CHADEMA TUNACHUKIANA KULIKO CCM ''MIMI NTASEMA UKWELI''MWAMBIGIJA AKOSA UVUMILIVU ACHAFUA HADHARANI.

  Рет қаралды 23,833

JAMBO TV

JAMBO TV

2 ай бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZfaq: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 103
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 ай бұрын
Tatizo lipo Chadema.Jitafakarini.Hamfuraishi,japo mnaowafuasi wengi fikirini upya.
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 2 ай бұрын
Chadema ni kikundi cha wahuni
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 2 ай бұрын
CCM kikundi cha watekaji na wauaji waliobobea
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 2 ай бұрын
chuki ni mahali popote siyo ila ukweli lazima usemwe
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o 2 ай бұрын
Hiki chama bdo sanaa kwakweli kitatusambatisha waatz 😢 tusiwe watu wakufuatfuat mkumbo tuwe makinji sana hawa watu ni janja janja wacha wapambane wenyewe kwanza
@happyjeremiahmhuli4043
@happyjeremiahmhuli4043 2 ай бұрын
Ccm ndio wenye hii kazi wao wamezoea sasa chadema wakikemea wanakosa gani
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o 2 ай бұрын
@@happyjeremiahmhuli4043 ww kwa akili yako huko chama chadema kweli kinaweza Şahika dola🫣wajipange sana ila sio kwa sasa in the near future yes but not now 👍
@salummohamed2689
@salummohamed2689 2 ай бұрын
Umetumwa acha uhuni, CHADEMA tuachie tuliokomaa nacho. Na mwache Mwabukusi.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
Huyu kwa kauli zake chadema wamfukuze mapema.Hafai hata kidogo.Mwambigija hafai.
@samsonsamwel8782
@samsonsamwel8782 2 ай бұрын
Na co muda atahama
@V24hrs
@V24hrs 2 ай бұрын
Chadema ni wahuni ..Sisi tulishakimbiaga kitambo sana
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 2 ай бұрын
Wahuni wengi wako wapi kati ya Chadema na CCM?
@FirstOnline-ul5oh
@FirstOnline-ul5oh 2 ай бұрын
Sasa kiongoz wa chadema freeman mbowe ni mwana ccm pure
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 2 ай бұрын
Kama ulikimbiaga kitambo,hiyo kazi ya kuifuatilia Chadema inakupataje?Maneno hayo waambie wapumbavu wenzako
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 2 ай бұрын
@@FirstOnline-ul5oh Akiwa mwanaccm mwenzako,sasa wewe shida yako ninini?Furahia Chadema haipo.
@V24hrs
@V24hrs 2 ай бұрын
@@yassinnabwera4273 mpumbavu Mama yako alokuzaa.. kwani hajakufundisha adabu ya kuongea na watu
@petromwakipesile9574
@petromwakipesile9574 2 ай бұрын
hayo madongo kwa sugu......mwambigija na sugu hawaivi kbs,,,, ndo maana anakuambia atamuomba mwabukusu akuje kugombea mbeya mjini. kama huna D mbili huwezi kuelewa hii kitu
@yusuphkhalidkadinde6866
@yusuphkhalidkadinde6866 2 ай бұрын
Mnachukiana kwa uroho wa madaraka huyo mbewe yeye nani kafanya chama chake akitaka kugombea mwingine anawekewa zongo
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 2 ай бұрын
Kwani CCM hii ni yao peke yao?mbona wanaing'ang'ania kuiongoza tangu tupate Uhuru mwaka 1961?unayaona ya Mbowe tu kuwa Mwenyekiti?
@TumtukuzeMbise
@TumtukuzeMbise 2 ай бұрын
Chamsingi chadema tuwe makini sana ccm wasitugombanishe
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 2 ай бұрын
Hawawezi kuigombanisha Chadema,wenyewe kwa wenyewe CCM wanagombana,ingawa kwenye mkusanyiko wa watu mbalmbali kugombana ni jambo lakawaida sana kinachotakiwa ni kuvumiliana ili mfikie malengo mliyojiwekea,
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 2 ай бұрын
Kabisa Kabisa
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
TATIZO RUZUKU KILA MTU ANATAKA AMZIDI MWENZAKE 😢😢😢😢😢😢😢HAYA WAKIPEWA NCHI WIKI MOJA TU NCHI BANKRUPTCY
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 2 ай бұрын
Akili yako ni ndogo,kwani CCM wanavyogombana,huwa wanagombea nini?Au unataka kutuaminisha kwamba CCM huwa hawagombani?
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
@@yassinnabwera4273 CCM WAKO MATURED LAKINI CHADOMO NI WAROPOKAJI NA KUBWEKA TU WAKISUBIRI MATUKIO 🤧🤧🤧🤧🤧🤧
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 2 ай бұрын
Zaidi ya Trilion 80 nchi hii inadaiwa chini ya CCM,hizo pesa walikopa Chadema?
