COMMON CAKE MISTAKES/USIFANYE MAKOSA HAYA KWENYE UPISHI WA CAKE

  Рет қаралды 35,301

Mziwanda Bakers

Mziwanda Bakers

2 жыл бұрын

COMMON CAKE MISTAKES
-YOUR LOOKS LIKE A PANCAKE?
-YOUR CAKE IS TOO DRY?
-DOES YOUR YOUR SANKEN AT THE MIDDLE?
ALL THESE ANSWERS ARE IN THE VIDEO
JE ,KEKI YAKO INAPASUKA?
JE,KEKI YAKO HAIUMUKI?
NDANI YA VIDEO HII UTAPATA MWANGA WA MASWALI YAKO
KARIBU SANA MZIWANDA BAKERS
‪@mziwandabakers8297‬

Пікірлер: 124
@donathabikombo1399
@donathabikombo1399 2 жыл бұрын
Asantee dada, Ili cake ichambuke vzrii unafanyaje. Tunaombaa darasa la uchambukaji wa keki
@leahgeorge7444
@leahgeorge7444 Жыл бұрын
Asante kwa darasa zuri sana,bado kwenye swala la kupasuka juu.
@user-kv4cj6os7f
@user-kv4cj6os7f 4 ай бұрын
Asante kwa darasa
@jescadeogratias5292
@jescadeogratias5292 2 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu yako.Mungu akuinue zaidi
@farhatnassor3974
@farhatnassor3974 2 жыл бұрын
Shukran sanaa
@silverlandconstruction
@silverlandconstruction 2 жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo. Nafuatilia kutoka Kenya
@hawabofu6354
@hawabofu6354 Жыл бұрын
Asante sana my love 💕
@geofreymahatane943
@geofreymahatane943 2 ай бұрын
Asante sana nimeongeza kitu dada.
@immaculatajeremiah308
@immaculatajeremiah308 Жыл бұрын
Asante sana umenisaidia sana.
@ziadaskitchen5060
@ziadaskitchen5060 2 жыл бұрын
Mashaallah
@mamaflowin8015
@mamaflowin8015 2 жыл бұрын
Thanks dear tunapona
@user-qx3sj3io5s
@user-qx3sj3io5s 4 ай бұрын
Asante yani najarubu tena nione matokeo sikati tamaa hadi nijue
@HappyMsembule-yp5ir
@HappyMsembule-yp5ir 6 ай бұрын
Shukrani dada.... nimeipenda ovena yako ni kampuni gani
@marthahaule8661
@marthahaule8661 7 ай бұрын
Asante kwa darasa zuri nimejua kasoro yangu!
@7sevenmediatz
@7sevenmediatz Жыл бұрын
Naomba unijuze handier ipi ni nzuri
@user-li9zj3xb2y
@user-li9zj3xb2y 11 ай бұрын
Shukran kwa elimu
@hafsahassan1548
@hafsahassan1548 2 жыл бұрын
naomba kujua custard powder inasaidia nn ktk cake
@lucykakamba293
@lucykakamba293 28 күн бұрын
Kipikia sufuria dogo
@user-pd9tv1cu8w
@user-pd9tv1cu8w 4 ай бұрын
Mwalimu makini sana dada
@angelbuhaga4130
@angelbuhaga4130 11 ай бұрын
Thanks
@teddymartini5819
@teddymartini5819 Жыл бұрын
Asantee
@fatumasaidi1806
@fatumasaidi1806 11 ай бұрын
Asante dada keki yangu inakua na mlima nainapasuka dalasa nizuli
@shenuabdallah196
@shenuabdallah196 Жыл бұрын
Piano tunaomba visitors via cake kuanzia 250g make just yake
@yasintamtui8609
@yasintamtui8609 2 жыл бұрын
Asante
@joycefrancis8646
@joycefrancis8646 Жыл бұрын
Habari Nataka kujifunza Kwa vitendo...
