CCM YAPEWA ANGALIZO KUPOTEZA JIMBO LA TARIME DC 2025 IKIMSIMAMISHA WAITARA -KADA CCM ZAKAYO WANGWE

  Рет қаралды 10,892

JAMBO TV

JAMBO TV

5 күн бұрын

Habari na Mwandishi wetu @Fredrizzo Samson
#ccm #jambotv #trending #yanga #makonda #simba

Пікірлер: 78
@kingmseti9205
@kingmseti9205 2 күн бұрын
Ilibhancha na Ubhoro 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Tarime Vijijini Tunaenda na John Heche Tarime Mjini Tunaenda na Bob Wange Kama tupo Pamoja gonga like waone
@DandasiKundi
@DandasiKundi Күн бұрын
Wanafaa Kwa asilimia 100
@josephmahando493
@josephmahando493 2 күн бұрын
Kamanda umeongea point sana uko vizuri. Viva kijana vivaaa
@charlesnyanhanga4382
@charlesnyanhanga4382 3 күн бұрын
Viva heche njia za MUNGU siyo za mwanadamu hapo sawa
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 Күн бұрын
Mmmh Ngoja tuone Mwishowe mtukuja kusema Samia hafai🤣🤣🥹🤣🧐
@YoyoChacha-gl5ui
@YoyoChacha-gl5ui 2 күн бұрын
Wew wetar hahuwezi kusida tarime
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 3 күн бұрын
Safi Kabisa CCM sema kweli daima
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 3 күн бұрын
Bora kama mmegundua
@clemenceparokola
@clemenceparokola 10 сағат бұрын
Heche njia nyeupeeeeee
@user-id6xo9td6k
@user-id6xo9td6k 2 күн бұрын
Chuki binafsi zina wasumbua sana ccm. Heche jimbo wamesha kupa.hilo asubuhi mapema.
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 3 күн бұрын
Naona huyu jamaa kaamua kumwombea John heche kura asubuhi sana sasa wewe jichanganye kumtoa waitara uone kama ccm tarime huko hautakufa!!!
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 3 күн бұрын
Haaaaaahaaaaaaaa
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 3 күн бұрын
Safi sana
@lameckrange-ol6uz
@lameckrange-ol6uz 3 күн бұрын
Hayo yapeleke kwenye chama kwani hamna vikao Hiyo haijakaa vzr..
@manfredkibona3126
@manfredkibona3126 3 сағат бұрын
Hizo sasa ni fitina ambazo CCM inasema mwiko umejichanganya bro😅
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 күн бұрын
Mungu wangu Waitara kimemsibu nini
@mahengedaktari-ek8go
@mahengedaktari-ek8go 2 күн бұрын
Asante mwamba
@josephmahando493
@josephmahando493 2 күн бұрын
CSR, Itamtafuna sana ni haki ya waliyo karibu na mwekezaji, aendeee,, na CSR ITARUDI TU NI HAKI YETU SISI TUNAO UMIA NA SHUGHURI ZA UENDESHAJI WA MGODI WA.
@joycethomas7918
@joycethomas7918 2 күн бұрын
Sasa kwanini usipeleke kwenye viongozi wa kanda ya juu. Hilo kosa kusemea kwenye mitandao, hiyo inaonekana vitina zenu wenyewe
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 3 сағат бұрын
Huyu si kada wa CCM wala mwanaccm.CCM wana sehemu zao maalumu za kuzungumzia mambo yao sio kwenye mitandao! Zaidi ya hapo CCM wana sare zao zinazowatambulisha, ambazo ni rangi ya kijani, makada wanaoisoma katiba ya CCM wanafahamu. Kipindi hiki kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mengi yatasemwa yakilenga kuchafuana.
@georgedaudisabuni5339
@georgedaudisabuni5339 3 күн бұрын
Kukataa wazee wa mila hapo ndipo unabugi viongozi wa dini wanaumhim wao na wazee wa mila wanaumhim wao usiangalie imani yako
@HappyCalicoCat-zq8mo
@HappyCalicoCat-zq8mo 2 күн бұрын
Wewe unataka jambo acha kumsumbua mheshimiwa
@sospeterodhiambo6869
@sospeterodhiambo6869 3 күн бұрын
waitara hakubaliki huku tarime Ss tunangoja kipyenga kilie tuanze naye
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter 2 күн бұрын
Jimbo la heche.
@Kanyawela
@Kanyawela Күн бұрын
Nileteee uyu imeanza kutugeuka
@yohanamsongole6489
@yohanamsongole6489 2 күн бұрын
Huyu kijana hafai
@barakanyanchama4297
@barakanyanchama4297 15 сағат бұрын
Waitara 2025 hana chochote tarime
@richardbegga6679
@richardbegga6679 Күн бұрын
😂😂😂😂 MaCCM yamevurugana Hatari
@kirariwilanya1850
