Mnyauko ni ugonjwa HATARI unaoshambulia zao la nyanya na kwa hakika unasababisha hasara kubwa kwa wakulima, makala hii imeelezea JINSI ya kuepuka ugonjwa huu
Пікірлер: 20
@MuhibuAbdalla28 күн бұрын
Tunafurahi kwa elimu inayotolewa allah atujalie katika kazi njema, Inshallah.
@user-mn9nz4mg4v3 ай бұрын
Asante
@Mwanaumewashoka4 ай бұрын
Sawa mwalimu wangu
@LightUrioh3 ай бұрын
Huyo mdudu anakula miziz mm shamban kwangu nimekuta mimea miwili imenyauka nikangoa nikatazama kwa chin nikamkuta na miche yote haikuwa na miziz imeliwa lakin ukimtoa na ukafukia mche unaweza toa miziz mingine ukaendelea kukua
@user-lo5vf2oq6u4 ай бұрын
Kweli nimepata elimu nzuri
@emanuelminja20234 ай бұрын
Tunashukuru kugusa maisha yako karibu sana
@MwamtetaBani14 күн бұрын
Je file nyanya zilikuwa tayari zinalika
@user-sq5mb2gd6x4 ай бұрын
Mtaalamu hapo umesema kweli kuhusu huyo mdudu mdudu huyo hupenda kuishi ktk ardhi yenye rutba na hata ktk magogo yaliyooza na wala haathiri mazao ni sawasawa na wale wadudu kwa kwetu zanzibar tunawaita nyungunyungu ( earth warm).
@emanuelminja20234 ай бұрын
Sahihi kabisa
@AndrewWoiso4 ай бұрын
Asante kwa elimu
@emanuelminja20234 ай бұрын
Karibu sana @Andrewwoiso
@AndrewWoiso4 ай бұрын
Asante mkuu
@neemammassy24673 ай бұрын
Nimeanza robo heka,mwezi wa saba nataka kuchukua heka 2, najifunza mengi sana through minja kilimo
@emanuelminja20233 ай бұрын
Hongera sana kwa hatua hiyo na nafurahi kuona unajifunza mengi kutoka minja kilimo plan Yako ya kuingia shambani July Iko poa sana kama umechek video yetu ya ni MIEZI IPI nyanya inakua na bei kubwa sokoni? Utagundua umechagua mwezi sahihi wa kuingia shambani
@user-ls2uj3fl1o13 күн бұрын
Asante hiyo nyanya ni aina gani?
@emanuelminja202313 күн бұрын
Assila
@user-ls2uj3fl1o3 ай бұрын
Nyanya hiyo ni aina gani?
@emanuelminja20233 ай бұрын
Assila
@MwamtetaBani14 күн бұрын
Hiyo lotation je unaweza panda papai badala ya nyanya