TUNDU LISSU AKIONGEA MBELE YA VIONGOZI WA BARAZA KUU LA CHADEMA

  Рет қаралды 73,232

Chadema Media TV

Chadema Media TV

3 жыл бұрын

TUNDU LISSU AKIONGEA MBELE YA VIONGOZI WA BARAZA KUU LA CHADEMA

Пікірлер: 102
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 3 жыл бұрын
Alhamdulillah Rabilallamin, Mwenyezi Mungu mkubwa, Allah azidi kukupa kila unalolitilia nia lenye heri na wewe pamoja na wananchi kwa ujumla.✌✌✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤❤❤
@michaelmwaluko2882
@michaelmwaluko2882 3 жыл бұрын
Kama wajumbe mpo gonga like yako
@bonaventurasheshe961
@bonaventurasheshe961 3 жыл бұрын
Ni Yeye 2020. Lissu mbeba maono na manusura wa kifo lisasi 16 ambapo haijawah tokea na huu ni muujiza unaotembea. Ni Yeye 2020. Straight forward and brilliant Hon. Antipas Lissu.
@davidbochela1441
@davidbochela1441 3 жыл бұрын
Mzimu uliobadiri umbo
@maxesh5135
@maxesh5135 3 жыл бұрын
Huyu Ndio Lissu sasa,,,,...., brilliant guy
@jokelimasamaki2800
@jokelimasamaki2800 3 жыл бұрын
Big up rissu rais mtarajiwa
@danrappergangamaa1190
@danrappergangamaa1190 3 жыл бұрын
Ilove u TUNDU LISU
@moseslaizer538
@moseslaizer538 3 жыл бұрын
Mungu akuongoze mheshimiwa pamoja sana
@messageofloveandhope4249
@messageofloveandhope4249 3 жыл бұрын
"What doesn't kill you makes you stronger"...Germany Philosopher ..Fredrich.
@primostemba
@primostemba 3 жыл бұрын
Lissu 2020 🔥💯
@rosemongi5273
@rosemongi5273 3 жыл бұрын
Mta tapatapa sana ,labda urud ubelijiji lakn sio tzn,Jpm hoyeeeee
@kokombwana8625
@kokombwana8625 3 жыл бұрын
@@rosemongi5273 Oyee! Lakini apewe nafasi kwenye vyombo vya habari kama anavyopewa JPM ili wananchi waamue
@johnisrael1968
@johnisrael1968 3 жыл бұрын
Mungu aliye kuokoa na wauaji wako Dodoma aatakupigania na kukutunza daima.you're the chosen person
@danielmanyama4504
@danielmanyama4504 3 жыл бұрын
Huyu MTU anajiamini sana!
@hashimuhehwa3780
@hashimuhehwa3780 3 жыл бұрын
Mwanaume huyo
@abuufauzaanmohd447
@abuufauzaanmohd447 3 жыл бұрын
Tena sanna
@onesmomasala-rg2wd
@onesmomasala-rg2wd 6 ай бұрын
Nakuelewa tundu lissu
@primostemba
@primostemba 3 жыл бұрын
Ni yeye 2020
@obeidmpombwe9951
@obeidmpombwe9951 3 жыл бұрын
Anaakili mno
@user-cx9es4yj7q
@user-cx9es4yj7q 3 жыл бұрын
Confidence💯 💕
@user-bq4tk6yq2q
@user-bq4tk6yq2q 3 ай бұрын
Tundu lissu namkubali
@mkalimwenziotz5696
@mkalimwenziotz5696 3 жыл бұрын
Dah! Wewe ndo Rais tunayemuhitaji
@mwinyitoreira2339
@mwinyitoreira2339 3 жыл бұрын
hakuna cha kusema zaidi! Mungu aendelee kukulinda kwa rehma zake!....!!!
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 3 ай бұрын
Huyu jamaa hana akili nyingi Sanaa, jinsi alivyoanza hutuba yke ,very creative mind kuwaita viongozi instead of wajumbe chawa amewakataa ,,,The future president ..God bless u and ur family always 😊😊
@jacobkajeje7920
@jacobkajeje7920 Жыл бұрын
Pamoja sana
@masoudsalum9514
@masoudsalum9514 3 жыл бұрын
Lissu ni chuma lazima kivunje jiwe lile
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 3 жыл бұрын
Yeah Hon. Tundu Antipas Lissu is the greatest strongly and confidence. Of course the good leadership.
