Dk Bashiru aibua shangwe Bungeni, amtaja Magufuli akieleza UDSM kilivyotoa viongozi wakubwa Afrika

  Рет қаралды 45,797

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

2 ай бұрын

Mbunge wa Kuteuliwa, Dk Bashiru Kakurwa ameibua shangwe miongoni mwa wabunge baada ya kueleza jinsi ambavyo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimekuwa na mchango mkubwa kwenye maendeleo ya sekta ya elimu ikiwemo kuzalisha viongozi wakubwa akiwemo Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson, Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Hayari Rais John Garang aliyekuwa Rais wa kwanza wa Sudan Kusini na Hayati Dk John Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania.
Dk Bashiru ameyasema hayo wakati akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, jijini Dodoma leo Mei 8, 2024.

Пікірлер: 51
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s 2 ай бұрын
Bashiru Ally kakurwa ni kiongozi mzalendo kwelikweli. Namkubali mnooooo.
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 2 ай бұрын
Hamumjui
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 2 ай бұрын
Mzalendo aliekuwa anatoa roho za watu
@geey7893
@geey7893 2 ай бұрын
Baba yako amemtoa roho akiwa anafanya nn​@@kellyngogo3319
@williummaroseck7366
@williummaroseck7366 2 ай бұрын
Hongera Sana father Dr bashiru watalaam wanamna hiyo ndiyo tunaowahitaji safiiii
@MedardMushobozi
@MedardMushobozi 2 ай бұрын
MUNGU akupe Maisha marefu sana Dk
@barakamanga5502
@barakamanga5502 2 ай бұрын
Hapo ndipo unapoona shule ipoje, Yani unapandishwa cheo hafu mshahara uleule wa zamani
@jrkaluli5638
@jrkaluli5638 Ай бұрын
Mara nyingi Taifa letu liko nyuma ya wakati. Kuanzia kauli mbiu hadi vitendo. Tunahitaji dira na mikakati sahihi zaidi
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 ай бұрын
Hiyo sheria ya utumishi ibadilishwe haraka sana inaua taasisi za umma zinazojitegemea, utumishi wanaharibu hizi taasisi kwa kuchelewesha mipango yao na pia kuajiri kwa niaba ya hizi taasisi wafanyakazi wa hovyo kwa maslahi yao binafsi. Hatua ichukuliwe sasa kuwa poka hayo mamlaka haraka sana
@jonasamos555
@jonasamos555 2 ай бұрын
Kuna mpango mzuri unakuja naona magwiji sasa wanaongea
@daudinyanda2499
@daudinyanda2499 2 ай бұрын
Huyu jamaa ni Genious sanaa kama hujaenda shule kumuelewa ni ngumu sana.
@billyrique
@billyrique 2 ай бұрын
Hili ni tatizo kwa kada mbalimbali serikalini. Wananapanda cheo kilichopaswa mfanyakazi kuwa nacho miaka 7 iliopita. Hakika hili ni tatizo. Hope watabadili hizi sheria ili iwanufaishe watu wote hasa wafanyakazi wa vyuo vyoote vya serikali.
@Jal210
@Jal210 2 ай бұрын
Mama SAMIA uliufyata wapambe huyu ni Jembe ambaye angeweka Mambo mazuri kwenye chama na serikali
@neddon5822
@neddon5822 2 ай бұрын
Dr Bashiru umeongea point muhimu. Unao uzoefu mkubwa sana
@PauloJhon-qv8cx
@PauloJhon-qv8cx 2 ай бұрын
Hongera sana bashiru
@edwarddaniel7459
@edwarddaniel7459 2 ай бұрын
Critical. Thinker wanaongea
@JUMAOMARI-pp8fe
@JUMAOMARI-pp8fe 2 ай бұрын
Facts one🤝🏻🤝🏻
@paulrwechungura4284
@paulrwechungura4284 2 ай бұрын
Hatari
@user-ey2oe8zx6z
@user-ey2oe8zx6z 2 ай бұрын
Muhuza ndizi wa zaman na msomi aliyebobea anatema cheche zake
@EdiphonceNdibarema
@EdiphonceNdibarema 2 ай бұрын
Wewe ni raisi ujae makonda ni waziri mkuu ajae
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 2 ай бұрын
