Fatma Karume: Mimi Nimeachwa I Nilijiona Sina Amani I Watoto Wanampenda Baba Yao I Nilipatwa Simanzi

  Рет қаралды 167,385

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

7 ай бұрын

#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya Mwanaharakti Fatma Karume katika kipindi cha #Shajara ya #CloudsTv na mtangazaji Babbie Kabae.

Пікірлер: 370
@raymondswai5555
@raymondswai5555 5 ай бұрын
Shangazi nakupenda sana na kwa moyo wa dhati Si kimahusiano, maana hili li nchi 90% hatumiii ubongo ( kichwani) kutafakari, tumenyoshwa maji ya chooni,,m c.c 😊😊 uokoo very bright shangazi
@marianajohn5415
@marianajohn5415 4 ай бұрын
Shangazi ❤❤❤❤❤❤ ni mmoja tu! Naye ni madam Fatma🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 6 ай бұрын
nimeipenda hii interview.sijawahi kumsikiliza ktk maisha nje ya kazi.nimemuelewa fatma huwa anaishi yeye kaka yeye sio kwa ajili ya .
@amourmtungo623
@amourmtungo623 6 ай бұрын
Asante kwa kushea. Mimi mchango wangu kwa Watanzania wengi wenye kujenga chuki kwa watu = haters. Mchukie mtu kwa vitendo vibaya alivyofanya na sio maneno aliyosema. Wazungu husema “actions speak louder than words”. Vitendo vina nguvu zaidi ya maneno kwahio tusichukiane bure ni mambo ya kijinga
@ChristinaOnditi-el3xo
@ChristinaOnditi-el3xo 7 ай бұрын
Pole sana wifi yangu Fatma ,tunepotezana lkn nitakutafuta inshaallah,kuhusu ndoa rizki inshaisha tumuachie Allah japo kipindi kile Cha harakati zako kiilikua kigumu sana kwako na nilikua nahofia sana Hilo cos mwanamke ukiwa unapambana Kwa ujasiri mkubwa kiasi kile,wanaume zetu hua hawaelewi,Kuna maisha mengine baada.ya mapambano na simanzi. Enjoy the moment my love
@wilsonelias9012
@wilsonelias9012 5 ай бұрын
Acha kutetea ujinga hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni anajua kila kitu, jitu lina miaka 60 linaongea kama binti wa miaka 20
@caritasmushi461
@caritasmushi461 6 ай бұрын
Fatma umejibu vizuri sana na you are a down to earth person but with principles. Keep it up my dear
@winniefridamutakyawa5943
@winniefridamutakyawa5943 5 ай бұрын
Shangazi hongera sana unafaa kuwa kiongozi wa ngaxi za juu nchini.Nakupenda sana kwa ujasili ulionao ni kipaji .Mungu akubariki sana uko vizuri saaaaana.Ungekuwa waziri mkuu hata urais unauweza hata ujaji mkuuu unauweza.Barikiwa sana.
@ndementriavermand8010
@ndementriavermand8010 5 ай бұрын
Nampenda sana huyu dada jasiri mkweli mtu wa haki
@billgussy6099
@billgussy6099 6 ай бұрын
Intelligent and gorgeous woman
@NyotaTanoTV-gt3od
@NyotaTanoTV-gt3od 7 ай бұрын
Shajara mtangazaji wangu pendwa kila siku unani surprise I like the way you control the show. Maswali unavyo Uliza alafu unagawa nafasi ya majibu. Fatma mbona hajui Kiswahili vizuri Tena ni mzenji OG? That’s terrible 😮 but all in all this is good interview much love ❤️
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 ай бұрын
Ameishi sn njee dats the problem
@TaarabChannel
@TaarabChannel 7 ай бұрын
Mpitie na kwangu wapenzi ❤
@user-vq2hl4jp1j
@user-vq2hl4jp1j 7 ай бұрын
Aunt tuma❤
@agreymbwilo5874
@agreymbwilo5874 6 ай бұрын
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu lugha zote kazoe kuziongea kwenye maisha ya kawaida. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 6 ай бұрын
Binadamu hawana jema, inasikitisha baadhi yenu kutoa maneno ya kuudhi wakati una uhuru wa kumsikiliza au ukaacha!