@rosembaga2658
@rosembaga2658 Жыл бұрын
Mpaka nimesusa kupikaa keki na jiko nikauzaaa
@hadijamohammedy8070
@hadijamohammedy8070 2 жыл бұрын
Inapendeza
@noelamwita6058
@noelamwita6058 2 жыл бұрын
Shukrani Dada. Naomba msaada naweza pata wap oven kubwa ambayo naweza kubake mikate na bei yake
@halimajuma9069
@halimajuma9069 2 жыл бұрын
Mm naweka baking powder kwakiac, cfunui mpk dakika dakika 40 lkn cake inaumuka mpk inadumbukia ndan yenyew, hii inanikosesha sana amn
@hamidamsofe4627
@hamidamsofe4627 Жыл бұрын
Asante sana mi nahitaji kujua kupamba cake je unawrza kunifundisha?
@benadethakitomary8175
@benadethakitomary8175 Жыл бұрын
Kwann keki inachambuka sana mpaka inashindwa kuchomeka kwenye kijiti
@shenuabdallah196
@shenuabdallah196 Жыл бұрын
Hello dear ni laziima kuweka hizo cooling racks?
@zawadijonas7459
@zawadijonas7459 2 жыл бұрын
Dada mziwanda. Samahan uzito wa mchanganyiko hauwez kufanya keki kuwa ngumu? Na je mchanganyiko wa 500gm barking powder n kiasi gan?
@hajraadam4301
@hajraadam4301 2 жыл бұрын
Asante sana love kwa mafunzo yako ,mimi shida yangu nikipika keki ya mchanganyiko wa nusu huwa natoaga maugali ila nikipika vipimo vya robo natoa keki nzuri sijui na feli wapi 🙏
@joycekahigi216
@joycekahigi216 2 жыл бұрын
Ìiijjjhhgģģhhğģ
@rachelmwambuluma4527
@rachelmwambuluma4527 2 жыл бұрын
Asantee kwa SoMo mie maswali apoo kwenye moto wa oven upii unatakiwa
@sheraamussa485
@sheraamussa485 11 ай бұрын
Asante sana kwa tips nzuri. Ningependa kufahamu unapo bake cake una anza na moto wa chini na juu au una anza na moto wa chini halafu unaweka wa juu. Shukran
@nsiandekweka8373
@nsiandekweka8373 5 ай бұрын
Lazima temperature iwe both sides, juu na chini.
@marysoniah1775
@marysoniah1775 Жыл бұрын
Nikipika cake intokaa kama simaaaa
@MIKAMICHAELI
@MIKAMICHAELI Ай бұрын
M ntmn kupk cak ambay juu inapasuka kutokan n sok lang ndo lnatak hvyo je nfanyaje
@user-zq2xy1mj6o
@user-zq2xy1mj6o 27 күн бұрын
Na cake ikiwa mbichi katikati shida inakua nini
@dianagodfrey8654
@dianagodfrey8654 2 жыл бұрын
Mi natak kujua je ni mayai gn mazury kupikia keki
@neemambanus3990
@neemambanus3990 Жыл бұрын
Asante dada Mungu akubariki nauliza kama unagroup la watsup la kufundihia
@colethakepha6852
@colethakepha6852 2 жыл бұрын
Asante sana dada mziwanda kwa darasa zuri, ubarikiwe sana. Je ni baking powder ipi inafaa kwenye keki? @mziwanda bakery
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Hello karibu, baking Powder zote nzuri kikubwa ujue unaitumia kwa kiwango kipi na ubora wake pia na rangi yake ni muhimu
@wematony9792
@wematony9792 2 жыл бұрын
Habari, Asante Sana dada, keki yangu inakuwa ngumu ndani aina unyevu unyevu ndani pia haiumuki ninavoweka inakuwa hvhv inaumuka katikat tu kidogo sana
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Umeangalia ubora wa baking Powder yako? - Umefuata sheria za upishi? Ipo video yake kaicheck -Unatumia recipe iliyokamili? Fuatilia vizuri na kwa umakini kisha niletee mrejesho wako hapa.
@hadijamsuya6450
@hadijamsuya6450 2 жыл бұрын
Dah leo nimepata kutatua tatizo langu.ubarikiwe mnoooo.nilikuwa nateseka sana cake inakuwa sponge vizur ila inadumbukia kati.ntafanyia kazi
@Alafasydau
@Alafasydau 2 ай бұрын
Hii nitaifanyia kaz dada
@hollyben1053
@hollyben1053 Жыл бұрын
Asante, lakini mimi keki yangu haidumbukii huku juu. Huku pembeni inaingia katikati inaleta shape ya kinu. Shida ni nini?
