TUNDU LISSU AKIONGEA MBELE YA VIONGOZI WA BARAZA KUU LA CHADEMA
Пікірлер: 102
@sasha-ri7tf3 жыл бұрын
Alhamdulillah Rabilallamin, Mwenyezi Mungu mkubwa, Allah azidi kukupa kila unalolitilia nia lenye heri na wewe pamoja na wananchi kwa ujumla.✌✌✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤❤❤
@michaelmwaluko28823 жыл бұрын
Kama wajumbe mpo gonga like yako
@bonaventurasheshe9613 жыл бұрын
Ni Yeye 2020. Lissu mbeba maono na manusura wa kifo lisasi 16 ambapo haijawah tokea na huu ni muujiza unaotembea. Ni Yeye 2020. Straight forward and brilliant Hon. Antipas Lissu.
@davidbochela14413 жыл бұрын
Mzimu uliobadiri umbo
@maxesh51353 жыл бұрын
Huyu Ndio Lissu sasa,,,,...., brilliant guy
@jokelimasamaki28003 жыл бұрын
Big up rissu rais mtarajiwa
@danrappergangamaa11903 жыл бұрын
Ilove u TUNDU LISU
@moseslaizer5383 жыл бұрын
Mungu akuongoze mheshimiwa pamoja sana
@messageofloveandhope42493 жыл бұрын
"What doesn't kill you makes you stronger"...Germany Philosopher ..Fredrich.
@primostemba3 жыл бұрын
Lissu 2020 🔥💯
@rosemongi52733 жыл бұрын
Mta tapatapa sana ,labda urud ubelijiji lakn sio tzn,Jpm hoyeeeee
@kokombwana86253 жыл бұрын
@@rosemongi5273 Oyee! Lakini apewe nafasi kwenye vyombo vya habari kama anavyopewa JPM ili wananchi waamue
@johnisrael19683 жыл бұрын
Mungu aliye kuokoa na wauaji wako Dodoma aatakupigania na kukutunza daima.you're the chosen person
@danielmanyama45043 жыл бұрын
Huyu MTU anajiamini sana!
@hashimuhehwa37803 жыл бұрын
Mwanaume huyo
@abuufauzaanmohd4473 жыл бұрын
Tena sanna
@onesmomasala-rg2wd6 ай бұрын
Nakuelewa tundu lissu
@primostemba3 жыл бұрын
Ni yeye 2020
@obeidmpombwe99513 жыл бұрын
Anaakili mno
@user-cx9es4yj7q3 жыл бұрын
Confidence💯 💕
@user-bq4tk6yq2q3 ай бұрын
Tundu lissu namkubali
@mkalimwenziotz56963 жыл бұрын
Dah! Wewe ndo Rais tunayemuhitaji
@mwinyitoreira23393 жыл бұрын
hakuna cha kusema zaidi! Mungu aendelee kukulinda kwa rehma zake!....!!!
@mchunguliechibwa1983 ай бұрын
Huyu jamaa hana akili nyingi Sanaa, jinsi alivyoanza hutuba yke ,very creative mind kuwaita viongozi instead of wajumbe chawa amewakataa ,,,The future president ..God bless u and ur family always 😊😊
@jacobkajeje7920 Жыл бұрын
Pamoja sana
@masoudsalum95143 жыл бұрын
Lissu ni chuma lazima kivunje jiwe lile
@issackchalahani12353 жыл бұрын
Yeah Hon. Tundu Antipas Lissu is the greatest strongly and confidence. Of course the good leadership.
@allygregory86823 жыл бұрын
Nafkri anafaa kuwa rais
@arqamibnarqam.71853 жыл бұрын
Wajumbe si watu wazuri!!!
@joshuakimario15283 жыл бұрын
Unajiamini hivyo
@eliudmahali36193 жыл бұрын
Congration to you
@fabianycharles39543 жыл бұрын
Asante...
