Nimewasikiliza wengi lkn huyu viwango vyake ni vya juu zaidi, hata kuongea kwake inaonesha ni kweli kabisa.mungu akubariki na kukulinda bro, ktk jina la yesu.
@joyceshile8837 Жыл бұрын
ILA kama anatudanganya MUNGU AMFUATILIEEE MILELE
@ndenzahasna26592 жыл бұрын
Davista mambo unayo ongea hayana maana ni tofauti na kipindi,mpe mda mtumishi wa mungu aongee bwana
@ylosvijevana68152 жыл бұрын
Anaongeaga sana na kila siku anarudia yaleyale
@rachealkayuga1842 Жыл бұрын
Asante sana..
@heritier51192 жыл бұрын
Lengo la Meshack ni kuwapeni daawa acheni shirki, mcheni Mola pekee.
@philipoluzege32002 жыл бұрын
Uko sahihi qaqa
@Mpakauseme2 жыл бұрын
kabisa
@rabilubinza76612 жыл бұрын
Umenena vema Mungu akubariki sana
@ninajohn86432 жыл бұрын
Nimejifunza Mengi sana kwenye hiki kipindi hata siachi kuangalia kipindi yaani nafanya kusubiria story what next,all big up meshak,big up davistar.one god,all the way from canada
@edifique11n942 жыл бұрын
Mtu akisema mungu akubariki uliza Jina la Huyo mungu maana miungu wengi ila wa kweli mmoja ( Yahweh Jesus)
@EngJosh2 жыл бұрын
We mwache aeleze anayotaka kuzungumza akija na wa imani nyingine na yeye azungumze tu sisi ndio tunamaamuzi yakufuata.
@achrafgr80872 жыл бұрын
Kabisa mzee
@EngJosh2 жыл бұрын
Naona bwana davista unaogopa kulogwa Kaka 😁😁😁🤣🤣
@beatricemortensen85332 жыл бұрын
Davista hakika utakosa waangaliaji ktk kipindi chako, Ila ndo watu wataonhezeka zaidi. Hapo kuna nguvu ya kuwaweka watu huru. Usichoke na kaka Meshack Mungu wa Mbinguni Muumba mbingu na vyote hakulinde hakutie nguvu zaidi.
@heritier51192 жыл бұрын
Isa alizaliwa chini ya mtende, Yesu alizaliwa kwenye zizi la ng'ombe
@thegreat.98692 жыл бұрын
Malizia 😂😂
@hassanabubakar30012 жыл бұрын
Ni kuomba tu Mungu na kumtegemea YEYE peke yake🤲🤲🤲
@drnow15282 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@kamgomoli36502 жыл бұрын
@@drnow1528 Hilo jina Waislamu wakilisikia mishipa ya usoni inawasimama.
@marrypius576 Жыл бұрын
@@kamgomoli3650 kabisa yan watakuua😂😂😂😂
@theresaamanya30822 жыл бұрын
Ahsante sana kwa kumleta Huyu ndugu
@idrisooabdallah35462 жыл бұрын
Story iendelee Davista mnaongea sana mengne tofauti na story hii
@rosecruiz43482 жыл бұрын
Mimi naomba kama kuna watu uliwafunga omba vifungo vyote vikauke na walio mateka wachiliwe ninge shukuru sana
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Jamani endeleeni hii story haisongi kabisa hii itafika 100
@drnow15282 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@user-vb8ck9tt9o2 жыл бұрын
we devister maneno mengi acha pea kuhani kuendelea sababu ya muda
@jeturdasimon4851 Жыл бұрын
Jamani kusema kweli huyu mtumishi mm namuelewa sana sana
@sarongamushi4352 жыл бұрын
Davista tatizo unazungumza mno kuliko hata huyo anaetakiwa kuzungumza.. kwenye dakika 34 unaongea wewe zaidi ya dakika 20. Kama mtu hataki kuamini achana nae
@franklulasanye31232 жыл бұрын
Anazingua huyo jamaa davista. Amuache aeleze ukweli kwa undani
@sarongamushi4352 жыл бұрын
@@franklulasanye3123 anaogopa watu watachukia.. kama ni ukweli ni ukweli tu haubadiliki
@marianachriss24442 жыл бұрын
Daah meshack uko very TRUE and Bright , hongera Sana mtumishi wa KRISTO
@ibrahimibramos46572 жыл бұрын
Njaaa mbaya bro
@khadijaomari93442 жыл бұрын
duuh nimecheka 😀😀😀😀😀😀😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
@fatmamucha44192 жыл бұрын
Hatar na nusu
@admerarobert34852 жыл бұрын
Njaa mbaya kivipi maana yameandikwa kwani uongo au usipinge ukweli
@oman61242 жыл бұрын
Huyu nduguyetu anaongea vitu vingi sana ktk dini ya kislam sio sahihi kabisa Nakupa nasaha ndugu mwenye kipindi muweke huyo kijana na shekhe wa kiislam ili uujue uisalam vizuri Maana vitu vingi sana alio ongelea nitofauti kabisa na uislam.
