Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 30
@alichanzi80957 ай бұрын
Jamaa ni mwandishi mzuri sana, soon he's going to be one of the biggest artist in East Africa 🌍
@moseshandsam18657 ай бұрын
Respect to dayooo his super talented 🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲 keep doing the best music 🎵🎶
@tomfoss96137 ай бұрын
Namkubali sana huu mwamba since day one namskiliza
@greison10b7 ай бұрын
High respect Hana miyeyusho anaongea ureality wa maisha anayoptia💪💪
@Matsonwu3ti6 ай бұрын
Dayoo anajua sana nani muandishi mzuri wanyimbo
@ameenaameena4227 ай бұрын
Dayo uko vzur kimziki kaza
@OFFICIALDEETONY6 ай бұрын
Nitaimba Sana huu mwaka
@juniorchobobachaboba15817 ай бұрын
Mwaka wa mwisho kufanya kazi kwenye Company za watu,ni mwaka wa kuwa na Company yangu mwenyewe sasa.
@LucyMichael-pn6pr7 ай бұрын
Among my fav🤛🏼
@njoroboihastla7 ай бұрын
Ile nikuone ilee🔥✍️ ase ndo ilifanya nimjue kipindi ile natumia tiktok na hii ya huu mwaka
@AgathaMatambula-lf7fv7 ай бұрын
Dayoo❤🔥🔥
@nasramuhammad20467 ай бұрын
Ata uku kenya tunatamba nayo
@user-fp5fp6wg9n7 ай бұрын
Chat Gpt n atar sana
@estherdusabe14396 ай бұрын
Nakubali
@godcheudandy25347 ай бұрын
Sasa mbn hujamuuliza pacha wake yuko wapi nlitamani kujua hilo
@jacobfredy56776 ай бұрын
Pacha Ake alikuwa ni wakike na alifariki wakiwa wadogo
😂Wew ndio hupend? Na huwezi kumpangia mtu afanye nin 😂kwamim ninavo jua ukiongea kwa mda unakuta lips zimekauka unalamba midomo sasa nyie mkiona mtu analamba lips mnaona kama ni shoga😂😂😂
@fatmasaaed1446 ай бұрын
@@njoroboihastlanakwambiaaa😂😂😂😂😂😂😂
@WizzyAlmando-yp7vh7 ай бұрын
Apo kwenye chapgpt umetuokoa weng kaka sky thank
@benahdesigner6 ай бұрын
Kabsa
@silvergold58556 ай бұрын
Dabo O moja😂
@nanatz7 ай бұрын
Huyuuu nae hawezi kufanya interview bira kumuogeleea platform 😏😏😏🤣 siuseme ukweli kam una murogaa mwezioooo
@blessedeaglemusic53247 ай бұрын
😂😂😂oyaaaa...anamaniisha digital platforms sio platform msanii😅😅😅😅kua makini na chukua muda kuelewa