Tatizo lipo Chadema.Jitafakarini.Hamfuraishi,japo mnaowafuasi wengi fikirini upya.
@emmanuelmlowe-ew7gx2 ай бұрын
Chadema ni kikundi cha wahuni
@yassinnabwera42732 ай бұрын
CCM kikundi cha watekaji na wauaji waliobobea
@odoieriasmonga65912 ай бұрын
chuki ni mahali popote siyo ila ukweli lazima usemwe
@user-gy5en6cy8o2 ай бұрын
Hiki chama bdo sanaa kwakweli kitatusambatisha waatz 😢 tusiwe watu wakufuatfuat mkumbo tuwe makinji sana hawa watu ni janja janja wacha wapambane wenyewe kwanza
@happyjeremiahmhuli40432 ай бұрын
Ccm ndio wenye hii kazi wao wamezoea sasa chadema wakikemea wanakosa gani
@user-gy5en6cy8o2 ай бұрын
@@happyjeremiahmhuli4043 ww kwa akili yako huko chama chadema kweli kinaweza Şahika dola🫣wajipange sana ila sio kwa sasa in the near future yes but not now 👍
@salummohamed26892 ай бұрын
Umetumwa acha uhuni, CHADEMA tuachie tuliokomaa nacho. Na mwache Mwabukusi.
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Huyu kwa kauli zake chadema wamfukuze mapema.Hafai hata kidogo.Mwambigija hafai.
@samsonsamwel87822 ай бұрын
Na co muda atahama
@V24hrs2 ай бұрын
Chadema ni wahuni ..Sisi tulishakimbiaga kitambo sana
@yassinnabwera42732 ай бұрын
Wahuni wengi wako wapi kati ya Chadema na CCM?
@FirstOnline-ul5oh2 ай бұрын
Sasa kiongoz wa chadema freeman mbowe ni mwana ccm pure
@yassinnabwera42732 ай бұрын
Kama ulikimbiaga kitambo,hiyo kazi ya kuifuatilia Chadema inakupataje?Maneno hayo waambie wapumbavu wenzako
@yassinnabwera42732 ай бұрын
@@FirstOnline-ul5oh Akiwa mwanaccm mwenzako,sasa wewe shida yako ninini?Furahia Chadema haipo.
@V24hrs2 ай бұрын
@@yassinnabwera4273 mpumbavu Mama yako alokuzaa.. kwani hajakufundisha adabu ya kuongea na watu
@petromwakipesile95742 ай бұрын
hayo madongo kwa sugu......mwambigija na sugu hawaivi kbs,,,, ndo maana anakuambia atamuomba mwabukusu akuje kugombea mbeya mjini. kama huna D mbili huwezi kuelewa hii kitu
@yusuphkhalidkadinde68662 ай бұрын
Mnachukiana kwa uroho wa madaraka huyo mbewe yeye nani kafanya chama chake akitaka kugombea mwingine anawekewa zongo
@yassinnabwera42732 ай бұрын
Kwani CCM hii ni yao peke yao?mbona wanaing'ang'ania kuiongoza tangu tupate Uhuru mwaka 1961?unayaona ya Mbowe tu kuwa Mwenyekiti?
@TumtukuzeMbise2 ай бұрын
Chamsingi chadema tuwe makini sana ccm wasitugombanishe
@yassinnabwera42732 ай бұрын
Hawawezi kuigombanisha Chadema,wenyewe kwa wenyewe CCM wanagombana,ingawa kwenye mkusanyiko wa watu mbalmbali kugombana ni jambo lakawaida sana kinachotakiwa ni kuvumiliana ili mfikie malengo mliyojiwekea,
@qonquererqanquerer17812 ай бұрын
Kabisa Kabisa
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
TATIZO RUZUKU KILA MTU ANATAKA AMZIDI MWENZAKE 😢😢😢😢😢😢😢HAYA WAKIPEWA NCHI WIKI MOJA TU NCHI BANKRUPTCY
@yassinnabwera42732 ай бұрын
Akili yako ni ndogo,kwani CCM wanavyogombana,huwa wanagombea nini?Au unataka kutuaminisha kwamba CCM huwa hawagombani?