Na haitatokea kwa jona la Yesu
@boneventuremweya3673
@boneventuremweya3673 2 ай бұрын
Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akipewa media kuongea Baada ya kupewa mrija wake kufyonza asari ya taifa ubongo akaushusha tumboni akawa mtu wa kejeri na kutukuza utawala wa kibabe na kidikiteta ndo mana anataja hadi majina ya madikiteta waliosoma Udsm akina m7 na mtetezi wa wanyonge ni sifa za chuo chetu ni muhumini mtiifu wa tawala za kiimla.
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 2 ай бұрын
Exactly wewe umenena👍
@dr.philpojohn4800
@dr.philpojohn4800 2 ай бұрын
Huu mchango mzuri sana.Dkt.Bashiru umeongea vema sana!
@hamisiizadini3938
@hamisiizadini3938 2 ай бұрын
😢
@wazirishipula5040
@wazirishipula5040 2 ай бұрын
@kindysuleiman5935
@kindysuleiman5935 2 ай бұрын
Mbunge baada ya kuzunguzia jamii anazungumziati
@Kajunakabyemela
@Kajunakabyemela 2 күн бұрын
kakuru, ogambe bike ensi yaitu eina olwango
@AndreaAmbros-kw2he
@AndreaAmbros-kw2he 2 ай бұрын
Hatutaki historia ya mtu leta hoja zinazomnufaisha watanzania
@samkitwima7933
@samkitwima7933 2 ай бұрын
Wajinga pekee ndio hawathamini wala kujifunza kutokana na yaliyopita. Kama hujui unapotoka utajuaje unapokwenda?? Kuna mda ni bora kukaa kimya kuliko kudhihirisha uwaki ulionao.
@geey7893
@geey7893 2 ай бұрын
Watu wenye akili wakiongea nchi inatulia
@lweganwatilubuzya8183
@lweganwatilubuzya8183 2 ай бұрын
Huyu mwamba namkubali sana
@pauloropian2367
@pauloropian2367 2 ай бұрын
Bunge la kupiga makofi tu hawana lolote.
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 2 ай бұрын
Anaongea mwana taaluma makofi lazima wewe ubaki na roho mbaya tu
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 2 ай бұрын
Jembe.
@nurumligo4862
@nurumligo4862 2 ай бұрын
Mwanga hauzibiki
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 2 ай бұрын
Afadhali umemutaja jpm
@user-mg7jj1hm2t
@user-mg7jj1hm2t 2 ай бұрын
Dr.Bashir ni KADA MAHILI NA JEMBE WA C.C.M (HONGERA)
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 ай бұрын
Sasa mchango gani kama sio kunukuu tuuu basi
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 2 ай бұрын
H Kongole kwako omwana wo omuka
@user-mi3bi3fj3s
@user-mi3bi3fj3s 2 ай бұрын
Tunamis saut hizo na maneno yenye mwelekeo ya uzalendo
@mauamkamba4906
@mauamkamba4906 2 ай бұрын
Ningeshangaa amalize hotuba bila kumtaja
@romanamassawe814
@romanamassawe814 2 ай бұрын
Mbona mijinga inapiga makofi bila hata kujua mtu ataongea Nini !. Naona Kama Bunge limejaa mijinga
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 2 ай бұрын
JPM mzalendo alitamani atuvushe
@oscarmisiru9725
@oscarmisiru9725 2 ай бұрын
Heee
@valenakomba7686
@valenakomba7686 2 ай бұрын
HIVI MUSEVEN NAYE KASOMA CHUO KIKUU?
@user-gd1ww1px3s
@user-gd1ww1px3s 2 ай бұрын
😅😅😅
@richardbegga6679
@richardbegga6679 2 ай бұрын
Nchii inaelekea Pazuri huoni huko Kusini gari haziendi Barabara zimesombwa na Maji
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 2 ай бұрын
Ni janga na majanga ya mvua hakuna nchi duniani inayoweza zuia mvua.
KIKWETE "MAGUFULI SIKUKWAMBIA YULE MSUKUMA UMFUKUZE KAZI"
4:14
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 19 М.
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 38 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 21 МЛН
VIDEO: Trump speaks at NABJ Convention in Chicago
36:28
WGN News
Рет қаралды 2,5 М.