TONNY WA CHERRY AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA/KUAMBUKIZWA UKIMWI/KUKONDA/UGUMU WA KUISHI NA MWENYE VVU

  Рет қаралды 48,251

Carrymastory

Carrymastory

28 күн бұрын

KIJANA ALIEISHI NA MWANAMKE MWENYE UKIMWI AFUNGUKA ALIVYOISHI NAE HADI KUACHANA KWAO JE AMEPEWA MAAMBUKIZI?FUATILIA INTERVIEW HII HAPA

Пікірлер: 230
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 26 күн бұрын
Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢
@elizabethmwaseba8164
@elizabethmwaseba8164 26 күн бұрын
Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine
@athanasmasmami5389
@athanasmasmami5389 25 күн бұрын
😂😂
@salmabasil385
@salmabasil385 15 күн бұрын
Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe
@jacklinepeter4158
@jacklinepeter4158 24 күн бұрын
Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini
@kwisa4899
@kwisa4899 17 күн бұрын
Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 4 күн бұрын
Life gumu kaweka Helen maskio yote vijana tuache bishoo tutafute hela
@user-fi7ky7ub6s
@user-fi7ky7ub6s 18 күн бұрын
Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤
@janethzacharia7967
@janethzacharia7967 20 күн бұрын
Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 27 күн бұрын
Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 23 күн бұрын
Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani
@rosehaule6765
@rosehaule6765 23 күн бұрын
Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 20 күн бұрын
Yaani na Mimi nilijisemea hivyo kimoyo moyo
@ibrahim.kelvin
@ibrahim.kelvin 26 күн бұрын
This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.
@charlesmtitu5606
@charlesmtitu5606 27 күн бұрын
Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh
@frankrobertkomba2318
@frankrobertkomba2318 27 күн бұрын
Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha
@user-re2em2zd2u
@user-re2em2zd2u 26 күн бұрын
@@frankrobertkomba2318very true
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 25 күн бұрын
🎉🎉🎉
@MS.independent8934
@MS.independent8934 19 күн бұрын
Upo sahihii 💯
@user-qq5rx1bl7e
@user-qq5rx1bl7e 27 күн бұрын
Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 24 күн бұрын
Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe
@hanamakamba373
@hanamakamba373 26 күн бұрын
Pole❤
@ReenKey-d5q
@ReenKey-d5q 21 күн бұрын
Dah!pole sana kaka
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 25 күн бұрын
Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 21 күн бұрын
Pole
@BlessedLady-by5hz
@BlessedLady-by5hz 18 күн бұрын
Atakupenda????
@estherkimario7940
@estherkimario7940 25 күн бұрын
Jaman umetoka mzima kwel😭
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 19 күн бұрын
Wanaume wanaoambukizwa ukimwi wengi wachafu
@user-el7ut2qk4e
@user-el7ut2qk4e 25 күн бұрын
Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.
@isakahissa4130
@isakahissa4130 25 күн бұрын
Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 25 күн бұрын
​@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine
@user-cr8pr3kn3c
@user-cr8pr3kn3c 26 күн бұрын
Yani hata sura yake imepoteza nuru
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 5 күн бұрын
Kweli kabisa mwe
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 5 күн бұрын
Jamani mkaka wa watu mwe mpka katunga wimbo unaitwa uwongo ukute ndugu zake waliomba mpka Mungu akawasikia u
@user-rm1sr3if9n
@user-rm1sr3if9n 25 күн бұрын
Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha
@maryamm7765
@maryamm7765 27 күн бұрын
Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 26 күн бұрын
Kwel
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 25 күн бұрын
Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢
@user-re2em2zd2u
@user-re2em2zd2u 26 күн бұрын
Huyu kaka anaonekana anaumia sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 24 күн бұрын
Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake
@aminamasalu6988
@aminamasalu6988 26 күн бұрын
Tonny anaonekana ana maumivu
@AlliNasra
@AlliNasra 20 күн бұрын
Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.
