Nimefatilia.. And ningeangalia hizi story nimejifunza mambo mengi lakin hizi story hazina finishing lines... Atleast ongeza mda ili hawa watu waweza hata kutoa ushauliwao.... Itakua vizuri zaidi otherwise... Mungu akulinde and akubariki pia..... ❤
Pole sana tena sana hadi nalia kwa hajiri yako, Uliiangamia kisa kuona mama ako anateseka Mungu wetu ni mwenye rehema, Atakutetea.
@joharkipemba92444 жыл бұрын
Sikufichi dav kabla sijaanza kuangalia kipindi chako nilikua nayatamani haya mambo daaah,kumbe yanatesa hivi sitamani kabisa ubarikiwe Sana kwaubunifu wako umenipa funzo mnooo🙏🙏🙏🙏
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
He
@bwantanfumo42834 жыл бұрын
Nimemkumbuka marham mzee majuto moja ya cinema yake alivyorogwa na kujazwa tumbo.nasikiza kutoka kenya
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Hawana maajabu Hawa uchawi tu basi
@OmarAli-wr1ti4 жыл бұрын
Kiukweli Davister unachokifanya ni kitu kikubwa sana unajua umetuokoa wengi na Fikra potofu Watu wengi hawakua wakijua madhara ya Ushirikina kumbe Dunia ina Mambo ya Ajabu sna Tumejifunza vitu vingi sana Hii media ni zaidi ya Shule Mungu akubariki bro
@kalumunaanthony42034 жыл бұрын
Davister umetufundisha mengu Mungu akubariki sana
@salumbunga2404 жыл бұрын
Davistar kijan wako hp mtu mwenye utu wang respect 👊
@iadeclementine56044 жыл бұрын
From +250 👌👌👌davistar tunajifunza kupitia hii kazi yako big up sana 👌
@kisurangusa5543 жыл бұрын
Hii story inatufundisha, kwamba tuache tamaa, mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe,
@jamilaally31724 жыл бұрын
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
@hasanipoy39764 жыл бұрын
mwambie iyo nitatizo ndogo mbele ya MUNGU yeye hakubali MUNGU kuwa bwana na mwakozi maishani hampokee ahache kutanfataga mara kwa wagaga mara kanisani mmm mwambie hatulie na hamrudie yesu halitufia kwanini hasimuokowi awe na imani MUNGU yupo
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Asante kwa somulizi tunasubiria muendelezo.
@amonured5364 жыл бұрын
Rafiki,Mungu ni mwema usiogope,tafuta kanisa la sda nenda kwa Imani, kusudia kuendelea na hiyo Imani,baada ya Kwisha tatizo laki,kupona ni asilimia Mia.
@nyatya1994 жыл бұрын
Tamaa mbaya saana tujifunze kutosheka na kidogo nahuku tukipambana na maisha kwa njia halali
@hamidaalhabsi85684 жыл бұрын
Handeni korongwe huko ndiko kunakojulikana KWA uchawi pole sana bro
@adammkono6363 жыл бұрын
Jaman wa handen mko wap mimi kijiji cha mzeri
@adammkono6363 жыл бұрын
Jaman mlamba mnaujua watu wa handen
@emmaraphael59824 жыл бұрын
Jamani mungu kakupa pumzi na miaka ya kuishi unaenda kutafuta pesa kwa kupunguza miaka na unakubali mmmh isee shetani ananguvu san
@poulkiarie2544 жыл бұрын
Mr. Fact, nafuatilia sana visa vyako sana kongole!! Sana kwa kazi yako, watuelimisha, napenda sana stori zako kaka,nikiwa Nairobi Kenya
@pitabilali46303 жыл бұрын
I'm Allive
@abdulhalimhumud19174 жыл бұрын
Pamoja Mr Facts hukosei kwenye Kazi yako hongera ❤️
@mariammalale38783 жыл бұрын
Toka nimeanza kufatilia story nimejifunza kutopenda njia za mkato kabisa na Tamaa mbaya mwisho walazima unakuwa sio mzuri
@ayushsaeed10514 жыл бұрын
Haya mafundisho ni Mazur Asante Mr ffffffff