@officialkmoneyvevo3175
@officialkmoneyvevo3175 7 ай бұрын
Mshangazi Una Mguu Bi fatmaa😅❤
@cheka480
@cheka480 6 ай бұрын
The one thing she is real not fake
@fatmahamdoun74
@fatmahamdoun74 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤love hivi ndivyo tulivyo Akina FATMA
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 6 ай бұрын
Mashaallah ❤Unamwili nzuri sana mungu akuweke amiin 🤲❤️
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 ай бұрын
Ila anakaa uchi Mbele ya Mataifa
@amanmyolo5359
@amanmyolo5359 5 ай бұрын
God is good
@user-px1fg3jz4p
@user-px1fg3jz4p 6 ай бұрын
Pole usihuzunikee mwamwini Allah yeye ndie mpangaji
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 6 ай бұрын
I love fatma
@cynthiafolonja3050
@cynthiafolonja3050 7 ай бұрын
Ndoa sio kifungo jamani.... yanini kufia kwenye hamna 😂... Wala huyo sio wa kwanza kuachika .....shangazi anazeeka na urembo wake!!
@yussufhaji3335
@yussufhaji3335 6 ай бұрын
Usomi kweli unaharibu na kubadilisha maadili ya dini yetu ,inna lillahi wainna ilahi rajiuuwun.
@user-vn6vx1qk5i
@user-vn6vx1qk5i 6 ай бұрын
Ni huzuni sana kuona mtoto kama huyu unavomuona sasaiv alivyovaa na kuweka makucha, manywele uchavu tu, kuwa katoka ktk familia tunaambiwa ya kiislam, kwa kweli msiba
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 6 ай бұрын
Anakaa uchi tu
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 6 ай бұрын
Wasomi ni kama mbwa tu
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 5 ай бұрын
labda HII KUKAA UCHI NDIO MOJA YA MATUNDA YA MAPIDUZI
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 6 ай бұрын
Huyu dada si.ndo.aliifedhehesha.Tanzania kumbe nae.Mungu alimfadhaisha huyu.dada alitetea sana ushoga
@MosiHassan-dx6gc
@MosiHassan-dx6gc 7 ай бұрын
Acheni chuki na hasada aliyepewa kapewa mola ndie amemueka hapo achenichoyo
@yusuphabel5530
@yusuphabel5530 5 ай бұрын
Nampenda sana Shangazi Fatma,ana akili sana na ni mwanamke wa shoka.Mungu ampe maisha marefu.
@hafidhkhalfan1660
@hafidhkhalfan1660 6 ай бұрын
Nampenda sana nataman kumuoa jaman
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 7 ай бұрын
Shangazi hapo kwa Nadia Suala la Muungano, lizingatiwe Wapemba🎉🎉🎉🎉 Mnauma meno Sana..wepesi kidogooo ❤❤❤❤❤ Mama Mkwe. Kama mama Mkwee
@sultansallah8772
@sultansallah8772 6 ай бұрын
Kwani umeambiwa mpemba
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 6 ай бұрын
​@@sultansallah8772wabongo wanaelewa zanzibar n nchi yenye kabila la wapemba. Wapemba ni kabila kutoka zanzibar hivo ndio wanavoelewa yani neno unguja kwa bara hawalielewi
@bensonmwakalindile8545
@bensonmwakalindile8545 Ай бұрын
My good presenter
@jumayussuf6786
@jumayussuf6786 7 ай бұрын
Unamkumbuka teacher khadija mgangazija anakaa kiswandui
@robinbayser3079
@robinbayser3079 5 ай бұрын
Shangazi wa Taifa soo beautiful
@mosesgasana4102
@mosesgasana4102 5 ай бұрын
Walah nampenda sana Fatma. Mungu ampe uzima mwingi na mengi ya heri
@knight6757
@knight6757 7 ай бұрын
Very proud of her...May God Aways Bless Her..Ameen!
