#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya Mwanaharakti Fatma Karume katika kipindi cha #Shajara ya #CloudsTv na mtangazaji Babbie Kabae.
Пікірлер: 370
@raymondswai55555 ай бұрын
Shangazi nakupenda sana na kwa moyo wa dhati Si kimahusiano, maana hili li nchi 90% hatumiii ubongo ( kichwani) kutafakari, tumenyoshwa maji ya chooni,,m c.c 😊😊 uokoo very bright shangazi
@marianajohn54154 ай бұрын
Shangazi ❤❤❤❤❤❤ ni mmoja tu! Naye ni madam Fatma🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@mussamwamoto82316 ай бұрын
nimeipenda hii interview.sijawahi kumsikiliza ktk maisha nje ya kazi.nimemuelewa fatma huwa anaishi yeye kaka yeye sio kwa ajili ya .
@amourmtungo6236 ай бұрын
Asante kwa kushea. Mimi mchango wangu kwa Watanzania wengi wenye kujenga chuki kwa watu = haters. Mchukie mtu kwa vitendo vibaya alivyofanya na sio maneno aliyosema. Wazungu husema “actions speak louder than words”. Vitendo vina nguvu zaidi ya maneno kwahio tusichukiane bure ni mambo ya kijinga
@ChristinaOnditi-el3xo7 ай бұрын
Pole sana wifi yangu Fatma ,tunepotezana lkn nitakutafuta inshaallah,kuhusu ndoa rizki inshaisha tumuachie Allah japo kipindi kile Cha harakati zako kiilikua kigumu sana kwako na nilikua nahofia sana Hilo cos mwanamke ukiwa unapambana Kwa ujasiri mkubwa kiasi kile,wanaume zetu hua hawaelewi,Kuna maisha mengine baada.ya mapambano na simanzi. Enjoy the moment my love
@wilsonelias90125 ай бұрын
Acha kutetea ujinga hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni anajua kila kitu, jitu lina miaka 60 linaongea kama binti wa miaka 20
@caritasmushi4616 ай бұрын
Fatma umejibu vizuri sana na you are a down to earth person but with principles. Keep it up my dear
@winniefridamutakyawa59435 ай бұрын
Shangazi hongera sana unafaa kuwa kiongozi wa ngaxi za juu nchini.Nakupenda sana kwa ujasili ulionao ni kipaji .Mungu akubariki sana uko vizuri saaaaana.Ungekuwa waziri mkuu hata urais unauweza hata ujaji mkuuu unauweza.Barikiwa sana.
@ndementriavermand80105 ай бұрын
Nampenda sana huyu dada jasiri mkweli mtu wa haki
@billgussy60996 ай бұрын
Intelligent and gorgeous woman
@NyotaTanoTV-gt3od7 ай бұрын
Shajara mtangazaji wangu pendwa kila siku unani surprise I like the way you control the show. Maswali unavyo Uliza alafu unagawa nafasi ya majibu. Fatma mbona hajui Kiswahili vizuri Tena ni mzenji OG? That’s terrible 😮 but all in all this is good interview much love ❤️
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Ameishi sn njee dats the problem
@TaarabChannel7 ай бұрын
Mpitie na kwangu wapenzi ❤
@user-vq2hl4jp1j7 ай бұрын
Aunt tuma❤
@agreymbwilo58746 ай бұрын
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu lugha zote kazoe kuziongea kwenye maisha ya kawaida. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@bakarimmbaga23446 ай бұрын
Binadamu hawana jema, inasikitisha baadhi yenu kutoa maneno ya kuudhi wakati una uhuru wa kumsikiliza au ukaacha!
@officialkmoneyvevo31757 ай бұрын
Mshangazi Una Mguu Bi fatmaa😅❤
@cheka4806 ай бұрын
The one thing she is real not fake
@fatmahamdoun745 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤love hivi ndivyo tulivyo Akina FATMA
@MwanaishaHemed-xi6rj6 ай бұрын
Mashaallah ❤Unamwili nzuri sana mungu akuweke amiin 🤲❤️
@trophywilson72116 ай бұрын
Ila anakaa uchi Mbele ya Mataifa
@amanmyolo53595 ай бұрын
God is good
@user-px1fg3jz4p6 ай бұрын
Pole usihuzunikee mwamwini Allah yeye ndie mpangaji
@mr.yahzadochuno79146 ай бұрын
I love fatma
@cynthiafolonja30507 ай бұрын
Ndoa sio kifungo jamani.... yanini kufia kwenye hamna 😂... Wala huyo sio wa kwanza kuachika .....shangazi anazeeka na urembo wake!!