@shanikiwele3111
@shanikiwele3111 25 күн бұрын
Dah kweli umepungua Alton jmn😢
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 20 күн бұрын
Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini
@tinajohn6296
@tinajohn6296 17 күн бұрын
​@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue
@jumakassim8718
@jumakassim8718 5 күн бұрын
​@@darlenesalum3667swadakta
@alexmavindi2104
@alexmavindi2104 3 күн бұрын
Bora Wewe hata unajielewa na umelielewa hilo😅​@@darlenesalum3667
@user-ey5mv1yz3s
@user-ey5mv1yz3s 26 күн бұрын
Duuh, aisee haya maisha mmh,
@Fahilarashid
@Fahilarashid 23 күн бұрын
Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮
@user-vz6kk8id2f
@user-vz6kk8id2f 25 күн бұрын
Huyu kaka anamaumivu jmn
@godfreykasilingi4041
@godfreykasilingi4041 20 күн бұрын
Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .
@WemaMchomvu
@WemaMchomvu 25 күн бұрын
Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 23 күн бұрын
Yaani tumuachie Mungu tu ni mapito
@qayllahkusaga1207
@qayllahkusaga1207 10 күн бұрын
Tony lov u bro
@aminaelibrahimu4792
@aminaelibrahimu4792 16 күн бұрын
Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 25 күн бұрын
Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin
@naah884
@naah884 24 күн бұрын
Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 24 күн бұрын
Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 24 күн бұрын
@@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 24 күн бұрын
​@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?
@samwelrobeth7763
@samwelrobeth7763 8 күн бұрын
​@@allyahahmed1091😂😂😂😂😂
@annamussa185
@annamussa185 23 күн бұрын
Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo
@EmmanuelKawawa
@EmmanuelKawawa 16 күн бұрын
Mbona kwangu haina sauti
@salmauae2261
@salmauae2261 25 күн бұрын
isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 22 күн бұрын
Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini
@anneyrommoka9024
@anneyrommoka9024 12 күн бұрын
Wanawake wakichaga mpooooooo????
@IreneMwanaa-zo2wz
@IreneMwanaa-zo2wz 24 күн бұрын
Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!
@Patricianicholaus24
@Patricianicholaus24 22 күн бұрын
Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki
@kwisa4899
@kwisa4899 17 күн бұрын
ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote
@azharrtxj8773
@azharrtxj8773 10 күн бұрын
😂😂
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 26 күн бұрын
Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 22 күн бұрын
Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅
@deborahissaya1601
@deborahissaya1601 27 күн бұрын
Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota
@user-re2em2zd2u
@user-re2em2zd2u 26 күн бұрын
😂😂😂
@dcampafrica
@dcampafrica 24 күн бұрын
Ila debora
@eberykabage2999
@eberykabage2999 11 күн бұрын
😅
@angeladegens7139
@angeladegens7139 6 күн бұрын
Iove you Tonny🎉
@DinahAnthony
@DinahAnthony 25 күн бұрын
Kwakwel me Nilitaka waachane
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 20 күн бұрын
Kwanini jamani
@gracebuhatwa6359
@gracebuhatwa6359 16 күн бұрын
Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 24 күн бұрын
😭😭Yani inauma sana
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 25 күн бұрын
Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 25 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@JeremiahJohn-tt2ij
@JeremiahJohn-tt2ij 16 күн бұрын
Bileke bigende bindi bilozaa😢😢
@bushbabytz
@bushbabytz 25 күн бұрын
huo ufala siwezi ufanya
@vesitinarevocatus7333
@vesitinarevocatus7333 27 күн бұрын
Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry
@irenemlay9769
@irenemlay9769 25 күн бұрын
Duuu tunakuogopa aisee
@mixboysofredorfamily6210
@mixboysofredorfamily6210 25 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 20 күн бұрын
Sasa why umuogope😢😂
@irenemlay9769
@irenemlay9769 20 күн бұрын
@@darlenesalum3667 km hana HIV ni bahati arudi kwa bebe wake
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 21 күн бұрын
Kwan mlipata.watoto wangap.nae
@user-vr8fx4vg2r
@user-vr8fx4vg2r 27 күн бұрын
Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa
@anifamickidard4555
@anifamickidard4555 27 күн бұрын
Jamaa sauti yake ndio iko hivo siku zote
@happyalbert5089
@happyalbert5089 26 күн бұрын
Du!