@allygregory8682
@allygregory8682 3 жыл бұрын
Nafkri anafaa kuwa rais
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 3 жыл бұрын
Wajumbe si watu wazuri!!!
@joshuakimario1528
@joshuakimario1528 3 жыл бұрын
Unajiamini hivyo
@eliudmahali3619
@eliudmahali3619 3 жыл бұрын
Congration to you
@fabianycharles3954
@fabianycharles3954 3 жыл бұрын
Asante...
@Tanzaniawildcats
@Tanzaniawildcats 3 жыл бұрын
Awesome meeting
@hamisijuma8124
@hamisijuma8124 9 ай бұрын
Unatuletea kikao cha miaka 5iliyopita inasaidia nini
@modestmasuba4155
@modestmasuba4155 3 жыл бұрын
Rais wetu huyo
@dullahdullah5499
@dullahdullah5499 3 жыл бұрын
Tunakuamini kaka
@joshuakimario1528
@joshuakimario1528 3 жыл бұрын
Lissu unalala wap
@sonuswai7596
@sonuswai7596 3 жыл бұрын
🤣🤣
@hassanimngetege2904
@hassanimngetege2904 3 жыл бұрын
Chizi kalogwa tena hahahaha rahisi wa chadema
@leonardrafaelimungunimwema5284
@leonardrafaelimungunimwema5284 Жыл бұрын
Unachomelea dirisha jiko la kupika eti kodi to jamani mama wetu afee na njaa kisakodi irudi Kama zamani mpo
@dullawax8799
@dullawax8799 Жыл бұрын
Mh lisu unafaa uwe mgombea uraisi
@richardhosea8827
@richardhosea8827 3 жыл бұрын
Nyarandu soma alama
@neemamahenge376
@neemamahenge376 3 жыл бұрын
Tunakuamini kiongozi
@evelina9621
@evelina9621 9 күн бұрын
Mshimiwa.mbowe.kazana.usiyumbe.uwe.kama.kama.nabii.gidion.aripelika.watu.kuwa.pima.wanolamba.maji.mtoni.kam.mbwa.ndio.wapiganaji.wakipita.mto.sas.chedema.fanyeni.hivo
@primostemba
@primostemba 3 жыл бұрын
Wajumbe like za kijumbe
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 3 жыл бұрын
Watanzania tumuelewe vizuri point zake anachoitaji ushindi wa kisiasa.ahahahaha
@davidbochela1441
@davidbochela1441 3 жыл бұрын
Kumbe mlitrajia mabilioni na kumbe sivyo....
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 4 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.
@robertkato5868
@robertkato5868 3 жыл бұрын
Tundu wewe ni mjuzi mzuri sana wa sheria na sheria uendana na hoja hivyo kuna tofauti kubwa ya uongozi na ubobevu wa hoja na hasa nchi masikini kama tz yenye rasilimili bila teknolojia na mitaji na umasikini wa kutosha kwa watu wake nafikiri kwa sasa tunaitaji mtu imara, na mwenye akili huru,msimamo dhabiti hata kama yataigharamu nchi muhimu tu ni kutetea rasilimali zetu kwa maana ndio utajiri wetu. Kwa vita vya kiuchumi vilivyopo ikulu na hasa wenye chama chako walizaliwa siku ya ela duniani wako tayari kuuza chochote wapate ela basi uwezi kuwa rais wa nchi hii inawezekana kwa kiasi una sifa lkn kiti ulichokalia kutufikia si salama hata kidogo.
@frankmaestro9726
@frankmaestro9726 3 жыл бұрын
Huyu hafai kuwa raisi hata kidogo
@leonardrafaelimungunimwema5284
@leonardrafaelimungunimwema5284 Жыл бұрын
Ogea baba kuliko rais wa ji ji na wilaya jipe moyo
@adamkaogo1931
@adamkaogo1931 3 жыл бұрын
Mia kwa mia
@davidbochela1441
@davidbochela1441 3 жыл бұрын
Hii hotuba Nyalandu inakuhusu.
