DIAMOND Alivyomuomba ZUCHU MSAMAHA kwa UCHUNGU Akiri KUMSALITI na wanake wengine

  Рет қаралды 104,570

Rick Media

Rick Media

4 ай бұрын

Haya ni maneno ya @diamondplatnumz akikiri kumuumiza mara kwa mara mpenzi wake @officialzuchu . Diamond ameomba radhi mbele za watu huku akimuahidi Zuchu kutomuuza tena
.
Diamond Platnumz anasema kuwa mahusiano yake ya nyuma yamemfanya asijitoe sana kwa Zuchu kwani ameumizwa sana na ilifika muda akawa anaogopa kuzama 100% kwenye mahusiano
.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Zuchu #Diamond

Пікірлер: 161
@kimah9855
@kimah9855 4 ай бұрын
Umri inaenda na wakati, Sasa Nasibu ndo anaongea 👏👏👏Next put a ring on it❤❤❤❤❤❤❤❤❤Hongera sana both
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 4 ай бұрын
Diamond you are a true man! Men apologies when they do something wrong,You are a real man!!
@sponsalfathedj8177
@sponsalfathedj8177 4 ай бұрын
Kiki hizo
@saidahj2543
@saidahj2543 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@naimacax2457
@naimacax2457 4 ай бұрын
He is the definition of a true pathological narcissist liar and Zuchu ako very weak kabisa atatumiwa mpaka afe
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 ай бұрын
​@@sponsalfathedj8177acha wivu
@Amina-ig3jw
@Amina-ig3jw 4 ай бұрын
Muoe zuchu mond anakupenda❤❤❤🎉
@Tashie001
@Tashie001 4 ай бұрын
Ni kweli anatukwana sana juu Yako wewe😢
@shadiwaigwa9230
@shadiwaigwa9230 4 ай бұрын
Msamehe zuu, tunawapenda sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@phebvlymo2068
@phebvlymo2068 4 ай бұрын
Zuchu is the true lady of Tanzania am proud of her
@vidawillis1894
@vidawillis1894 4 ай бұрын
He is not done yet Zuchu wake up see musicians girls outside Tanzania they're doing good think big aim higher u have a very long way to go. Wake up
@az5195
@az5195 4 ай бұрын
i dont understand it either, she has a great future a head of her but she is wasting her time with this guy. But money blinds women.
@user-wi6uk1vz1h
@user-wi6uk1vz1h 2 ай бұрын
En tout cas vous aimez tellement commandé la vie des autres, vous voulez qu'elle fasse votre volonté sans connaître les tenants et les aboutissants hein 😂
@phebvlymo2068
@phebvlymo2068 4 ай бұрын
When a man lovesssss
@jackywambua917
@jackywambua917 4 ай бұрын
My favourite couple 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@sharonahwilliams4481
@sharonahwilliams4481 4 ай бұрын
Zuchu will break diamond until he will know that how it feels to be betrayed 💔 looks like
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 ай бұрын
😂😂😂
@adamuchenchere5699
@adamuchenchere5699 4 ай бұрын
Mondi badilika ety me napenda uhusiano wenu na zuuh❤
@Caralina829
@Caralina829 4 ай бұрын
Zuchu ujaliwe na akili na nguvu za kuwacha huu mchezo. Unahitaji mwanamme mwenye heshima kabisa
@user-sc3wo3ol1k
@user-sc3wo3ol1k 4 ай бұрын
Show ya jana iyo Kendwa nimeiyona ilikuwa pw sana zuchu kapiga sana shwoo mondi nae anampenda sana zuchu jamani
@em_vee_josh
@em_vee_josh 4 ай бұрын
Diamond and Zuchu the undisputed Coyle of East Africa
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 4 ай бұрын
Kama movie la kihindi 😀
@fatumahamisi3781
@fatumahamisi3781 4 ай бұрын
Muowe atoke midomoni mwa watu khaa😊
@louloubika8603
@louloubika8603 4 ай бұрын
Love it ❤❤❤❤❤❤❤❤
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 4 ай бұрын
POLE ZUCHU NI KUTUMIKA KWA KWENDA MBELE
@fitinakipita6813
@fitinakipita6813 4 ай бұрын
Badilka daimond ❤❤❤❤❤❤
@user-gt1so2ew9y
@user-gt1so2ew9y 4 ай бұрын
Lakin Simba wamuumiza mwenzio kwakwel ...lakin nawapenda Sana mukiwa pamoja
@user-ty5oc5xd5o
@user-ty5oc5xd5o 4 ай бұрын
Zuchu utasameh leo,kesho,utalia,ulie na ulie tena diamond sio mwanaum wakupend ka mamy 😢ila pol
@user-wi6uk1vz1h
@user-wi6uk1vz1h 2 ай бұрын
Et c'est toi qui l'aime certainement....
