Kwanini Watumishi wengi sana hawatimizi wajibu wao..kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!!
@hashimmawazo55032 күн бұрын
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@emilianchibinda82Күн бұрын
Wizara ya Maji acheni masiala jamani!! Eti hadi aje Waziri! Wengine mpo wapi? Aibu!! Serikali ajirini watu wengine!! Mambo haya hayana afya kwa Watamzania.
@philemonmagesa55482 күн бұрын
Mweshimiwa Aweso ww chukua mfumo wa makonda kusikiliza kero nakufatilia utendaji utakusaidia kisiasa na kujenga imani kubwa kwa wananchi
@user-tu9ps9kr2oКүн бұрын
Mhe waziri kwanza hongera.kwa msukumo wako wa nguvu hizo watabadirika Sasa watumishi .mhe makinda umetoa fundisho kwa wateule wa Mhe Raisi
@user-oy2gp3nq4jКүн бұрын
Wanauza Maji wanamagari yao waziri wanakudanganya Hata huku makabe
Huyo ameshindwa kutumia cheo chake kwa hiyo anaenda kushushwa kwa lugha nyingine
@mahijayusuph81862 күн бұрын
Tenganisheni siasa na kazi
@mahijayusuph81862 күн бұрын
Nyie mnaoshangilia hamjitambui
@nurdinmfamau34932 күн бұрын
@@mahijayusuph8186inawezekana Wakawa Hawajitambui Lakini Katikati Kuna Uzembe Na Dhuruma Kubwa Inayowapa Au Kutupa Chuki.
@husseinamassanza50Күн бұрын
Kero za wananchi zinasababishwa na nyie nyie serekali msione watu wapo kimya ipo siku haina jina.
@nelsongodfrey9952Күн бұрын
Msumi hatuna maji, lakini mbopo wana maji. 3km difference but dawasa wapo
@user-nm2jq7xo5f2 күн бұрын
Tusilee uzembe mheshimiwa waziri wengine wajifunze
@stevensteve75192 күн бұрын
Watumishi wa serikali ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi kutokana na kutofanya kazi kwa ufanisi na kutotambua kuwa wao waajiri wao niwananchi. Hili hawalijui kabisaa, wanadhani kuwa wao wako juu ya wananchi.
@godfreylyimo4177Күн бұрын
Elizabeth ni mtendaji mzuri!!
@LovelyOmbreSky-pu4jtКүн бұрын
Naona sasa kakayangu umeamka sasa ila ujachelewa nilijuwa kasiyako imeisha ilanakujuwa Utendajiwako sinamashaka nawewe
@MOHAMEDSALEH-fl7kb2 күн бұрын
Mama Huyo. Tanzania ya Maendeleo Tunaitaka
@Bifa_2024Күн бұрын
Wananchi wachonganishi ipo siku mwanao dadako Ndio atakuwa huyo Eliza alafu wamama wana midomo adui wa mwanamke ni mwanamke
Uweso njoo masasi mtwara hufiki kabisa Kuna madudu sana
@gililwise2 күн бұрын
Mh njoo Morogoro Morowasa utalia maji tunapata mara moja kwa wiki kwa mwezi mara 4 bili inakuja 40,000/= Bhopal kata us bigwa
@user-oy2gp3nq4jКүн бұрын
Wanajifanya Miungu watu watumishi hawa sana ata ukipiga awapokei
@user-oy2gp3nq4jКүн бұрын
TUNAKUOMBA SASA MTUPUNGUZIE MALIPO YA KUWEKA MAJI MAJI YANAPITA MLANGONI UKIULIZA KUWEKA MAJI SH 270,000/=
@user-ow7pl6tz2c2 күн бұрын
Mh waziri dawasa nitatizo niwazembe sana
@user-kv8sq6qz7g17 сағат бұрын
Moja Kati ya hazina kubwa ktika Taifa letu Ndugu aweso mzalendo wa kweli
@eddytheophil76267 сағат бұрын
Safi sana❤❤
@nahlaaasidee1848Күн бұрын
Waziri Njoo Masasi-Mtwara kuna shida
@HamadaZubeirTahirКүн бұрын
Musichikijuwaaa...mmmmmh..mpaka nawaonea hurumaaa
@monicamaganga86812 күн бұрын
Waziri njoo kinodoni tunateseka sana
@piusmapunda4255Күн бұрын
Mkuu njoo nahuku tanganyika dc kata ya ikola maji hayatoki nimwezi wa 3 sasa!,
@ahmedronga75832 күн бұрын
Ila wanawake dah!😅
@user-ch2it3qt5z2 күн бұрын
Hiii 😂nchi inakiki 😂
@machoguhameri77579 сағат бұрын
Wanawake bado sana
@giftkalenge418Күн бұрын
Utashitaliwa waziri Sasa huyu dada anakosa Gani wakati mkurugenzi wako ndo tatizo
@FarajaLusukaКүн бұрын
Shida nini viongozi wetu jamani kwanini mnatufanyie hivyo maji hamna hata kwetu makurunge kigamboni hatuna maji wala umeme
@serafinamalecela47283 сағат бұрын
Eliza kiherehere kimemponza angekaaa kimyaaaa maskini
@bahatielias64432 күн бұрын
Ila kunawakati mwingine inakela
@dorahmushi-we6ts23 сағат бұрын
Tunamuona mhshmw Makonda group kazini.
