#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya Mwanaharakti Fatma Karume katika kipindi cha #Shajara ya #CloudsTv na mtangazaji Babbie Kabae.
Пікірлер: 149
@isaachayes97836 ай бұрын
Fatma, she is very straightforwardness, strict and justice lover.
@nasirmohamed15895 ай бұрын
Lover of gay n lesbian rights huh
@yasminjuma91467 ай бұрын
She is intelligent fatma❤
@jamilaathumani54817 ай бұрын
Ila nampenda she's so beautiful❤
@bas28237 ай бұрын
IM PROUD OF U LAWYER FATMA U R AN AMAZING N GREAT PERSON! AT LEAST U CAN TALK N LET PPL THOSE THEIR MENTALITY THOUGHT WEMAN PLACE IS IN THE KITCHEN ONLY! THEY CANT TALK OR WORK! ONLY MEN CAN! BUT WE CAN AS WELL WELL AS WE CARRY MALES N FEMALES IN OUR TUMMY! STOMACH FOR OVER 9 MONTHS N DELEIVERS THEM N TOOK CARES OF THEM UNTIL THEY GROWS BIG TO KNOW HOW TO STAND BY THEIR OWN FEATS! KEEP IT UP MY DEAR SWEET CREATION OF GOD"💙💜💚❤👌👍 GO ON N FIGHTS FOR THE WRIGHTS"👌👍"
@Lumi0637 ай бұрын
I like her personality she has very strong personality, she deserved to be leader in Tanzania “may be one day”..
@TM-zs3rm7 ай бұрын
She deserves one when Chadema takes Tanganyika.
@user-wh7gj9ug9s5 ай бұрын
Forget
@nasirmohamed15895 ай бұрын
A lesbian president no way
@nasirmohamed15895 ай бұрын
President for LGBTQ in east afrika may b
@Ericzdeking245 ай бұрын
oooh munajuana eeeh@@nasirmohamed1589
@aliiyvuai1166 ай бұрын
Hongera sana muandishi wa habari. Uko vizuri sana❤❤
@user-fl3yl4or3e7 ай бұрын
Uko sawa anti
@ahmedhamdan85267 ай бұрын
Dear ❤ fatma safi uko juuu
@ahmedbashash36727 ай бұрын
Me nataka nikuoe ur still.beautifull and smart ❤❤
@marionelias16216 ай бұрын
Good interview hongera sana Supuu
@pauloropian23675 ай бұрын
Naipenda Sana huyu bi Fatma anaongea Sana kwa hekma na busara mungu akuongezee muda mrefu wakuishauti democracy ndani ya nchi,na mungu akupiganiye ndani ya Hawa wakoloni weusi.
@roudhamahmoud7637 ай бұрын
Ulikuwa so beautiful lady 🎉
@TM-zs3rm7 ай бұрын
She is so beautiful still. Not she was she still is.
@gibsonjosephat63527 ай бұрын
Huyu Fatuma sheria alisoma na ikakubali. Limeenda Shule kweli na linajiamini kinoma.
@neemam50427 ай бұрын
Hongera sana mahojiano mazuri sana👏👏👏👏
@rahmaidd88187 ай бұрын
Ana good skin care routine period
@michaelngalo18087 ай бұрын
Hata Mahakamani hukuwahi kutaka au kupewa priority bcse we mtoto wa Rais. Watu wana uelewa potofu sana kuhus life ya Fatuma
@jumaseifjuma41856 ай бұрын
Mahojiano hayakuwa mazuri kwa ufahamu wangu naona yalikuwa ni mazungumzo zaidi kuliko mahojiano. Muulizaji alitumia muda mwingi kutoa maelezo marefu lakini pia alikuwa akifanya vipande vipande zaidi kuliko kutafuta ufafanuzi. Hata hivyo hongera.