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 4 ай бұрын
Mwanaume siku zote kuomba msamaha ni kawaida ila Zuchu angalia mbele acha kudhalilishwa
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
@ZalhathamohdSaid-qn4jj 4 ай бұрын
wahuni hawaelew eti buuuh mnatuzinguwa😂😂😂
@agnessirungu1623
@agnessirungu1623 4 ай бұрын
Wake up and smell the coffee Zuchu. He'll step on you over and over again. Haiyaeee
@Mwonekano
@Mwonekano 4 ай бұрын
Watu wakoment punguzeni ushari muenjoye mziki mzuri maisha yao mengine hayawahusu.😂
@kafilathsalami5314
@kafilathsalami5314 4 ай бұрын
❤❤❤
@pendochimammy5013
@pendochimammy5013 4 ай бұрын
Ww tumekuzoe ni kuku wakawaida lakini zuchu atakuja choka siku moja
@user-by7jo6dk6r
@user-by7jo6dk6r 4 ай бұрын
Zuchu.. Userudi.. Faiti. Maishayako😢
@shishgal2274
@shishgal2274 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 4 ай бұрын
Kuna siku Zuchu ataolewa…..na kijana mwenye hikma kama Baba yake.
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 4 ай бұрын
Ataolewa na Mondi tuu
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 ай бұрын
Kabisa yn
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 4 ай бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cc Mungu ndiye anaye juwa zaidi sisi tunabahatisha tuu.
@ngoni7944
@ngoni7944 4 ай бұрын
Baba yake hana hekma, alimtelekeza zuchu, unawezaje kuzaa mtoto halafu humtunzi?
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 3 ай бұрын
​@@BarbaraPatience-qt9ccHuo ndio ukweli ulio uchi zuchu atakuja kuolewa na mondi mchana kweupe wanafiki hawataamini macho yao niko paleeeeeee!
@katsuvakamatedaniel7893
@katsuvakamatedaniel7893 4 ай бұрын
Zuchu achana na huyo malaya.ana kupotezeya muda wako bureee😢.Omba Mungu akutumiye Mume bora !!!
@louloubika8603
@louloubika8603 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@tabithanzisa9755
@tabithanzisa9755 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@EdghaMoses-js8lj
@EdghaMoses-js8lj 4 ай бұрын
🤝
@noorrajpar3928
@noorrajpar3928 4 ай бұрын
Ameenda kumshika shika ukweni ningekua baba zuu hapo jukwaani pangechimbika 😢😢😢
@jonesbaraka7506
@jonesbaraka7506 4 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@jamilajamila9682
@jamilajamila9682 4 ай бұрын
Yaani ni dhaifu sana kuregea, tukio anapigwa hasikii, ndio mana ni king'nga mange hajakosea 😂😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 ай бұрын
😂😂😂
@iddiali8057
@iddiali8057 4 ай бұрын
Kuna siku hazitawafaa MALI zenu zitakuwa kama mavubi. FANYENI HARAKA SANA KURUDI KWA ALLAH S.W
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 ай бұрын
Kweli kabisa
@hassanmwallimu5767
@hassanmwallimu5767 4 ай бұрын
And top of that kwanini wanazini na wazazi wao wanatazama tu au ndo maokoto dini pembeni
@mumyomary1812
@mumyomary1812 4 ай бұрын
Altona zuchu anamkwepa mondi tujuane😂😂
@nohumanislimited703
@nohumanislimited703 4 ай бұрын
Next time zuchu vaa hata dera mambo gani haya show nzima kupandisha longi
@sululuzungu9587
@sululuzungu9587 4 ай бұрын
Mwenyew hapo k yke yot imelowa hpo kuona rah anavozungumzia😂😂
@lydiahmartinz925
@lydiahmartinz925 4 ай бұрын
Mond stop using her for ur own benefit pls.
