Baba Levo katua kwenye jana na leo pamechangamka sana leo.
@emmanuelmgunda932527 күн бұрын
Sawa
@ecoty569819 күн бұрын
Ila baba levo nimuongoo kinoma we jamaaaa😂😂😂
@DalaliBigwa7 күн бұрын
Baba levo uko sawa, yanga haitabiliki
@jumamukhaimar730721 күн бұрын
Daaaaaaah. Baba levo balaaa
@ckevents359327 күн бұрын
Baba Le vo nakukubali sana
@janejoel246526 күн бұрын
Jaman baba levo anafurahishA sana nataman niwe na msikiliza kila siku na kiswahili chake
@mlumendoigonza639817 күн бұрын
Baba levo unajua kupanga, mashine
@amourgwabananga15435 күн бұрын
Baba levo mi nikio kagera ila minishabiki yako
@UmmyRajabu-gp2um26 күн бұрын
Safi sana .baba ,muda yeye atapishana na max inategemea na metch yenyewe
@user-bu9wj5pi3t27 күн бұрын
Baba level low football proffesional lakini kwenye kipindi lakini ana mchango sana hapoo hamjui tuu🎉
@DouglasChuwa-ec7mv4 күн бұрын
We baba Levi we ni mchawi
@yusufmsaa569327 күн бұрын
Iki kipindi kilikiwa hakina mvuko baba levo akikosekana
@bianachilyenga201227 күн бұрын
Hakuelewi has baba levo Acha wananchi tutambe
@NgoshaTz-ki9vg16 күн бұрын
Yaaaani mzinze huwa anatukosesha sana furaha
@user-bu9wj5pi3t27 күн бұрын
ILA baba level 🎉🎉🎉
@GOLDIANEDRICK-sm6xk27 күн бұрын
Yani hwa jamaa akili zao ni kuchekesha tu
@PlanetLeo72127 күн бұрын
Baba leo is an other level
@ChingaBoy-mq7yg27 күн бұрын
baba nakukubali sana kwenye jana na leo
@HappyEel-wg4qx22 күн бұрын
Hoisi
@michaelhhayuma164926 күн бұрын
Baba levo micc you❤
@user-et8sg4kt2r23 күн бұрын
Baba levo we ni mpuuzi huwezi kumuacha muda uka muweka chama Taira toka hapo studio
@user-lq1fm4dj2n17 күн бұрын
Baba levo umepotelea wapi unatoboaga wewe bora unerudi
@SaidAlly-uh4qw27 күн бұрын
😂😂😂❤❤baba levo
@DanielChaula27 күн бұрын
🎉🎉🎉
@ChingaBoy-mq7yg27 күн бұрын
babalevo🔥🔥🔥🔥
@maxmiliangunze893126 күн бұрын
Baba levo aiseee nakualika zanzibar kwenye dinner aisee one day unavutia mnoooo
@SuleimansaidRashid27 күн бұрын
Mechi za kimataifa lazima prince Max muda pacome Aziz waanze....
@abdallayunnus347527 күн бұрын
Babalevo noma
@JUU-lw2je27 күн бұрын
Baba levo una kipaji sana cha kuchekesha
@user-mo7iq2fd8g26 күн бұрын
sema oscar kw kujifany anaon mbali😂😂
@user-iz3hs8jl5p27 күн бұрын
safi sana edo waambie hao
@IdrissaHabibu23 күн бұрын
Hhhhhhhhhhhhh😅
@user-iz3hs8jl5p27 күн бұрын
tutawagaragaza sio kuwafunga 2
@user-qo6qv6mc5p25 күн бұрын
Wew ni Xavi mtupu
@renaldikusare873327 күн бұрын
QwiShaa 😂
@Thomas-lm1dq26 күн бұрын
Gamond ameungana na Edo Kumwembe. Kaulizwa atawapanga star wote kwa wakati mmoja? Akajibu: Tutegemee kufungwa kila mechi tutakayo fanya hivyo.
@sallyeliya521327 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@albertvalentino13027 күн бұрын
Na hakuna mahala popote palipoandikwa kuwa,kwakuwa Galagtico ya Real Madreed ilifeli,basi kila timu itakayo sajili nyota wengi itafeli kama Madreed --- " Opponent akipata goli,wakati Score bord inasoma YNG 5 -- MADUNDU 1 halafu ni dakika ya 88:45 kuna shida gani "
@saidkhadija755726 күн бұрын
haha acha muda uongee .....nyie mastaa kaka😂
@HamimSaid-g5p27 күн бұрын
Baba levo mpira haujui kbs hapasw kuwa kwenye hich kipind labda kwasababu analeta uchangamfu kwenye kipindi
@leoncearistides344825 күн бұрын
Kaongea points apo ww sikilza
@ABM196327 күн бұрын
UMEWAHI KUFIKIRIA YANGA WAMESHINDWA KUINGIA MAKUNDI CAFCL? THINK ABOUT THAT!
@user-mg1yl2rl8s27 күн бұрын
Makundi mbali kote huko, kuna timu bovu TZ limeshindwa kabisa kushiriki CAFCL msimu ujao limebahatika kwenda shirikisho😅