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
@@yassinnabwera4273 CCM WAKO MATURED LAKINI CHADOMO NI WAROPOKAJI NA KUBWEKA TU WAKISUBIRI MATUKIO 🤧🤧🤧🤧🤧🤧
@yassinnabwera42732 ай бұрын
Zaidi ya Trilion 80 nchi hii inadaiwa chini ya CCM,hizo pesa walikopa Chadema?
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
@@yassinnabwera4273KUNA NCHI ISIOKUWA NA DENI LA TAIFA HII DUNIA AU UNATAKA PADRE SLAA AFANYE MIUJIZA PESA ZIINGIE KWENYE SIMU ZETU 😢😢😢😢😢
@yassinnabwera42732 ай бұрын
@@OmmyJames-xn7ji Hapo ndipo unapoonekana uko mbali na hii dunia,kwa Chadema wakihoji ruzuku yao kwako wewe ni ajabu ila CCM wakikopa Matriolioni ya pesa na kuyaiba,hilo kwako sio tatizo,unajua ni ngumu sana kuipima akili yako na kuupima uelewa wako,endelea na mambo yako,kama hujui matrilioni hayo wanayoiba viongozi wako wa CCM inabidi tuyalipe Watanzania wote bila kujali vyama vyetu,inaonekana Akili yako haina Akili.
@francisjohanes30272 ай бұрын
Hiyo ndo CDM black and white big up
@rebeccamwaisoloka51322 ай бұрын
Umenena uwazi kabisa
@isackphilipo98702 ай бұрын
Duh kumbe Chadema hatupendani hii ni hatari sana kwa ustawi wa chama
@clementhiddi14862 ай бұрын
Ni wale wale ila rangi tofauti
@user133752 ай бұрын
Hata kama ukiwa na nguo nzuri ya gharama kubwa kama ni moja tu na ni kauka nikuvae ,haitakufaa ,Tunataka kubadilisha tuu
@NDEWARA2 ай бұрын
Kama mlikuwa hamjui CHADOMO ndiyo hiyo😂😂
@simonmwasile43772 ай бұрын
Kumamayo, chadomo mamakò
@user-ob9mc5zc1k2 ай бұрын
Kwa kweli umekomaa kisiasa Mwambigija
@bakarimmbaga23442 ай бұрын
Hivi kweli chadema mmefikia mahali pa kujidhalilisha kiasi hiki! Hebu kaeni mjitafakari huyo mdudu aliye waingia ashughulikiwe mapema kabla ya kusambaratika
@fredrickmwakalinga63902 ай бұрын
Leta sera brother maneno yamekuwa mengi hta ukiwa mzuri kuongea unaonekana porojo nyingi kuliko kujenga chama
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
WAKATI wa magu walilalamika HAWAWEZI kufanya mikutano sasa hivi ni chuki na ubaguzi na kejeli hawana sera ila ni watu wa MATUKIO 😢😢😢😢😢😢😢
@sasha-ri7tf2 ай бұрын
ABAKIYEEE HUKO HUKO MWAMBUKUSI, ACT WAZALENDO HATUMTAKI NG'OOO. ACT WAZALENDO SIO CHAMA CHA MASHOGA NA WAPOTOSHAJI.
@user-zc2ms4wl6r2 ай бұрын
Kweli Mzee siasa ni kutumia akili sio nguvu Wala matusi nikusoma alama zanyakati
@EmmanuelNyinyigwa2 ай бұрын
Shida yenu ni hiyo hamtakagi kutoka madalakan . Mtu akijitokeza kuchukua fom mnaaza kusema umetoka na chama mbali. Hutaki kuachia madalaka. Mmeishiwa mbinu Acha kujifanya chama NI chako. Ccm wanawapiga bao
@MohammedAwadh-gq9si2 ай бұрын
Du! Shughuli ! Acha Inyeshe tujue panapovuja!