@agriparose3942
@agriparose3942 22 күн бұрын
Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment
@user-bo2yf5hw7s
@user-bo2yf5hw7s 21 күн бұрын
Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo
@faridamapogolo2892
@faridamapogolo2892 8 күн бұрын
Hata ukihitaji dawa kwake pia majibu yake mmh
@GloryRichard-ly7kz
@GloryRichard-ly7kz 20 сағат бұрын
Ndo wakuwaga hvyo dawa zinawavuruga akili wanakuwa na visiran side effects za dawa
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 21 күн бұрын
Yaan kaka kaumia.huyu😢😢
@athanasmasmami5389
@athanasmasmami5389 25 күн бұрын
Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nanaleetz
@nanaleetz 24 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 20 күн бұрын
Il watu mna nini?😂😂😂
@user-hm1nt4mj4n
@user-hm1nt4mj4n 27 күн бұрын
Kiki tu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 27 күн бұрын
Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 27 күн бұрын
Bizari tena😂😂😂 yeye kasema alipenda kwahiyo hajali km atapewa ngoma na mtoto mzurii😅😅😅😅😅
@YvonnegipsonGipson
@YvonnegipsonGipson 27 күн бұрын
😆😆😆😆kuna watu mnavitu humu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 27 күн бұрын
@@estherminnahboaz6956 mmmh sasa hao wameachana
@zawadgunza2093
@zawadgunza2093 26 күн бұрын
😅😅😅
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 25 күн бұрын
Kimeshamlamba uyu akaaanze dozi tu uso tu unaonekana
@mariagrayson5414
@mariagrayson5414 14 күн бұрын
Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde
@thebroski9763
@thebroski9763 10 күн бұрын
Pole mpendwa 🙏
@kennedymaster2000
@kennedymaster2000 25 күн бұрын
Itakuwa amepewa ngom
@KudratMkangama
@KudratMkangama 23 күн бұрын
Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹
@Amina-ig3jw
@Amina-ig3jw 19 күн бұрын
😅😅😅
@alexmavindi2104
@alexmavindi2104 3 күн бұрын
​@@Amina-ig3jwkumekucha kumekucha 😂😂😂
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e 17 сағат бұрын
Masikin urijitoa kuwa nae japo yupo na virusi vake ukajitoa muanga reo hanakuja kukufanyia iv
@aminamaulid7371
@aminamaulid7371 25 күн бұрын
Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???
@alexmavindi2104
@alexmavindi2104 3 күн бұрын
Kumekucha 😂😂😂
@user-is7ot7bq9x
@user-is7ot7bq9x 25 күн бұрын
Duh mtihani
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 10 күн бұрын
Mmh mtu kakupenda na hali hiyo na umemuacha😂😂😂
@lydiajuma01
@lydiajuma01 25 күн бұрын
Mapenz usenge
@user-uv3hy1yj3j
@user-uv3hy1yj3j 21 күн бұрын
Mapenzi matamu bana
@jescamagembe8863
@jescamagembe8863 Күн бұрын
Busara ni kuwasikiliza wote ukisiliza upande mmoja unaweza hisi unaonewa au la
@annakbunga8377
@annakbunga8377 26 күн бұрын
Kwani ungekaa kimya ingekuwaje
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 25 күн бұрын
Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 25 күн бұрын
​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 25 күн бұрын
​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@felistersanga7903
@felistersanga7903 17 күн бұрын
Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana
@VeronicaSteven-of1qe
@VeronicaSteven-of1qe 21 күн бұрын
Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂
@alexmavindi2104
@alexmavindi2104 3 күн бұрын
Kumekucha 😂😂😂
@Unju-q4e
@Unju-q4e 15 күн бұрын
blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality
@zuwenahassan3624
@zuwenahassan3624 27 күн бұрын
Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke
@rehemamoyo4182
@rehemamoyo4182 27 күн бұрын
Amechit Cherry
@Humanity21216
@Humanity21216 25 күн бұрын
We umemuona akicheat?