@amosmahona433
@amosmahona433 6 ай бұрын
Aise
@seynabhaji8035
@seynabhaji8035 7 ай бұрын
My advice to Fatma, kubali siku moja kuongea lugha unayoifahamu ili maneno ya changamke nina hakika unamazuri ya kueleza. Halafu jitahidi kujifundisha kiswahili tukutane tena hapo baadaye🎉
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 ай бұрын
Shangazi Kiswahili anakijua vizuri ila ndio kujifanyisha sijui, usome shule ya Msingi Unguja ukose kujua Kiswahili?
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 ай бұрын
Mmmh wewe mbona unachanganya Lughq
@suleymanmakiwa1651
@suleymanmakiwa1651 6 ай бұрын
​Mtu anayejifanyisha hujulikana tu@@darajalakidatukilomgi2362
@ummuraw6372
@ummuraw6372 6 ай бұрын
Na akiongea mpka mizizi ya shingo imtoke anatumia nguvu sana hlfu sidhni kma hajui kiswahili ila ana pritend tu hao watoto tulowazaa ulaya wanaongea kiswahili kizuri tu
@mimiraia2531
@mimiraia2531 6 ай бұрын
Hajui “SAFE” kwa Kiswahili, this is biggest pretending….LAZIMA BWANA AKIMBIE
@divaimafuru6844
@divaimafuru6844 7 ай бұрын
Shangazi unamguu wa bia😂 cute
@Mohamed-uz8id
@Mohamed-uz8id 6 ай бұрын
nàmpenda sana Fatma Karume anaakili mnoooooo😘
@missg1430
@missg1430 6 ай бұрын
I just love her
@mimiraia2531
@mimiraia2531 6 ай бұрын
Approach her
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 7 ай бұрын
Alokupa Jina saluti kwakwe
@songombingo108
@songombingo108 7 ай бұрын
Da Fatma nakupenda. Nitafute tuwe marafiki.
@choggysly3541
@choggysly3541 6 ай бұрын
Acha songombingo
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 7 ай бұрын
This shangazi is so intelligent, she should be a judge in the Supreme Court. Walioko huko hawamfikii huyu mama!
@user-cr7vi4qp9c
@user-cr7vi4qp9c 7 ай бұрын
Kwenye haya mahojiani kuna kipi kipya kuwa yuko juu?
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 7 ай бұрын
Kipimo chako cha uwezo ni kipi n wangapi unaowajua walioko huko court ambao uwezo wao ni mdogo? She is talking much of her personal life ila inakutosha kumpa ujaji? Things never taken that way aisee. Nyie ndio mnasema lissu ni mwanasheria Bora kuliko wote ikiwa mmemuona kwenye majukwaa ya siasa na sio kwenye podium of practices stop those mediocrity thoughts.
@immamfugale7835
@immamfugale7835 7 ай бұрын
Kwa kipi?
@salomemlagila5757
@salomemlagila5757 7 ай бұрын
​@@fahadfaraj6474 kweli kabisa
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 7 ай бұрын
​@@fahadfaraj6474Ni kweli ila kwa Lissu rekodi zake ziko wazi nay be una personal conflicts na yeye. Just saying...
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv 7 ай бұрын
Enjoyment Fatma au Fateeema ❤❤❤
@naturelle1097
@naturelle1097 7 ай бұрын
Aging gracefully girlfriend❤
@fatmahamdoun74
@fatmahamdoun74 5 ай бұрын
Love you wajina
@kulthummaabad
@kulthummaabad 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@naomimaro2156
@naomimaro2156 6 ай бұрын
Huyu mama Fatma ,anaonyesha anauchungu moyoni
@fahadalbusaidy7182
@fahadalbusaidy7182 6 ай бұрын
Kweli anaonesha
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 7 ай бұрын
Ila fatma is so beautiful
@mbarakawesu6213
@mbarakawesu6213 6 ай бұрын
Jamani eeh..! Mimi sina mke. Namtaka huyo dada ...!
@amanmyolo5359
@amanmyolo5359 5 ай бұрын
❤❤❤Asalam alaiqm Warahmatulah wabarakatu allah kariim
@hamidafundi-pw1gw
@hamidafundi-pw1gw 7 ай бұрын
Mh !😮
@johntemba4281
@johntemba4281 6 ай бұрын
Shangazi nakupenda natamani uwe mke wangu sijali umri sijali elimu bali nakuhitaji niwe nawe ktk utetezi wawatu, mi naishi moshi karibu. Mimi ckuachi na tutaendesha kazi zetu kama kawaida.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 ай бұрын
Hahahahah wabongo mnataka maokoto 2 ushamjua anatokea katika Royal family unataka utelezi hahahahha hongera kaka
@Iragibarune1.