@hannahhassan8881
@hannahhassan8881 Жыл бұрын
Angalia vipimo😌
@ngukekadashi6608
@ngukekadashi6608 9 ай бұрын
kwann nje iko sawa ila ndani haijaiva
@danielsesinga3298
@danielsesinga3298 Жыл бұрын
Kwanini keki inakuwa kama ina maji ndani na sijaweka maji?
@mbonistanley6540
@mbonistanley6540 2 жыл бұрын
Asante Sana dada kwa madarasa haya unatubariki Sana umekuwa msaada mkubwa
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Ameen
@mbonistanley6540
@mbonistanley6540 2 жыл бұрын
Kwa unga robo Ni tini gani sahihi kutumia? (Yenye ukubwa gani ?)maana natamani kupata cake isiyokuwa na kilima _dome.evweytime I bake lazime kilima kitikee nisaidie tafadhari
@theresiasafiely1701
@theresiasafiely1701 2 жыл бұрын
Naomba kujua kwa nn keki yangu haichambuki na kuwa sponji vzr
@HAPINESSMLAY-zw7wy
@HAPINESSMLAY-zw7wy 9 ай бұрын
Teach me hole at middle
@gracemapunda9229
@gracemapunda9229 Жыл бұрын
Kwa jiko Hilo unaloonesha settings zake zinatakiwa ziweje?
@khadijachuto9239
@khadijachuto9239 Жыл бұрын
Yangu haichambuki mbna
@marymathew6529
@marymathew6529 7 ай бұрын
Oven nimeipenda,inauzwa bei gani?
@maureensamweli9101
@maureensamweli9101 2 жыл бұрын
Bless you dr
@aminamollel5725
@aminamollel5725 Жыл бұрын
Elimu konkiiiiiiiiiii
@mwanapiliali8504
@mwanapiliali8504 2 ай бұрын
Me naomba kujua kwann sometimes cake yng ikiwa ndani ya jiko inavimba vizuriiii ni ya kupendeza na wala haipasuki mpk inaiva naitoa iko vzr lkn sasa nikishaitoa pale naiwacha ipoe bac nikenda isharudi japo c sana lkn c km ilivokuwa?
@colethakepha6852
@colethakepha6852 2 жыл бұрын
Pia na mm huwa nizitengeneze keki haipandi inabaki vilevile zaidi inavimba katikati
@latifajuma7972
@latifajuma7972 Жыл бұрын
Ambao hatuna vipimo maalum ni changamoto na Mimi mara nyingi ndani inakua kama ugali
@lucyhenry1062
@lucyhenry1062 2 жыл бұрын
Me naswal mfano umekoroga mkorogo mwngn kuliko uwezo wa oven yako je ule mkorogo unaweza ifadh? Na je ni kwa muda gani? Na je nje ya frge au ndan ya frige Ahsante dia
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Uweke kwenye chombo chake tayari kwa kubake,ulizoweka zikiiva ingiza hiyo ingine, usiweke kwenye fridge acha tu kawaida
@gracebenjaminnapokeakatika9565
@gracebenjaminnapokeakatika9565 2 жыл бұрын
Hongera dada kwa ukufunzi nimependa sana! Na je izo oven napata kwa sh. Ngapi?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Hizi deck moja zinasimamia 1.4milioni nakuendelea inategemea na kampuni
@angelamvaa2229
@angelamvaa2229 Жыл бұрын
Kama natumia raising flour inakuwaje?
@RachelMwakitalu-db2vj
@RachelMwakitalu-db2vj Жыл бұрын
Hili jiko sh ngapi?
@victoriamoshi675
@victoriamoshi675 Жыл бұрын
Asante kwa mafunzo ila mimi nina shida jiko langu ni la gas na halina taa walahalionyeshi kiasi gan kwel sijalielewa
@mariaeliuta7915
@mariaeliuta7915 8 ай бұрын
Keki inawekwa nin ili ichambuke ?