@yussufhaji33356 ай бұрын
Usomi kweli unaharibu na kubadilisha maadili ya dini yetu ,inna lillahi wainna ilahi rajiuuwun.
@user-vn6vx1qk5i6 ай бұрын
Ni huzuni sana kuona mtoto kama huyu unavomuona sasaiv alivyovaa na kuweka makucha, manywele uchavu tu, kuwa katoka ktk familia tunaambiwa ya kiislam, kwa kweli msiba
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Anakaa uchi tu
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Wasomi ni kama mbwa tu
@moodyzanzibar43365 ай бұрын
labda HII KUKAA UCHI NDIO MOJA YA MATUNDA YA MAPIDUZI
@festinamwakipale39196 ай бұрын
Huyu dada si.ndo.aliifedhehesha.Tanzania kumbe nae.Mungu alimfadhaisha huyu.dada alitetea sana ushoga
@MosiHassan-dx6gc7 ай бұрын
Acheni chuki na hasada aliyepewa kapewa mola ndie amemueka hapo achenichoyo
@yusuphabel55305 ай бұрын
Nampenda sana Shangazi Fatma,ana akili sana na ni mwanamke wa shoka.Mungu ampe maisha marefu.
@hafidhkhalfan16606 ай бұрын
Nampenda sana nataman kumuoa jaman
@charlesmwambinga43557 ай бұрын
Shangazi hapo kwa Nadia Suala la Muungano, lizingatiwe Wapemba🎉🎉🎉🎉 Mnauma meno Sana..wepesi kidogooo ❤❤❤❤❤ Mama Mkwe. Kama mama Mkwee
@sultansallah87726 ай бұрын
Kwani umeambiwa mpemba
@salehkhamis-ob8ln6 ай бұрын
@@sultansallah8772wabongo wanaelewa zanzibar n nchi yenye kabila la wapemba. Wapemba ni kabila kutoka zanzibar hivo ndio wanavoelewa yani neno unguja kwa bara hawalielewi
Walah nampenda sana Fatma. Mungu ampe uzima mwingi na mengi ya heri
@knight67577 ай бұрын
Very proud of her...May God Aways Bless Her..Ameen!
@amosmahona4336 ай бұрын
Aise
@seynabhaji80357 ай бұрын
My advice to Fatma, kubali siku moja kuongea lugha unayoifahamu ili maneno ya changamke nina hakika unamazuri ya kueleza. Halafu jitahidi kujifundisha kiswahili tukutane tena hapo baadaye🎉
@darajalakidatukilomgi23626 ай бұрын
Shangazi Kiswahili anakijua vizuri ila ndio kujifanyisha sijui, usome shule ya Msingi Unguja ukose kujua Kiswahili?
Na akiongea mpka mizizi ya shingo imtoke anatumia nguvu sana hlfu sidhni kma hajui kiswahili ila ana pritend tu hao watoto tulowazaa ulaya wanaongea kiswahili kizuri tu
@mimiraia25316 ай бұрын
Hajui “SAFE” kwa Kiswahili, this is biggest pretending….LAZIMA BWANA AKIMBIE
@divaimafuru68447 ай бұрын
Shangazi unamguu wa bia😂 cute
@Mohamed-uz8id6 ай бұрын
nàmpenda sana Fatma Karume anaakili mnoooooo😘
@missg14306 ай бұрын
I just love her
@mimiraia25316 ай бұрын
Approach her
@user-mw5xs2wx8n7 ай бұрын
Alokupa Jina saluti kwakwe
@songombingo1087 ай бұрын
Da Fatma nakupenda. Nitafute tuwe marafiki.
@choggysly35416 ай бұрын
Acha songombingo
@AdamSaffi2117 ай бұрын
This shangazi is so intelligent, she should be a judge in the Supreme Court. Walioko huko hawamfikii huyu mama!
@user-cr7vi4qp9c7 ай бұрын
Kwenye haya mahojiani kuna kipi kipya kuwa yuko juu?