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
@@yassinnabwera4273KUNA NCHI ISIOKUWA NA DENI LA TAIFA HII DUNIA AU UNATAKA PADRE SLAA AFANYE MIUJIZA PESA ZIINGIE KWENYE SIMU ZETU 😢😢😢😢😢
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 2 ай бұрын
@@OmmyJames-xn7ji Hapo ndipo unapoonekana uko mbali na hii dunia,kwa Chadema wakihoji ruzuku yao kwako wewe ni ajabu ila CCM wakikopa Matriolioni ya pesa na kuyaiba,hilo kwako sio tatizo,unajua ni ngumu sana kuipima akili yako na kuupima uelewa wako,endelea na mambo yako,kama hujui matrilioni hayo wanayoiba viongozi wako wa CCM inabidi tuyalipe Watanzania wote bila kujali vyama vyetu,inaonekana Akili yako haina Akili.
@francisjohanes3027
@francisjohanes3027 2 ай бұрын
Hiyo ndo CDM black and white big up
@rebeccamwaisoloka5132
@rebeccamwaisoloka5132 2 ай бұрын
Umenena uwazi kabisa
@isackphilipo9870
@isackphilipo9870 2 ай бұрын
Duh kumbe Chadema hatupendani hii ni hatari sana kwa ustawi wa chama
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 2 ай бұрын
Ni wale wale ila rangi tofauti
@user13375
@user13375 2 ай бұрын
Hata kama ukiwa na nguo nzuri ya gharama kubwa kama ni moja tu na ni kauka nikuvae ,haitakufaa ,Tunataka kubadilisha tuu
@NDEWARA
@NDEWARA 2 ай бұрын
Kama mlikuwa hamjui CHADOMO ndiyo hiyo😂😂
@simonmwasile4377
@simonmwasile4377 2 ай бұрын
Kumamayo, chadomo mamakò
@user-ob9mc5zc1k
@user-ob9mc5zc1k 2 ай бұрын
Kwa kweli umekomaa kisiasa Mwambigija
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 2 ай бұрын
Hivi kweli chadema mmefikia mahali pa kujidhalilisha kiasi hiki! Hebu kaeni mjitafakari huyo mdudu aliye waingia ashughulikiwe mapema kabla ya kusambaratika
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 2 ай бұрын
Leta sera brother maneno yamekuwa mengi hta ukiwa mzuri kuongea unaonekana porojo nyingi kuliko kujenga chama
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
WAKATI wa magu walilalamika HAWAWEZI kufanya mikutano sasa hivi ni chuki na ubaguzi na kejeli hawana sera ila ni watu wa MATUKIO 😢😢😢😢😢😢😢
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 2 ай бұрын
ABAKIYEEE HUKO HUKO MWAMBUKUSI, ACT WAZALENDO HATUMTAKI NG'OOO. ACT WAZALENDO SIO CHAMA CHA MASHOGA NA WAPOTOSHAJI.
@user-zc2ms4wl6r
@user-zc2ms4wl6r 2 ай бұрын
Kweli Mzee siasa ni kutumia akili sio nguvu Wala matusi nikusoma alama zanyakati
@EmmanuelNyinyigwa
@EmmanuelNyinyigwa 2 ай бұрын
Shida yenu ni hiyo hamtakagi kutoka madalakan . Mtu akijitokeza kuchukua fom mnaaza kusema umetoka na chama mbali. Hutaki kuachia madalaka. Mmeishiwa mbinu Acha kujifanya chama NI chako. Ccm wanawapiga bao
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si 2 ай бұрын
Du! Shughuli ! Acha Inyeshe tujue panapovuja!
@user-es5hj7dj5i
@user-es5hj7dj5i 2 ай бұрын
Kumbuka wachafuzi pia wamo wengine ni kutoka huko walikotoka kwa kuchafua kuja kuchafua ili wananchi wasione tofauti
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 2 ай бұрын
Mmmmmh ninamashaka na ww ila Chadema chama makin sana acha siasa ndan ya chadema
@luhanganokapole7759
@luhanganokapole7759 2 ай бұрын
Duh
@happyjeremiahmhuli4043
@happyjeremiahmhuli4043 2 ай бұрын
WATU WENGINE WAPUMBAVU SANA WAONDOLEWE KTK CHAMA
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 2 ай бұрын
Mimi simuamini mwambigija anatumiwa na fisiyemu ni mnafiki chadema mbeya mjin kaeni chonjo
@user-kg8dn6qr8o
@user-kg8dn6qr8o 2 ай бұрын
Mwambigija kweli ni mtu wa hovyo Sana Yeye anaona yuko sahihi kuliko wote chadema mbeya
@happyjeremiahmhuli4043
@happyjeremiahmhuli4043 2 ай бұрын
Wahuni kuliko ccm ? Uzuri wa ccmhaup0 hujawajua
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 2 ай бұрын
Nasikia kichefichefu nikisikia lifisiyemu humu hatutaki mbogamboga kabisa
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
Mwambigija anakibomoa chama kwa makusudi ,chadema mfukuzeni huyu mapema.