@JacksonNovatM7 ай бұрын
Kwa jambo la Rais kukatiza safari na kwenda kuwafariji wana Hanang lilikuwa tendo la uungwana. Nakumbuka yaliyotukuta sisi wana- Kagera baada ya tetemeko. Mungu ndiye anajua.
@mako3317 ай бұрын
Thou grew up in the first family but very humble
@oyay28217 ай бұрын
Super woman
@user-jl4br2rg3e7 ай бұрын
Huwa nakukumbali sana wakili Fatuma
@zaneco6 ай бұрын
Nimemuelewa vizuri Bi Fatma
@fahadfahmy7 ай бұрын
Fatma ninachompendea ni mkweli hafichi miaka yake
@MwanaishaHemed-xi6rj7 ай бұрын
😂😅Nimecheka eti wanataka kujua tunarudi saa ngapi Maisha mulioishi ni mazuri sana nimependa ❤❤❤❤
@keyla36417 ай бұрын
Jaricri sana
@ZainaAlly6 ай бұрын
Mzuri
@anandemalaki18787 ай бұрын
Fatuma nakupenda jinsi ulivyo mwanamke shujaa kwelikweli
@nyerere12597 ай бұрын
Babie Kipindi kile mlikua wapi kumhoji Fatma
@Commentsplus6 ай бұрын
Nilichogundua watoto wa viongozi wengi hawana raha kabisa
@user-gr9wc7bc2m7 ай бұрын
Atakuja kuwa rais wa znz huyu akili nyingi sana
@kassidpandu8667 ай бұрын
zanzibar ipi hiyo aje awe Rais!
@laylatabdallah27967 ай бұрын
Hawampi hata cku1
@allykigatta75646 ай бұрын
Upo usingizini jamaa??
@Ericzdeking245 ай бұрын
Fatma ni mzuri sana
@EshaHamd-ed9yv4 ай бұрын
Huyu hakuwa Kama Muislam Hana tafauti na Mzungu wewe ni mtoto wa Kiislam hebu jiheshimu Kama mtoto wa Kiislam mikwapa nje huna tafauti na shetani la Kizungu
@Venas-uh3wz7 ай бұрын
Fatuma you are the best. Love you!❤
@user-fr7jj1bo7y7 ай бұрын
mgeni mzuri lakini mtangazaji Babbie maswali yapo chini ya viwango..mtu ana miaka 30 sio mtoto tena ni mtu mzima ana maisha yake apewe ulinzi wa nini? uliwai mkosoa baba yako? why not?
@jumaseifjuma41856 ай бұрын
Apewe ulinzi kama mtoto wa rais, kama angetekwa nyara ?
@autoimmunesecurity21407 ай бұрын
Hii kichwa haiko sawa trust me.
@jerrybasaya53777 ай бұрын
Wewe ndio una matatizo
@gibsonjosephat63527 ай бұрын
Pata Kesi halafu aisimamie ndio utajua kichwa kikosawa au la
@Kwelihukuwekahuru7 ай бұрын
Cha kwako kina nini hebu jieleze kama Fatima tulinganishe kama hatutagundua utopolo Fatuma ni jasiri ana kitu kichwani ndiyo maana juhudi za kumzima na kumkwamisha ziko juu mpaka kumsimamisha uwakili ni kwa sababu anaonekana ni tishio
@kassimchuo52907 ай бұрын
Kabisaaaaaaaaa haipo Sawa kweliiiiii 😅😅
@hassanmfaume45227 ай бұрын
Naamini hayo maneno yako kwa kweli ..!