@fahadfaraj64747 ай бұрын
Kipimo chako cha uwezo ni kipi n wangapi unaowajua walioko huko court ambao uwezo wao ni mdogo? She is talking much of her personal life ila inakutosha kumpa ujaji? Things never taken that way aisee. Nyie ndio mnasema lissu ni mwanasheria Bora kuliko wote ikiwa mmemuona kwenye majukwaa ya siasa na sio kwenye podium of practices stop those mediocrity thoughts.
@immamfugale78357 ай бұрын
Kwa kipi?
@salomemlagila57577 ай бұрын
@@fahadfaraj6474 kweli kabisa
@MOJAZAIDI.7 ай бұрын
@@fahadfaraj6474Ni kweli ila kwa Lissu rekodi zake ziko wazi nay be una personal conflicts na yeye. Just saying...
@FatumaIssa-kw3vv7 ай бұрын
Enjoyment Fatma au Fateeema ❤❤❤
@naturelle10977 ай бұрын
Aging gracefully girlfriend❤
@fatmahamdoun745 ай бұрын
Love you wajina
@kulthummaabad5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@naomimaro21566 ай бұрын
Huyu mama Fatma ,anaonyesha anauchungu moyoni
@fahadalbusaidy71826 ай бұрын
Kweli anaonesha
@saidsuleiman17537 ай бұрын
Ila fatma is so beautiful
@mbarakawesu62136 ай бұрын
Jamani eeh..! Mimi sina mke. Namtaka huyo dada ...!
@amanmyolo53595 ай бұрын
❤❤❤Asalam alaiqm Warahmatulah wabarakatu allah kariim
@hamidafundi-pw1gw7 ай бұрын
Mh !😮
@johntemba42816 ай бұрын
Shangazi nakupenda natamani uwe mke wangu sijali umri sijali elimu bali nakuhitaji niwe nawe ktk utetezi wawatu, mi naishi moshi karibu. Mimi ckuachi na tutaendesha kazi zetu kama kawaida.
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Hahahahah wabongo mnataka maokoto 2 ushamjua anatokea katika Royal family unataka utelezi hahahahha hongera kaka
@Iragibarune1.5 ай бұрын
From USA Jamani mimi sio mtazania ila uwa napenda sana shangazii fatma karume alafu ana akili sana
@abusalman51395 ай бұрын
Hakuna mwanaume ataweza mvumilia mwehu kama Fatma Karume
@spreadlove53005 ай бұрын
Ila watu why are you so bothered na maisha ya wengine mpaka mnatoa kashfa 😮😮😮 watu hawalingani wala kufanana jamani, na wala hakuna mkamilifu 😮😮
@gracekagoma32316 ай бұрын
Fatma kweli inasikitusha kuwa kiswahili hujui na ni aibu sana .Kiswangereza wengi hawakuelewi .kwa sababu hawajui kiingereza.😢😢
@mimiraia25316 ай бұрын
Lretending
@bongomastory7917 ай бұрын
wanawake wengi wanasheria wanajifanyaga wana harakati so wanaletaga uharakati kwenye ndoa hivyo sio rahisi kudumu kwenye ndoa
@allahisone63867 ай бұрын
💯%🤝
@aliganzel65127 ай бұрын
Hili limenikuta mimi
@user-th9to6yt9y6 ай бұрын
Dah kiswahili
@ganomwakisambwe27155 ай бұрын
I love you Fatuma,my sis....you are heroine!
@MohamedAbdallahSaid4 ай бұрын
Mswahili Mzungu
@issakawaya83157 ай бұрын
Ana uzungu mwingi
@ChristerShao6 ай бұрын
Hacheni matusi,kama nia yenu ni kumtukana mtafuteni kwa wakati wenu,unayrtaka Fatma akufindishe sheria,nenda shule ukasome.
@roudhamahmoud7637 ай бұрын
Kumbe sawa sawa na mimi 1969
@OmanOman-dd5qk7 ай бұрын
Topo wote
@zariadunia63287 ай бұрын
Sauti yake kama bibi yake wajina wake
@MussaSuleiman-ui9fy6 ай бұрын
Wewe Fatima jitathini hii elimu hii ya Sheria itakupeleka motoni Rudi kwa muumba
@gracekagoma32317 ай бұрын
Siyo shangazi yangu.Ana kasumba ya wazungu sa n a A n achanganya kuswahili na kiingereza sa n a h ata 5:18 5:20 simuelewi japo nimesoma sana kama yeye au labda zaidi.Acha kuongea kiingereza wakati unaongea n a waswahili😅😅
@cosmasthomas91647 ай бұрын
Yaani ukisikiliza kiingereza cha huyu mama,unasikia rafudhi za waingereza.