@salimomary62793 жыл бұрын
Hawa wote wanaotoa story za utajiri hakuna hata moja mwenyew maisha mazuri,,yani namaanisha kufanikiwa mpk anaotoa story.....?wakifeli ndo wanatoa story, wakifanikiwa hakuna anayetoa story zake,,,,,,,,,,
@eshalibaba11954 жыл бұрын
Team kuchelewa Leo nimekua was 8 wadau wenzangu
@davistamattamedia81994 жыл бұрын
⏩TEMBELEA CHANNEL YETU MPYA Ya Masimulizi na Makala. ⏩HII NDIYO LINK YA CHANNEL kzfaq.info/love/PX6l-lh8fBzc4iVED8nddA ⏩TUSHIRIKIANE KWA KUSUBSCRIBE KWENYE HII CHANNEL, ILI TUWEZE KUIFIKISHA CHANNEL HII MBALI,KAMA ILIVYO SASA KWA CHANNEL YETU YA Davista Matta media. ⏩USISAHAU KUSHARE UJUMBE HUU KWA WAPENZI WOTE WA DAVISTA MATTA . ⏩by mtu wako makini.Ahsanten sana.,
@farhadhassansaid12974 жыл бұрын
😄😂😂
@wantangosaimon52954 жыл бұрын
Aaah anajaza mpira tumbo linajaa c ujampe tu mwanzo mwisho akijaza wew unajampa ngoma droo
@florahjohnmwaya12123 жыл бұрын
Aende kwa mchungaji mmoja anaitwa geordevie yupo Arusha
@africandarling69254 жыл бұрын
Mmhh jamani kwa nini tunashindwa kulizika na hali zetu za maisha jamani mmhh AISSEH pole sana
@sadikishomvi44503 жыл бұрын
Dav nakubali Sana Kaz zako bro
@kenyanniggar3572 жыл бұрын
leo mmejificha ndani gizani kaka Davi
@mariammgombayeka18244 жыл бұрын
Kudiboma ni kijiji si wilaya ila ipo wilaya ya handeni
@griezmannmhalaka43384 жыл бұрын
From singida itigi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@maryamoman13704 жыл бұрын
Singida oyooo
@mashaeliazer74334 жыл бұрын
Jamani mambo ya kishetani ushirikina tuache yumrudie Mungu wa mbinguni huyo peke yake ndie anaeweza kutuokoa,na kutupatia amani ya kweli
@wantangosaimon52954 жыл бұрын
Aaah kama amejikaanga mwenyew xawa tu, kafara ndo tatizo, RIP.
@halimanjechele70233 жыл бұрын
Thanks
@angelshonza82364 жыл бұрын
Jamaaani Naomba namba yake naweza kumsaidia
@naimamwambe80834 жыл бұрын
Davistar napenda vipindi vyako lakin nakuomba uwe unaleta mwendelezo na kutujulisha matokeo ya mwendelezo wa wahusika, Kisha nakuomba kunastory za wahusika wanahitaji usaidizi so uwe unatoa namba za mawasiliano ili tuwapate na kusaidia chochote haina maana kuleta story tukasikiliza na kuacha ipite huku unabaki na maumivu hali ya kuwa unaweza saidia chochote just ushauri na kufuatilia kutoka 🇴🇲
@justinekigodi24153 жыл бұрын
Noma sana
@marymary67584 жыл бұрын
Asante kwa story ,muendelezo pleaz
@princesssway13964 жыл бұрын
Davista acha aise sio mambo ya Giza kidogo mambo ya Giza haswaaa
@carolinewanjeri99164 жыл бұрын
Watching from Kenya
@beatricethuo58784 жыл бұрын
You n me both. Though kiswahili si ni mob I cant even read comments🤣🤣
@damarismbatia20294 жыл бұрын
Kuenda kuombea au kusomewa dua haitamsaidia kama yeye ajakubali kabisa, Yani akubali Mali ya alioipata kuosha aanze maisha mwanzo bila shortcut, Yesu anampenda sana
Nacho furah hii page bhana kila siku mimi wa mwisho nakuta video zotee online apa kama saiz nikimaliza hii naingia ingine adi raha jamani kumbe kua wa mwisho ni raha sana aiseee....sasa wale wa 1 uwa wanapata tabu sana kusubilia part 2 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀🙌
@thegreat.98693 жыл бұрын
Mm leo ndo naingia hapa😅😅
@eliasgembe58004 жыл бұрын
Davista ushaur tuu naomba utengeneze cd.....