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo 27 күн бұрын
Dem akiwa mgonjwa anasumbua Anenda mbio sana
@JescaEzekieli-vd9ly
@JescaEzekieli-vd9ly 26 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 25 күн бұрын
😂😂😂
@azizauheche5944
@azizauheche5944 18 күн бұрын
😂😂
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 22 күн бұрын
Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 24 күн бұрын
This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%
@leadflavour_tz
@leadflavour_tz 20 күн бұрын
😅😂😂
@user-sb7lz9xp4v
@user-sb7lz9xp4v 19 күн бұрын
Kabisaaaa
@user-iy7xy1np7c
@user-iy7xy1np7c 16 күн бұрын
Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 16 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c acha umalaya period
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 16 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 27 күн бұрын
Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali
@Khadija-ne8ul
@Khadija-ne8ul 27 күн бұрын
Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi
@doymatata4702
@doymatata4702 25 күн бұрын
Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 23 күн бұрын
@@Khadija-ne8ul wow Asante Kwa kujua
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 23 күн бұрын
@@doymatata4702 wow Asante Kwa kujua
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 27 күн бұрын
😳😳🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂
@Official83640
@Official83640 27 күн бұрын
Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 26 күн бұрын
@@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 20 күн бұрын
​@@Official83640mmmh
@cathyjb4339
@cathyjb4339 13 күн бұрын
Hamna huyu kaka anapitia maumivu anaonekana. Ona alivyokonda hata anavuocheka sio cheko la kawaida ni la maumivu.
@user-yn3kg8ip2h
@user-yn3kg8ip2h 17 күн бұрын
Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo
@gracebuhatwa6359
@gracebuhatwa6359 16 күн бұрын
Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni
@vee4296
@vee4296 23 күн бұрын
Mbona hii video kwangu haina sauti kwanini?
@deomassawetz
@deomassawetz 21 күн бұрын
Tumia Airphone
@mwaminishakalili4120
@mwaminishakalili4120 19 күн бұрын
Simu lako taka bwana😂😂😂
@user-db1uy6hv9q
@user-db1uy6hv9q 26 күн бұрын
Jamani ww siulihojiwa wasafi ukasema hujaambukizwa
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 26 күн бұрын
😅😊
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 25 күн бұрын
Sasa kwani hapo kasema kaathirika uwe unasikiliza kwa makini
@mwashamleo9996
@mwashamleo9996 18 күн бұрын
Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 22 күн бұрын
Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko
@onekisstv8412
@onekisstv8412 21 күн бұрын
Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au
@petetyohana
@petetyohana 17 күн бұрын
Jicho lilifumba kwa muda
@rehemamoyo4182
@rehemamoyo4182 27 күн бұрын
Wakwanza
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 23 күн бұрын
Kimekuramba😂
@JeniferMassawe-lu3de
@JeniferMassawe-lu3de 27 күн бұрын
Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara
@mwashamleo9996
@mwashamleo9996 18 күн бұрын
Hata siamin nyie😢
@greenermichael2057
@greenermichael2057 16 күн бұрын
Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia
@esthermalamsha2847
@esthermalamsha2847 15 күн бұрын
Ni shida
@LubnaGeorge-re4yp
@LubnaGeorge-re4yp 23 күн бұрын
Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk
@cathyjb4339
@cathyjb4339 13 күн бұрын
Hapana alimpenda, we unaweza ku-risk maisha yako yaani posibility ya kupata ugonjwa kwa sababu ya kiki? Hata namna anam-cover up hafunguki kwa ubaya juu ya huyo dada, namna amepungua unaona he was in Love. Japo inafikaga kipindi mapenzi yanaishaga na maisha lazima yaendelee.
@juditholotu7249
@juditholotu7249 17 күн бұрын
Mungu atakupa mke mwingine
@ramadhanhassan9308
@ramadhanhassan9308 25 күн бұрын
Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 25 күн бұрын
We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 25 күн бұрын
Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 25 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 25 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 24 күн бұрын
Hii comment 100%
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 20 күн бұрын
Amefuata wenye pesa kwa tafsir ya haraka
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 5 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 10 МЛН
PENZI LA CHERRY (ANAYEISHI NA VVU) NA TONY LAVUNJIKA??
3:27
Wasafi Media
Рет қаралды 4,2 М.
WAZUNGU WANASUBIRISHA| NILIMWAMBIA NATAKA MAHUSIANO SERIOUS HAWEZI AENDE
1:38:01
Official Dating Assistance
Рет қаралды 16 М.
Fumanizi Tabata Pt3 Mfumaniaji Afumaniwa
14:31
KIREDIO
Рет қаралды 167 М.
Медвежий папа
1:00
Timminator
Рет қаралды 3,7 МЛН
哈莉奎因以为小丑不爱她了#joker #cosplay #Harriet Quinn
0:22
佐助与鸣人
Рет қаралды 7 МЛН
这是王子儿子吗
0:27
落魄的王子
Рет қаралды 20 МЛН