@amerwelder77867 ай бұрын
Uyo kakaa sana iingereza
@cosmasthomas91647 ай бұрын
@@amerwelder7786 ndiyo maana,yaani hadi raha kumsikiliza
@gracekagoma32316 ай бұрын
😢
@user-rv3pw3cz5z2 ай бұрын
❤naomba nambazake
@ibrahimaziz71587 ай бұрын
Nakupenda shangazi nikueke nyumbani tuzae na unifundishe sheria
@nahlahassan-fd6le6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@liannsambu72647 ай бұрын
Mmmm jamani nafikiri ni mtazamo tu ,mie nimekuwa kwetu wafanyakazi 2 lakini nikiwa na Miata 4-5 nlikuwa nafanya KAZI kulingana na umri wangu na hata kukorogo uji ,kufua sox , kufua NGUo za ndani , kufagia nlifanya haswaaaa so siyo kuwa WANAFANYA Kwa sababu ya shida za WAZAZI ila ni WAZAZI wanamtazamo gani Kwa watoto WAO na wanataka kutengeneza mtoto wa aina gani
@annethomas75206 ай бұрын
Mtoto wa miaka 5 akoroge uji jikoni???!
@liannsambu72646 ай бұрын
@@annethomas7520 NDUGU ukishangaa ya Musa ......... ? UNADHANGAA MIAKA 5 ? Hongera mpendwa , isogelee JAMII UTAONA mengi
@bakarimdeve83867 ай бұрын
Napendezwa na kz yake ila ninachukizwa na tabia ya kuzungumza Kiswenglish japo Familia yao ni waswahili safi tena wa Zanzibar wakwel aache hio staili
@SafiaOmar7 ай бұрын
Hao familia yao wanaishi kama wazungu. Kama unavyo muona ndio maisha yao. Nilisoma na mtoto wa ndugu yake secondary
@nahlahassan-fd6le6 ай бұрын
@SafiaOmar Bora umwambie ww, hao kwao niwazanzibari lkn wamelelewa kizungu, na Ivo alivo ndoivo Ivo kwao kizungu zungu TU mpak mavazi mpaka mama Yao yupo Ivo Ivo mavazi yake.
@darajalakidatukilomgi23626 ай бұрын
@@nahlahassan-fd6le kulelewa kizungu ndio unatupa na lugha yako? Mbona wazungu wenyewe wanajifunza na kuongea Kiswahili? Nani amewadanganya na kiswaglish
@gracekagoma32316 ай бұрын
It was kawaida😂😂😢😢😢😢 Mwingereza hachanganyi lugha yake hata siku moja.Kasumba ni mbaya jamani.😢😢
@user-ki4sg8yz9j6 ай бұрын
Sijasikia vizuri. Fatma umezaliwa mwaka gani?
@agreymbwilo58746 ай бұрын
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu ya mazoea. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna lugha ya mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@gracekagoma32316 ай бұрын
Ndugu yangu hiyo ni tabia tu.Ya kujitakia.kuna watz wanao ongea lugha nyingi za kimataifa bila kuchanganya..Pamoja na mimi mwenyewe🎉🎉
@kabhikachambala33927 ай бұрын
Naomba kufahamu lugha Rasmi ya haya mahojiano! Kuna sehemu hatuelewi
@azizayassin36235 ай бұрын
Anajifafanya hjui kiswahili😂😂😂😂
@robertadolf5626 ай бұрын
Ila bado mtamu mbona
@darajalakidatukilomgi23627 ай бұрын
Shangazi yetu kwenye kujieleza sifuri,
@nahlahassan-fd6le6 ай бұрын
Na icho kiswahili chake zero😂😂😂😂anaongea kiswanglish lkn ovyoo
@George_Ruttagah5 ай бұрын
Watu waliokulia nje au waliosoma shule za international huwa wanakawaida ya kuchanganya lugha. Fatma ni very bright na brave at the same time. Jaribu kuangalia mazingila aliyokulia alafu utamuelewa vizuri kabisa. Mimi personally nimekulia U.S. toka na miaka 13. Ulimi wangu unakua mzito napoongea Kiswahili kwa sababu si lugha ninayotumia sana. Kwa hiyo najikuta tu nachanganya Kiswahili na Kingereza.