@PhinahJojo-mt2fz
@PhinahJojo-mt2fz Жыл бұрын
Meh najifunz kpika keki kw mkaa ila haichambuk
@user-kr6pb6cl5o
@user-kr6pb6cl5o 5 ай бұрын
Nini kinafanya cake iwe nyeupo ndani
@christinamwibuka5440
@christinamwibuka5440 Жыл бұрын
Panaposumbua ni vipimo mfano unga 250 baking powder kiasi gani.......
@hafsahassan1548
@hafsahassan1548 2 жыл бұрын
shukran sana mziwanda bakers lkn swali lang ni kuwa niliwahi kupika cake nikaweka maji instead ya maziwa lakn cha ajab cake ilikuwa inachemka maji jikon kanakwamba nmeweka maji kwenye cake.. naomba kujua hapo tatz nn
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Sijaelewa swali maji umeweka au umeweka maziwa yakawa kama umeweka maji??
@hafsahassan1548
@hafsahassan1548 2 жыл бұрын
niliweka maji ktk mchanganyko wa cakee
@eneswaggy1835
@eneswaggy1835 Жыл бұрын
Jmn keki yang vaiv ndani inakuwa kam ugali naju inakuwa ngumu yn inakauka je shd nn dad
@zainabukimaro9805
@zainabukimaro9805 2 жыл бұрын
vipimo sijaelwa na kupima moto
@azeezaazeeza4255
@azeezaazeeza4255 2 жыл бұрын
Mi nikipika keki inanata ndan af kwa nje imeiva je naweza kuirudisha jikon????? Asante pia kwa som
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Angalia sheria za upishi wa keki Mziwanda Bakers utapata kitu
@jeniphamsofe3758
@jeniphamsofe3758 2 жыл бұрын
Madame naomba namba Yako
@mwanaharusingaluma4861
@mwanaharusingaluma4861 Жыл бұрын
Keki yangu nikipika inakua na uchungu shida nn
@nooromary
@nooromary Жыл бұрын
Keki hazipandi sanaa shida nn??
@hajrayusuph3282
@hajrayusuph3282 Жыл бұрын
Napataje oven kama hiyo kubwa
@renathajames2540
@renathajames2540 2 жыл бұрын
Nifanye nini ili keki yangu isipasuke na kuwa na mlima!
@hadijamkwazu7154
@hadijamkwazu7154 2 жыл бұрын
Samahani, sukari ya kawaida inachelewa Sana kuyeyuka wakati wa ku cream cake, je naweza kuweka mayai bila sukari kuyeyuka kabisa kwenye mchanganyiko?
@hannahhassan8881
@hannahhassan8881 Жыл бұрын
Blend sukari itakua unga na itakupa matokeo mazr😌
@lilianmwangonji7091
@lilianmwangonji7091 2 жыл бұрын
Dada naomba namb ya madarasa watsp
@tiffahofficial2715
@tiffahofficial2715 2 жыл бұрын
Me naomba uelekeze kwann margine inakatika nikiwa naweka mayai
@stellamhillu8988
@stellamhillu8988 2 жыл бұрын
Natamani nije kujifunza kabisa maana sometime napata changamoto ya keki kutochambuka
@mariamsarim201
@mariamsarim201 2 жыл бұрын
kipenz naomb namb yako maana nataka kujifundisha kupika kek
@zamdamahmoud2176
@zamdamahmoud2176 Жыл бұрын
Mama haitham takuja kujifunza
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Karibu kipenzi
@assalynursuleiman1175
@assalynursuleiman1175 2 жыл бұрын
Pia kek inadumbukia Kati sababu ya kukosea vipmo vya unga mm mara ya kwanza ilkuwa inantokea nlivoenda Sawa na vpmo haikuwah nsumbua tena
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Ni kweli hongera sana
@devinasalvatory7306
@devinasalvatory7306 Жыл бұрын
jamani mi sijaelewa hapo ukitoa huo ute inamaana huu tumii tena
@sayarihajj502
@sayarihajj502 2 жыл бұрын
Jaman m hzo mixer znakufa sana yaan unakuta inalia 2 ila ivo vchuma havizunguki nakosea wap alaf n mda. mfupi 2 nanunua ten inginee
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Usiizungushe muda mrefu ikachemka sana huwa zinakosa uimara ikipata moto mkubwa
@sayarihajj502
@sayarihajj502 2 жыл бұрын
Shukran dada
@mwanaludanga5215
@mwanaludanga5215 2 жыл бұрын
Asant sana kipenzi mimi sijawah toa keki isio na kichuguu yani
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Jitahidi kufuata sheria
@gabrielmayo1818
@gabrielmayo1818 Жыл бұрын
Dada unga kilo moja unaweka beking pouder kiasi gani
@vestinafmuyinga4347
@vestinafmuyinga4347 Жыл бұрын
Nilioka keki ikawa mbichi katikati shida itakuwa nn?