@Iragibarune1. 5 ай бұрын
From USA Jamani mimi sio mtazania ila uwa napenda sana shangazii fatma karume alafu ana akili sana
@abusalman5139
@abusalman5139 5 ай бұрын
Hakuna mwanaume ataweza mvumilia mwehu kama Fatma Karume
@spreadlove5300
@spreadlove5300 5 ай бұрын
Ila watu why are you so bothered na maisha ya wengine mpaka mnatoa kashfa 😮😮😮 watu hawalingani wala kufanana jamani, na wala hakuna mkamilifu 😮😮
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
Fatma kweli inasikitusha kuwa kiswahili hujui na ni aibu sana .Kiswangereza wengi hawakuelewi .kwa sababu hawajui kiingereza.😢😢
@mimiraia2531
@mimiraia2531 6 ай бұрын
Lretending
@bongomastory791
@bongomastory791 7 ай бұрын
wanawake wengi wanasheria wanajifanyaga wana harakati so wanaletaga uharakati kwenye ndoa hivyo sio rahisi kudumu kwenye ndoa
@allahisone6386
@allahisone6386 7 ай бұрын
💯%🤝
@aliganzel6512
@aliganzel6512 7 ай бұрын
Hili limenikuta mimi
@user-th9to6yt9y
@user-th9to6yt9y 6 ай бұрын
Dah kiswahili
@ganomwakisambwe2715
@ganomwakisambwe2715 5 ай бұрын
I love you Fatuma,my sis....you are heroine!
@MohamedAbdallahSaid
@MohamedAbdallahSaid 4 ай бұрын
Mswahili Mzungu
@issakawaya8315
@issakawaya8315 7 ай бұрын
Ana uzungu mwingi
@ChristerShao
@ChristerShao 6 ай бұрын
Hacheni matusi,kama nia yenu ni kumtukana mtafuteni kwa wakati wenu,unayrtaka Fatma akufindishe sheria,nenda shule ukasome.
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 7 ай бұрын
Kumbe sawa sawa na mimi 1969
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 7 ай бұрын
Topo wote
@zariadunia6328
@zariadunia6328 7 ай бұрын
Sauti yake kama bibi yake wajina wake
@MussaSuleiman-ui9fy
@MussaSuleiman-ui9fy 6 ай бұрын
Wewe Fatima jitathini hii elimu hii ya Sheria itakupeleka motoni Rudi kwa muumba
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 ай бұрын
Siyo shangazi yangu.Ana kasumba ya wazungu sa n a A n achanganya kuswahili na kiingereza sa n a h ata 5:18 5:20 simuelewi japo nimesoma sana kama yeye au labda zaidi.Acha kuongea kiingereza wakati unaongea n a waswahili😅😅
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 7 ай бұрын
Yaani ukisikiliza kiingereza cha huyu mama,unasikia rafudhi za waingereza.
@amerwelder7786
@amerwelder7786 7 ай бұрын
Uyo kakaa sana iingereza
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 7 ай бұрын
@@amerwelder7786 ndiyo maana,yaani hadi raha kumsikiliza
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
😢
@user-rv3pw3cz5z
@user-rv3pw3cz5z 2 ай бұрын
❤naomba nambazake
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 7 ай бұрын
Nakupenda shangazi nikueke nyumbani tuzae na unifundishe sheria
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@liannsambu7264
@liannsambu7264 7 ай бұрын
Mmmm jamani nafikiri ni mtazamo tu ,mie nimekuwa kwetu wafanyakazi 2 lakini nikiwa na Miata 4-5 nlikuwa nafanya KAZI kulingana na umri wangu na hata kukorogo uji ,kufua sox , kufua NGUo za ndani , kufagia nlifanya haswaaaa so siyo kuwa WANAFANYA Kwa sababu ya shida za WAZAZI ila ni WAZAZI wanamtazamo gani Kwa watoto WAO na wanataka kutengeneza mtoto wa aina gani
@annethomas7520
@annethomas7520 6 ай бұрын
Mtoto wa miaka 5 akoroge uji jikoni???!