@kithia1002 жыл бұрын
Amepeana number za simu ,kamasio sahihi mtafute umchambue
@husseingabo54972 жыл бұрын
Ndio awakutanishe yeye na mazinge alone kama hatakimbia
@work24onme2 жыл бұрын
Asante sana 🤝 Tupo pamoja! Mwenyezi Mungu ni kila kitu🙏
@thebeautifulone79822 жыл бұрын
Mimi mchristo nimejifunza kitu kipya leo, have always thought Issa ni Yesu kumbe sio, asante sana Minister Meshach
@saidhamad5332 жыл бұрын
Kwaiyo bibilia ya kiarab inasem mungu ni Allah je na bibilia ya kiswahili huyo Allah mnamuitaje
@EngJosh2 жыл бұрын
Kama mazinge alikuja akazungumza anavyotaka basi mwache na yeye azungumze nini kumkatishakatisha bhn
@anitasamson78502 жыл бұрын
Ushuhuda huu unafungua macho Mwenye masikio na asikie. Yesu Kristo asifiwe sana.
@rosecruiz43482 жыл бұрын
Dvm una ongea sana una tuharibia story na imeshikq
@simkotec30912 жыл бұрын
Davistar usiwe unashimba sana kuhusu dini mwashe mtu aeleze stori yake tu watu wenyewe ndo watashuja lipi kweli lipi sio
@deodatusmaliti77902 жыл бұрын
Davista anaogopa zaidi “wateja “ wake japo yeye ni mwamini wa Kristo inashangaza anaogopa ukweli usisemwe! Davista acha uoga!
@johalisemalima69792 жыл бұрын
Nilishawaambia watu issa na YESU ni vitu viwili tofauti...Ibrahim wa Quran ni tofauti na wa biblia... angalia jinsi Ibrahim wa Quran alivyosimuliwa na wa biblia alivyo simuliwa jamani Quran inasema Mama wa issa ni ndugu wa Harun na musa... wakati kwenye biblia ni tofauti...someni mjue.... Quran 5;33 waislam wanauchukia msaraba alafu Allah kaiga utumike kiislam... Allah kaumba nguruwe anawachukia Allah kaumba Jews akawapa kitabu anawachukia wakristo akawapa kitabu anawachukia Allah anachukia Alivyo viumba
@johalisemalima69792 жыл бұрын
@@hassanmaulid2166 wapotoshaji ni majini walifunuliwa Quran...wewe tuambie viumbe gani wengine kwenye Quran wamejielezea zaidi ya kuelezewa???