@user-xb5fd1yf5w
@user-xb5fd1yf5w 4 ай бұрын
Kama kweli unampenda muoe
@user-yp3zf6cg7s
@user-yp3zf6cg7s 4 ай бұрын
Ayo ni maneno baada sho
@ChristinaKirangi
@ChristinaKirangi 4 ай бұрын
Polezuchu
@ChristinaKirangi
@ChristinaKirangi 4 ай бұрын
😕😕😕😕😕😕😕😕
@ChristinaKirangi
@ChristinaKirangi 4 ай бұрын
😕
@abeidbhuzo520
@abeidbhuzo520 4 ай бұрын
Hamna kitu… iz ni showbizz…
@kelvinduper
@kelvinduper 4 ай бұрын
😂😂😂 alooooohh
@user-bw8un9ds6t
@user-bw8un9ds6t 4 ай бұрын
Nmependa jinsi simba alivyo omba msamaha na jinsi jinsi daa zuchu alivyo pokea msamaha mpk nmetoa machozi 😅 hebu pitisheni ndoa mudekezane
@user-tx9yp3rx9c
@user-tx9yp3rx9c 4 ай бұрын
Mmmmmh akiamung mapnz uchiziiii
@user-jx5ze8ni4y
@user-jx5ze8ni4y 4 ай бұрын
HahhHa eti unatuzungua yakawaida hayo
@wholeheartedMotivations-dj6rr
@wholeheartedMotivations-dj6rr 4 ай бұрын
Amempenda vile alivyoo
@jameskasololo8594
@jameskasololo8594 4 ай бұрын
Aaaah jamaa mnafiki kila corner
@fatumamnyenze9696
@fatumamnyenze9696 4 ай бұрын
Hao waume n viuno jamaniii 😂😂kwisha
@ashakijaji5869
@ashakijaji5869 4 ай бұрын
Sijui chizi ww di
@nelimakitindaa6358
@nelimakitindaa6358 4 ай бұрын
Unapenda kiki wewe kijana😂😂😂
@Cath844
@Cath844 4 ай бұрын
I don’t understand the language but I know Diamond is lying!😁🙌🏾
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 ай бұрын
😂😂😂
@rutakihama3523
@rutakihama3523 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@sewandomkuchu9267
@sewandomkuchu9267 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@dianamueni
@dianamueni 4 ай бұрын
😂😂
@peterdeus6093
@peterdeus6093 4 ай бұрын
Mamae, upo magomeni apo
@iddiali8057
@iddiali8057 4 ай бұрын
MUOGOPENI ALLAH S.W
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 ай бұрын
😢
@Michaelmwamba-fi2lq
@Michaelmwamba-fi2lq 2 ай бұрын
dah ogopa siku mwanamke akichafukwa wanakuaga na roho mbaya kwaiy sk mond imefika mwisho utakoma
@JosephMumuza
@JosephMumuza 4 ай бұрын
Umemutchezea sana mtoto wawatu Bana sumuowe jamaniii
@jonesbaraka7506
@jonesbaraka7506 4 ай бұрын
Tuache utani huyu mwanamke anautamu sio rahisi mwanaume aropokwe ivo
@hajihchumah3206
@hajihchumah3206 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 4 ай бұрын
Hahaaa
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 4 ай бұрын
Sisi wazanzibar ni wema sana tena sana popote tunachukua ushindi wa heshima na Busara na ukarimu na ustahmilivu hiyo ndio sifa yetu wazanzibar
@Lulu-rh4zy
@Lulu-rh4zy 4 ай бұрын
Nihatari
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 4 ай бұрын
Una mambo Zuhura
@ZubedaRadjabu
@ZubedaRadjabu 2 ай бұрын
Zuu pole sn ila ww unampendo mondi sn hnazidish sikuu moja utakuj kufa jili ya mondi pol sn ntafuta mwengin zuu utapat so mondi mwenyew tuu tafut unapat pol apo na bado
@fatumamnyenze9696
@fatumamnyenze9696 4 ай бұрын
