Hizo ni fingisu zilizotumika solo la mbagala zakhiem
@alimuse698026 күн бұрын
Hongera Mkuu wa mkowa👍💪🇹🇿
@jellyyatta759726 күн бұрын
Mm mzima nani
@geofreychitamu36625 күн бұрын
Nchi inaongozwa na sheria au matajiri wenye nguvu ya uchumi na ulinzi?
@musandile814225 күн бұрын
Nchi hii ni ngumu sana masikini hana thamani kabisa kwa sasa
@frankchuwa496225 күн бұрын
Watu wanaumia na wananjaa kuongea nao inabidi kuwa na hekima na busara ya hali ya juu ,uongozi ni dhamana tu.
@geofreychitamu36625 күн бұрын
Pesa zitakazokusanywa na halmashauri ni kwa manufaa ya nani?
@tisamokebulemasubugu622220 күн бұрын
Huu Mradi wa kujenga Karakana pelekeni nje ya Maji Karakana sio ya kujenga Hapa mijini na Eneo la Soko la Wafanyabiashara wadoga na kama wataondolewa Hapa ni kuuwa mitaji Yao na kuandaa wafungwa Kwani kuna walio na mikopo hawataweza kuilipa hiyo mikopo Kwani hawatakuwa na kipato tuiombe Serikali isiondowe kituo cha Stendi hatutakuwa na wateja na Soko linawekwaje Nyuma ya Karakana?
@brunondongolo982026 күн бұрын
Chalamila kuweni na mpango endelevu sasa hivi serikali haina ajira na vijana wetu wengi bado wanaongezeka
@getrudematee989925 күн бұрын
Kodi ya hivyo vibanda wafanyabiashara wataweza?
@kaaakwakutuliaa517926 күн бұрын
mchawi ni ccm
@GodfreyOsward26 күн бұрын
Mfumo wa uchumi,ulivulugwa na mabepari wa kimataifa. Changamoto waemekosekana watoto wa Africa kupambana na mfumo huo ya uchumi, panua Wigo. Kenya KANU ilikufa, waliofuata vipi? Zambia, Zimbabwe, south A, Mistri, Sudan , Nijer, Mali, Kongo, Burkina Faso, huko kote Hakuna CCM wala CHADEMA. Tupanue wiko wa kufikiri Jamani.