@johalisemalima69792 жыл бұрын
@@blessedlovedandfavoured4129 mie mkristo Quran nimeisoma miaka 12 ni uzuuu,,, hamna kitu
@johalisemalima69792 жыл бұрын
@@hassanmaulid2166 wewe ndio umepandikizwa fikra kuwa mkristo au Jews ni aduwi yako wewe... ili usiweze kumsikiliza ili kila atakachosema usimsikilize...maajabu aliepokea vitabu ni Jews na Christians so kama hutowasikiliza wao utamsikiliza nani???? Jini ndio akija kwako akikuambia kitu unamsikiliza mfano jini kajieleza kwenye Quran umempinga??? Mkristo anajielezea unampinga...😃🤣🤣🤣🤣 kwahiyo wewe ndio umepandikiziwa chuki kwa Jews na wakristo... kwasababu kabla ya muhhamad kuanza Harakati zake Jews Christians na waarabu woote wa imani zoote waliishi pamoja na hawakuwa na uadui ila muhhamad alipo anza harakati zake akapandikiza uadui ambao mpaka wewe unao....bible imekuwapo miaka 500 kabla muhhamad azaliwe... Leo Quran imekuja miaka 650 baada ya biblia Leo wewe ndio unasema Christians hawajui ukweli wakati Allah anakwambia tumewapa kitabu... Leo Quran imepinga biblia iliotangulia kabla ya Quran...Leo muislam anasema biblia ndio inapinga Quran...nitajie wapi??? Biblia imetaja uislam??? Kwa jina... ila Quran imetaja Christians na kuwapinga.... sasa anaepinga ni nani???? Kati ya cdm na ccm nani mpingaji???? Lakini kwa mujibu wako wewe ccm ndio mpingaji...... pili uislam umefundisha kutokuamini ikiwa unakataa kile yohana alichofunuliwa vipi??? Utake mtu akubali alichofunuliwa...muhhamad... ikiwa wewe ni adui wa mzungu vipi ??? Wewe utake mimi niwe rafiki wa mwaarabu??? Mazinge alikuja hapa akasema manabii woote walikuwa waarabu hamkumpinga ingawa aliongea uongo kwa mujibu wa Quran inayosema kabla yako muhhamad hatukutuma mwonyaji miongoni mwa waarabu how walikuwa waarabu...na Allah anasema hakutuma mwonyaji miongoni mwa waarabu kabla ya muhhamad... ???? Taqya uongo mlio ruhusiwa utaiuwa imani yenu.... ...
@johnwanuma72092 жыл бұрын
Davista anaogopa waislamu Ati watakimbia channel yako. Acha story itiririke, kila video unakatiza na unarudia rudia same point. Hii story itafika 100 parts, wacha ajielezee si kukitokea maswali si utamrudisha
@heritier51192 жыл бұрын
Muislamu halisi achanganyi shirki na dini. Uchawi, ushirikina sio uislamu
@rabilubinza76612 жыл бұрын
Umesem vema Mtumishi ana hofu sana anajitetea hataki kuonenekana mlengo wake.Mtumishi Davistar kazi unayofanya ni ngumu sana jikite pia kumtafuta Mungu sana uwe na nguvu ya Mungu hofu iondoke ili uthibitike kuws mwenye haki ili uwe mbali na hofu soma isaya 54:11-17.
@husseingabo54972 жыл бұрын
Ni kweli hawez kumuweka mtu aseme uongo hata milipogundua kwenye ile Crip ya kwanza alisema alisoma kigoma alghazali ikao ekana ni muongo sikuweza Tena kufuatilia hii tiv
@suleimaniyasri21662 жыл бұрын
Yan kila comment ninayotak kuiandika naonaa haifaiiii.... Inaboaaaa... 🚶🚶🚶
@mercykariithi79192 жыл бұрын
Kipindi kizuri Sana mafundisho mazuri Sana na meshack anasema ukweli anaexplain vizuri sana
@chazgunda58232 жыл бұрын
Sema davista unajiami sana kila saa mazinge mazinge inatuibia mda wetu mwache ticha atupe elimu maneno yake sio sheria atakae chukua achukue asietaka ahache
@kithia1002 жыл бұрын
Davista ukweli unauma,acha Allah wao ajipikanie akuna siku Muslim watakumbali ukweli. Mashehe Wana fanya ukanga napia wanaongoza swalah jameni mungu gani huyo anachanganywa na ushetani
@raphaelkirumbi13422 жыл бұрын
halo,unatupozea muda wa kusikia vigongo toka mr Meshack,Davister unaongea sanaaaaa
@marianachriss24442 жыл бұрын
Davistar acha maneno mengi , mwache anayeshuhudia ashuhudie ukweli bila kuficha
Davista ww umekuwa tena mzungumzajii wacha jmaa aongee bnaa,unaongea sanaaa
@alindurya28522 жыл бұрын
Davister ni bora umueleze mtu wako aeleze mkasa wake tu! Aache mambo ya kulingana dini kivyake pekeake hapa akipenda heri aende kwenye mikutano ya kulingania dini tumsikie ukweli wake
@henryosoro76962 жыл бұрын
Ukweli ni kuwa ndani ya yesu kuna uzima wa milele .. Tusiwapake mafuta waislam, bila wokovu mbingu haipo kwako.
