Mtu kubadilisha dini au Imani isiwe tatizo....Imani ya mtu inamponya mwenyewe....Kila siku maelfu Kwa maelfu watoka ukristo kwenda Muslim na hivyo hivyo pia maelfu wanatoka Muslims kwenda ukristo....tusibeze Imani za watu mungu ni mmoja.
@pamellahmark48222 жыл бұрын
AMEN AMEN MORE GRACE 🙏
@semwandambaza21842 жыл бұрын
Kaka davista...kazi yako Ni njema babaaangu🙏...Napenda kila unachokifanya.I pray that" Damu ya YESU ikufiiicheee kabisaaaaa"
@justinendizeye7142 жыл бұрын
Karibu kijana ukombozi wa Bwana yesu ndiyo njiya sahh, allelluyaa 🙏🙏
@juliejulie87042 жыл бұрын
Hallelujah hakika Yesu ni muaminifu kwenye maisha yetu tumtegemey yeye na yeye atatushika mkono 🙏
@gracewelschemeyer665 Жыл бұрын
Amen 🙏🏽
@semwandambaza21842 жыл бұрын
Kaka anafuraha ya kweli,,ya Roho mtakatifu.Barikiwa mpendwa katika YESU KRISTO 🙏 ...tuchape mwendo YESU yu upande wetu😘😘😘
@mmarekanitz40492 жыл бұрын
Dah uyu jamaa kichwa yake iko less sana anadanganya alafu anasahau
@florencerose8592 жыл бұрын
Mr facts umetowana na huyu wapi?🤣🤣🤣🤣amenichekesha ameamuru mungu ashuke waonane moja kwua moja
@Nickbrown1272 жыл бұрын
Mungu aendelee kukulinda kijana na uendelee kumtumikia kwa haki na kweli.
@marlianstv25772 жыл бұрын
Huyu jamaa ata davista hamuelewi
@justinendizeye7142 жыл бұрын
Amen 🙏, ubarikiwe sana 👏👏
@macamezunguzungu55842 жыл бұрын
Njia sahihi ni bwana yesu tu 🙏
@maxwellssemakula15652 жыл бұрын
Kwa taarifa ya wanaopinga Yesu Kristo ni Mungu Mkuu mwenye nguvu na mamlaka duniani na Mbinguni, hakuna mwengine baadala yake.
@abangaabanga46772 жыл бұрын
Bwana asifiwe
@mariamfritsi49432 жыл бұрын
Ila kija kijana ana confidence anaposimulia. 07.12.21.
@melisahakatu25122 жыл бұрын
Hahahaha woi woi mtumishi ubarikiwe mina amina
@babaluxe86262 жыл бұрын
Huyu kamuota Rambo au vanddame, yesu kila mtu kamuota yesu acheni ujinga
@allyhante83612 жыл бұрын
Mtumishi anajichekelesha sana!!!
@musiclyrics11312 жыл бұрын
Kweli bangi sio nzur umesikia sauti ya mungu hahahha kichupa cha wapi umekunywa mtumishi wa shetani 😂😂😂
@arifosman35002 жыл бұрын
wavuta bangi pia wanakua na maono ya ajabu kama nyinyi watumishi. msije ikawa nyinyi watumishi mnapiga cha jamica.😅😅😅 hiki kitakua cha arusha unasikia kabisa mtu anakusemesha alafu humuoni..
@musiclyrics11312 жыл бұрын
Eti kasikia sauti ya mungu 🖕😂😂
@arifosman35002 жыл бұрын
@@musiclyrics1131 wanapiga bang
@salisali37382 жыл бұрын
Kwa ambaye alie soma saikolejia ata jua tu huyu jamaa ni muongo yupo kujichekesha tu
@davidchesco11502 жыл бұрын
Kweli aliesoma saikolojia atajua kua huyo jamaa anajichekesha lakin mtu anaejua mambo yakiroho hawez kuona anajichekesha atajua nikweli kaasabab saikolojia haihusian na mambo yakiroho
@makame35242 жыл бұрын
Upo vzr
@arifosman35002 жыл бұрын
wanakula bang ya chooni
@sultanaswaleh47082 жыл бұрын
Mungo .ni KAMa ame lipwa fala yeye
@shenjamamzingi79502 жыл бұрын
INAWEZEKANAJE MUNGU AKAWA NA MTOTO... TENA MTOTO MWENYEWE NI MUNGU ,DUUH
@saidessry99422 жыл бұрын
Huyu jamaa anatakiwa ajipange tena maana anajigonga sana Yeye wakati anaingia kanisani aliingia huku yeye bado ni muislamu sasa ilikuwa inampasa aombe kiislamu lakini chakushangaza anasema alikuwa hajui aombe nini kwasababu ndio siku yake ya kwanza kuingia kanisani na kwakumuweka wazi ktk uislamu kuna sala na kuna dua. Sala na dua ni vitu viwili tofauti Uongo wake mwengine wawo kuona malaika kumuona mungu ni jambo jepesi anamuona yesu hata kama amevaa boxer nakumbushia pr .David Halafu mara anasema aliambiwa hasomewi dua mpaka amkiri yesu sasa hivi anasema hulazimishwi anasahau haraka ajipange upya
@Nickbrown1272 жыл бұрын
Sasa wewe unachobisha nini? Acha kufungamana na dini za mashetani. YESU KRISTO yupo na anatenda kazi kila siku.
