KIJANA ALIEISHI NA MWANAMKE MWENYE UKIMWI AFUNGUKA ALIVYOISHI NAE HADI KUACHANA KWAO JE AMEPEWA MAAMBUKIZI?FUATILIA INTERVIEW HII HAPA
Пікірлер: 230
@ashurajengela392626 күн бұрын
Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢
@elizabethmwaseba816426 күн бұрын
Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine
@athanasmasmami538925 күн бұрын
😂😂
@salmabasil38515 күн бұрын
Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe
@jacklinepeter415824 күн бұрын
Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini
@kwisa489917 күн бұрын
Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..
@abiboseleman16494 күн бұрын
Life gumu kaweka Helen maskio yote vijana tuache bishoo tutafute hela
@user-fi7ky7ub6s18 күн бұрын
Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤
@janethzacharia796720 күн бұрын
Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww
@ukhutfatumah115427 күн бұрын
Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian
@fahadfaraj647423 күн бұрын
Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani
@rosehaule676523 күн бұрын
Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi
@darlenesalum366720 күн бұрын
Yaani na Mimi nilijisemea hivyo kimoyo moyo
@ibrahim.kelvin26 күн бұрын
This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.
@charlesmtitu560627 күн бұрын
Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh
@frankrobertkomba231827 күн бұрын
Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha
@user-re2em2zd2u26 күн бұрын
@@frankrobertkomba2318very true
@user-ur7pw9ek6s25 күн бұрын
🎉🎉🎉
@MS.independent893419 күн бұрын
Upo sahihii 💯
@user-qq5rx1bl7e27 күн бұрын
Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa
@Judy-dy4zt24 күн бұрын
Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe
@hanamakamba37326 күн бұрын
Pole❤
@ReenKey-d5q21 күн бұрын
Dah!pole sana kaka
@user-pp9mp1pz9f25 күн бұрын
Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢
@rosemilingi786021 күн бұрын
Pole
@BlessedLady-by5hz18 күн бұрын
Atakupenda????
@estherkimario794025 күн бұрын
Jaman umetoka mzima kwel😭
@miriamdavis389319 күн бұрын
Wanaume wanaoambukizwa ukimwi wengi wachafu
@user-el7ut2qk4e25 күн бұрын
Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.
@isakahissa413025 күн бұрын
Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa
@NeemaSamson-ti8pc25 күн бұрын
@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine
@user-cr8pr3kn3c26 күн бұрын
Yani hata sura yake imepoteza nuru
@joycekasimbazi98175 күн бұрын
Kweli kabisa mwe
@joycekasimbazi98175 күн бұрын
Jamani mkaka wa watu mwe mpka katunga wimbo unaitwa uwongo ukute ndugu zake waliomba mpka Mungu akawasikia u
@user-rm1sr3if9n25 күн бұрын
Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha
@maryamm776527 күн бұрын
Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu
@Zainab-sq1tc26 күн бұрын
Kwel
@user-pp9mp1pz9f25 күн бұрын
Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢
@user-re2em2zd2u26 күн бұрын
Huyu kaka anaonekana anaumia sana
@GeorgeAkasha-zx2rj24 күн бұрын
Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake
@aminamasalu698826 күн бұрын
Tonny anaonekana ana maumivu
@AlliNasra20 күн бұрын
Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.
@shanikiwele311125 күн бұрын
Dah kweli umepungua Alton jmn😢
@darlenesalum366720 күн бұрын
Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini
@tinajohn629617 күн бұрын
@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue
@jumakassim87185 күн бұрын
@@darlenesalum3667swadakta
@alexmavindi21043 күн бұрын
Bora Wewe hata unajielewa na umelielewa hilo😅@@darlenesalum3667
@user-ey5mv1yz3s26 күн бұрын
Duuh, aisee haya maisha mmh,
@Fahilarashid23 күн бұрын
Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮
@user-vz6kk8id2f25 күн бұрын
Huyu kaka anamaumivu jmn
@godfreykasilingi404120 күн бұрын
Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .
@WemaMchomvu25 күн бұрын
Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton
@joycekasimbazi981723 күн бұрын
Yaani tumuachie Mungu tu ni mapito
@qayllahkusaga120710 күн бұрын
Tony lov u bro
@aminaelibrahimu479216 күн бұрын
Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok
@user-pp9mp1pz9f25 күн бұрын
Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin
@naah88424 күн бұрын
Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅
@allyahahmed109124 күн бұрын
Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko
@user-pp9mp1pz9f24 күн бұрын
@@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana
@GeorgeAkasha-zx2rj24 күн бұрын
@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?