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Davistar Allah sio Mungu aliye hai,usiwe vugu vugu Mungu wa KWELI atakutapika. Allah ni combanition ya majina mawili "Al + lah" "Al" ni Mungu Mf;Al awar Al Akher/Mungu ni wa kwanza na Mungu ni wa Mwisho Al nur/Mungu ni nuru Lah ni(.......) Tafuta maana ya Lah utamjuwa ni kitu gani Mathayo 12:36-37
@bobbybyansi77732 жыл бұрын
Meshac ana hekma kubwa davista tulia tujifunze elimu tunachagua tukitakacho .tusicho kitaka tunakiacha tena kwa hiari
@vaghoghontweki98272 жыл бұрын
#MTUMAKINI unaongea sana,,mpe nafasi huyu mtu aseme alichonacho🙏🙏🙏,,pamoja sana
@macamezunguzungu55842 жыл бұрын
Together 💪 Mr everything
@justinendizeye7142 жыл бұрын
Elimu karimu, bwana asifiwe 🙏
@margaretkithuku65332 жыл бұрын
Davista tunakuskiza kutoka Kenya. Usiwe na shaka. Hata hivyo mtu huskiza kile ana amani nacho
@yaqoobsalim58082 жыл бұрын
Mlete tena Mazinge amuweke sawa huyu jamaa ,
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Mazinge hamna kitu anachokijua yeye ni mtu mbishani
@admerarobert34852 жыл бұрын
Hakuna Cha Mazinge Wala Nini Mazinge mwenyewe elimu yake magumashi
@rabilubinza76612 жыл бұрын
Davistar kuna kitu umeongea uko kati achaaaa tafuta kumjua Mungu sana ili ujue uanchoongea hata kaka umesema sio kipindi cha mahubiri shiba neno la Mungu utakua salama
@macamezunguzungu55842 жыл бұрын
Mr dm mpe hai ngarambe boy gungu gwambe mbishi💪
@sarahkeivaly3351 Жыл бұрын
Davista unawahofia sana waislamu, lkn ukweli wote unaujua. Itafikia tu wakati utajikuta kweli pekee ndio itakayosimana ktk hicho kipindi chako.
@annamwita19522 жыл бұрын
Naomba atushuhudie alio pitia Kwanza kipindi Cha din iwe mwishoni
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Acha uongo na wewe Issa sio YESU
@blessingmalaika40452 жыл бұрын
Davistar leo umebore😫Mpe muda aeleze ushuhuda wake
@shepherd1x842 жыл бұрын
Dm..relax maswala ya dini acha kufafanua kiti boss..waongo wanajulikana wamewekwa wazi..aliye na macho aambiwi tazama!
@farajomar29022 жыл бұрын
Mapya hayo eti issa ni mwengine na yesu ni mwengine hii kali mungu akusaidie kaka maana duh
@castrokassoga72712 жыл бұрын
Endelea katikati na Yesu akirudi utakuwa katikati hivyohivyo
@castrokassoga72712 жыл бұрын
Endelea kuwa katikati na Yesu akirudi utaendelea kuwa katikati
@navokisembo2 жыл бұрын
Acha atoe ushuhuda wake jinsi Mungu alivyomtendea. Kipindi hiki kila mwenye ushuhuda aseme hakuna cha kuogopa kuwa dini gani au watu gani watachukia. Basi kama ni hivyo ukweli hatutaujua. Mtumishi Meshack endelea na ushuhuda watakaotaka kusikiliza kipindi watasikiliza tuu wewe mwamini Mungu Davista vita lazima inakuwepo.
