Waziri AWESO AMTUMBUA ELIZA bila huruma, wananchi walipuka kwa shangwe

  Рет қаралды 25,212

Habari Digital

Habari Digital

4 күн бұрын

Пікірлер: 86
@festohaule9716
@festohaule9716 2 күн бұрын
Kwanini Watumishi wengi sana hawatimizi wajibu wao..kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!!
@hashimmawazo5503
@hashimmawazo5503 2 күн бұрын
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 Күн бұрын
Wizara ya Maji acheni masiala jamani!! Eti hadi aje Waziri! Wengine mpo wapi? Aibu!! Serikali ajirini watu wengine!! Mambo haya hayana afya kwa Watamzania.
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 2 күн бұрын
Mweshimiwa Aweso ww chukua mfumo wa makonda kusikiliza kero nakufatilia utendaji utakusaidia kisiasa na kujenga imani kubwa kwa wananchi
@user-tu9ps9kr2o
@user-tu9ps9kr2o Күн бұрын
Mhe waziri kwanza hongera.kwa msukumo wako wa nguvu hizo watabadirika Sasa watumishi .mhe makinda umetoa fundisho kwa wateule wa Mhe Raisi
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j Күн бұрын
Wanauza Maji wanamagari yao waziri wanakudanganya Hata huku makabe
@msafiriomary893
@msafiriomary893 2 күн бұрын
Vibaka WA Kodi zetu hao
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 Күн бұрын
Njoo arusha Waziri tunabambikiwa bill za majani
@ChristianSebastian-rh2fq
@ChristianSebastian-rh2fq Күн бұрын
MH, njoo na kisesa Magu Mwanza ni taaabu tupu
@albtstanislaus4319
@albtstanislaus4319 2 күн бұрын
Masikini hua tunafulaiya mwenzetu anapo pata shida
@deozomboko8949
@deozomboko8949 2 күн бұрын
Huyo ameshindwa kutumia cheo chake kwa hiyo anaenda kushushwa kwa lugha nyingine
@mahijayusuph8186
@mahijayusuph8186 2 күн бұрын
Tenganisheni siasa na kazi
@mahijayusuph8186
@mahijayusuph8186 2 күн бұрын
Nyie mnaoshangilia hamjitambui
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 2 күн бұрын
​@@mahijayusuph8186inawezekana Wakawa Hawajitambui Lakini Katikati Kuna Uzembe Na Dhuruma Kubwa Inayowapa Au Kutupa Chuki.
@husseinamassanza50
@husseinamassanza50 Күн бұрын
Kero za wananchi zinasababishwa na nyie nyie serekali msione watu wapo kimya ipo siku haina jina.
@nelsongodfrey9952
@nelsongodfrey9952 Күн бұрын
Msumi hatuna maji, lakini mbopo wana maji. 3km difference but dawasa wapo
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 2 күн бұрын
Tusilee uzembe mheshimiwa waziri wengine wajifunze
@stevensteve7519
@stevensteve7519 2 күн бұрын
Watumishi wa serikali ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi kutokana na kutofanya kazi kwa ufanisi na kutotambua kuwa wao waajiri wao niwananchi. Hili hawalijui kabisaa, wanadhani kuwa wao wako juu ya wananchi.
@godfreylyimo4177
@godfreylyimo4177 Күн бұрын
Elizabeth ni mtendaji mzuri!!
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt Күн бұрын
Naona sasa kakayangu umeamka sasa ila ujachelewa nilijuwa kasiyako imeisha ilanakujuwa Utendajiwako sinamashaka nawewe
@MOHAMEDSALEH-fl7kb
@MOHAMEDSALEH-fl7kb 2 күн бұрын
Mama Huyo. Tanzania ya Maendeleo Tunaitaka
@Bifa_2024
@Bifa_2024 Күн бұрын
Wananchi wachonganishi ipo siku mwanao dadako Ndio atakuwa huyo Eliza alafu wamama wana midomo adui wa mwanamke ni mwanamke
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi 2 күн бұрын
Uweso nimekusoma ukichekano utavuna mabuwa alafu wakika pembeni wanasema Sisi mbaya
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Күн бұрын
Sijui watu wana matatizo gani.Alafu kupata maji shida kweli kweli ukiritimba.
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 2 күн бұрын
Hiyo Nifuraha. Lakini Kiakili Nifuraha Iliyochanganyika Nahasira.
@George-jz3jg
@George-jz3jg 2 күн бұрын
Aweso huo ni ujinga tu kuondoka naye huyo Eliza ndo umeleta maji hapo?
@MnubiMm
@MnubiMm 2 күн бұрын
