Allh atupe mwisho mwema ila kifo anajua allh pekee
@awaahassan93611 ай бұрын
sio urongo huu ni kweli mtu akikaribia kifo uwa rizki inafungwa pili kauli pia inafungwa tatu uwa yuko na aya sana kila ukimtazama hakuangalii vizury yeye anaangalia ukuta tu
@husseinnuru75444 ай бұрын
Nikweli ant mm naumwa nasina masiliano nadunia kabisa kiukweli
@deogratiuslwamboya40322 жыл бұрын
dalili 8 zote zimetokea Kwa marehemu mama yangu kabla ya kufa tarehe 17.04.2022. Asante kwa ufafanuzi huu
@alexmwinuka4280 Жыл бұрын
Pole sana broh
@hanifamasudi97329 ай бұрын
Pole sana ndugu😢😢😢😢
@Amissi_abasi1Ай бұрын
Duu😢 Pole sn kbs 😢
@OsmanAbdi-ws4yw8 күн бұрын
Pole sana
@namicktz_official Жыл бұрын
Mungu Tujalie mwisho mwema
@zionshedaffa6446 Жыл бұрын
True kitu kingine uona watu waliokufa hapo zaman R.I.P Mama n 24\07\2023🙏🏼 dalilizote hizo tuliziona kumbeeeee😭😭😭😭💞
@fatmabhai2812 Жыл бұрын
Kati ya dalili hizi ni kweli nimeziona kwa mgojnwa niliyewahi kumuuguza .. MAREHEMU BIBI YNG... MUNGU AMSAMEH NA AMPE MALAZI YENYE FURAHA. AMYN.
@aash4145 Жыл бұрын
Pole sana laamboya kwakitokwa na mama mzaz,,,, mungu amjaalie makaz mema ya pepo inshaalah
@zainahasanizainahasanihash5781 Жыл бұрын
Emwenyezi mungu tupe mwisho mwema
@eunicelango6083 жыл бұрын
Neno la mungu linasema hakuna ajuae siku Wala saa
@vicentsalum4884 Жыл бұрын
Siku wala saa ya kuja Mwana wa Adam
@WinnixKamau-fz1vw Жыл бұрын
Niukweli kabisa,dalili zote dadangu alikuwa Nazi hizo
@MaterlingMtui-oz8fpАй бұрын
Uwoii,,, nawanaoo kufa na ajali, tumuaxhie Mungu bhna
@user-tc6tk6yi5v10 ай бұрын
Shida heee mungu tusamee kwa kila kitu tunacho kitenda
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Kuna kaka yangu mhonjwa lakin leo amekataa kabisa kula tangu asubuhi kaomba soda tu
@AishaThabit-yr4mn2 ай бұрын
Usitudanganye wew ushawa kufa ukarud hiyo tumuachie mungu mwenyew
@Nyotajada8 күн бұрын
😂😂😂😂
@salimalaquimane307710 ай бұрын
Babu yang kabla ya kufa alitaka sana kuonana mami kwa bahat mbaya nlikua mbal nl umia kusikia ali nihitaj sana kabla ya kifo chake
@mwanaidimajid8382 Жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU anijalie mwisho mwema
@cholocaptain1623 Жыл бұрын
Inaniumiza sana iz story
@Amissi_abasi1Ай бұрын
Kwl kbs mwanzo mwisho
@beatricemdoe2850 Жыл бұрын
Naungana nawe kaka Ni kweli kabisa
@agripinagasper-ts1yx Жыл бұрын
Moyo hautoki roho ndio inatoka kakaake
@SaraMkiwaАй бұрын
Mm najihisijasho kichwani navidole kufaganzi
@ruqia6079 Жыл бұрын
Hakuna ajuwae zaidi ya mungu
@user-fb1dv3jk3u4 ай бұрын
Mama Angu Alikuwa Anawaona Waliotangulia mbele za Haki Rip mama😭😭
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Ndio wanasemaga anakuwa ja aibu au anakutuma kitu ndo anakufa
@jubiercib3074 Жыл бұрын
Ynwz kutokea yt hyo na mtu asife Allah ndio anajua siri y kifo....
@marrymangaro3613 Жыл бұрын
Wacha kudandanya watu, hakuna ajuwaye ni mungu pekee ndiye anayejuwa siku na masaa!
@maalimseifk-gumuadui123 Жыл бұрын
Akili yako bado ni changa ndo maana umeandika hivyo….vyote ni kwel! Kwan kwenye hayo maelezo kuna mtu alisema yeye ndo anajua siku na masaa ya mtu kufa?acha ujuaji mwingi
@husseinnuru75444 ай бұрын
Nikweli msikatae mm naumwa najiona kabisa saw amini
@SalumuZomba-xb5bz7 ай бұрын
Kaka angu mungu ndio anayejua
@SharifaSherry-er1xzАй бұрын
Allah Akbar🙏🙏🙏
@user-ks6wj1uf9kАй бұрын
Watu sikuhizi wanakufa wala hawaumwii
@aminamgema8917 Жыл бұрын
Mmh!!
@miria6599 ай бұрын
Na wale hupata anjali kwa gafla
@maalimseifk-gumuadui123 Жыл бұрын
Kuna baadhi ya binadamu akili zao sijui zipoje yan….Et” Hakuna ajuae zaidi Mungu “kwahiyo mnasema hivyo ili muonekane wacha Mungu sana au🤷🏼♂️ Hakuna anayejua siri ya kifo na hakuna aliyebisha kuhusu hilo,lakin likichozungumziwa hapa ni dalili!Hii elimu imekua adimu sana kwa hiki kizazi za sasa.
@DenisMawala Жыл бұрын
😢😢😢😢😢
@hamiduahmadi38548 ай бұрын
Kumbe dalili zenyewe zimebezi kwa wagonjwa tu?
@zulftomy64252 жыл бұрын
Bora umuwmbie
@wamillazotz8248 Жыл бұрын
Wew sio mungu bwahna!
@godfreymnyandwa8745 Жыл бұрын
Kwan kasema yy Mungu???
@dakihamaluta4159 Жыл бұрын
Alikwambia nan
@user-lk6kv8gx5d10 ай бұрын
Baba
@michaelmwadete8078 Жыл бұрын
Ww ulijuaje hayo,maana kifo ni siri mungu ameiweka hapo,
@cynthiamueni8956 Жыл бұрын
😂😢
@rossaad8795 Жыл бұрын
Hakuna anae Juan cku yke
@izakabdul Жыл бұрын
Cuale certeza que você tem?? Esses coisa que você sta falar?
@dakihamaluta4159 Жыл бұрын
Tafutta story book zingne huko unakoenda utakosa watazamaji wakwanza mm