@thegreat.98692 жыл бұрын
Hahahaaaa. Davistar leo una masihara sana
@fahadjinni58452 жыл бұрын
HAHAHA ISSA NI YESU .....HILO JINA LENGINE NDO KWANZA NALISKIA KWAKE , DAH KWEL HUYU MUONGO
@aminaally8632 жыл бұрын
Alafu anajiita msomi yaani huyu elimu yake hata mtoto wa miaka mitano anawenza kuibemba
Ndo huyohuyo yesu kristo atakuja acha kukwepa 😅😅😅😅
@thegreat.98692 жыл бұрын
Davista mchenzikweli.. hahahaaaa. Iti mi siangalii kipindi... kwamba wasuse
@kinogekimbeho37812 жыл бұрын
Watu wakigoma hao wasanii tu wanatafuta kiki za maisha tu ni mataperi wanaotumia uchawi na din
@HusseinBoarnege2 жыл бұрын
Wakristo tume mpokeya hivyo hivyo jina la yesu lihimidiwe
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Kwani umenyimwa na wewe kutapeli? Katapeli na wewe kama kila mtu anaweza kutapeli!!! Napasua kila majini yako na nguvu za giza na kila uchawi wako upambane na nguvu za giza
@winifrida86412 жыл бұрын
Endelea kutoa somo tupo nyakati za mwisho mwisho
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Davistar acha kuhubiri usichojuwa,waachie Makuhani; Kiarabu; Eassa au Yasour ina maana MWOKOZI. Kwa kiebrania ni YEHOUSHUWA/YESHUA/ Kiswahili linatamkwa YESU... Ikiwa na maaana MWOKOZI/ANAYEOKOA WATU WAKE NA DHAMBI ZAO. Issa ina maana dume la ngamia. Mtumishi Meshack yupo sahihi 100%
@paulndoya58052 жыл бұрын
Davister unaboa bana na wewe unaongea mno sometimes! Huwezi kuuondoa ujinga ndani ya vichwa vya wapumbafu 1.Channel yako sio ya dini 2.Channel yako ni shuhuda za mambo ya watu waliyopitia 3.Kama upotoshaji upo comment section ipo wazi watu wanaruhusiwa kuleta hoja Ukweli ni kua utaongea sana japo kuna watu huwezi kuufuta ujinga wao nia na dira ya channel yako inajulikana
@violinenyakara50282 жыл бұрын
Hakuna linalomshinda Mungu
@reubenbushiri17532 жыл бұрын
Mara nyingi sindano na dawa inavyoingia uwa inauma sana lakini hamna namna,ndo dawa hiyo unatakiwa uvumilie tu.
@suleimaniyasri21662 жыл бұрын
Kwako ndo inaumaa....
@kamgomoli36502 жыл бұрын
Mtu anaeamini eti Nabii Issa ndiye Yesu Kristo basi huyo anakuwa haijui Quran wala Biblia. Tofauti kati yao ni kubwa mnoooo, Kuanzia kuzaliwa kwao hadi kufa.
@joycesycherlwy38352 жыл бұрын
Mimi naona muendelee na testimony yako,achaneni na dini,mimi nahitaji kujifunza mambo ya kiroho ,
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Hawataki wamekwama na dini hata story haisongi
@jazzymkalitv55352 жыл бұрын
Asalaam Aleykhum Davista and Hassani. Yaani nimejua mambo mengi sana. Tuendelee kuwa pamoja wapendwa wangu.
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa kristo aliyehai !! Damu ya kristo ikufunike
@happynesskimt62492 жыл бұрын
Du Leo Nami pia nimeipata kipya wacha ni jifunze, ni some nisisubir kusomewa mana mambi ya membandilika uwiiiiii, (Yaan Yesu sio Issa) ⁉️
@SaaS-Guide2 жыл бұрын
Davistar waache wageni watupe mafundisho yao. Wewe ukitaka kutoa mafundisho yako, jialike pia wewe, tutakutazama na kukusikiza. Watakao enda, wataenda, watakao zidi kusikiza, watazidi kusikiza. Mafundisho sio mambo ya kuburudisha, bali ni ya mambo kuelimisha! Haijalisha kama yanakupendeza au la.
@beirut97502 жыл бұрын
HUYU aliamua kuingia kufanya ushirikina yeye binafsi awache kushirikisha dini ALLAH amewalaani wanaomshirikisha na viumbe vyovyote. No anewahidi adhabu kali siku ya miami.