@kirariwilanya1850 20 сағат бұрын
Waitara ni Mbunge wa Magu & Ccm.huyo hajawai kushinda Tarime watu tunajua hata Waitara na watu wake wanajua kwamba "Heche ndie Mbunge wa Tarme vijijini ni swala la mda tu"
@AMANIMSORE
@AMANIMSORE 11 сағат бұрын
tarime kwanza watu baadaya mkuu
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 2 күн бұрын
Tarime mjini na vijijini hiyo ni chadema ninyi majoka ya kijani mlipata hayo majimbo kwa bahati na michongo tu! 2024/2025 tunataka majimbo hayo yarudi Chadema. Bob Wangwe na John Heche wanatosha sana! Wana Tarime ikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi ccm.
@MashakaMatuku
@MashakaMatuku 3 күн бұрын
Na bado mmeanza kusinichiana wenyewe,, waachieni wenye Jimbo lao
@MweraRiro
@MweraRiro 2 күн бұрын
Fuatilia katika tiktok ya wiki moja iliyopita,,,,,nilisema tangu 2005 hakuna mbuge alie wahi kurudi mara mbili au awamu ya pili bungeni kufikia 2025 itakuwa miaka 20 sijui kama kaka yangu atavunja record
@samoskiyalo6095
@samoskiyalo6095 2 күн бұрын
Njia muliyo ipita je mutabadikisha? Hongera kutambua wema huzaa wema tenda utaweza
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 3 күн бұрын
Wenzako bungeni mpina aliyesema kweli katimuliwa.
@WazaeliStefano
@WazaeliStefano 2 күн бұрын
Aheri huyo waitara kuliko huyo mliyemkaribisha juzi atawavuruga kwelikweli
@HadaikaNgabona
@HadaikaNgabona 2 күн бұрын
Wewe ni mjinga kabisa. Mambo hayo ni ya vikao.
@michaelmwikalo971
@michaelmwikalo971 Күн бұрын
Si mlimuona lulu 😂 kisa muibomoe Chadema wenyewe kwa wenyewe sasa mnanyukana kwisha habari yenu na msubiri ya Msigwa sasa😂
@MayalakusekwaNkwabi
@MayalakusekwaNkwabi 2 күн бұрын
Wewe na Waitara ni CCM ni WAONGO
@HadaikaNgabona
@HadaikaNgabona 2 күн бұрын
Huyu si mwana ccm.
@yohanamsongole6489
@yohanamsongole6489 2 күн бұрын
Huyu hana jipya nimusaka tonge
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 2 күн бұрын
Hiyo tabia ya Waitara ndio aliyonayo huyo mwingine uliyemkaribisha hana sifa za uongozi kwa Sasa akiona Kuna mtu anaongelea nafasi yake ndie anakuwa adui yake
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 2 күн бұрын
Waitara tupeni nje. Weka Heche hapo
@user-fw6xu8gn2q
@user-fw6xu8gn2q 21 сағат бұрын
Broo upigaji ndani ya ccm ni haki yao kwani ripoti ya cag inajileza vzuri tu nani kachukuliwa hatua mama amesema kila mtu alee kwa urefu wa kamba yake hujasikia? Acha watu wale mema ya inchi
@helencyprian8745
@helencyprian8745 3 күн бұрын
Kumbe hata nyie wenyewe mnatoana uhai😢😢😢😢
@helencyprian8745
@helencyprian8745 3 күн бұрын
Mbona uwizi ni asili yenu unashangaa nn? Wakiwaambia nyingi ni wapigaji mnawaona wabaya, sasa mnasema wenyewe. Ni muda tu
@BoscorPatrick
@BoscorPatrick 2 күн бұрын
kijana mwenzangu achana na siasa.unusuru uhai wako .ccm hawapend mkweli watakupina au kukustava/ kukutundulis.kukuben sanane n.k
@user-mx8om2iv1d
@user-mx8om2iv1d 2 күн бұрын
waitara ni taira kama kichwa chake
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 3 күн бұрын
Kama hutoi huduma yeyote akiwekwa anapigwa tu
@VenanceMbanga
@VenanceMbanga 2 күн бұрын
Acha wafu wazikane wanyewe
@nestor384
@nestor384 3 күн бұрын
Wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine
@sainatv2688
@sainatv2688 Күн бұрын
Sasa kimeumana ila chunga ulimi utafichwa msa c mrefu tata maana chama chenu kwa kuficha hahahaha
@ryobajohn7177
@ryobajohn7177 2 күн бұрын
HUYO HAFAI
@kibwetere1418
@kibwetere1418 3 күн бұрын
Kumekucha!!
@henrymwamakula
@henrymwamakula Күн бұрын
Kiongozi umetukosea wanaccm kamati ya maadili na kamati ya siasa ya wilaya ipo mbona umkurupuka kwenda kuongea kwenye media
@George-jz3jg
@George-jz3jg Күн бұрын
Unafiki tu wa kisiasa mbona 2020 mlikula hela zake na mkamnadi mpaka akapita ubunge we kijana lazima umekisa vijicent vya waitara