@Limbakale2603 жыл бұрын
Huyu jamaa ndiyo kusimulia kweli
@salehfrank94483 жыл бұрын
Mungu atakusaidiya yote weka kwenye mikono yake muumba utapona.
@bonifaceandrea6953 жыл бұрын
Mbona mwezio alipona mwambie d akutafutie yule jamaa aliyepewa miaka saba utajirii uyo jamaa alipona
@ummialey63914 жыл бұрын
Baba upo hata Zanzibar upo niliibiwa nikaenda kw amtalam akanipa hiyo ila shart uhakikishe mpira usije. Pasuka. Ukipasuka ushauwa nikamwambia basi
@bonychitanda64103 жыл бұрын
Naomba namba ya Hugo jamaa
@swaumujuma63334 жыл бұрын
Pole sana kaka ushilina mbaya
@johncharlie65984 жыл бұрын
Nimekuwa Wa kwanza likes
@davistamattamedia81994 жыл бұрын
⏩TEMBELEA CHANNEL YETU MPYA Ya Masimulizi na Makala. ⏩HII NDIYO LINK YA CHANNEL kzfaq.info/love/PX6l-lh8fBzc4iVED8nddA ⏩TUSHIRIKIANE KWA KUSUBSCRIBE KWENYE HII CHANNEL, ILI TUWEZE KUIFIKISHA CHANNEL HII MBALI,KAMA ILIVYO SASA KWA CHANNEL YETU YA Davista Matta media. ⏩USISAHAU KUSHARE UJUMBE HUU KWA WAPENZI WOTE WA DAVISTA MATTA . ⏩by mtu wako makini.Ahsanten sana.,
@hebronsdaughter16614 жыл бұрын
Nashukuru Mungu nimewahi sasa nawatch nikijiskia😂😂😂😂
@hansiselemani80254 жыл бұрын
Hongera dada angu,,,Na mm nahakkisha umewahi kweli
Watu wengine bhana...eti hali ilikua ngumu sana .lakin akaweza kupata laki tatu za kupeleka kwa mganga..
@nurafedrick3784 жыл бұрын
🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️😰🙆🏽♀️😰hiyo pesa siungetafuta biashara laki tatu pesa zuri sana tena hukuchoka bado unaenda kwengine waaa gubu ni gubu kweli
@halimamangala67314 жыл бұрын
Plz bring part 2 soon
@twaibumikidadi73774 жыл бұрын
hahaha D.v "et ulimalzaa?? www kwa kutoka saa kum kufka saa mbili asubh kısha anapokelewa na bakora na walimu, " huwez kumalzaaa dogo pole sanaaa Allah n mkunwa leo masıkın kesho n tajır sana ww, cha muhımu kuwa na sunra tu na kufanya kazi !
@shababygirlshambuwa83884 жыл бұрын
Duuuuu wacha tu niendelee kuwapikia waarabu kahawa
@fadhiliswalehe92864 жыл бұрын
Haaa yuwanichekesha weye
@mundherhumaid6544 жыл бұрын
Bora mara mia kuliko utajiri wa haraka Allah amsaidie huyu kijana ananitia huruma
@Fatima-sv5gp4 жыл бұрын
Kabisa
@zamotomototv46094 жыл бұрын
Davistar, Davistar, Davistar 👏👏
@WildAnimais0014 жыл бұрын
I am watching from the Kingdom of Bahrain big up D
@davistamattamedia81994 жыл бұрын
⏩TEMBELEA CHANNEL YETU MPYA Ya Masimulizi na Makala. ⏩HII NDIYO LINK YA CHANNEL kzfaq.info/love/PX6l-lh8fBzc4iVED8nddA ⏩TUSHIRIKIANE KWA KUSUBSCRIBE KWENYE HII CHANNEL, ILI TUWEZE KUIFIKISHA CHANNEL HII MBALI,KAMA ILIVYO SASA KWA CHANNEL YETU YA Davista Matta media. ⏩USISAHAU KUSHARE UJUMBE HUU KWA WAPENZI WOTE WA DAVISTA MATTA . ⏩by mtu wako makini.Ahsanten sana.,
@sarahogama95404 жыл бұрын
Me too anywy welkam
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Sasa unaskza unaelewa kweli?