@nessa4899
@nessa4899 3 жыл бұрын
Haya sasa ma silent killers, mmesha julikana plan zenu. tabu sana
@lugembesweya3288
@lugembesweya3288 3 жыл бұрын
Sasa nahisi unataka urais chadema sio mtz
@davidbochela1441
@davidbochela1441 3 жыл бұрын
Uzoefu wa Nyalandu Ni wa mashaka?
@pasikomwafongo4679
@pasikomwafongo4679 3 жыл бұрын
Mbuzi Mafia kwa muza supu
@djaysamtzm950
@djaysamtzm950 3 жыл бұрын
Hakuna mgombea hapo/huyo atawauza MapemA sana shaur yenu
@kokombwana8625
@kokombwana8625 3 жыл бұрын
Mmh
@allenmwambala6900
@allenmwambala6900 3 жыл бұрын
We uko juu ya sheria?
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 3 жыл бұрын
Jamhuri ya muungano upi ? Mzee tatizo hilo.
@mfaumeseif5872
@mfaumeseif5872 3 жыл бұрын
Chuma kimesima
@awadhsaleh2354
@awadhsaleh2354 3 жыл бұрын
And the rest and the other two were not in the office today and they were not able to make any changes to
@magorimagori9264
@magorimagori9264 3 жыл бұрын
watu ni wanafiki sana..huyu kilema akiwa nje ya nchi mlikua mnambeza sana.sasa amerudi mmeanza kumsifia eti ni brolliant guy..acheni kupoteza muda..rais wa nchi hii ni Mh.DR.JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI tu.sasa subirini mziki wetuuuuuuuu
@innocentcp845
@innocentcp845 3 жыл бұрын
Hakuna aliye omba kuwa mlemavu c kauli nzuri. Kumbuka wewe ni mlemavu mtarajiwa. Haitoshi bora kulemaa viugo kuliko akili.
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
hata babako anaweza kuwa kilema fala we
@innocentcp845
@innocentcp845 3 жыл бұрын
Nawaomba tumieni hoja kwenye comment na sio maneno kama kilema. Neno hilo ni kutudharau na kutudhalilisha walemavu. Haitoshi nikujisahau kuwa tupo walemavu na mpo walemavu watarajiwa. Hakuna aijuae kesho yake. Siasa ni urafiki na sio uadui.
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
@@innocentcp845 waambie hao mazombi ya ccm, hawajui km ujafa ujaumbika
@norbertkauzeni1324
@norbertkauzeni1324 3 жыл бұрын
Uchaguzi huru , wabunge waliendaje bungeni.
@asafudaudi1230
@asafudaudi1230 3 жыл бұрын
Tatizo ni uraisi matokeo ya ubunge yanahojiwa mahakamani matokeo ya uraisi hayahojiwi
@japhetyanania8589
@japhetyanania8589 3 жыл бұрын
Jembe jembe..
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 3 жыл бұрын
Trying and tested nimemuelewa hivi (He not sure that why he try and test.
@kato_tz
@kato_tz 3 жыл бұрын
Umekosea kidogo ndugu mjumbe Mr. Shabani, ni tried and tested, yaani amejaribiwa na kuyapata hayo majaribu,
@MutalemwaBiashara
@MutalemwaBiashara Ай бұрын
Tuko na wewe tu mpaka kiwereweke
@emilianpasiens7919
@emilianpasiens7919 3 жыл бұрын
Love you Tundu Lissu!
@isaackalenge8194
@isaackalenge8194 Жыл бұрын
CCM Hawawezi kukubari mabadiriko
@allenmwambala6900
@allenmwambala6900 3 жыл бұрын
Toa hoja husishutumu serikari sema utakacho wafanyia watu,
@chondebabatz5477
@chondebabatz5477 3 жыл бұрын
Subir akifika kwa wananchi
@kokombwana8625
@kokombwana8625 3 жыл бұрын
Atoe hoja ya namna gani?