@fwc5552
@fwc5552 8 сағат бұрын
Alipita kwa kupigiwa kura na nani
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 3 күн бұрын
Binafsi hua naona waitara ni mwanasiasa mwenye hoja...lkn. Amekua kigeugeu sana KATIKA kuwatetea wananchi bungeni Kuna muda unaona huyu mwamba anatuteetea lkn kwa muda mwingine unaona anajipendekeza na kulamba miguu ya Samia.. Halafu Sasa amekua haonekani kwenye majimbo
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 3 күн бұрын
Ndo siasa inataka hivyo
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 күн бұрын
Nyie watu wa Tarime CCM,msijaribu kumuengua Waitara,na Mbunge makini ni Mbunge anajua kuzitetea hoja za mama Samia,lakini zaidi anajua kulia bungeni tafadhali kaa naye.Hoja zako peleka kwenye vikao vyenu.
@MonicaBeni
@MonicaBeni 2 күн бұрын
Sasa unamlalamikia nani? Wakati ccm woote ndio tabiya yenu. Kwani yule mama yenu marangapi anang'oa watu anaohisi wanampinga? Hiyo ni tabiya ya mzaziwenu mkuu kwaiyo waitara karithi kutoka kwa yuleee mama yake
@mustafaalli4698
@mustafaalli4698 2 күн бұрын
Mshikemshike Tarime....😂
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 2 күн бұрын
Acha ujinga wewe nani akuamini wewe mchumia njaa tuache kumuamini mh mbunge mwakilishi wetu.
@SungwaFrancis-sx1ls
@SungwaFrancis-sx1ls 3 күн бұрын
Wewe ni musaka tonge huna lolote la maana la kusaidia chama,kwa kashifa hii unayotoa ikiwezekana naomba chama kikufukuze uanachama hufai kuitwa mwana CCM.
@leonceuwandameno6378
@leonceuwandameno6378 2 күн бұрын
mkimfukuza ndo mtashinda uchaguzi? mlipewa ubunge kama ubani na mwenda zake --- sasa mtaisoma namba kama kauli ya chama chenu inavyosema.
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 2 күн бұрын
Kumbe wewe ni mpuuzi tu unaongelea mambo ya uchaguzi leo mbona bado acha mbunge afanye kazi aliyo tumwa na wananchi
@emmanuelcharles5613
@emmanuelcharles5613 2 күн бұрын
Jomba uko vizuri waitara mbwembwe nyingi tiripu hii ataenda gombea msata
@hemedimbilikila9768
@hemedimbilikila9768 Күн бұрын
Hahahah msata Tena duh
@user-ze1zz5zy9o
@user-ze1zz5zy9o 2 күн бұрын
huyu kiukweli nimjinga kabisa anamsemaje mbunge ktk ujasiri huo simama imara
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 3 күн бұрын
Hayo simyasene kwenye vikao comrede ..wewe nimwanaccm ??;!Au umetumwa na chadema wewe nimjinga tu
@nicholausmramu
@nicholausmramu 2 күн бұрын
Leo umepatikana unapenda kufutilia chadema kumbe kwenu moto unawaka mkonawahuni tunawambia hamtaki sikia hiyo aibu aibu
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 2 күн бұрын
Chadema safi
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 3 күн бұрын
Bila mwrnda zake hilo jimbo mnajuwa ni la CHADEMA huyo Waitara kawrkwa kama malaya wa magoti!
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 3 күн бұрын
Haaaaaahaaaaaaaa
@MashakaMatuku
@MashakaMatuku 3 күн бұрын
Mmeanza kusinichiana wenyewe na bado waachieni wenye Jimbo lao
@MashakaMatuku
@MashakaMatuku 3 күн бұрын
Hongera kwa kuwambia wasisiemu wenzako kwamba Jimbo siyo lenu lakin pia inaonekana wewe ni mwanachadema uliyejificha ccm ili ufanye mambo yako yaende kua tu wazi jisalimishe uwe salama tatzo mkisema ukweli mnafukuzana na wewe jiandae ila karbu chadema
@nicholausmramu
@nicholausmramu 2 күн бұрын
Kijana ww ni mwelewa sana una akili sana nakupongeza
@MawazoMofu
@MawazoMofu Күн бұрын
Heche katapila limesafisha njia, watumikie jamii !!
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 23 МЛН
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 20 МЛН
KIMEUMANA: MBUNGE WAITARA NA HECHE USO KWA USO MSIBANI NYAMONGO
7:33
Nyamwaga Online TV
Рет қаралды 37 М.
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 23 МЛН