@liannsambu7264
@liannsambu7264 6 ай бұрын
@@annethomas7520 NDUGU ukishangaa ya Musa ......... ? UNADHANGAA MIAKA 5 ? Hongera mpendwa , isogelee JAMII UTAONA mengi
@bakarimdeve8386
@bakarimdeve8386 7 ай бұрын
Napendezwa na kz yake ila ninachukizwa na tabia ya kuzungumza Kiswenglish japo Familia yao ni waswahili safi tena wa Zanzibar wakwel aache hio staili
@SafiaOmar
@SafiaOmar 7 ай бұрын
Hao familia yao wanaishi kama wazungu. Kama unavyo muona ndio maisha yao. Nilisoma na mtoto wa ndugu yake secondary
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 6 ай бұрын
​@SafiaOmar Bora umwambie ww, hao kwao niwazanzibari lkn wamelelewa kizungu, na Ivo alivo ndoivo Ivo kwao kizungu zungu TU mpak mavazi mpaka mama Yao yupo Ivo Ivo mavazi yake.
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 ай бұрын
@@nahlahassan-fd6le kulelewa kizungu ndio unatupa na lugha yako? Mbona wazungu wenyewe wanajifunza na kuongea Kiswahili? Nani amewadanganya na kiswaglish
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
It was kawaida😂😂😢😢😢😢 Mwingereza hachanganyi lugha yake hata siku moja.Kasumba ni mbaya jamani.😢😢
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 6 ай бұрын
Sijasikia vizuri. Fatma umezaliwa mwaka gani?
@agreymbwilo5874
@agreymbwilo5874 6 ай бұрын
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu ya mazoea. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna lugha ya mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
Ndugu yangu hiyo ni tabia tu.Ya kujitakia.kuna watz wanao ongea lugha nyingi za kimataifa bila kuchanganya..Pamoja na mimi mwenyewe🎉🎉
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 7 ай бұрын
Naomba kufahamu lugha Rasmi ya haya mahojiano! Kuna sehemu hatuelewi
@azizayassin3623
@azizayassin3623 5 ай бұрын
Anajifafanya hjui kiswahili😂😂😂😂
@robertadolf562
@robertadolf562 6 ай бұрын
Ila bado mtamu mbona
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 7 ай бұрын
Shangazi yetu kwenye kujieleza sifuri,
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 6 ай бұрын
Na icho kiswahili chake zero😂😂😂😂anaongea kiswanglish lkn ovyoo
@George_Ruttagah
@George_Ruttagah 5 ай бұрын
Watu waliokulia nje au waliosoma shule za international huwa wanakawaida ya kuchanganya lugha. Fatma ni very bright na brave at the same time. Jaribu kuangalia mazingila aliyokulia alafu utamuelewa vizuri kabisa. Mimi personally nimekulia U.S. toka na miaka 13. Ulimi wangu unakua mzito napoongea Kiswahili kwa sababu si lugha ninayotumia sana. Kwa hiyo najikuta tu nachanganya Kiswahili na Kingereza.
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 7 ай бұрын
Shangaz wa taifa
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 5 ай бұрын
Mwanaume ndiyo anaowa na mwanaume ndiyo anaacha true shangaz nakuelewaga sana hauna baya
@aliathmani7165
@aliathmani7165 6 ай бұрын
Huyu shida anayo ni kujisahau, kiswahili chake ni cha kujifunza ama ni kingereza chaki.
