Chuki binafsi zina wasumbua sana ccm. Heche jimbo wamesha kupa.hilo asubuhi mapema.
@MATHAYOPETROGARYA3 күн бұрын
Naona huyu jamaa kaamua kumwombea John heche kura asubuhi sana sasa wewe jichanganye kumtoa waitara uone kama ccm tarime huko hautakufa!!!
@infodigtechforcommunityemp41033 күн бұрын
Haaaaaahaaaaaaaa
@infodigtechforcommunityemp41033 күн бұрын
Safi sana
@lameckrange-ol6uz3 күн бұрын
Hayo yapeleke kwenye chama kwani hamna vikao Hiyo haijakaa vzr..
@manfredkibona31263 сағат бұрын
Hizo sasa ni fitina ambazo CCM inasema mwiko umejichanganya bro😅
@margarethpolepole74382 күн бұрын
Mungu wangu Waitara kimemsibu nini
@mahengedaktari-ek8go2 күн бұрын
Asante mwamba
@josephmahando4932 күн бұрын
CSR, Itamtafuna sana ni haki ya waliyo karibu na mwekezaji, aendeee,, na CSR ITARUDI TU NI HAKI YETU SISI TUNAO UMIA NA SHUGHURI ZA UENDESHAJI WA MGODI WA.
@joycethomas79182 күн бұрын
Sasa kwanini usipeleke kwenye viongozi wa kanda ya juu. Hilo kosa kusemea kwenye mitandao, hiyo inaonekana vitina zenu wenyewe
@emilianchibinda823 сағат бұрын
Huyu si kada wa CCM wala mwanaccm.CCM wana sehemu zao maalumu za kuzungumzia mambo yao sio kwenye mitandao! Zaidi ya hapo CCM wana sare zao zinazowatambulisha, ambazo ni rangi ya kijani, makada wanaoisoma katiba ya CCM wanafahamu. Kipindi hiki kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mengi yatasemwa yakilenga kuchafuana.
@georgedaudisabuni53393 күн бұрын
Kukataa wazee wa mila hapo ndipo unabugi viongozi wa dini wanaumhim wao na wazee wa mila wanaumhim wao usiangalie imani yako
@HappyCalicoCat-zq8mo2 күн бұрын
Wewe unataka jambo acha kumsumbua mheshimiwa
@sospeterodhiambo68693 күн бұрын
waitara hakubaliki huku tarime Ss tunangoja kipyenga kilie tuanze naye
@SeverinepauloPeter2 күн бұрын
Jimbo la heche.
@KanyawelaКүн бұрын
Nileteee uyu imeanza kutugeuka
@yohanamsongole64892 күн бұрын
Huyu kijana hafai
@barakanyanchama429715 сағат бұрын
Waitara 2025 hana chochote tarime
@richardbegga6679Күн бұрын
😂😂😂😂 MaCCM yamevurugana Hatari
@kirariwilanya185020 сағат бұрын
Waitara ni Mbunge wa Magu & Ccm.huyo hajawai kushinda Tarime watu tunajua hata Waitara na watu wake wanajua kwamba "Heche ndie Mbunge wa Tarme vijijini ni swala la mda tu"
@AMANIMSORE11 сағат бұрын
tarime kwanza watu baadaya mkuu
@usembiphonedar56322 күн бұрын
Tarime mjini na vijijini hiyo ni chadema ninyi majoka ya kijani mlipata hayo majimbo kwa bahati na michongo tu! 2024/2025 tunataka majimbo hayo yarudi Chadema. Bob Wangwe na John Heche wanatosha sana! Wana Tarime ikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi ccm.
@MashakaMatuku3 күн бұрын
Na bado mmeanza kusinichiana wenyewe,, waachieni wenye Jimbo lao
@MweraRiro2 күн бұрын
Fuatilia katika tiktok ya wiki moja iliyopita,,,,,nilisema tangu 2005 hakuna mbuge alie wahi kurudi mara mbili au awamu ya pili bungeni kufikia 2025 itakuwa miaka 20 sijui kama kaka yangu atavunja record
@samoskiyalo60952 күн бұрын
Njia muliyo ipita je mutabadikisha? Hongera kutambua wema huzaa wema tenda utaweza
@user-ig7tb1cf8z3 күн бұрын
Wenzako bungeni mpina aliyesema kweli katimuliwa.
@WazaeliStefano2 күн бұрын
Aheri huyo waitara kuliko huyo mliyemkaribisha juzi atawavuruga kwelikweli
@HadaikaNgabona2 күн бұрын
Wewe ni mjinga kabisa. Mambo hayo ni ya vikao.
@michaelmwikalo971Күн бұрын
Si mlimuona lulu 😂 kisa muibomoe Chadema wenyewe kwa wenyewe sasa mnanyukana kwisha habari yenu na msubiri ya Msigwa sasa😂
@MayalakusekwaNkwabi2 күн бұрын
Wewe na Waitara ni CCM ni WAONGO
@HadaikaNgabona2 күн бұрын
Huyu si mwana ccm.