Huo ujinga sawa Wewe ungefanyaje?mwenye akili
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Күн бұрын
Ni actual au sinema
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 күн бұрын
Poleni, ujinga uliopitiliza. Vitu vingine haviitaji waziri
@lukumanisharifu
@lukumanisharifu 2 күн бұрын
Uweso njoo masasi mtwara hufiki kabisa Kuna madudu sana
@gililwise
@gililwise 2 күн бұрын
Mh njoo Morogoro Morowasa utalia maji tunapata mara moja kwa wiki kwa mwezi mara 4 bili inakuja 40,000/= Bhopal kata us bigwa
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j Күн бұрын
Wanajifanya Miungu watu watumishi hawa sana ata ukipiga awapokei
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j Күн бұрын
TUNAKUOMBA SASA MTUPUNGUZIE MALIPO YA KUWEKA MAJI MAJI YANAPITA MLANGONI UKIULIZA KUWEKA MAJI SH 270,000/=
@user-ow7pl6tz2c
@user-ow7pl6tz2c 2 күн бұрын
Mh waziri dawasa nitatizo niwazembe sana
@user-kv8sq6qz7g
@user-kv8sq6qz7g 17 сағат бұрын
Moja Kati ya hazina kubwa ktika Taifa letu Ndugu aweso mzalendo wa kweli
@eddytheophil7626
@eddytheophil7626 7 сағат бұрын
Safi sana❤❤
@nahlaaasidee1848
@nahlaaasidee1848 Күн бұрын
Waziri Njoo Masasi-Mtwara kuna shida
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir Күн бұрын
Musichikijuwaaa...mmmmmh..mpaka nawaonea hurumaaa
@monicamaganga8681
@monicamaganga8681 2 күн бұрын
Waziri njoo kinodoni tunateseka sana
@piusmapunda4255
@piusmapunda4255 Күн бұрын
Mkuu njoo nahuku tanganyika dc kata ya ikola maji hayatoki nimwezi wa 3 sasa!,
@ahmedronga7583
@ahmedronga7583 2 күн бұрын
Ila wanawake dah!😅
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 2 күн бұрын
Hiii 😂nchi inakiki 😂
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 9 сағат бұрын
Wanawake bado sana
@giftkalenge418
@giftkalenge418 Күн бұрын
Utashitaliwa waziri Sasa huyu dada anakosa Gani wakati mkurugenzi wako ndo tatizo
@FarajaLusuka
@FarajaLusuka Күн бұрын
Shida nini viongozi wetu jamani kwanini mnatufanyie hivyo maji hamna hata kwetu makurunge kigamboni hatuna maji wala umeme
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 3 сағат бұрын
Eliza kiherehere kimemponza angekaaa kimyaaaa maskini
@bahatielias6443
@bahatielias6443 2 күн бұрын
Ila kunawakati mwingine inakela
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 23 сағат бұрын
Tunamuona mhshmw Makonda group kazini.
@monicachacha455
@monicachacha455 23 сағат бұрын
awesoooooo safiiiiii
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 4 сағат бұрын
Wamezoea kukaa ofcn piga na chin wote
@KilonzoGodson
@KilonzoGodson 2 күн бұрын
Hivi Tanzania tukoje?
@PatrickSepetu
@PatrickSepetu 2 сағат бұрын
Wanalinga mno wakiwa ofcn hao
@hamredhamis-cz6qc
@hamredhamis-cz6qc Күн бұрын
😊
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir Күн бұрын
Anaweza akafukuzwa mbele ya Wananchi baada ya masaa akaitwa Ofisini akaambiwa endelea na kazi
@reubenalfred9707
@reubenalfred9707 Күн бұрын
Chanika Nzasa mradi wa maji ulifunguliwa na mwenge lakini mpaka sasa hatuoni hata tone la maji..!
@user-xm9xr5db1j
@user-xm9xr5db1j Сағат бұрын
Kweli kabisa kaka..
@napoleonmutungi6866
@napoleonmutungi6866 28 минут бұрын
Waziri kapiga simu kwa mkurugenzi wa miradi vifaa havijaletwa dada amefanya kazi yake waziri anafanya siasa ya kumtoa kafara Eliza na watanzania bila kutumia busara mnashangilia kwa roho mbaya tu
@mamakayla6697
@mamakayla6697 2 күн бұрын
Kwa kweli waziri umefanya kazi vizuri ya kuchukua hatua ya kuja wilaya hii ya Kibamba, njoo na wilaya ya Ubungo. Ni shidaaaaa,njoo Kimara Bucha.
@AminaAmina-cr8jq
@AminaAmina-cr8jq Күн бұрын
Wazir njoo arusha mateves tunateseka na idara,ya,maji bil laki 3 kwa,mwenx na,barabara,vumb tynashidw,hata,kuuza yaya
@josemalley1691
@josemalley1691 2 күн бұрын