@samwelrobeth77638 күн бұрын
@@allyahahmed1091😂😂😂😂😂
@annamussa18523 күн бұрын
Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo
@EmmanuelKawawa16 күн бұрын
Mbona kwangu haina sauti
@salmauae226125 күн бұрын
isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤
@AishaHaji-jn7sg22 күн бұрын
Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini
@anneyrommoka902412 күн бұрын
Wanawake wakichaga mpooooooo????
@IreneMwanaa-zo2wz24 күн бұрын
Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!
@Patricianicholaus2422 күн бұрын
Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki
@kwisa489917 күн бұрын
ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote
@azharrtxj877310 күн бұрын
😂😂
@JELSONMAUKI26 күн бұрын
Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅
@jeunajuatv81722 күн бұрын
Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅
@deborahissaya160127 күн бұрын
Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota
@user-re2em2zd2u26 күн бұрын
😂😂😂
@dcampafrica24 күн бұрын
Ila debora
@eberykabage299911 күн бұрын
😅
@angeladegens71396 күн бұрын
Iove you Tonny🎉
@DinahAnthony25 күн бұрын
Kwakwel me Nilitaka waachane
@darlenesalum366720 күн бұрын
Kwanini jamani
@gracebuhatwa635916 күн бұрын
Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee
@Judy-dy4zt24 күн бұрын
😭😭Yani inauma sana
@user-eo4hd8xu6d25 күн бұрын
Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.
@samiraabdimahamed444925 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@JeremiahJohn-tt2ij16 күн бұрын
Bileke bigende bindi bilozaa😢😢
@bushbabytz25 күн бұрын
huo ufala siwezi ufanya
@vesitinarevocatus733327 күн бұрын
Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry
@irenemlay976925 күн бұрын
Duuu tunakuogopa aisee
@mixboysofredorfamily621025 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum366720 күн бұрын
Sasa why umuogope😢😂
@irenemlay976920 күн бұрын
@@darlenesalum3667 km hana HIV ni bahati arudi kwa bebe wake
@MwanjiNzala-mo5ni21 күн бұрын
Kwan mlipata.watoto wangap.nae
@user-vr8fx4vg2r27 күн бұрын
Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa
@anifamickidard455527 күн бұрын
Jamaa sauti yake ndio iko hivo siku zote
@happyalbert508926 күн бұрын
Du!
@agriparose394222 күн бұрын
Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment
@user-bo2yf5hw7s21 күн бұрын
Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo
@faridamapogolo28928 күн бұрын
Hata ukihitaji dawa kwake pia majibu yake mmh
@GloryRichard-ly7kz20 сағат бұрын
Ndo wakuwaga hvyo dawa zinawavuruga akili wanakuwa na visiran side effects za dawa
@MwanjiNzala-mo5ni21 күн бұрын
Yaan kaka kaumia.huyu😢😢
@athanasmasmami538925 күн бұрын
Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂
@verobecamfipa865525 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nanaleetz24 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum366720 күн бұрын
Il watu mna nini?😂😂😂
@user-hm1nt4mj4n27 күн бұрын
Kiki tu
@rukiaiddyyahaya950627 күн бұрын
Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali
@estherminnahboaz695627 күн бұрын
Bizari tena😂😂😂 yeye kasema alipenda kwahiyo hajali km atapewa ngoma na mtoto mzurii😅😅😅😅😅
@YvonnegipsonGipson27 күн бұрын
😆😆😆😆kuna watu mnavitu humu
@rukiaiddyyahaya950627 күн бұрын
@@estherminnahboaz6956 mmmh sasa hao wameachana
@zawadgunza209326 күн бұрын
😅😅😅
@verobecamfipa865525 күн бұрын
Kimeshamlamba uyu akaaanze dozi tu uso tu unaonekana
@mariagrayson541414 күн бұрын
Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde
@thebroski976310 күн бұрын
Pole mpendwa 🙏
@kennedymaster200025 күн бұрын
Itakuwa amepewa ngom
@KudratMkangama23 күн бұрын
Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹
@Amina-ig3jw19 күн бұрын
😅😅😅
@alexmavindi21043 күн бұрын
@@Amina-ig3jwkumekucha kumekucha 😂😂😂
@MsNajma-j7e17 сағат бұрын
Masikin urijitoa kuwa nae japo yupo na virusi vake ukajitoa muanga reo hanakuja kukufanyia iv
@aminamaulid737125 күн бұрын
Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???
@alexmavindi21043 күн бұрын
Kumekucha 😂😂😂
@user-is7ot7bq9x25 күн бұрын
Duh mtihani
@rubbymusa197110 күн бұрын
Mmh mtu kakupenda na hali hiyo na umemuacha😂😂😂
@lydiajuma0125 күн бұрын
Mapenz usenge
@user-uv3hy1yj3j21 күн бұрын
Mapenzi matamu bana
@jescamagembe8863Күн бұрын
Busara ni kuwasikiliza wote ukisiliza upande mmoja unaweza hisi unaonewa au la
@annakbunga837726 күн бұрын
Kwani ungekaa kimya ingekuwaje
@NeemaSamson-ti8pc25 күн бұрын
Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya
@hajistshariast633525 күн бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@hajistshariast633525 күн бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@felistersanga790317 күн бұрын
Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana
@VeronicaSteven-of1qe21 күн бұрын
Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂
@alexmavindi21043 күн бұрын
Kumekucha 😂😂😂
@Unju-q4e15 күн бұрын
blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality
@zuwenahassan362427 күн бұрын
Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke
@rehemamoyo418227 күн бұрын
Amechit Cherry
@Humanity2121625 күн бұрын
We umemuona akicheat?
@SaimonKazimoto-xt1zo27 күн бұрын
Dem akiwa mgonjwa anasumbua Anenda mbio sana
@JescaEzekieli-vd9ly26 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-ur7pw9ek6s25 күн бұрын
😂😂😂
@azizauheche594418 күн бұрын
😂😂
@lilianestephanie788122 күн бұрын
Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa
@allyahahmed109124 күн бұрын
This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%
@leadflavour_tz20 күн бұрын
😅😂😂
@user-sb7lz9xp4v19 күн бұрын
Kabisaaaa
@user-iy7xy1np7c16 күн бұрын
Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako
@allyahahmed109116 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c acha umalaya period
@allyahahmed109116 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo
@Chakol123-k7s27 күн бұрын
Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali
@Khadija-ne8ul27 күн бұрын
Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi
@doymatata470225 күн бұрын
Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO
@Chakol123-k7s23 күн бұрын
@@Khadija-ne8ul wow Asante Kwa kujua
@Chakol123-k7s23 күн бұрын
@@doymatata4702 wow Asante Kwa kujua
@ruqaiamohammed34527 күн бұрын
😳😳🙆🏾♂️🙆🏾♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶♀️🚶♀️🚶♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂
@Official8364027 күн бұрын
Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂
@ruqaiamohammed34526 күн бұрын
@@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara
@darlenesalum366720 күн бұрын
@@Official83640mmmh
@cathyjb433913 күн бұрын
Hamna huyu kaka anapitia maumivu anaonekana. Ona alivyokonda hata anavuocheka sio cheko la kawaida ni la maumivu.
@user-yn3kg8ip2h17 күн бұрын
Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo
@gracebuhatwa635916 күн бұрын
Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni
Sasa kwani hapo kasema kaathirika uwe unasikiliza kwa makini
@mwashamleo999618 күн бұрын
Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine
@lilianestephanie788122 күн бұрын
Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko
@onekisstv841221 күн бұрын
Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au
@petetyohana17 күн бұрын
Jicho lilifumba kwa muda
@rehemamoyo418227 күн бұрын
Wakwanza
@VeronicaRugoyi23 күн бұрын
Kimekuramba😂
@JeniferMassawe-lu3de27 күн бұрын
Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara
@mwashamleo999618 күн бұрын
Hata siamin nyie😢
@greenermichael205716 күн бұрын
Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia
@esthermalamsha284715 күн бұрын
Ni shida
@LubnaGeorge-re4yp23 күн бұрын
Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk
@cathyjb433913 күн бұрын
Hapana alimpenda, we unaweza ku-risk maisha yako yaani posibility ya kupata ugonjwa kwa sababu ya kiki? Hata namna anam-cover up hafunguki kwa ubaya juu ya huyo dada, namna amepungua unaona he was in Love. Japo inafikaga kipindi mapenzi yanaishaga na maisha lazima yaendelee.
@juditholotu724917 күн бұрын
Mungu atakupa mke mwingine
@ramadhanhassan930825 күн бұрын
Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili
@fatihiyadossa37525 күн бұрын
We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu
@verobecamfipa865525 күн бұрын
Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