@user-es5hj7dj5i2 ай бұрын
Kumbuka wachafuzi pia wamo wengine ni kutoka huko walikotoka kwa kuchafua kuja kuchafua ili wananchi wasione tofauti
@hezronsanga51972 ай бұрын
Mmmmmh ninamashaka na ww ila Chadema chama makin sana acha siasa ndan ya chadema
@luhanganokapole77592 ай бұрын
Duh
@happyjeremiahmhuli40432 ай бұрын
WATU WENGINE WAPUMBAVU SANA WAONDOLEWE KTK CHAMA
@rebekakulwa61592 ай бұрын
Mimi simuamini mwambigija anatumiwa na fisiyemu ni mnafiki chadema mbeya mjin kaeni chonjo
@user-kg8dn6qr8o2 ай бұрын
Mwambigija kweli ni mtu wa hovyo Sana Yeye anaona yuko sahihi kuliko wote chadema mbeya
@happyjeremiahmhuli40432 ай бұрын
Wahuni kuliko ccm ? Uzuri wa ccmhaup0 hujawajua
@rebekakulwa61592 ай бұрын
Nasikia kichefichefu nikisikia lifisiyemu humu hatutaki mbogamboga kabisa
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Mwambigija anakibomoa chama kwa makusudi ,chadema mfukuzeni huyu mapema.
@HamzaHeri2 ай бұрын
NDUGU YANGU KAKA YANGU MBOWE MIMI MDOGO WAKO NINA KUSHAURI KUTOKANA NAHIYO MBWAA KOKO YAKO TUNDULISSU AKUFAI WEWE TUMEKUWA WOTE HAPA MJINI KWA KWA HIKMA NABUSARA HUJUWI KUMTUKANA AO KUMDHAU MTUU SASAHUYO MWANA KIJIJI ATAKUSABABISHIA KUONEKANA KAMA NA WEWE HUJITAMBUWI SIUNAONA WAKATI ALIPO KUWA UBELIGI UKIMBIZINI ULIMBUKENI WAKE WA AJABU
@jonathanakhabuhaya16932 ай бұрын
angalia huyu asiisambaratishe CHADEMA.
@ezekieljacob57952 ай бұрын
Mnagombanishwa na vichwa vya habari ili mfungue msikilize ili apate point....ni biashara
@possianokigwinya99882 ай бұрын
Unashida pole.
@LovelyGecko-so6ry2 ай бұрын
Umesema kweli kabisa ila muda utatoa muelekeo thabiti
@kianda9732 ай бұрын
Mmmh....???
@patrickmasele45662 ай бұрын
BUSARA NI KUWAUNGANISHA WANACHAMA WAKO SIO KUWATENGANISHA...
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
"Atagombea hapa ni kwao kwani ni Mkinga huyu"hiyo kauli ni ya kibaguzi haifai hata kidogo.Mwambigija umeteleza na umekosea sana.
@selemanmoses13102 ай бұрын
Ukweli unaponza sana, OK kosa lake ni lipi..?
@zariadunia63282 ай бұрын
Hajakosea wakinga waende kwao kuna mnyakyussa anagombea makete😊😊😊
@zariadunia63282 ай бұрын
Ila Sugu kazi anayo hayo yote ni madongo yake namuhurumia wenye mji wamechoka
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
@@zariadunia6328 kwani chaguzi zote anachaguliwa hakukuwepo na wanyakyusa.Acha ujinga ww.
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
@@zariadunia6328 hawajamchoka ila ingekuwa mimi sugu nisingegombea ningemwachia huyo wanaemtaka tuone kama atashinda mbele ya Tulia.
@revocatusvedastus88932 ай бұрын
mwambukusi multipurpose anagombea popote pale
@user-gy5en6cy8o2 ай бұрын
Duh kumbe chadema ni chama dini 😢wasiokua na dini sijui itakuaje😢
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
Haleluya 😢😢😢😢😢
@user-gy5en6cy8o2 ай бұрын
@@OmmyJames-xn7ji kwaiyo unakubaliana na mm sio kua chadema wadini 😳
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
@@user-gy5en6cy8o NI SUMU KWA JAMII 🤧🤧🤧🤧🤧🤧
@happyjeremiahmhuli40432 ай бұрын
Walaaniwe
@user-jc8el6je5e2 ай бұрын
Mbna Kama unamsema sugu braza
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Mwabukusi atagombea hapa ni kwao kwani ni mkinga huyu ,hiyo kauli si nzuri na haifai.