@ZainaAlly6 ай бұрын
Fet we mzurii ujue
@safaribuganga7 ай бұрын
Tanzania inatakiwa iongozwe na watu wanaojua sheria ili haki itawale.Nchi hii Haki nyingi za msingi hazifuatwi
@hassanmfaume45227 ай бұрын
Hizo za mshoga ndio haki kweli ah ah ah
@yusuphabel55305 ай бұрын
Miss independent
@user-uk3iw1su4i7 ай бұрын
hy bituu
@kassidpandu8667 ай бұрын
cjapenda hayo Mavazi yako kwa kweli
@Kwelihukuwekahuru7 ай бұрын
Unataka unayotaka wewe yeye ni mtu mzima huyu na kwa taarifa yako kuna wanaojificha ndani ya hayo mavazi uchafu wa hali ya juu sana na kama huelewi historia Waafrika walikuwa kwa asili hawana mavazi ya gubigubi Waarabu na Wazungu wameturithisha mavazi yao lakini haimaanishi mavazi ndiyo utakatifu bali usafi unatoka moyoni
@hassanmfaume45227 ай бұрын
@@Kwelihukuwekahuru inaonesha wewe ndio wale watu wa wa pope Benedect aloowabiriki maana unapenda sana hayo mambo kwani huyu ndie mtetezi wenu..!
@neemam50427 ай бұрын
Ni business outfit
@estermpagama96647 ай бұрын
Fatima justiri we mwislam pia nakushauri uwe na tabia za mwanamke wa kiislam usijifanye Kama Mzungu
@frankrobert97067 ай бұрын
Huyu amekulia ughaibuni so amekuwa affected na mila za kimagharibu ndio maana yeye anaamini ushoga na usagaji ni sawa kwake maana huyu utamaduni wa ulaya umemuathiri sana na hata mavazi yake yamebase kimagharibi sio ya kizanzibar kabisa
@mohdkhatib2237 ай бұрын
@@Official83640wewe baba yako anafanya kheri gani?
@thomaspeter25407 ай бұрын
Nchi yetu Haina dini acha upuuzi
@mohdkhatib2237 ай бұрын
@@Official83640 je una uhakika hakufanya maovu kwa siri, na je una uhakika yaliyomo nyoyoni mwake?
@Official836407 ай бұрын
@@mohdkhatib223 kafa kaniacha mdogo nitajuaje maovu yake na km anayo sipaswi kumuhukumu mm atamuhukumu Allah full stop usinitag story ishapita hadi uokote hela ya bando ndy uje kureaplay why?
@nasirmohamed15895 ай бұрын
Mnaoandika ze english comments humu jaribuni kujitathmini make kingereza chenu kinasikitisha isitoshe sioni ulazima hamna mzungu hapa huyu ni mwenzetu tu kutetea mashoga hakutamfanya awe mzungu
@aliisaid8547 ай бұрын
Mzungu hata akaishi miaka 40 Tanzania,kisha arudi kwao lazma lugha yake atazungumza fresh tu hata hanganya na kiswahili,leo wewe eti hadi ucjanganye na kizungu tuseme maneno mengine ya kiswahili huyajui,au kwa vile wajifanya msomi sana,muangalie mkaa uchi wahed
@neemam50427 ай бұрын
Sio wahed, na hayuko uchi ni vazi la wanawake kuvaa maofisoni
@ShabanJames-rp1jl7 ай бұрын
Kibenten
@eliajimmy957 ай бұрын
Fatma karume wa sasa sio yule wa miaka miwili iliyopita, amepoa sana
@daimavlog7 ай бұрын
Sababu nchi imetulia pia, alikuwa anawaka sababu ya Magu kuvunja haki za binadamu.
lakini hukuwahi kupinga udhalimu wake kwa kina hanga
@Commentsplus6 ай бұрын
Kuna mtetemo wa sauti ya Fatuma #chidbenzlaw
@mwanaishaabubakar50135 ай бұрын
Karifhi sauti ya bibi yake Fatma Karume Sr.
@gracekagoma32316 ай бұрын
Kinachonisikitisha ni ile kuchanganya lugha mbili kwa wakati mmoja.Kiswangereza Hata accent ya kulee wakati anaongea kiswahili.Kasumba ambayo JK NYERERE ALIKUWA A N AICHUKIA SANA.Kasumba mbaya sana.😅
@abelsonda44865 ай бұрын
Accent ni nini mkuu? Naona umechanganya pia
@hajjiomary23837 ай бұрын
Akuna feni hapo
@barakamwasenga21437 ай бұрын
Anauelewa mkubwa Sana huyu mama sio mbinafsi
@hassanmfaume45227 ай бұрын
Kweli@@zanzibarboyzanzibar509
@jerrybasaya53777 ай бұрын
Kuna kipande kikubwa kilikatwa alivyoanza kumwongelea Rais.