@Tanzaniawildcats3 жыл бұрын
Awesome meeting
@hamisijuma81249 ай бұрын
Unatuletea kikao cha miaka 5iliyopita inasaidia nini
@modestmasuba41553 жыл бұрын
Rais wetu huyo
@dullahdullah54993 жыл бұрын
Tunakuamini kaka
@joshuakimario15283 жыл бұрын
Lissu unalala wap
@sonuswai75963 жыл бұрын
🤣🤣
@hassanimngetege29043 жыл бұрын
Chizi kalogwa tena hahahaha rahisi wa chadema
@leonardrafaelimungunimwema5284 Жыл бұрын
Unachomelea dirisha jiko la kupika eti kodi to jamani mama wetu afee na njaa kisakodi irudi Kama zamani mpo
Watanzania tumuelewe vizuri point zake anachoitaji ushindi wa kisiasa.ahahahaha
@davidbochela14413 жыл бұрын
Kumbe mlitrajia mabilioni na kumbe sivyo....
@King_Of_Everything4 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.
@robertkato58683 жыл бұрын
Tundu wewe ni mjuzi mzuri sana wa sheria na sheria uendana na hoja hivyo kuna tofauti kubwa ya uongozi na ubobevu wa hoja na hasa nchi masikini kama tz yenye rasilimili bila teknolojia na mitaji na umasikini wa kutosha kwa watu wake nafikiri kwa sasa tunaitaji mtu imara, na mwenye akili huru,msimamo dhabiti hata kama yataigharamu nchi muhimu tu ni kutetea rasilimali zetu kwa maana ndio utajiri wetu. Kwa vita vya kiuchumi vilivyopo ikulu na hasa wenye chama chako walizaliwa siku ya ela duniani wako tayari kuuza chochote wapate ela basi uwezi kuwa rais wa nchi hii inawezekana kwa kiasi una sifa lkn kiti ulichokalia kutufikia si salama hata kidogo.
@frankmaestro97263 жыл бұрын
Huyu hafai kuwa raisi hata kidogo
@leonardrafaelimungunimwema5284 Жыл бұрын
Ogea baba kuliko rais wa ji ji na wilaya jipe moyo
@adamkaogo19313 жыл бұрын
Mia kwa mia
@davidbochela14413 жыл бұрын
Hii hotuba Nyalandu inakuhusu.
@nessa48993 жыл бұрын
Haya sasa ma silent killers, mmesha julikana plan zenu. tabu sana
@lugembesweya32883 жыл бұрын
Sasa nahisi unataka urais chadema sio mtz
@davidbochela14413 жыл бұрын
Uzoefu wa Nyalandu Ni wa mashaka?
@pasikomwafongo46793 жыл бұрын
Mbuzi Mafia kwa muza supu
@djaysamtzm9503 жыл бұрын
Hakuna mgombea hapo/huyo atawauza MapemA sana shaur yenu
@kokombwana86253 жыл бұрын
Mmh
@allenmwambala69003 жыл бұрын
We uko juu ya sheria?
@shabanijuma20853 жыл бұрын
Jamhuri ya muungano upi ? Mzee tatizo hilo.
@mfaumeseif58723 жыл бұрын
Chuma kimesima
@awadhsaleh23543 жыл бұрын
And the rest and the other two were not in the office today and they were not able to make any changes to
@magorimagori92643 жыл бұрын
watu ni wanafiki sana..huyu kilema akiwa nje ya nchi mlikua mnambeza sana.sasa amerudi mmeanza kumsifia eti ni brolliant guy..acheni kupoteza muda..rais wa nchi hii ni Mh.DR.JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI tu.sasa subirini mziki wetuuuuuuuu
@innocentcp8453 жыл бұрын
Hakuna aliye omba kuwa mlemavu c kauli nzuri. Kumbuka wewe ni mlemavu mtarajiwa. Haitoshi bora kulemaa viugo kuliko akili.
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
hata babako anaweza kuwa kilema fala we
@innocentcp8453 жыл бұрын
Nawaomba tumieni hoja kwenye comment na sio maneno kama kilema. Neno hilo ni kutudharau na kutudhalilisha walemavu. Haitoshi nikujisahau kuwa tupo walemavu na mpo walemavu watarajiwa. Hakuna aijuae kesho yake. Siasa ni urafiki na sio uadui.