@monicachacha45523 сағат бұрын
awesoooooo safiiiiii
@husseinkonz51924 сағат бұрын
Wamezoea kukaa ofcn piga na chin wote
@KilonzoGodson2 күн бұрын
Hivi Tanzania tukoje?
@PatrickSepetu2 сағат бұрын
Wanalinga mno wakiwa ofcn hao
@hamredhamis-cz6qcКүн бұрын
😊
@HamadaZubeirTahirКүн бұрын
Anaweza akafukuzwa mbele ya Wananchi baada ya masaa akaitwa Ofisini akaambiwa endelea na kazi
@reubenalfred9707Күн бұрын
Chanika Nzasa mradi wa maji ulifunguliwa na mwenge lakini mpaka sasa hatuoni hata tone la maji..!
@user-xm9xr5db1jСағат бұрын
Kweli kabisa kaka..
@napoleonmutungi686628 минут бұрын
Waziri kapiga simu kwa mkurugenzi wa miradi vifaa havijaletwa dada amefanya kazi yake waziri anafanya siasa ya kumtoa kafara Eliza na watanzania bila kutumia busara mnashangilia kwa roho mbaya tu
@mamakayla66972 күн бұрын
Kwa kweli waziri umefanya kazi vizuri ya kuchukua hatua ya kuja wilaya hii ya Kibamba, njoo na wilaya ya Ubungo. Ni shidaaaaa,njoo Kimara Bucha.
@AminaAmina-cr8jqКүн бұрын
Wazir njoo arusha mateves tunateseka na idara,ya,maji bil laki 3 kwa,mwenx na,barabara,vumb tynashidw,hata,kuuza yaya
@josemalley16912 күн бұрын
Arusha mtaa x ndo balaa
@HamadaZubeirTahirКүн бұрын
Eti Wazili..wazili...wazili...sioWazilii...ni Waziri ndio kiswahili sanifu
@florencekyande4443Күн бұрын
mbona Eliza tu,huyo kaka aliyekosa mafaili ,yaoo wattsap je?mkurugenzi aliyeookea maelekezo kwa waziri asiyafanyie Kazi je?
@sharafisaidi7999Күн бұрын
Njoo na mbagala mheshimiwa maji tunayaonaga kwenye video tu kibondemaja mtaa wa kimbangulile
Ila tujifunze ukipewa nafasi watumikie wananchi,ukipewa maelekezo na mkuu wako tafadhali fuatilia ,hapo unakuta gari ya usafili kapewa lakin mtu anaagiza tu yeye yupo ofsini, ama fungu lapesa linatolewa halafu hizo pesa wanaingiza kwenye biashara zao kwanza mpaka mda unaeenda wee Ndio wanakuja kufanya ,Sasa wananchi inakuwa ni mateso
@DandasiKundi2 күн бұрын
Waziri njoo mkoa wa pwani usikilize vioja vya dawasa eneo la lukuruti, mihande karibi na shule ya skondari wanasema vifaa hamna na hata hivyo wengine wanafungiwa sijaelewa wziri hapo kuna nino happ
@FilbertKalembe-fy4oq2 күн бұрын
Safi kabisa mumelea ujinga mda mrefu tusaidieni halmashauri zote ziko hivyo
@YusuphMwangobola2 күн бұрын
Wananchi wamesha mchoka hyo dada
@rahelmpondaКүн бұрын
Kumbe unambadilisha kituo ila kazi yake Bado ipo, ujinga tupu na wanaokushangilia😅😅😅
@venancemwarabu716816 сағат бұрын
Ulitaka afukuzwe kazi? Kosa lake ni lipi? Matatizo ya kimfumo hata ukiwekwa wewe hapo utakutana na huo ukakasi
@SultanaShabanКүн бұрын
Njoo bonyokwaa mkuu
@thomastemu33322 күн бұрын
Mtumbue huyo hawafai
@FredMwamgogwa-td6ni2 күн бұрын
Fukuzaaaa
@danielelikana2615Күн бұрын
Mfumo wa kuajiri unatakiwa kufumuliwa upya kabisa!! Wanaajiriwa watu wasiokuwa na uwezo wa kufanya kazi, wenye uwezo wanaachwa!!
@MumewanguКүн бұрын
Kama umesikiwa mwananchi anauza bangi. Nipe like zangu
@wisemaliva5376Күн бұрын
Wamesema anauza maji
@fatmaathumani7116Күн бұрын
Watu tunahangaika kuzitafuta hizo kazi nyie mazwazwa mnanenepeana tu km mafurushi 😢😢😢
@user-nm2jq7xo5f2 күн бұрын
Awesu fukuza kazi wazembe hao
@monicamaganga86812 күн бұрын
😂 7:28
@KhalidAlly-je8kyКүн бұрын
Ujinga mtupu
@hashimmawazo55032 күн бұрын
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@Kalunirashidi2 күн бұрын
kweli uweso ndio mnatakiwa kufanya kazi siokupigiwa makofi wannachi wanaomie