@amanimlengwa92027 ай бұрын
Unacho?
@joniajonhson29097 ай бұрын
😂😂😂 dah atakuwa nacho
@kingwandeinvestment80026 ай бұрын
uyu dada ata mama samia hajaona kua ni kiongozi mwenye msimamo
@MaryamChuma-jp6nq7 ай бұрын
She looks like Celine dion❤❤♥️♥️🤍🤍🤍
@sleeprelaxation84317 ай бұрын
mmmh
@kaizamulinda6337 ай бұрын
Exactly. I love the discovery
@user-pu6pr5jt4n6 ай бұрын
So poor😢I thought there is something wrong 😂inabid utulize akili kumfaham
@lukullikiwamba64947 ай бұрын
Most people scare of unknown, shangazi she one of the kind … it’s not easy for ordinary person to understand her…
@htx18735 ай бұрын
Article zangu zilikua za kisomi Sanaa 😂😂😂😂 shangazi 😂😂😂 utawauwa wenzako hawajui kidhungu jamani😂😂😂
@user-wv9fb3ck5x7 ай бұрын
Umeolewa Shangai nataka nikuoe
@citygraphics66706 ай бұрын
Maji ya jioni dada..bye bye
@spreadlove53005 ай бұрын
Is it a crime??? 😮😮 mtu hakui kurudi chini hata nawe unakwenda maji ya jioni
@abelmbijima43247 ай бұрын
Uzungu mwingi aibu
@Kwelihukuwekahuru7 ай бұрын
Kila mtu na makuzi kwani amemtukana mtu hatuwezi kufanana wewe chukua yaliyo mazuri kwa faida yako hakulazimishi kumsikiliza huyu ni msomi hivyo yataka utulivu kumsikiliza na siyo lazima kila mtu amwelewe
@aminattai26766 ай бұрын
Wakati baba yako alikua raisi kulikua na mambo mengi ya uvunjwaji wa sheria mpaka mauwaji kwa zanzibar na bara pia,ila cha kushangaza huyu mdada mwenye sura kama chupa ya konyagi hakuwahi kuwa mpinzani mpaka pale baba yake baada ya kuondoka kwenye madaraka ndio upinzani ulipoanzia,lakini hatushangai kwa ajili muamsho ilikua ni ya baba yake na kupendelea upinzani,na shemeji yake karume pia akapelekwa upinzani mansuri kwa kutegemea wametoka kwenye utawala na watarudia kwenye utawala kupitia upinzani na sasa mpaka Ali karume pia ni mpinzani munawaona watu ni wajinga
@luganolukali26387 ай бұрын
Dongozuri,hazeeki.
@omarsaid6737 ай бұрын
.
@MrKhatibu7 ай бұрын
Mbona Fatma hujasema baba yako alipopata urais ukataka kutumia political power ya baba yako kwa kuvamia makaburi ya wa Anglican pale Mbeni?eti ukijidai ni eneo la babu yako ilhali makaburi yapo kabla ya babu yako kuzaliwa!
@darajalakidatukilomgi23627 ай бұрын
Shangazi yangu nikwambie tu ukweli kwenye kujieleza sifuri kabisa mbele nyuma mzunguko hata sijui interview ilikua ya jambo gani?