Zuchu kifua pia hamnaa😂😂😂
@FaridaFaridaseif
@FaridaFaridaseif Ай бұрын
Zuchu kakazaa mara hii ht baada ya kuombwa msamaha hakumshobokea kumrukia kumkumbatia . Km kamshit flani anaona km anamlaghai tuni km mara hii kawekeza kwenye kazi yake
@hellenrobi5775
@hellenrobi5775 4 ай бұрын
Mm najua malaya ubadilika zucha anaeza fanya Mondi aache umalaya juu ata Mondi awez kua kijana kila siku muda unaisha
@user-yx3ic8zy9e
@user-yx3ic8zy9e 4 ай бұрын
Yaani huyu Zuchu hawezi ku trend mpaka alete kiki alikuwa anajuwa show yake itabuma wakaleta usanii wa kiki yaani mmeishiwa nyie wajinga
@aishaahmed269
@aishaahmed269 27 күн бұрын
Ukweli utakuweka huru simba anasimama kwenye ukweli mpaka
@WinnieUmanzi
@WinnieUmanzi 4 ай бұрын
Wanya harusi 😂😂😂😂marry zuchu😂will know the truth
@TheBossOdhis
@TheBossOdhis 4 ай бұрын
Uyu amerogwa
@peninahmueni3256
@peninahmueni3256 4 ай бұрын
Mapenzi ujinga tuuuu
@user-wc9xs6ww7w
@user-wc9xs6ww7w 4 ай бұрын
Zuchu aolewe buana
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 4 ай бұрын
Acha kuongopea watu unampenda mbona huoi
@tabiaramadhani2348
@tabiaramadhani2348 4 ай бұрын
MOND ACHA TABIA MBAYA
@Kadebecomedy
@Kadebecomedy 4 ай бұрын
Mondi mungu anakuona acha unafki bhana ww mapenzi wapi na wap ww kaz yako ni kunyandua na kuwabwaga
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 4 ай бұрын
Munafki ni wewe! Hutaki waludiane!!! Kwenda kabisa
@Kadebecomedy
@Kadebecomedy 4 ай бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cc hivi mondi tokea lin akaweka kambi kwa mwanamke?
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 4 ай бұрын
Zuchu alukie wap ww mwanaume star, mwenye Hera anakuomba msamaha utarukia wap😂😂😂
@emmanuelmathias1509
@emmanuelmathias1509 4 ай бұрын
mashabiki waliokuwepo kwenye show walikuwa hawataki mond asamehewe
@Fauzia2090
@Fauzia2090 4 ай бұрын
Mtu gani anaomba msamaha kavaa miwani, msamaha wa kinafiki.
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 4 ай бұрын
Kumbe ilikuwa kiki ya kupush show😂😂
@merinamoses7629
@merinamoses7629 4 ай бұрын
Kabisa
@user-hn3km9ex5r
@user-hn3km9ex5r 4 ай бұрын
Boss kabaki kufanya kiki ila kumpromote msanii wake Lavalava hawezi ila angekua ndio konde anayafanya haya mbona vinuka midomo yangewatoka mengi ama ndio tuseme nyani haoni kundule 😅😅😅
@giztony2009
@giztony2009 4 ай бұрын
Ww boya huyo mvuta bangi wako kawafikisha wapi wasanii wake
@user-hn3km9ex5r
@user-hn3km9ex5r 4 ай бұрын
@@giztony2009 si uvute na wewe pumbavuu kwani kakushika mdomo,ngedere wewe chefuuuuu
@iddiali8057
@iddiali8057 4 ай бұрын
UOGOPENI MOTO
@hassanmwallimu5767
@hassanmwallimu5767 4 ай бұрын
Kwasababu hiyo diamond kwanini amuoi na uwezo wa kukaa na mke anao shame on him
@blessedlu8836
@blessedlu8836 4 ай бұрын
@ Drezzy radio please come and see how this game is played eeeehhhhhh!!!!
