DADA YETU AMECHANGIA SANA AZIZ KI KUBAKI KLABU YA YANGA| INASEMEKANA NI MJAMZITO, WANATEGEMEA MTOTO.

  Рет қаралды 59,560

Wasafi Media

Wasafi Media

21 күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 78
@RisasiRisasi-uj8fk
@RisasiRisasi-uj8fk 14 күн бұрын
Wameumbuka wachambuzi ukwala,hata huyu mzee za dani,naye kaumbuka.hongera sana Eng.umenikumbusha mbali sana,Magu aliwaumbua wazungu pia
@amaniomar1755
@amaniomar1755 14 күн бұрын
Acha Tz iitwe Bongo kuna maana kubwa sana ndani ya hilo jina...
@awetumtengera1147
@awetumtengera1147 14 күн бұрын
Za ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tajiri mo ameshamsaini azizi k Leo Husemi tena, punguzeni kuongea vitu ambavyo hamna uhakika.
@johnmshuta5133
@johnmshuta5133 14 күн бұрын
Momo Amna mchambuzi hapo za ndani akuna kitu 😃😃😃😃😃
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 14 күн бұрын
AZIZIKI ALISHASAINI ZAMANI YANGA CY LEO
@elicktilia4430
@elicktilia4430 14 күн бұрын
Uwalisia kabisa sports yetu imekuwa yamoto blaaa nice all media📺📺📺 tz
@jumamchewa3246
@jumamchewa3246 14 күн бұрын
Wakudele ulisema azizi anaenda upande wa pili ila Leo unabalikabadilika unasema SABABU ya shemelaa
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 14 күн бұрын
Ukiona mchezaj anang'ang'ania Tanzania ujue ni mchezaji wa kawaida mno,mm Aziz ki namwona sawa tu na akina mzamiru na umri alionao akienda ulaya anakuwa houseboy tu sio mchezaj mpira
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 14 күн бұрын
Tunajua lazima mtoke majumbani mkatafute mkate yaani msosi.punguzeni un mbea kwa kweli.kilichiniudhi mm ed ingilia maisha ya huyo binti Mara mjamzito ....nk wapi wanao enjoy umbea huu hayo ni yao
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini 14 күн бұрын
Mhuuuuu😂😂😂😂 pasi katoa mobetto
@juliusjkalela9164
@juliusjkalela9164 14 күн бұрын
Ety ana mahusiano achen uongo
@MeshakiShija-mz5mw
@MeshakiShija-mz5mw 14 күн бұрын
Wachambuzi uchwara injinia Hersi saivi anawacheki anawasogeza na anawamwaga mwaaaaa endeleeni kushadadia mipango ya klabu ya yanga mtajioona mpaka akili hamna
@vaxminja9053
@vaxminja9053 14 күн бұрын
Huyo mzee wa Kudere ndio muongo namba moja, alidanganya kuwa Mo ameshatia mzigo.
@kakamau0384
@kakamau0384 14 күн бұрын
Ila kwenye App ni ukweli mtupu mimi ni jana tu nimeishusha kisa Azizi leo anaongea 😂😂😂
@MeshakiShija-mz5mw
@MeshakiShija-mz5mw 14 күн бұрын
Na wee Edo mpuuzi sana
@ElidaMsigwa-nz2ts
@ElidaMsigwa-nz2ts 14 күн бұрын
Acheni kujadiri mapenzi ya watu yenu yanajdiriwa wapi
@hassannickson7654
@hassannickson7654 14 күн бұрын
Hivi wachambuzi wetu Ttz Nini mda mwengine huyu za ndaniii alishasema Aziz ANAONDOKA sasa imekuwaje Tena hapo eee
@salimusafuko8594
@salimusafuko8594 14 күн бұрын
Nyie wasaf mnafeli kila mnachozungumza anaewafatilia ni mgeni labda mmechezeshwa na hersi mkaingia mkenge kuhubir Mambo msioyajua ovyoo nendeni shule
@user-iz3hs8jl5p
@user-iz3hs8jl5p 14 күн бұрын
yanga baba lao
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim 14 күн бұрын
Mafala watupu waandishi momo s ulisema mo dewji anamchukua
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 16 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 8 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 713 М.
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 16 МЛН