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
@@innocentcp845 waambie hao mazombi ya ccm, hawajui km ujafa ujaumbika
@norbertkauzeni13243 жыл бұрын
Uchaguzi huru , wabunge waliendaje bungeni.
@asafudaudi12303 жыл бұрын
Tatizo ni uraisi matokeo ya ubunge yanahojiwa mahakamani matokeo ya uraisi hayahojiwi
@japhetyanania85893 жыл бұрын
Jembe jembe..
@shabanijuma20853 жыл бұрын
Trying and tested nimemuelewa hivi (He not sure that why he try and test.
@kato_tz3 жыл бұрын
Umekosea kidogo ndugu mjumbe Mr. Shabani, ni tried and tested, yaani amejaribiwa na kuyapata hayo majaribu,
@MutalemwaBiasharaАй бұрын
Tuko na wewe tu mpaka kiwereweke
@emilianpasiens79193 жыл бұрын
Love you Tundu Lissu!
@isaackalenge8194 Жыл бұрын
CCM Hawawezi kukubari mabadiriko
@allenmwambala69003 жыл бұрын
Toa hoja husishutumu serikari sema utakacho wafanyia watu,
@chondebabatz54773 жыл бұрын
Subir akifika kwa wananchi
@kokombwana86253 жыл бұрын
Atoe hoja ya namna gani?
@allenmwambala69003 жыл бұрын
Kura ndo zitaongea ccm itashinda kwa kishindo, wajumbe wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
@kokombwana86253 жыл бұрын
@@allenmwambala6900 Ni kweli ccm itashinda,lakini ni vizuri uwanja wa kufanya siasa ukawa sawa ili malalamiko yasiwepo
@allenmwambala69003 жыл бұрын
Watu tunajuwa na tuliona na tunaona kinacho endelea lakini tundu lisu anaonyesha jirasi ya wazi kati yake na ccm na viongozi wake ata akipata muda wote atakuwa kwenye mvutano ,na visa tu.
HATUTAKI WANAHARAKAT IKULU.... TUNATAKA WALETA MAENDELEO KM JPM... FULL STOP
@adamnasib79283 жыл бұрын
Hutaki wewe tu wanaharakati ndo walioleta hata uhuru wawaafrika muangalie Marti lutherking
@kobelochamanga97573 жыл бұрын
Maendeleo yatakuja kuliko ya ccm muda wao wa utawala wote iyo chadema nchi Zima maji safi na salaama elinu bora sio bora elimu nakuweka mifumo mizuri ya kujitawala
@suleimanrashid583 жыл бұрын
ww unafaa kuwa raisi wa nchi hii kwani una majaraha na uchungu kwa madhila na kadhya kwa ulioyapata.
@sonuswai75963 жыл бұрын
Wewe uko yuma kweli!!!
@eventelias35663 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kuna watoto walizaliwa na ubishi mkononi 😀😀Lissu kama Lissu ni master
@piusraymond82263 жыл бұрын
Sapotini tuu watuwenyewe hamna hata hela ya kula ikitokea vulugu huyo anakimbilia kwa wazunguwake nyny je mtaendawp mcklizeni tuu huyo kiaz muone
@user-cx9es4yj7q3 жыл бұрын
kama hau-support 🤫🤒😷
@davidbochela14413 жыл бұрын
Siri imevija,walimchagua Lowasa kwa kutegemea mamilioni,anamsuta Mbowe.
@shabanijuma20853 жыл бұрын
Wewe unazungumzia siasa nilijua unazungumzia maendeleo kumbe siasa ni maslahi yako na familia yako jombaa ushachemka.*******
@rosemongi52733 жыл бұрын
Watanzania tunajielewa ss fala wewe usituletee imla wewe jpm ni wa kipekee hana mpinzani ccm ni no1 jpm hoyeeeeeee
@dottomkumba2623 жыл бұрын
Wewe fala mmoja kacheze unakoche kama huyo magu anakutosha ni wewe bwege wee
@user-cx9es4yj7q3 жыл бұрын
mshenzi kwel ...... you're illetrate
@raphaelsamwel26403 жыл бұрын
Magu kawapoza kawarudisha !! Wananchi tutaendeleza spana kama wajumbe!!