@fadhiliswalehe92864 жыл бұрын
Mbona hii sauti kama ya yule mchungaji wa kigoma aliyekimbia kisa uchawi na akaacha uchungaji kama sijasahau jina lake ni maprosoo
@ayshamahariq66654 жыл бұрын
Pole sana
@OmanOman-ik9sp4 жыл бұрын
Hiyo laki 3 mngeanzishia biashara kwa muda wa miez 5 Mbona mngekuwa mbali
@khadijaomari93444 жыл бұрын
pamoja sanaa kaka
@hamisifereji27694 жыл бұрын
Nic location devester
@nassmassemde67114 жыл бұрын
💃💃💃💃💃leo nimewahii
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Tanga raha sana
@jamesdubai10564 жыл бұрын
pamoja Sana Davistar Mata Nakupata kutoka +97150.
@estermosha19853 жыл бұрын
ndo wapi huko
@lydiaedwin39983 жыл бұрын
Nimependa ulijitoa kwaajili ya mama ako, mwambie zabron akusaidi kwa Yule mtaalamu
@jp17804 жыл бұрын
waambieni hao watu wenye hizo dawa wafanye hizo dawa zao kwa wazungu ili wazungu waache kutupora congo atujuwi lakufanya wazungu wanatupola hatari uku
@musahairikha81354 жыл бұрын
Kweli ni noma
@eshialabonita77364 жыл бұрын
haahahaha mzee aliwapiga mpunga
@nurafedrick3784 жыл бұрын
Nilidhani kuwa ni mm pekee nilikulia maisha yashida yakulimani msaidie mama kulima amakuekaa mboga maji lkn mbona nilivumilia hadi mdaa hunafikiria kazi halali sio hixo xakuendaa kwamgangaa 😰😰😰😰😰😰 heri uombeeeee mtu akunyime kuliko kuibaaaa loo kazi ulikuwa nayo
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Shetani awezi muingia mwanadamu bila mwanadamu mwenyewe kufungua milango ya shetani. Ndio maana lzm uwe na biashara ndipo mganga akuongezee kiini macho chake....watu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa
@nurafedrick3784 жыл бұрын
Kirahisii tuu miaka sita rahaa kisha ufee kisa utajiri shikamoo utajiri huo mbona upitie mbali jamani bora niteseke lkn mwisho nitashindaaa tuuu kwaimani
@goodgood93704 жыл бұрын
Nyinyi woote umnao mkashif Huyu kaka mungu awasamehe manake hamjui mnchoongea..inapaswa Mjue uchawi uko na ukiona mtu anakubali kufa au kutoa mtu wake afe sio kupenda kwake huwa ni pepo fulani limemkalia akilini mwake ili asiweze kuwa na ufahaumu anafanya vibaya ..akili yoote yake inatekwa kufikiria mali na sio uhai..