@jerrymfinanga37732 ай бұрын
mbn simjuiii huyuu
@gwantwamwalyaje85152 ай бұрын
Mwambigija Ninakuelewa Lkn Umekosea my friend Kusema Mwabukusi Angeenda Act Mngeponea Wap Umekosea Sana Hata Angeenda Act Bado Chadema Inanguvu Wote Tunahitaajiana Kwa Pamoja
NA MIMI NINA WASI WASI SANA NAYE HUYU ANAWEZA AKAWA NI NYOKA HATARI SANA!!!!! NA KAMA SI NYOKA BASI HANA HEKIMA MANENO YAKE SI SALAMA KWA CDM HATA KAMA HAYO ANAYO YASEMA YANA UKWELI.
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
@@FrankMwakatundu-cu6bd uko sahihi .Mwambigija ana mwelekeo wa kukibomoa chama kabisa.yaani kwa kauli zake hizi za hovyo anamwelekeo huo kabisa.
@thomasmallya29722 ай бұрын
Tukisema chadomo ni chama watu flani muwe mnatuelewaa
@AbelNelson-lt2ql2 ай бұрын
Tatizo la huyu mnyakyusa mwenzangu ni umimi wake na kumwona sugu kama mkimbizi mbeya, kakimbia tujuyu alikogombea anapambana na sugu kwa hila zake, alafu napenda sana kutumia unyakyusa kumnyanyasa sugu kama mtu asiyefaa kwa ukinga wake ni mambo ya kijinga sana. Niliwambia wafuasi wake kuwa mwambigija hana vision mkimfuata mtaenda na maji chadema ni taasisi kubwa inaweza kumwengua yeyote mleta mitafaruku hawakuelewa badaye walitupwa wote nje ya uongozi wa chama na wengine kutimuliwa.
Kwa ushauri wangu tofauti zenu viongozi mliokusudia kujenga nyumba nyumba embu jaribuni kuyamaliza ndani mnakiuwa iko chama wenyew kwa mikono yenu siyo busara hata kidogo kutoka hadharani nakussemana kijinga kama ivo.
@ndogoroedson1992 ай бұрын
Et waziri mkuu wa mbeya! Mpumbavu mkubwa chama ni tasisi c mali ya mtu ni mali ya watu! Ohooo mnaanza kuchambana wenyewe! Huna akili yoyote we kenge danganyaga wajinga
Chadema mlimuua chacha wangwe kwa uroho wa madaraka na hiyo laana haitawaacha mpaka msambaratike
@charleslukumai78752 ай бұрын
Kumbe unao ushahidi wa mauaji, halafu hutaki kuutoa kwa vyombo husika!!? Basi wewe ni mshirika wa hayo mauji, na vyombo husika vinatakiwa vikuchukulie hatua stahiki. Au wewe ni yule kijana wa uvccm Kagera?
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Kwani mwabukusi ni mwanachama wa chadema?mwambigija mbona kama ww ni wa hovyo sana.Mwabukusi sio mwanachama wa chadema.Subiri mwabukusi ajiunge chadema ndiyo umsemee ila kwa sasa unakwenda kinyume na taratibu za chama.unaonekana ni mtu mzima lakini huna hekima wala busara.kauli zako za leo hazifai hata kidogo.
@hajihassan54332 ай бұрын
Hujuwi siasa kutoka chama hakuhitaji tamko wala barua, ukisimama tu jukwaa la chama kingine maana yake ameachana na chama cha zamani.
@davidsimbeye15482 ай бұрын
Sasa hapo unajenga chama au unakibomoa?
@MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын
Anakibomoa chama kabisa huyu hafai hata kidogo
@thobiasmarandu2142 ай бұрын
That is Being Stupid
@paullutegwa-lo7bv2 ай бұрын
Cotoon
@antipasmkude37892 ай бұрын
CHADEMA Muwe Makini na mapandikizi ya Ccm. Wanapandikizwa kuharibu CDM.
@johnmalembo64642 ай бұрын
Broooooo Nimekukubali....... Natamani niwe mwanafunzi wako katika siasa.... Iwe her kwako..
@hezronsanga51972 ай бұрын
Mmmmmh ninamashaka na ww ila Chadema chama makin sana acha siasa ndan ya chadema
@user-yh3dv2bl7u2 ай бұрын
Pongez makamanda wetu kwakujitoa kulitetea taifa letu linaenda kubaya