@leoncebenjamin81077 ай бұрын
Shangaz wa taifa
@mohamedismail26625 ай бұрын
Mwanaume ndiyo anaowa na mwanaume ndiyo anaacha true shangaz nakuelewaga sana hauna baya
@aliathmani71656 ай бұрын
Huyu shida anayo ni kujisahau, kiswahili chake ni cha kujifunza ama ni kingereza chaki.
@kadrimwingamno2587 ай бұрын
Mcharuko wanguvu
@sm5tv7 ай бұрын
Kumbe tumezaliwa Hospital Moja
@seifserenge33406 ай бұрын
Pole sana bi Fatma, wewe ni mzungu mzanzibari
@gracekagoma32316 ай бұрын
😂😂😢
@yusuphabel55305 ай бұрын
Wa kishua
@amneamne24926 ай бұрын
Shangazi tuambie huyo bi zahara unomwita nana. Yuko wapi. Pls
@salamasefu54947 ай бұрын
Ni kweli maneno yake sio tunavyomjua . Kama kaweka meno ya bandia
@HadijaZabroni-pu1lt7 ай бұрын
😂😂😂😂 hahaha
@angelanaftael79657 ай бұрын
Shajala
@mgenimgambo23125 ай бұрын
umependeza sana n km ulivyosema kuwa kujitizama na kufurahi ulichokuwa nacho hakuna kitu km furaha ya nafsi umebadilika sana
@antybabybintrashid23337 ай бұрын
Nmeitwa auntybaby na watoto mpaka watu wazima mwisho mwanangu mwenye ananita auntybaby majna ya utoton hayapotei
@jameschali60237 ай бұрын
Shangazi unakumbukumbu mhh hivi unakumbuka aliekudhulumu bikrayako😂😂😂😂😂😂
@roudhamahmoud7637 ай бұрын
Hqta mimi sikujuwa kqma mzee karume aliowa wake wengine
@darajalakidatukilomgi23627 ай бұрын
Mbona kwenye historia ipo tumeisoma alikua akipenda warangi rangi waarabu
@azizayassin36235 ай бұрын
Mwanaume anawezaje kuishi na hyu😂😂😂😂😂😂
@abuumadesign80955 ай бұрын
Kwa u much know huu lazima ndoa ikushinde, stop comparing everything to ulaya
@wilsonelias90125 ай бұрын
Ndio maana aliachwa hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni, anajua kila kitu amesema ameachwa
@allywaziry64195 ай бұрын
Mm namtaka huyo Aje nimuoe chaap..
@ezekielmabwai46146 ай бұрын
Hakuna mtu wa kunishawishi hapa, unahitaji uvumilivu wa ziada kukaa na huyu mdada. Bora nioe house girl nitakuwa na amani.
@ezekieljacob57956 ай бұрын
Hicho chuma kichwa kimepevuka....wewe na house girl sawa kabisa...ndo lika lako.
@openmindtz7 ай бұрын
Mm siwez kukuhukum kwa chochote kila kwa maana maisha yana mambo mengi mno hvyo siwez jua the otherside but in all majina ya fatuma kuongea ni miongoni mwao....
@FatumaIssa-kw3vv7 ай бұрын
Hahahaha umejuwaje 😂😂😂
@openmindtz7 ай бұрын
@@FatumaIssa-kw3vv neema za mungu tuh si kwa ujanja wangu
@fatmakhanii16767 ай бұрын
Swadaktaa
@user-uo8xw9kr4b6 ай бұрын
Tena sio kuongea tu hatupendi kuonewa pia 😅
@ramadhanmasiku41057 ай бұрын
1969 Duh😅 yaan
@hafsamsangi5977 ай бұрын
Kama alikunywa kidogo
@user-ki4sg8yz9j6 ай бұрын
Ndio usemaji wake kama bb yake
@LukeloKibumo-uu2oh6 ай бұрын
Oya hapa nibongo sio ulaya hakajuishida yoyote
@user-ki4sg8yz9j6 ай бұрын
1969 na babu yake kafariki 72 ni sawa kua alikua na miaka 3 tu. Ivi kweli miaka 3 anaweza kujua yote hayo kuhusu babu yake? Naona kama kachemsha kidogo
@salehmkubwa85426 ай бұрын
Hapa kwenye nimeachika ndio naelewa sisemi mengi lakini akisema ujane umemchosha nipewe taarifa 😅😅😅😅