@hassansalum25727 ай бұрын
Sasa mlaumu alouliza maswali mbona Shangazi yuko vizuri
@user-gd2xj3xd1b7 ай бұрын
That's selfness
@gibsonjosephat63527 ай бұрын
Laumu uwezo wako wa kuelewa😂😂😂
@Kwelihukuwekahuru7 ай бұрын
@@gibsonjosephat6352exactly sisi tumemwelewa saaana
@amanimlengwa92027 ай бұрын
Zuzu hili
@nasirmohamed15895 ай бұрын
Swali baba yako alikuwa rais tunajua lakini alikuwaga anatetea mashoga na washenzi kama wewe
@bimumaulid11717 ай бұрын
Big layer ni muongo hupangi foleni na upo tofauti na watanzania wengine muongo sana wala hampo public diwani tuu hapangi foleni vipi mtoto wa Raisi mlikuwa mna ulinzi mkubwa tuu
@stonedicksonkisamo8097 ай бұрын
Inategemea ni customer wa aina gani na amesema hajui kwa sasa.
@Kabwela7767 ай бұрын
Mwanaharakati wa Nini ambaye amelelewa na kukuzwa kwenye system ya uchafu, ufisadi uonevu na dhuluma. Ni kizazi cha mafisaidi kizazi cha nyoka wamekuwa kwenye ufisadi na kufanyiwa kila kitu na kodi za watanzania masikini ila Leo wanawadharau hao masikini kodi zao zilizotumika kuwasomesha na kuwalisha
@yasminjuma91467 ай бұрын
Chuki tu.
@msabahaali7587 ай бұрын
kulelewa sio ttzo unaweza ukalelewa na bado ukawa mtu mzur t
@user-gd2xj3xd1b7 ай бұрын
Nabii mussa alilelewa na friaun ambae alikuwa mchafu zaidi ya KARUME na kizazi chake na alikujakuwa mwema tu kwa umma wke ko sio hoja ya msingi sana.
@Kabwela7767 ай бұрын
@@msabahaali758 ni mnafiki mkubwa huyo
@Kabwela7767 ай бұрын
@@yasminjuma9146 mnafiki mkubwa huyo kizazi cha mafisadi
@AdamSaffi2117 ай бұрын
Siyo hawa domo, hawajui kiingereza. I really don’t know how they got their degrees. Look at Ali Kamwe wa yanga, couldn’t speak in English in front of the UK Ambassador.
@sylvestercameo62637 ай бұрын
Your argument In this case is quite irrelevant and English mastery and proficiency has nothing to do with this conversation. Why pointing out Ally Kamwe in particular? Seems as if you have some grudges with him.
@terrence94777 ай бұрын
Kwa hiyo elimu ni kingereza? kweli mwafrika akili yake bado iko chini sana! elimu ni english? Dah! ndio maana hatuendelei sababu tuna wrong perception of education. Koreans, Chinese, et al, they don't use english lakini maendeleo yako juu. Waafrika ambao wameng'ang'ania english kama ndio usomi, ndio wako zero kwenye maendeleo
@fatmakhanii16767 ай бұрын
@@terrence9477kweli kabisa
@MrA24G7 ай бұрын
Terrence mzungu humkwepi utasema tuu maneno.Hyooo mchina Hong Kong katawala muingereza tusijiliwaze uongo.Aliyekutangulia kakutangulia tuu.Lugha inayotumika Kwa ku guide ndege ulimwenguni ni English why ndege zilitengenezwa na right brother's.Sasa basi kama unataka uswahili uwe juu.Hzooo suruali za mzungu unazovaa ,magari ya mzungu unayopanda na mifumo yote ya kizungu ibomoe Jenga yko ili tuone maendeleo ya mswahili si Sawa mzungu kafanya yake hayooo yameonekana ya mswahili nionyeshe mmoja tangu uambiwe uwache kuvaa ngozi ulirudi kuendelea na ngozi zako ili ujikite kwenye uswahili wako.Tuwache kujiliwaza upuuzi soma lugha ya kingereza elewa kabiliana na