@husseingabo54972 жыл бұрын
We davista ndio unakosea Kwa nini huyo usimkutanishe na mashee pamoja kwenye mdahalo hapo ndio tutajua anadanganya au laa
@elimukwanza24432 жыл бұрын
Fanya mikasa huyo broo ninjaatu
@georgesanga66735 ай бұрын
Davistar uliza maswali ya msingi
@abdallahmunis27692 жыл бұрын
Kakipande kenyewe kamoja kwa siku lakini maswali na kujielezea ni kwingi kuliko stori Sirius mnaboa
@deusnzeran47522 жыл бұрын
Davista mbona unaogopa tena mwache meshack aponye watu kupitia neno watu wengi wamepotea au wamepotezwa vibaya mwache meshack
@rabilubinza76612 жыл бұрын
Hapa nimeguswa jamani dada yangu alifariki mazingira tata kabisa alikufa na siri yake aliona kitu ambacho hakukitaja chumbani kwa mume wake na baada ya hapo alijisikia vibaya hakusema kabisa ameona nini akafia usingizini usiku hii ni mwaka 2015 .naona alichukuliwa kabisa
@faridaahmed6802 жыл бұрын
Ata wakristo wanajua Hilo😜😜😜
@mercykariithi79192 жыл бұрын
Tupo ndani ndani kabisa
@faridaahmed6802 жыл бұрын
Apana davista yesu ndo huyohuyo uyo kaka halewi anacho zungumza
@ashaabdalla9242 жыл бұрын
Nyoooo muongo mkubwa hawajui mitume mwanga wee
@alindurya28522 жыл бұрын
Davister utaharibu kipindi ukiwa waleta watu wakujilingania dini, iwapo wataka watu walinganidie dini lete watu wawili pamoja wenye dini zote mbili watueleze hapa na vitabu, hawa watu waache kutumia kipindi chako cha mikasa kwa kujipigia debe hapa.
@fatmamucha44192 жыл бұрын
Usimlaumu davistar yy yupo kutufundisha
@valentinandukuvalentinandu47792 жыл бұрын
ee Mungu utusamehe na kutulinda maana dunia ina mambo ya kutisha
@bobbybyansi77732 жыл бұрын
Davista mjanja yuajua Kila kitu apa ila anataka tujifunze ...bwana yesu apewe sifa
@work24onme2 жыл бұрын
Meshack tunaomba elimu ya jinsi ya kusali na kujikinga na maadui, nguvu za giza, etc.
@rosecruiz43482 жыл бұрын
Wewe kama ume twa sasa ivi nenda hata kwenye mlipo kua muna fuga hao watu ukaombe rehema na uvunje magano mulio eka na kama ume okoka una nguvu ya mungu ombae hixo ngome za giza
@mercylynmasila12582 жыл бұрын
Tuko pamoja kufatilia kipidi
@mtzhalisi22322 жыл бұрын
Mtumishi waeleze
@estasage4982 жыл бұрын
Davistar, you are wrong. The only name that came to save the humans kind is Jesus Christ of Nazareth. And no man can come to the father but by Jesus Christ. Let the guy finish his testimony because it’s seem that you are still confused
@ashaabdalla9242 жыл бұрын
Mazinge kadoma humuwezi
@alimatambwe34022 жыл бұрын
Wewe Kaka acha uongo Issa ndiyo yesu tumaanisha ivyo sisi Waislam Na Mazinge ni Sheikh wetu tunamuamini anatufunza yaliyo kuwa haki mbele ya Allah wewe ulifunzwa ushirikina na ukazamia huko sana na huyo sheikh wako alokufunza yeye siyo sheikh wa kweli huyo alijificha unafikhi wake kwenye kimvuli cha ma Sheikh wetu acha kusema Mazinge‘Mazinge ni Sheikh anaejitambuwa
@Blaxxy692 жыл бұрын
first
@deodatusmaliti77902 жыл бұрын
Pia Davista unaongea na kumkata kata mtoa ushuhuda na unaharibu ushuhuda huu mzuri.
@elimukwanza24432 жыл бұрын
Anikerasana
@abdulbasitsalim61332 жыл бұрын
Huyo lssaa bin Mariam Na hugo yesu bin nani?
@haruniaisha59052 жыл бұрын
kamuulize mazinge 🙄
@fatmamucha44192 жыл бұрын
Bin masih😂😄😄😄
@jongoathumani36902 жыл бұрын
HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATATOKEA MANABII WA UONGO SIMAMA KTK KUAMINI MUNGU MMOJA NA IMANI YAKO