnastasiaKilonzi20 күн бұрын
Allah is Good rayana mashallah ❤❤
@hanifamziray27718 күн бұрын
Umejibu vzr sn hongera
@meddykeita522021 күн бұрын
Masha Allah ma dada Allah akusimamie
@TatuHusseni-hs7mu21 күн бұрын
Riama namkubali sana huyu dada bola kapunguza mwili kapendeza sana kuliko ule ubonge maana angezidi pale angehalibika
@LucyChedrick16 күн бұрын
Kapungua vizuri
@fatumakale700422 күн бұрын
Tuko pamoja inshallah 😍♥️❤️❤️❤️❤️
@LujainaOmari13 күн бұрын
Nakupenda sana
@user-to4mj3di9m21 күн бұрын
Mtu wa mmana kabisa mtoto minal Aaali ❤HALLA😂😂😂
@user-ty1tp8ly8q27 күн бұрын
❤❤❤
@Chrisblaze-beats27 күн бұрын
❤❤❤❤
@kanankirannko617422 күн бұрын
Ana hekima sana sana ,lakini hapo pa kuchamba duh kumekucha
@WonderfulSoccerGoal-gf2iy21 күн бұрын
Hongela
@user-el1rx9ei1o20 күн бұрын
Dada waku nimefurahi sana
@Brunotarimo1027 күн бұрын
Hapa ni nyumbani Dida ataisoma namba
@user-zq7jb2ij4u24 күн бұрын
Ndugu yangu tushukuru allah maana tunapata Ladha halisi ya kiswahili alhamdulillah lkn tusiwachonganishe. Hasada zimekuwa ni nyingi.
@Brunotarimo1024 күн бұрын
@@user-zq7jb2ij4u kweli kaka
@Nashoora824 күн бұрын
Uwo uchonga Nishi kweli mbona ukumsema mwanzo uje umuone Leo afai sababu ya lihama wote tuna wapenda na tuta wasikiliza wote ❤❤
@Brunotarimo1024 күн бұрын
@@Nashoora8 Rihanna ni mtangazaji bora kuliko dida . Wasafi mkae kwa kutulia
@yasrikomba787421 күн бұрын
❤kalibu sana
@user-xr5xx7bq3p20 күн бұрын
❤❤
@user-ln2cg9rg1g22 күн бұрын
❤🎉🎉
@kassimukipingu791721 күн бұрын
Dada na hio CROWN Pato pata Aly kiba ni mtu wa maana kabisa.
@fahmiiidrisa511012 күн бұрын
Hyu Dada akikuchamba halaf usilie we bingwa 😂😂😂😂
@Dalilahothaman4 күн бұрын
Dariama kwani wew mtu WApi mbona huongei lafudhi ya kibongo
@fatumahassan84252 күн бұрын
Naitaji kufanya kipind kama cha zai kijiwe nongwa kipaji kipo ila sija soma ila mm nina kipaji hicho stori za kijiwen yaan napenda kutumia jina la kijiwe cha ubaya ubwela
@nishgold416023 күн бұрын
Kutoka kuwa mama mateso mpaka kua mtangazaji
@khadijaamour765415 күн бұрын
1:24 1:24 1:24
@user-jh8sb9ms8w21 күн бұрын
Mtangazaji msenge nini unamfosi mtu kujib yupo tarari kushindana ovyo
@user-pu6pr5jt4n24 күн бұрын
Riyama ally❤❤❤
@amanielSamwel-rr8bz17 күн бұрын
Dida yupo juu nyie!
@PendoPeter-rr4jk21 күн бұрын
Kipindi Cha huyu dada kitakuwa pendwa balaa
@shanimbaruku207124 күн бұрын
Tupo nawe odo🎉❤
@salmabasil38515 күн бұрын
Dida kusoma kunamingusha
@GalaxyA-ve8tu20 күн бұрын
Nakupenda kwenye movie kuliko kwenye uandishi tena njoo uzidi kutubirudisha mwaya