changamoto alizokuachia mzungu hutaki tengeneza mifumo yko ya Kiswahili ifuatwe na wengine tukuone wa maana.Tuache ujinga mpk leo tuna arguments za kijinga huku umevaa koti la mzungu jeans ya mzungu gari ya mzungu ndege ya mzungu computer ya mzungu.Bora unge argue huku umevaa ngozi ili tujue kweli unatetea uswahili midomo tuu hatuna lolote nionyeshe kitu kimoja cha muafrika Sawa tuna madini tumeyafanyia nini.Aliyewafungua akili mzungu kwamba hii ina thamani hamukuona.Mi huwa nashangaa hata viongozi baadhi ya wafrika unampinga mzungu umevaa suti ghali umeingia na Mercedes Benz Kali ya mzungu viatu vya mzungu kompyuta uliyochapiwa makaratasi ya kusema maneno ya ovyoo ya mzungu tuwe kwenye senses zetu waafrika kama hatuna jipya Bora tukae kimyaa.Hujui kingereza tembea na mkalimani.Lakini kusema kuwa oooh kuongea kingereza ni kujirudisha nyuma na tayari upo nyuma na ma professor wa makaratasi theory no practice.Hyooo mchina nyuma alikuwa kachoka kaenda ulaya kuchukuwa technology ndio maana kumkwepa mzungu bdo kizungumkuti.Mtu kama aliwahi kukutawala bro kaa kimyaaa.
@OmerSuley-gl7go7 ай бұрын
@@terrence9477ndio lugha ya kimataifa na pia ni lugha ya wasomi saiv huwez kufanya kaz tz tu kuna nchi na mashirika mengine ya nje yaweza kukuchukua muda wowote Kwa iyo English lazima kwa wasomi wenye maono ya kufika mbali
@darajalakidatukilomgi23627 ай бұрын
Jasho la menoupose limekupata Fatma unajipepea na kunywa maji, pole sana. Wanawake kuanzia miaka 45 kwenda juu hali hii ni kawaida kutoka jasho pasipo joto ushauri mywe maji mengi ni hatua ukimaliza hedhi unaingia hatua ya menopause
@johnmike60597 ай бұрын
Ivi jameni tusaidiane jibu ivi mwanamke mwenye makucha kama ayo ya fatuma mkono wa kusho anachamba vipi uyu anajisafisha vipi uyo au ndo usafi wa nje ndani ovyoo
@Kwelihukuwekahuru7 ай бұрын
Yaani wewe kuchamba tu ndiyo umeona cha maana tekinolojia iko juu sana kucheza na uchafu watu wamesahau ndiyo maana kipindupindu kinatadhibu kwa kucheza na kinyesi
@hassanmfaume45227 ай бұрын
@@Kwelihukuwekahuruacha kuingia mada zinazohusika na uislamu unaingia bila kujua bora ungerudi kujadili inshu ya pope kuruhusu ushoga ingekuwa Mali sana..!
@Kwelihukuwekahuru7 ай бұрын
@@hassanmfaume4522 hata ushoga ni uchafu tena wa hali ya juu siwezi kuunga mkono uchafu na mtu mmoja akiamua kumkufuru MUNGU haimaanishi ni watu wote na kuhusu kucha za Fatuma sijazifungamanisha na uislam kwani kuna Waislam wengi nawafahamu na wanafuga kucha na bado ni wacha MUNGU kufuga kucha na kutunza nywele ni umaridadi wa mwanamke mwanaume akifanya hayo tutamtilia shaka
@AaAa-vm8bb7 ай бұрын
Anajisafishia mashine
@amanimlengwa92027 ай бұрын
Kama Mimi tu nimeshasahau kujigusa Nyoro kitambo, huyu je? We bwana endelea na maisha yako ya kubebana na makopo kwenda msalani, wengine hayatuhusu.
@MegaAlexison7 ай бұрын
Wale kwa kina bunyoni burundi walikuwa na walinzi
@fadhilmohamoud7 ай бұрын
Uyu teja😂😂😂
@zmclassictv7 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i7GHjdZ1zMuck3U.htmlsi=F7A1iO-vd4kKJr6h Vita kali