Arusha mtaa x ndo balaa
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir Күн бұрын
Eti Wazili..wazili...wazili...sioWazilii...ni Waziri ndio kiswahili sanifu
@florencekyande4443
@florencekyande4443 Күн бұрын
mbona Eliza tu,huyo kaka aliyekosa mafaili ,yaoo wattsap je?mkurugenzi aliyeookea maelekezo kwa waziri asiyafanyie Kazi je?
@sharafisaidi7999
@sharafisaidi7999 Күн бұрын
Njoo na mbagala mheshimiwa maji tunayaonaga kwenye video tu kibondemaja mtaa wa kimbangulile
@monicachacha455
@monicachacha455 23 сағат бұрын
timua haoooo
@LaizerSaitoty
@LaizerSaitoty Күн бұрын
if huu ugonjwa dawa yake nn
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w 4 сағат бұрын
Makonda kaanza kupata mapacha
@masalidorice3402
@masalidorice3402 2 күн бұрын
wanawake jamani wanashabikia mwanamke mwenzao afukuzwe
@bahatielias6443
@bahatielias6443 2 күн бұрын
Ila tujifunze ukipewa nafasi watumikie wananchi,ukipewa maelekezo na mkuu wako tafadhali fuatilia ,hapo unakuta gari ya usafili kapewa lakin mtu anaagiza tu yeye yupo ofsini, ama fungu lapesa linatolewa halafu hizo pesa wanaingiza kwenye biashara zao kwanza mpaka mda unaeenda wee Ndio wanakuja kufanya ,Sasa wananchi inakuwa ni mateso
@DandasiKundi
@DandasiKundi 2 күн бұрын
Waziri njoo mkoa wa pwani usikilize vioja vya dawasa eneo la lukuruti, mihande karibi na shule ya skondari wanasema vifaa hamna na hata hivyo wengine wanafungiwa sijaelewa wziri hapo kuna nino happ
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 2 күн бұрын
Safi kabisa mumelea ujinga mda mrefu tusaidieni halmashauri zote ziko hivyo
@YusuphMwangobola
@YusuphMwangobola 2 күн бұрын
Wananchi wamesha mchoka hyo dada
@rahelmponda
@rahelmponda Күн бұрын
Kumbe unambadilisha kituo ila kazi yake Bado ipo, ujinga tupu na wanaokushangilia😅😅😅
@venancemwarabu7168
@venancemwarabu7168 16 сағат бұрын
Ulitaka afukuzwe kazi? Kosa lake ni lipi? Matatizo ya kimfumo hata ukiwekwa wewe hapo utakutana na huo ukakasi
@SultanaShaban
@SultanaShaban Күн бұрын
Njoo bonyokwaa mkuu
@thomastemu3332
@thomastemu3332 2 күн бұрын
Mtumbue huyo hawafai
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 2 күн бұрын
Fukuzaaaa
@danielelikana2615
@danielelikana2615 Күн бұрын
Mfumo wa kuajiri unatakiwa kufumuliwa upya kabisa!! Wanaajiriwa watu wasiokuwa na uwezo wa kufanya kazi, wenye uwezo wanaachwa!!
@Mumewangu
@Mumewangu Күн бұрын
Kama umesikiwa mwananchi anauza bangi. Nipe like zangu
@wisemaliva5376
@wisemaliva5376 Күн бұрын
Wamesema anauza maji
@fatmaathumani7116
@fatmaathumani7116 Күн бұрын
Watu tunahangaika kuzitafuta hizo kazi nyie mazwazwa mnanenepeana tu km mafurushi 😢😢😢
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 2 күн бұрын
Awesu fukuza kazi wazembe hao
@monicamaganga8681
@monicamaganga8681 2 күн бұрын
😂 7:28
@KhalidAlly-je8ky
@KhalidAlly-je8ky Күн бұрын
Ujinga mtupu
@hashimmawazo5503
@hashimmawazo5503 2 күн бұрын
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi 2 күн бұрын
kweli uweso ndio mnatakiwa kufanya kazi siokupigiwa makofi wannachi wanaomie
President Ruto engages Kenyans on X
NTV Kenya
Рет қаралды 9 М.
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 89 МЛН
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 14 МЛН
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 100 МЛН
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 12 МЛН
President Ruto full speech
13:27
KTN News Kenya
Рет қаралды 63 М.
Сначала скажи, а потом не мамкай 🗿 #shorts
0:16
Вика Андриенко
Рет қаралды 2,5 МЛН
ДЕДУШКА ВЫ ГДЕ? 🤣🤣
0:59
РЕАЛЬНЫЙ ВОВАН
Рет қаралды 2,3 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,6 МЛН
Достали существо из под земли
0:29
RICARDO
Рет қаралды 1,9 МЛН
Normal vs Psychopath vs Rich How to heal a cut on your finger ☝️❤️‍🩹
0:19