@javannzuchi82764 жыл бұрын
N kwel
@fatmakiruwasha23784 жыл бұрын
Kwer kabisa good ndio maana tukaambiwa usimzarau mtu usiye mjuwa
@chrispinechristian2383 жыл бұрын
nikweli kabisa
@sashaelias5183 жыл бұрын
Kweli kabisa badala ya kumuombea mtu unaanza kumsema sema Kama huwez kumsapoti kaa kimya
@suhfavuai74974 жыл бұрын
Watu wapo vizur hum
@likeothers24984 жыл бұрын
Hehe hii ya leo kali
@brendaaluoch70883 жыл бұрын
Anipigie nimueleze chakufanya tafadhali
@norbertmafioso32134 жыл бұрын
wakuu🙌🙌🙌
@somoeawadh77744 жыл бұрын
Nice story
@davistamattamedia81994 жыл бұрын
⏩TEMBELEA CHANNEL YETU MPYA Ya Masimulizi na Makala. ⏩HII NDIYO LINK YA CHANNEL kzfaq.info/love/PX6l-lh8fBzc4iVED8nddA ⏩TUSHIRIKIANE KWA KUSUBSCRIBE KWENYE HII CHANNEL, ILI TUWEZE KUIFIKISHA CHANNEL HII MBALI,KAMA ILIVYO SASA KWA CHANNEL YETU YA Davista Matta media. ⏩USISAHAU KUSHARE UJUMBE HUU KWA WAPENZI WOTE WA DAVISTA MATTA . ⏩by mtu wako makini.Ahsanten sana.,
Mimi niulizie huo utajiri umepata km umepata utakuwa mashart yametimia km hujapata nijushauri
@luqmanmohamed91984 жыл бұрын
All the way from+254 where do you Google this people bro zao Kali kali
@davistamattamedia81994 жыл бұрын
⏩TEMBELEA CHANNEL YETU MPYA Ya Masimulizi na Makala. ⏩HII NDIYO LINK YA CHANNEL kzfaq.info/love/PX6l-lh8fBzc4iVED8nddA ⏩TUSHIRIKIANE KWA KUSUBSCRIBE KWENYE HII CHANNEL, ILI TUWEZE KUIFIKISHA CHANNEL HII MBALI,KAMA ILIVYO SASA KWA CHANNEL YETU YA Davista Matta media. ⏩USISAHAU KUSHARE UJUMBE HUU KWA WAPENZI WOTE WA DAVISTA MATTA . ⏩by mtu wako makini.Ahsanten sana..
@princesssway13964 жыл бұрын
+277
@abdullmalik78474 жыл бұрын
@@davistamattamedia8199 254 pamoja 🇰🇪
@manenojames20114 жыл бұрын
Jaman daaa jamaan naumia sana tena sana mm daaaaa kila siku nakuwa 79 siwez kuwa wa kwaza niliaje jaman munifundishe
@dorcaskidoti2494 жыл бұрын
💝💝💝💝💝💝
@emmaraphael59824 жыл бұрын
Usikate tamaaa ipo siku utakuwa wa kwanz
@dorcaskidoti2494 жыл бұрын
@@emmaraphael5982 hiyo no member one inavyoliliwa na kila mtu...Yesu alisema wakwanza atakuwa wa mwisho na wamwisho atakuwa wa kwanza.............❤❤❤❤❤
@emmaraphael59824 жыл бұрын
@@dorcaskidoti249 kweli kabisa
@sashaelias5183 жыл бұрын
Ivi nyie mnavuta bangi au nn kutusumbua Mara et umekuwa was Kwanza Mara umekuwa wa 75 ndonn tutoleen wenda waximu wenu
@kenyanniggar3572 жыл бұрын
marasta bado yupo? referal
@bbycandy67574 жыл бұрын
Pole my dear
@davistamattamedia81994 жыл бұрын
⏩TEMBELEA CHANNEL YETU MPYA Ya Masimulizi na Makala. ⏩HII NDIYO LINK YA CHANNEL kzfaq.info/love/PX6l-lh8fBzc4iVED8nddA ⏩TUSHIRIKIANE KWA KUSUBSCRIBE KWENYE HII CHANNEL, ILI TUWEZE KUIFIKISHA CHANNEL HII MBALI,KAMA ILIVYO SASA KWA CHANNEL YETU YA Davista Matta media. ⏩USISAHAU KUSHARE UJUMBE HUU KWA WAPENZI WOTE WA DAVISTA MATTA . ⏩by mtu wako makini.Ahsanten sana.,
@violinenyakara50284 жыл бұрын
Wa kwanza
@nasreenmeshack43434 жыл бұрын
Sijawai sikiastry wakisimulia kuwa alienda kwa mganga Dodoma 🙂 Itakua akuna uchawi
@lydiaokobi17023 жыл бұрын
Wagogo sio washirikina
@victoriastephano40753 жыл бұрын
jamn twachen tamaaa Bora nikala ungali dangaa kilasiku duuuuuuuh
@catherinejames671410 ай бұрын
Part 2 please
@muaminhakizimana16714 жыл бұрын
Devista uwe unaonganisha muendelezo unatucanganya maana walishakuwa wengi