@HamzaHeri
@HamzaHeri 2 ай бұрын
NDUGU YANGU KAKA YANGU MBOWE MIMI MDOGO WAKO NINA KUSHAURI KUTOKANA NAHIYO MBWAA KOKO YAKO TUNDULISSU AKUFAI WEWE TUMEKUWA WOTE HAPA MJINI KWA KWA HIKMA NABUSARA HUJUWI KUMTUKANA AO KUMDHAU MTUU SASAHUYO MWANA KIJIJI ATAKUSABABISHIA KUONEKANA KAMA NA WEWE HUJITAMBUWI SIUNAONA WAKATI ALIPO KUWA UBELIGI UKIMBIZINI ULIMBUKENI WAKE WA AJABU
@jonathanakhabuhaya1693
@jonathanakhabuhaya1693 2 ай бұрын
angalia huyu asiisambaratishe CHADEMA.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 2 ай бұрын
Mnagombanishwa na vichwa vya habari ili mfungue msikilize ili apate point....ni biashara
@possianokigwinya9988
@possianokigwinya9988 2 ай бұрын
Unashida pole.
@LovelyGecko-so6ry
@LovelyGecko-so6ry 2 ай бұрын
Umesema kweli kabisa ila muda utatoa muelekeo thabiti
@kianda973
@kianda973 2 ай бұрын
Mmmh....???
@patrickmasele4566
@patrickmasele4566 2 ай бұрын
BUSARA NI KUWAUNGANISHA WANACHAMA WAKO SIO KUWATENGANISHA...
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
"Atagombea hapa ni kwao kwani ni Mkinga huyu"hiyo kauli ni ya kibaguzi haifai hata kidogo.Mwambigija umeteleza na umekosea sana.
@selemanmoses1310
@selemanmoses1310 2 ай бұрын
Ukweli unaponza sana, OK kosa lake ni lipi..?
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 ай бұрын
Hajakosea wakinga waende kwao kuna mnyakyussa anagombea makete😊😊😊
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 ай бұрын
Ila Sugu kazi anayo hayo yote ni madongo yake namuhurumia wenye mji wamechoka
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
@@zariadunia6328 kwani chaguzi zote anachaguliwa hakukuwepo na wanyakyusa.Acha ujinga ww.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
@@zariadunia6328 hawajamchoka ila ingekuwa mimi sugu nisingegombea ningemwachia huyo wanaemtaka tuone kama atashinda mbele ya Tulia.
@revocatusvedastus8893
@revocatusvedastus8893 2 ай бұрын
mwambukusi multipurpose anagombea popote pale
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o 2 ай бұрын
Duh kumbe chadema ni chama dini 😢wasiokua na dini sijui itakuaje😢
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
Haleluya 😢😢😢😢😢
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o 2 ай бұрын
@@OmmyJames-xn7ji kwaiyo unakubaliana na mm sio kua chadema wadini 😳
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
@@user-gy5en6cy8o NI SUMU KWA JAMII 🤧🤧🤧🤧🤧🤧
@happyjeremiahmhuli4043
@happyjeremiahmhuli4043 2 ай бұрын
Walaaniwe
@user-jc8el6je5e
@user-jc8el6je5e 2 ай бұрын
Mbna Kama unamsema sugu braza
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
Mwabukusi atagombea hapa ni kwao kwani ni mkinga huyu ,hiyo kauli si nzuri na haifai.
@jerrymfinanga3773
@jerrymfinanga3773 2 ай бұрын
mbn simjuiii huyuu
@gwantwamwalyaje8515
@gwantwamwalyaje8515 2 ай бұрын
Mwambigija Ninakuelewa Lkn Umekosea my friend Kusema Mwabukusi Angeenda Act Mngeponea Wap Umekosea Sana Hata Angeenda Act Bado Chadema Inanguvu Wote Tunahitaajiana Kwa Pamoja
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
Mwambigija hafai.Chadema wamfukuze mapema anatumika.
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 2 ай бұрын
NA MIMI NINA WASI WASI SANA NAYE HUYU ANAWEZA AKAWA NI NYOKA HATARI SANA!!!!! NA KAMA SI NYOKA BASI HANA HEKIMA MANENO YAKE SI SALAMA KWA CDM HATA KAMA HAYO ANAYO YASEMA YANA UKWELI.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
@@FrankMwakatundu-cu6bd uko sahihi .Mwambigija ana mwelekeo wa kukibomoa chama kabisa.yaani kwa kauli zake hizi za hovyo anamwelekeo huo kabisa.