@shamimuhalima9940
@shamimuhalima9940 Жыл бұрын
Bakin tin imekuwa ndogo kuliko mchanganyiko
@kevinnyoni3976
@kevinnyoni3976 2 жыл бұрын
Samahan dada, keki ya robo inatakiwa mayai mangap?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Unaweza tumia 4 mpka 6
@gloryjoshua1801
@gloryjoshua1801 2 жыл бұрын
Nikipika keki yangu na sukari ya kawaida ile light brown (kama unayotumia) sio deep brown, keki yangu ndani inakuwa Brown haiwi nyeupe km za wengine shida nini?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Angalia namna unavyopiga mchanganyiko wako pia njia unayotumia huenda inakuletea matokeo hayo
@gloryjoshua1801
@gloryjoshua1801 2 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 huwa nablend sukari sababu sina mixer, Je hiyo ndo sababu? Na ukisema kupiga ule mchanganyo unamaanisha kuupiga sana ndo kunaweza pelekea keki kuwa ya Brown ndani?
@queenandchill91
@queenandchill91 2 жыл бұрын
@@gloryjoshua1801 Piga sana sukari na blueband hapo kwenye matokeo ya keki nzuri...ukipiga sana inalainika kabisa na inakuwa kama ice cream hivi kama povu,halafu ndo uendelee na process nyingine, Sukari na blueband ndo itafanya cake yako iwe laini, nzuri...Sukari isage kwenye blender ya vitu vikavu.
@mariamdenis91
@mariamdenis91 Жыл бұрын
Naomba uniwekee saizi ya inch ya sufuria na kiasi Cha unga kinachoingia
@mariamdenis91
@mariamdenis91 Жыл бұрын
Please naomba dada nisaidie
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
7" weka gram 650 8" weka 750
@mariamdenis91
@mariamdenis91 Жыл бұрын
Asante
@haithamshein7726
@haithamshein7726 2 жыл бұрын
Kipenz naomba msaada wako me nikipika keki inanionesha kama ishawiva nikiitia kijiti lkn nikiitoa na kuikata chini inafanyika haijawiva keki inajigawa cjui nn ttz
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Oven inapitisha moto vizuri?
@haithamshein7726
@haithamshein7726 2 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 ndio lkn moto wake unawaka na kuzima
@emilyaluoch1730
@emilyaluoch1730 2 жыл бұрын
Asante
@davidmboya1618
@davidmboya1618 Жыл бұрын
Kwann keli inakuwa kama ugali tafadhali dada tueleweshe plz
@sharifsaid1481
@sharifsaid1481 3 ай бұрын
Unajiunga kwa sh ngapi
SHERIA 8 ZA UPISHI WA KEKI/8 BASIC RULES IN BAKING @mziwandabakers8297
9:05
KEKI YA NAZI RAHISI SANA/COCONUT CAKE RECIPE
9:52
Mziwanda Bakers
Рет қаралды 42 М.
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
The BAKING MISTAKES you didn't know you were making!
6:13
Cakes by MK
Рет қаралды 674 М.
Jinsi ya kupika cake laini ya kuchambuka na mambo muhimu ya kuzingatia
10:04
Makosa yakuepuka wakati wa kuoka keki
8:07
Eva Kasabila
Рет қаралды 12 М.
Cake ya vipimo vya nusu #neemashaaban #msukuma
9:40
Neema Shaaban
Рет қаралды 50 М.
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН