Hongera sana shehe kwa kuwajuza raia juu ya nchi inavyo liwa na CCM
@user-yc7xp4fn7x25 күн бұрын
Nimekukubali sana 2
@paulsenyael715425 күн бұрын
At least hata robo ya wananchi wangekuwa hivi nchi yetu ingekuwa mbali sana.
@DiwaniMwafongo25 күн бұрын
Huyu ni sheikh kweli. Naweza hata kumsindikiza msikitini nikaswali nae!! Anajitambua
@yassinhamza196921 күн бұрын
Point sana
@donaldmaziku791525 күн бұрын
Good presentation of facts
@neemanziku540322 күн бұрын
Safi sana shehe Mungu akulinde
@allymohamed272417 күн бұрын
HAKUNA SHEIKH HAPO. ALLAH NDIYE ANAYETURUZUKU. KILA JAMBO.
@JacksonFrances25 күн бұрын
Washa Moto Shekhe Hawa CCM Wametufikisha Pabaya Mpaka Tuwaondoe Tumechoka Kuongozwa Kienyeji "
@MathewNathan-yb2bz25 күн бұрын
Huyu sheikh anaongea points sana yaani unashawishika.Mungu ambariki sana.
@camilomassao897124 күн бұрын
Safi sana Shekhe, umesema kweli kabisa
@prospermalala663625 күн бұрын
MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya vichwani mwa watanganyika waliopo mbele yako imeelewa, Mungu yupo pamoja nawe
@user-xs3ko8pg2g25 күн бұрын
Shekhe unafaa kuwa katibu mwenezi
@kichenjekichenje207225 күн бұрын
Nondo za maana sn mkuu,umeeleweka
@hamzamajenja489125 күн бұрын
Noma Sanaa
@ulimbagakipole397125 күн бұрын
Kadogoo heshima kwako wakati mwingine wakupangie mkutano wako.
@user-uz9mw1ie6z17 күн бұрын
Love kwa CHADEMA ❤❤❤❤👏👏👏👏👏🔥🔥🔥❤️❤️❤️👏🏾👏🏾👏🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾
@allyhasani375025 күн бұрын
Unajua shekh unajua, wenzako Wana wivu unaeleweka
@fidelfidel-jz4iw22 күн бұрын
Kweli kabisa sisi tunaweza kujenga nyumba kila sehemu nyumba nzuri makazi safi hii yote maono madogo wao viongozi ni madalali tu nyumba kibogo hazina ghalama hata kidogo uongo kikubwa ni mipango
@abdallaahabdallaahibrahim671924 күн бұрын
Kadoo anafaa kuwa mwenezi wa chama mwenyekiti muangalie huyoo
@neemanziku540322 күн бұрын
Vitu vimepanda bei sukar chai hatunywi
@salama111323 күн бұрын
Jitafutie majibu kwa mungu achana na mashekhe chumia matumbo wataenda kujibu kwakutokemea maovu 😂😂😂
@kaaakwakutuliaa517925 күн бұрын
chadema mkipata watu kama hawa 5 ccm inaangukaa ,lisuu na mbowe wanatakiwa wapunguze maneno nwapewee hawaa
@ezekielmatondane71423 күн бұрын
Mashehe ote wagekua kama ww tugekua mbali
@Kakamkubwa356421 күн бұрын
Dah ila ukifikiria kiukweli hakuna usawa hata kidogo kwamba mwingine analipwa m1.8 Kwa mwezi laki5 Kwa Kila kikao Walimu na mwingine laki 3k CCM hawana huruma kabisa
@giftkalenge41824 күн бұрын
Chadema huyu jamaa ni Hazina azunguke nchi nzima
@cassimoa921722 күн бұрын
Huyo Kawa Shehena, hakuna Sheikh atakayetetea watu wanaoshabikia ushoga
@muhsinikoki406019 күн бұрын
acha usenge
@hakiyangu25 күн бұрын
Kama cdm ni ya wachaga basi hata ccm ni ya pwani, maana viongozi wakuu wenye sauti ni wa ukanda wa pwani
@abdalahgunda131925 күн бұрын
Kadogo mbona humakizii gari la miloni miatani la kifahari inambeba mtu wa kilo 80 or 90 105 wengine km kina acson tulia ndio kilo 70 labda Bora hiyo pesa wangenunua miradi ya ccm lngewasadia wana ccm wenzao waliochoka mbaya
@IsayaSosolo-nx8zk24 күн бұрын
Maharage ya Mbeya mapema yameiva!
@RajabuLanda25 күн бұрын
Siyasa ya cdm tunaiyerewa xan xhida jexhi rimekuwa rakujipendekeza
@user-io6yj9fs2h25 күн бұрын
Kiongozi yoyote unae muona anaisifia ccm ujue anakula keki ya taifa tofauti nahivyo yoyote masikini wa nchi anaeishabikia ccm ujue ni tahila maana akipeleka ndugu yake hospital ya serikali hakuna dawa shule za masikini nchi hii wanafunzi eluf moja mia 2 matundu yavyoo kumi dalasa moja watoto mia 40 alafu mtu mwenye maisha magumu kabisa anakwambia ccm oyee nchi hii watu wanalaana vichwani mwao