@leonidamachuru5960
@leonidamachuru5960 4 ай бұрын
Drezzy ndio nini hana lake
@jacobsadock3530
@jacobsadock3530 4 ай бұрын
Mondi anajua kucheza naakili za mabinti, Ila nazani pia pesa Inaongea
@tabiaramadhani2348
@tabiaramadhani2348 4 ай бұрын
USIMTESE ZUCHU
@AbdillaahAbdillah
@AbdillaahAbdillah 4 ай бұрын
Ipo siku moja watajuta
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 4 ай бұрын
wazinifu wakubwaa
@graceamadi1096
@graceamadi1096 4 ай бұрын
Takia hata adui yako mazuri
@mariammuslim2987
@mariammuslim2987 4 ай бұрын
Aki mapnz yamekuathiri zuuuu au muamala ndio unakuzubaisha tuseme,,,,,jus try to move on and mind your pez darling 💕💕💕 ,,,anakuchukulia mjinga Kati ya wanawake wajinga duniani,,,,nipo pale mtakuja kunambia
@lukacjackson3342
@lukacjackson3342 4 ай бұрын
Acha drama ww
@nicolerose5112
@nicolerose5112 4 ай бұрын
Zuu umulig muongo
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 4 ай бұрын
Huyu mond kimuziki basi tena jua lishakua la jioni aendelee tu na hizi kiki za kijina
@user-jh9yv1zp1l
@user-jh9yv1zp1l 4 ай бұрын
Mapenz yanaum boya ww,ach kuksrk fal ww
@user-uq3cn1jh6u
@user-uq3cn1jh6u 4 ай бұрын
Simba ni muongo bana😂😂
@Nyanda506
@Nyanda506 4 ай бұрын
Bongo bana ..ujinga ujinga tu
@user-jm6dr3hd1y
@user-jm6dr3hd1y 4 ай бұрын
Nyinyi niwazinifu tu hakuna chochote hapo
@lebelgross2656
@lebelgross2656 4 ай бұрын
Simba dwanzi sana nowadays
@user-lw8uk6xw2h
@user-lw8uk6xw2h 4 ай бұрын
usenge mtupu
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 4 ай бұрын
Hivi kuna anae amini kua eti wameachana hizo ni kiki zao tu za kijinga lao liende
@ashaali7154
@ashaali7154 4 ай бұрын
Wewe unalaumu wanawake ulioachana nao wewe mwenyewe umejiona una pesa ukawatumia na kuwaumiza na kuwaacha kama takataka lakini hujioni hizo pesa zitakwisha siku moja.
@messiahfeatures3994
@messiahfeatures3994 4 ай бұрын
Mbn tumbo la zuchu limetepeta hta mtoto mmoja hana au anatoaga?
@honolinachulu6473
@honolinachulu6473 4 ай бұрын
Nilikuwa natafuta hii comment😂😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 ай бұрын
Ata mm😂😂😂
@ntabyoetienne2508
@ntabyoetienne2508 4 ай бұрын
Acheni kiki za ujinga weye Diamond ju ya show ya zanzibar unaunga buvitu bya watoto kimapenzi 😅
@hassanmwallimu5767
@hassanmwallimu5767 4 ай бұрын
Lier big time
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 135 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 51 МЛН
Tafa kraze sumfest vinn gade kòman sa pase
4:02
Dmyckley Officiel 🔞
Рет қаралды 6 М.
HOUSE GIRL EP 47 || love story💞💕
20:02
BUSATI TV
Рет қаралды 40 М.
D Voice Ft Zuchu - BamBam  (Official Music Video)
3:33
D Voice
Рет қаралды 13 МЛН
DIAMOND AMPANDISHA ZUCHU JUKWAANI, KILICHOTOKEA NI HISTORIA...
7:12
Wasafi Media
Рет қаралды 1 МЛН
BABY Comedy : Birthday Baby and Kind Man ❤️
0:36
BABY Comedy
Рет қаралды 14 МЛН
САМЫЙ ЖАРКИЙ ШТАТ (@therealoscarmendez - TT)
0:23
В ТРЕНДЕ
Рет қаралды 22 МЛН
The FAST and FURIOUS Table Hack 😱
0:29
LosWagners ENG
Рет қаралды 2,2 МЛН
ПРАНКУЕМ ЧАПИ🙈🙈🙈
0:20
Chapitosiki
Рет қаралды 6 МЛН