Рет қаралды 46,661
Msanii wa bongo movie na mzazi mwezake na Ray Kigosi, Chuchu Hansy pamoja na kukataa kuongelea mahusiano yake na Ray kwa sasa amesema hawezi kumchukia Ray hata siku moja kwa kuwa atabaki kuwa baba wa mtoto wake hata kama wakiachana.