Davistar umekua wa hovyo siku ivi....poor very unprofessional..... Yani unathamini simu kuliko story?? Kulikua na haja gani kumualika msimuliaji
@user-fy9uk4oh7x4 сағат бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu na uzao wake ni mkubwa katika Yesu kristo
@user-xk5hd3rg5n5 сағат бұрын
Hii story ndo imeishia hapa?
@user-zk8sg3iw1zКүн бұрын
Mmezunguka na mizigo kumbe bado mko palepale ni balaa aisee😂😂😂 halafu mkayayuka bila mizigo😂😂😂🙌🙌🙌
@MenMakonaКүн бұрын
Mwendelezo vp
@HassanMeja-rs4cyКүн бұрын
Jiwe mpaka litikiswe daah uwongo
@Daniel-el5uoКүн бұрын
Kingereza chake kibaya..
@lilhydon452Күн бұрын
Hizi hazieleweki mshauli tu amfate Yule alie mtaja pepo likawaka Moto...kwani lugha ya Mungu ni kiarabu?😮
@mariamkilinyaКүн бұрын
Hasikiki vizuri
@Luzwiro272 күн бұрын
Sema kanda ya ziwa wachawi mnoo
@Irenes_Kitchen2 күн бұрын
❤❤❤❤
@michaelvonsider34122 күн бұрын
Host unaboaaaa hauko professional
@jkkim38482 күн бұрын
Lazima aset camera kulingana na dakika
@africanstears77552 күн бұрын
Waongo awa....sio bukirigulu...ni ukiligulu na haipo kahama ipo misungwi
@NajimaNichole-oz3zv2 күн бұрын
Mtu makini ww nilikumiss sna ❤❤❤❤❤
@jamilarajab46102 күн бұрын
huyu jamaa nimempenda kwa ajili ya Allah anajibu kisomi yanakuingiya maneno yake ndani ya moyo
@NajimaNichole-oz3zv2 күн бұрын
Anatafuna maneno au ndo uko gamboshi walikula nyama wa watu Na pumba za kuku ulimi mzito anaboa
@jkkim38483 күн бұрын
Davister amerudi mtandao 💪🏾karibu tena
@adamadams3033 күн бұрын
TUMEJIFUNZA MENGI SANA KUHUSU SHUHUDA ZA UYU MTUMISHI MUNGU AMPUNGUZIE ADHABU. ILA SHETANI NDIO AMEMCHUKUA KWA SABABU YA SHUHUDA ZAKE
@user-mi4hq7fw4m3 күн бұрын
Mwenyezi Mungu awalinde kbs
@thestudyroom39093 күн бұрын
Me najiuliza Kwanini aliposema kwa Jina la YESU hicho kiumbe kikawaka moto?? Kwa nini si jina lingine??
@lucasgasper52353 күн бұрын
Davista sauti iko chini radio nimeweka adi mwisho na simu iko bati sauti lakini sauti iko chini
@edithaeugeni96953 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Jamanii hatakama tuna njaa ya story hapa tumepigwa story mbovu kabsaa 🙌
@user-gu8in9kt4o3 күн бұрын
Ila unachotakiwa kujua ni kwamba yesu sio Mungu ni mtume wa mwenyezi Mungu
@saleemsuleiman22203 күн бұрын
Bana story zingine kabla ya kupost muwe mnafanya kuhakiki kwanza 😂😂😂😂
@saleemsuleiman22203 күн бұрын
MOJA KATI YA STORY MBOVU KWA DAVISTA MATA
@Fm-MornStar20143 күн бұрын
Sauti yake ina mwangwi mkali! Podcastor angerekebisha kidogo.
@elizabethaineah88613 күн бұрын
Mtangazaji mhhh swali moja linachukua mudaa
@aziza90933 күн бұрын
❤❤❤
@salngas9023 күн бұрын
Utajiri bila amani
@user-fo5ox5wq6l3 күн бұрын
Tajiri kiboko part 8 please
@user-fo5ox5wq6l3 күн бұрын
Unyama
@ambassadorkatemeambassador28403 күн бұрын
Mr Dm safi kz nzr
@NeemaDamian-xo8hf3 күн бұрын
Wakwanza hapa jaman nipeni likes
@DavistarMataMediaDM3 күн бұрын
Hongera
@bakari-si1pw3 күн бұрын
Safi tuko pamoja
@DavistarMataMediaDM3 күн бұрын
Hongera
@kahindiwanje903 күн бұрын
Wa kwanzaa
@DavistarMataMediaDM3 күн бұрын
Hongera
@NaweyTagawa-ho6op3 күн бұрын
Dar hata mm ni mkristo nilikua namfuatilia anayosoma yote yapo kwenye bible kama naelewa iv
@Yusufu9403 күн бұрын
Anapenda kuongea kilugha sn DaVita atajuwa moja moja apo
@ayshasaid15473 күн бұрын
Mr everthing
@Yness-vh4yy4 күн бұрын
Hapa onaonyesha dini ya kiislam ni dini ya kishetani, waislam mbinguni mtapasikia!!
@user-fs3me5sm2f4 күн бұрын
Huyu mtu mwenyewe aamini kila kimeandikwa kwa bibilia
@user-fs3me5sm2f4 күн бұрын
Mwili unaonge unasema babangu ni roho, na wale wamwabunduo wamwabundu kwa roho na kweli
@user-fs3me5sm2f4 күн бұрын
Kwa wale Wana ishi Yesu ni Mungu,... Wacheni mchanganywe Mwili wenu na wakristo, hili mpate kulinjenga kanisa takatifu kama vile yeye mwenyewe alivyowajengea pale akashida kifo...
@user-zk8sg3iw1z4 күн бұрын
Kama davister katisha basi gonga like hapa wadau....🎉🎉🎉🎉
@jovinmancomedytz4 күн бұрын
Mbona hawezikujielezea vizuri anatafunatafuna kama mbuzi tu yani anaboa sanaa
@phronimouslady16532 күн бұрын
Kwakweliii he is boring 😂😂
@NowelaRaymond-zq4ys4 күн бұрын
Hata mie imeniumaa mnoo, ila siku zote uongo unakubalika haraka ila ukweli unachukua muda kueleweka. Sijui kwa nini?
@user-pk4qb8vs7d4 күн бұрын
Simu zako zinatuboa na zina mboa mpenz msimuliaji
@user-rr9up8lv9x4 күн бұрын
Mungu atusaidiye ni mengi yanatendeka ulimwengu huu😢
@user-ep6nl9ph4f4 күн бұрын
Yaani kaka unapitia hayo yote shauri ya mwanamke?, mbona wako wengi,, sahau huyo anakutia dhambini
@user-zk8sg3iw1z4 күн бұрын
😂😂😂😂 kweli
@LuckyTemu4 күн бұрын
People are passing through a lot 😢💔 Mungu akuweke davistar uzidi kutuletea story za maisha ya watu