@yohanamsongole64892 күн бұрын
Huyu hana jipya nimusaka tonge
@joachimkalungwana86542 күн бұрын
Hiyo tabia ya Waitara ndio aliyonayo huyo mwingine uliyemkaribisha hana sifa za uongozi kwa Sasa akiona Kuna mtu anaongelea nafasi yake ndie anakuwa adui yake
@zebedayokatamaduni96762 күн бұрын
Waitara tupeni nje. Weka Heche hapo
@user-fw6xu8gn2q21 сағат бұрын
Broo upigaji ndani ya ccm ni haki yao kwani ripoti ya cag inajileza vzuri tu nani kachukuliwa hatua mama amesema kila mtu alee kwa urefu wa kamba yake hujasikia? Acha watu wale mema ya inchi
@helencyprian87453 күн бұрын
Kumbe hata nyie wenyewe mnatoana uhai😢😢😢😢
@helencyprian87453 күн бұрын
Mbona uwizi ni asili yenu unashangaa nn? Wakiwaambia nyingi ni wapigaji mnawaona wabaya, sasa mnasema wenyewe. Ni muda tu
@BoscorPatrick2 күн бұрын
kijana mwenzangu achana na siasa.unusuru uhai wako .ccm hawapend mkweli watakupina au kukustava/ kukutundulis.kukuben sanane n.k
@user-mx8om2iv1d2 күн бұрын
waitara ni taira kama kichwa chake
@majaliwabwitonde69003 күн бұрын
Kama hutoi huduma yeyote akiwekwa anapigwa tu
@VenanceMbanga2 күн бұрын
Acha wafu wazikane wanyewe
@nestor3843 күн бұрын
Wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine
@sainatv2688Күн бұрын
Sasa kimeumana ila chunga ulimi utafichwa msa c mrefu tata maana chama chenu kwa kuficha hahahaha
@ryobajohn71772 күн бұрын
HUYO HAFAI
@kibwetere14183 күн бұрын
Kumekucha!!
@henrymwamakulaКүн бұрын
Kiongozi umetukosea wanaccm kamati ya maadili na kamati ya siasa ya wilaya ipo mbona umkurupuka kwenda kuongea kwenye media
@George-jz3jgКүн бұрын
Unafiki tu wa kisiasa mbona 2020 mlikula hela zake na mkamnadi mpaka akapita ubunge we kijana lazima umekisa vijicent vya waitara
@fwc55528 сағат бұрын
Alipita kwa kupigiwa kura na nani
@PhilipoMwita-wc1ku3 күн бұрын
Binafsi hua naona waitara ni mwanasiasa mwenye hoja...lkn. Amekua kigeugeu sana KATIKA kuwatetea wananchi bungeni Kuna muda unaona huyu mwamba anatuteetea lkn kwa muda mwingine unaona anajipendekeza na kulamba miguu ya Samia.. Halafu Sasa amekua haonekani kwenye majimbo
@MATHAYOPETROGARYA3 күн бұрын
Ndo siasa inataka hivyo
@ChristerKoku2 күн бұрын
Nyie watu wa Tarime CCM,msijaribu kumuengua Waitara,na Mbunge makini ni Mbunge anajua kuzitetea hoja za mama Samia,lakini zaidi anajua kulia bungeni tafadhali kaa naye.Hoja zako peleka kwenye vikao vyenu.
@MonicaBeni2 күн бұрын
Sasa unamlalamikia nani? Wakati ccm woote ndio tabiya yenu. Kwani yule mama yenu marangapi anang'oa watu anaohisi wanampinga? Hiyo ni tabiya ya mzaziwenu mkuu kwaiyo waitara karithi kutoka kwa yuleee mama yake
Wewe ni musaka tonge huna lolote la maana la kusaidia chama,kwa kashifa hii unayotoa ikiwezekana naomba chama kikufukuze uanachama hufai kuitwa mwana CCM.
@leonceuwandameno63782 күн бұрын
mkimfukuza ndo mtashinda uchaguzi? mlipewa ubunge kama ubani na mwenda zake --- sasa mtaisoma namba kama kauli ya chama chenu inavyosema.
@fredysiwale54132 күн бұрын
Kumbe wewe ni mpuuzi tu unaongelea mambo ya uchaguzi leo mbona bado acha mbunge afanye kazi aliyo tumwa na wananchi
@emmanuelcharles56132 күн бұрын
Jomba uko vizuri waitara mbwembwe nyingi tiripu hii ataenda gombea msata
@hemedimbilikila9768Күн бұрын
Hahahah msata Tena duh
@user-ze1zz5zy9o2 күн бұрын
huyu kiukweli nimjinga kabisa anamsemaje mbunge ktk ujasiri huo simama imara
@clemencemkondya85613 күн бұрын
Hayo simyasene kwenye vikao comrede ..wewe nimwanaccm ??;!Au umetumwa na chadema wewe nimjinga tu
@nicholausmramu2 күн бұрын
Leo umepatikana unapenda kufutilia chadema kumbe kwenu moto unawaka mkonawahuni tunawambia hamtaki sikia hiyo aibu aibu
@zebedayokatamaduni96762 күн бұрын
Chadema safi
@IsayaSosolo-nx8zk3 күн бұрын
Bila mwrnda zake hilo jimbo mnajuwa ni la CHADEMA huyo Waitara kawrkwa kama malaya wa magoti!
@infodigtechforcommunityemp41033 күн бұрын
Haaaaaahaaaaaaaa
@MashakaMatuku3 күн бұрын
Mmeanza kusinichiana wenyewe na bado waachieni wenye Jimbo lao
@MashakaMatuku3 күн бұрын
Hongera kwa kuwambia wasisiemu wenzako kwamba Jimbo siyo lenu lakin pia inaonekana wewe ni mwanachadema uliyejificha ccm ili ufanye mambo yako yaende kua tu wazi jisalimishe uwe salama tatzo mkisema ukweli mnafukuzana na wewe jiandae ila karbu chadema
@nicholausmramu2 күн бұрын
Kijana ww ni mwelewa sana una akili sana nakupongeza
@MawazoMofuКүн бұрын
Heche katapila limesafisha njia, watumikie jamii !!