@allenmwambala6900
@allenmwambala6900 3 жыл бұрын
Kura ndo zitaongea ccm itashinda kwa kishindo, wajumbe wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
@kokombwana8625
@kokombwana8625 3 жыл бұрын
@@allenmwambala6900 Ni kweli ccm itashinda,lakini ni vizuri uwanja wa kufanya siasa ukawa sawa ili malalamiko yasiwepo
@allenmwambala6900
@allenmwambala6900 3 жыл бұрын
Watu tunajuwa na tuliona na tunaona kinacho endelea lakini tundu lisu anaonyesha jirasi ya wazi kati yake na ccm na viongozi wake ata akipata muda wote atakuwa kwenye mvutano ,na visa tu.
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 4 ай бұрын
Sasa basi
@depaolo3461
@depaolo3461 3 жыл бұрын
😂😂😂😂kzfaq.info/get/bejne/lc9hasiBmJ7DpJc.html.. mkitoboa sijui
@allenmwambala6900
@allenmwambala6900 3 жыл бұрын
C lolote huwezi kuwa Rais wa tanzania
@saxannjo6173
@saxannjo6173 3 жыл бұрын
HATUTAKI WANAHARAKAT IKULU.... TUNATAKA WALETA MAENDELEO KM JPM... FULL STOP
@adamnasib7928
@adamnasib7928 3 жыл бұрын
Hutaki wewe tu wanaharakati ndo walioleta hata uhuru wawaafrika muangalie Marti lutherking
@kobelochamanga9757
@kobelochamanga9757 3 жыл бұрын
Maendeleo yatakuja kuliko ya ccm muda wao wa utawala wote iyo chadema nchi Zima maji safi na salaama elinu bora sio bora elimu nakuweka mifumo mizuri ya kujitawala
@suleimanrashid58
@suleimanrashid58 3 жыл бұрын
ww unafaa kuwa raisi wa nchi hii kwani una majaraha na uchungu kwa madhila na kadhya kwa ulioyapata.
@sonuswai7596
@sonuswai7596 3 жыл бұрын
Wewe uko yuma kweli!!!
@eventelias3566
@eventelias3566 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kuna watoto walizaliwa na ubishi mkononi 😀😀Lissu kama Lissu ni master
@piusraymond8226
@piusraymond8226 3 жыл бұрын
Sapotini tuu watuwenyewe hamna hata hela ya kula ikitokea vulugu huyo anakimbilia kwa wazunguwake nyny je mtaendawp mcklizeni tuu huyo kiaz muone
@user-cx9es4yj7q
@user-cx9es4yj7q 3 жыл бұрын
kama hau-support 🤫🤒😷
@davidbochela1441
@davidbochela1441 3 жыл бұрын
Siri imevija,walimchagua Lowasa kwa kutegemea mamilioni,anamsuta Mbowe.
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 3 жыл бұрын
Wewe unazungumzia siasa nilijua unazungumzia maendeleo kumbe siasa ni maslahi yako na familia yako jombaa ushachemka.*******
@rosemongi5273
@rosemongi5273 3 жыл бұрын
Watanzania tunajielewa ss fala wewe usituletee imla wewe jpm ni wa kipekee hana mpinzani ccm ni no1 jpm hoyeeeeeee
@dottomkumba262
@dottomkumba262 3 жыл бұрын
Wewe fala mmoja kacheze unakoche kama huyo magu anakutosha ni wewe bwege wee
@user-cx9es4yj7q
@user-cx9es4yj7q 3 жыл бұрын
mshenzi kwel ...... you're illetrate
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 3 жыл бұрын
Magu kawapoza kawarudisha !! Wananchi tutaendeleza spana kama wajumbe!!
Full Debate: Biden and Trump in the First 2024 Presidential Debate | WSJ
1:38:19
The Wall Street Journal
Рет қаралды 18 МЛН
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 6 МЛН
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 14 МЛН
бесит старшая сестра!? #роблокс #анимация #мем
00:58
КРУТОЙ ПАПА на
Рет қаралды 3,4 МЛН
OMG😳 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:58
Potapova_blog
Рет қаралды 4,2 МЛН
Samia AMCHANA "Tundu Lissu" UKWELI Bila KUKWEPESHA!
33:37
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 200 М.
KAULI YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YAZIDI KUZUWA TAHARUKI
5:36
Chadema Media TV
Рет қаралды 820
Taarifa ya LEMA Yasambaa DUNIA NZIMA, Nchi YATIKISIKAA!!!!
19:42
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 97 М.
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 6 МЛН