@saidessry99422 жыл бұрын
Nipe maandiko sio maneno ya chuki
@mmarekanitz40492 жыл бұрын
Tuko pamoja mzee maana watu wengi wanaamini kwenye miujiza
@mmarekanitz40492 жыл бұрын
Hata shetani anafanya miujiza
@saidessry99422 жыл бұрын
Miaka yote aliyoishi ktk uislamu hafikirii kwenda msikitini lakini siku moja tu aliyoingia kanisani alijifundisha kila kitu mpaka dua ya kumfukuza paka tena amemfurumsha kwa jina la yesu Lakini baada ya kuritadi mwezi mzima yupo kanisani hawezi kutamka yesu jamaa noma halafu anajichekesha hana hata aibu halafu muda simrefu akamuona mungu kawashinda mpaka walomritadisha
@Nickbrown1272 жыл бұрын
Wewe bado unafungwa na majini ndio maana huwezi kuona mwangaza. BWANA YESU KRISTO akusaidie utoke huko hata sisi tulikua wabishi kama wewe ila sasa Nuru Ya YESU KRISTO imeshatuangazia.
@saidessry99422 жыл бұрын
Muislamu hawi mbishi kwani anafata maandiko na sio ndoto za mashetani yaani kweli mtu atatoka kwenye uislamu anasali kwa siku vipindi vitano muda wote yupo kwenye ibada atoke aende kusikiliza vinanda kanisani Wewe kama unamaandishi nipe na sio ndoto halafu wapi mumefundishwa kusali na muziki na nyinyi hamuabudu mashetani
@justinendizeye7142 жыл бұрын
Bwana yesu ndiyo muokozi wa dunia 🙏
@juliejulie87042 жыл бұрын
Hallelujah Mungu ni mwema sana karibu na wewe
@juliejulie87042 жыл бұрын
@@saidessry9942 Yesu ni njia yakweli na uzima karibu
@MaryamMaryam-wp5yk2 жыл бұрын
Davista mwenyewe Anamsikiliiza tu ili Anajuwa saana kama huyu jizi ni muoongo Maskiini Kaka davistar tuletee vitu vya maana sio huyu kijichekesha tu kammmma
@prochesernest54392 жыл бұрын
Unaitaji uombewe hili nawew ukamuamini Yesu kristo na majini yatakuachia utakuwa huru Kama huyo jamaa
@MaryamMaryam-wp5yk2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂
@sultanaswaleh47082 жыл бұрын
Huyu ana laana.ame tekwa kimbango na kanisa la sheitwani.ili kuvuta watu.
@sultanaswaleh47082 жыл бұрын
Na nikweli hapana MUNGU! Apasawe kuabudiwa kwa hai.ila ni MUNGU! Pekeee..na MUNGU ! Hana mtoto.issa (yesu ) ni mtume wake.wala sio MUNGU! Fala wewee..
@florencerose8592 жыл бұрын
Mbona mtu akibadlisha dini ni kero kwua wengine?
@noelashaoona2 жыл бұрын
Waislam tu ndo uwa wana tatizo
@justinendizeye7142 жыл бұрын
Hawajiamini na dini ya uislam hayina uwaminifu tosha
@juliejulie87042 жыл бұрын
Nikwasababu wanajua mtu wao akiokoka kuna maelfu wapo nyuma yake
@justinendizeye7142 жыл бұрын
@@hassanmaulid2166 hamna ukombozi kwa uislam, mitume ni majini munayiyaabudu
@justinendizeye7142 жыл бұрын
@@hassanmaulid2166 najivuniya kwa ukristo, jaribu ujilizishe na elimu tosha, ndiyo utauelewa ukombozi WA Bwana Kristo