@kadrimwingamno258
@kadrimwingamno258 7 ай бұрын
Mcharuko wanguvu
@sm5tv
@sm5tv 7 ай бұрын
Kumbe tumezaliwa Hospital Moja
@seifserenge3340
@seifserenge3340 6 ай бұрын
Pole sana bi Fatma, wewe ni mzungu mzanzibari
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
😂😂😢
@yusuphabel5530
@yusuphabel5530 5 ай бұрын
Wa kishua
@amneamne2492
@amneamne2492 6 ай бұрын
Shangazi tuambie huyo bi zahara unomwita nana. Yuko wapi. Pls
@salamasefu5494
@salamasefu5494 7 ай бұрын
Ni kweli maneno yake sio tunavyomjua . Kama kaweka meno ya bandia
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 7 ай бұрын
😂😂😂😂 hahaha
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 7 ай бұрын
Shajala
@mgenimgambo2312
@mgenimgambo2312 5 ай бұрын
umependeza sana n km ulivyosema kuwa kujitizama na kufurahi ulichokuwa nacho hakuna kitu km furaha ya nafsi umebadilika sana
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 7 ай бұрын
Nmeitwa auntybaby na watoto mpaka watu wazima mwisho mwanangu mwenye ananita auntybaby majna ya utoton hayapotei
@jameschali6023
@jameschali6023 7 ай бұрын
Shangazi unakumbukumbu mhh hivi unakumbuka aliekudhulumu bikrayako😂😂😂😂😂😂
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 7 ай бұрын
Hqta mimi sikujuwa kqma mzee karume aliowa wake wengine
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 7 ай бұрын
Mbona kwenye historia ipo tumeisoma alikua akipenda warangi rangi waarabu
@azizayassin3623
@azizayassin3623 5 ай бұрын
Mwanaume anawezaje kuishi na hyu😂😂😂😂😂😂
@abuumadesign8095
@abuumadesign8095 5 ай бұрын
Kwa u much know huu lazima ndoa ikushinde, stop comparing everything to ulaya
@wilsonelias9012
@wilsonelias9012 5 ай бұрын
Ndio maana aliachwa hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni, anajua kila kitu amesema ameachwa
@allywaziry6419
@allywaziry6419 5 ай бұрын
Mm namtaka huyo Aje nimuoe chaap..
@ezekielmabwai4614
@ezekielmabwai4614 6 ай бұрын
Hakuna mtu wa kunishawishi hapa, unahitaji uvumilivu wa ziada kukaa na huyu mdada. Bora nioe house girl nitakuwa na amani.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 6 ай бұрын
Hicho chuma kichwa kimepevuka....wewe na house girl sawa kabisa...ndo lika lako.
@openmindtz
@openmindtz 7 ай бұрын
Mm siwez kukuhukum kwa chochote kila kwa maana maisha yana mambo mengi mno hvyo siwez jua the otherside but in all majina ya fatuma kuongea ni miongoni mwao....
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv 7 ай бұрын
Hahahaha umejuwaje 😂😂😂
@openmindtz
@openmindtz 7 ай бұрын
@@FatumaIssa-kw3vv neema za mungu tuh si kwa ujanja wangu
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 7 ай бұрын
Swadaktaa
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 6 ай бұрын
Tena sio kuongea tu hatupendi kuonewa pia 😅
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 7 ай бұрын
1969 Duh😅 yaan
@hafsamsangi597
@hafsamsangi597 7 ай бұрын
Kama alikunywa kidogo
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 6 ай бұрын
Ndio usemaji wake kama bb yake
@LukeloKibumo-uu2oh
@LukeloKibumo-uu2oh 6 ай бұрын
Oya hapa nibongo sio ulaya hakajuishida yoyote
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 6 ай бұрын
1969 na babu yake kafariki 72 ni sawa kua alikua na miaka 3 tu. Ivi kweli miaka 3 anaweza kujua yote hayo kuhusu babu yake? Naona kama kachemsha kidogo
@salehmkubwa8542
@salehmkubwa8542 6 ай бұрын
Hapa kwenye nimeachika ndio naelewa sisemi mengi lakini akisema ujane umemchosha nipewe taarifa 😅😅😅😅
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 6 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 72 МЛН
Unaenda Marekani Unarudi Tanzania???--My Real American Experience
9:34
KINGWENDU AJARIBU KUWA PATANISHA DAIMONDI NA KONDE BOY UTACHEKA SANA HII
7:44
Скромный парень наказал отморозка!
0:46
БЕЗУМНЫЙ СПОРТ
Рет қаралды 1,8 МЛН
Он пообещал умирающему сыну!😱
0:20
BitesFrome
Рет қаралды 942 М.
치열한 승부의 세계 (1살 베이비 편)
1:00
스포츠몽땅
Рет қаралды 32 МЛН