@thomasmallya2972
@thomasmallya2972 2 ай бұрын
Tukisema chadomo ni chama watu flani muwe mnatuelewaa
@AbelNelson-lt2ql
@AbelNelson-lt2ql 2 ай бұрын
Tatizo la huyu mnyakyusa mwenzangu ni umimi wake na kumwona sugu kama mkimbizi mbeya, kakimbia tujuyu alikogombea anapambana na sugu kwa hila zake, alafu napenda sana kutumia unyakyusa kumnyanyasa sugu kama mtu asiyefaa kwa ukinga wake ni mambo ya kijinga sana. Niliwambia wafuasi wake kuwa mwambigija hana vision mkimfuata mtaenda na maji chadema ni taasisi kubwa inaweza kumwengua yeyote mleta mitafaruku hawakuelewa badaye walitupwa wote nje ya uongozi wa chama na wengine kutimuliwa.
@user-rg2py2yz4x
@user-rg2py2yz4x 2 ай бұрын
Wewe.mjinga..umeacha..biashara..ukaaza..siasa..fara
@geey7893
@geey7893 2 ай бұрын
Jamani mnisaidie Abdul ni nani???
@petermogha7025
@petermogha7025 2 ай бұрын
Nabado utajua
@user-kq7ee4vp7o
@user-kq7ee4vp7o 2 ай бұрын
Kwa ushauri wangu tofauti zenu viongozi mliokusudia kujenga nyumba nyumba embu jaribuni kuyamaliza ndani mnakiuwa iko chama wenyew kwa mikono yenu siyo busara hata kidogo kutoka hadharani nakussemana kijinga kama ivo.
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 2 ай бұрын
Et waziri mkuu wa mbeya! Mpumbavu mkubwa chama ni tasisi c mali ya mtu ni mali ya watu! Ohooo mnaanza kuchambana wenyewe! Huna akili yoyote we kenge danganyaga wajinga
@alexmnogi1822
@alexmnogi1822 2 ай бұрын
Wewe sio chadema uskute na wewe unataka umwenyekit ...kuongea kwenyewe hujuh njaaa mbyaaa
@abubakarimburu9096
@abubakarimburu9096 2 ай бұрын
Chadema mlimuua chacha wangwe kwa uroho wa madaraka na hiyo laana haitawaacha mpaka msambaratike
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 2 ай бұрын
Kumbe unao ushahidi wa mauaji, halafu hutaki kuutoa kwa vyombo husika!!? Basi wewe ni mshirika wa hayo mauji, na vyombo husika vinatakiwa vikuchukulie hatua stahiki. Au wewe ni yule kijana wa uvccm Kagera?
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
Kwani mwabukusi ni mwanachama wa chadema?mwambigija mbona kama ww ni wa hovyo sana.Mwabukusi sio mwanachama wa chadema.Subiri mwabukusi ajiunge chadema ndiyo umsemee ila kwa sasa unakwenda kinyume na taratibu za chama.unaonekana ni mtu mzima lakini huna hekima wala busara.kauli zako za leo hazifai hata kidogo.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 ай бұрын
Hujuwi siasa kutoka chama hakuhitaji tamko wala barua, ukisimama tu jukwaa la chama kingine maana yake ameachana na chama cha zamani.
@davidsimbeye1548
@davidsimbeye1548 2 ай бұрын
Sasa hapo unajenga chama au unakibomoa?
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 ай бұрын
Anakibomoa chama kabisa huyu hafai hata kidogo
@thobiasmarandu214
@thobiasmarandu214 2 ай бұрын
That is Being Stupid
@paullutegwa-lo7bv
@paullutegwa-lo7bv 2 ай бұрын
Cotoon
@antipasmkude3789
@antipasmkude3789 2 ай бұрын
CHADEMA Muwe Makini na mapandikizi ya Ccm. Wanapandikizwa kuharibu CDM.
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 ай бұрын
Broooooo Nimekukubali....... Natamani niwe mwanafunzi wako katika siasa.... Iwe her kwako..
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 2 ай бұрын
Mmmmmh ninamashaka na ww ila Chadema chama makin sana acha siasa ndan ya chadema
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u 2 ай бұрын
Pongez makamanda wetu kwakujitoa kulitetea taifa letu linaenda kubaya
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 40 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 41 МЛН
Senator Onyonka Reveals The Cause Of Turkana Oil Closure
7:40
Ujumbe Mzito Aliouacha Mwalimu Nyerere Kuhusu Muungano
5:44
Richnotes Documentaries
Рет қаралды 17 М.
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН