Kwenye tukio la Harusi ya mfanya Biashara maarufu Aristote ulifika Muda wa zawadi na Hivi ndivyo ambavyo Mastaa na waalikwa walivyo toka mbele na kumtuza Aristote… Play kutazama
Huyu bwana harusi kiherehere sana Sasa kamlipa Mc wa Nini kweli bongo Kuna vijimambo🤔🤔
@zarezarebby74762 жыл бұрын
Mc hajui wenye pesa
@gabrieljr14222 жыл бұрын
Bwana harusi kageuka MC jaman sasa garab alifata nn huko 😀😀😀
@melangongo64902 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@rahmaabdallah45142 жыл бұрын
Njaa inamsumbua...
@kaylahbaby67792 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@hamisahodari92292 жыл бұрын
🤣🤣🤣njaaaaaaa
@khadijanjama87212 жыл бұрын
Hii harusi kama yakenya mc hadi bwana harusi 😃😃😃
@jlosomi7762 жыл бұрын
Jamani wangekuwa wanafanya kufuru hvyo Kwa kusaidiya yatima ingekuwa jambo LA maana sana
@marcompesa90732 жыл бұрын
Mungu anawaona ngoja tuwaache ila yatima,wajane,wazee, masikini wa rika zote na walemavu wanaishi kwa shida mno
@habaritv63642 жыл бұрын
Pesa za masharti
@feronandsulubu67112 жыл бұрын
Tuliiwaambia hawatuezii kipesa ata kiuchawii😂😂
@ikentertainment31452 жыл бұрын
Profesa jay wasn’t suppose to be in that room with full of jerks
@alvinmwendwa83562 жыл бұрын
Chawa wetu,, Mama levo ,,ananyemelea pesa ,, aty bosi wangu diamond ,, mshenzi kweli
@Kingtiger982 жыл бұрын
J9. kzfaq.info/get/bejne/hcibiLiqmLa7oKs.html
@ayubukhamis86732 жыл бұрын
Danh kwaiyo ktk watu wote walioko hapo hakuna mtu mwenye ela kumzid mond.maan bwan harusi anavyo jikomba duh.mke wake sijui anajiskiaje.
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Watu wana pesa jaman daah 😢😢
@Kingtiger982 жыл бұрын
Hi. kzfaq.info/get/bejne/hcibiLiqmLa7oKs.html
@johnkyara20162 жыл бұрын
Awesome anajua kucheza na mastar kiakili hongera sana
@liliansingenda74922 жыл бұрын
oh mond sjui nini mishabiki mandazi hiyo angekua fup ungeskia sifaujinga kibao ila mondi kidume kutoka kupewa mizengwe yakutupiwa miyai stejin namijtu yaclous mpaka leo umekuwa zaid yao wanamtumia fup nakulialia ila hawataweza sisi tunakuelewa mzee baba usbweteke wapelekee moto
@Zubaiba6 ай бұрын
Daimond mashaallah,naomba nisaidie kumlipia mwng ada ya mwaka million 3 ,nahagaika kuitafuta
@selestinsongola27872 жыл бұрын
Zaman ukiwa Kalibu na mtemi mtemi akifa unazikwa nae ww ukiwa mzima unafukiwa ndobaba levo
@Zuulito2 жыл бұрын
Watu wana pesa jamani, mimi nahaha ada😥
@kwanzamwisho27082 жыл бұрын
Kubali yaishe, kuna mengi nyuma ya pazia. ujui hizo hela zinakujaje
@johnsonmbwana14052 жыл бұрын
Ucjar wakati wetu upo tupambane
@shamsiadamu7802 жыл бұрын
Akili ya hawa watu ni kuwatamanisha wengine kwa kujionesha ufahari wao wa kifedha sio jambo zuri fedha sio kipimo cha maisha mazuri ila ni sehemu ndogo tu ya maisha Kwan maisha yana mambo mengi
@athmanjuma37682 жыл бұрын
kajambe huko🤣🤣
@miritonbikura54872 жыл бұрын
Nimekuelewa ndugu
@syprianfrank32832 жыл бұрын
Pesa sio matako... heshimu pesa baada ya Mungu
@enjoomaliya13992 жыл бұрын
Simba amependeza hyo suti.
@mathewnemes54692 жыл бұрын
Acha wivu ndg yng, muombe Mungu na ww ufanikiwe.
@mariamissa28282 жыл бұрын
C Bora hata angevaa suti yako , hiyo suti kama muhudinu wa ndege .harusi ya watu mnaanza kujinadi majugu
@zaizaitwaha66332 жыл бұрын
Hii sio harusi ni sehemu ya kuwachambia wengine tu
@009biafra82 жыл бұрын
Huyo ndo Msanii Big Platnumz 💎💎🔥 Sema pesa zake zinatesa vijana wanaotoka familia za kimaskini sana
@hadijachakori23522 жыл бұрын
Haswaaa njaaa zao
@KillionMakinda2 жыл бұрын
Bwana Harusi tamaa mingi. Tangu lini tena kageuka MC? Jifunze adabu bwana
@happinessmsila18962 жыл бұрын
Chawa amepewa kazi ya kushika fimbo
@theresiakaseno31632 жыл бұрын
Jmn yn🤣
@ashuraumari13222 жыл бұрын
Ujaangalia vizuli fimbo kaiyacha ilopo kaa iyo yake baba Levo ludia tena kuangalia utagungua kitu ya mondi inan, gaa kama fedha
@zuhuzuli.51502 жыл бұрын
Mke mrembo mashallah jaman ❤❤❤❤❤❤❤❤❤👌
@magnusraphael22292 жыл бұрын
Hii ni kufuru naomba kujua kama watoto yatima, na wajane mtaweza kuwafanyia hivi ni wakat wa kuwakumbuka wenye dhiki na taabu na wenye magonjwa.
@mamachris68112 жыл бұрын
Wanapenda misifa na kujionyesha na mashindano
@itsjonahfather79412 жыл бұрын
Ndugu yangu maswala ya pesa huwez kumlazimishaa mtu afanyiee nini, Tafuta na ww pesa ufanyee unachowezaa kama kusaidia au hapana, USIMPANGIE MTU MATUMIZI
@lulurubby22352 жыл бұрын
Ukifanya wewe inatosha
@mao96222 жыл бұрын
Hela zake matumizi upange wewe
@shellaking61852 жыл бұрын
Diamond anapenda sifa hyo ni sifa tuh.
@ramadhanihudhaifani43762 жыл бұрын
Wealth should be shared with the need and the poor! We should not use our wealth that God has given to us extravagantly. Poor people and orphans are dying out their because of hunger and lack of shelter,brothers. Spend your wealth for charity and not for fun. Remember the days that you had nothing,bro! You prayed to God to give you less that what you own today. Now that you have more than what you had prayed for,try to show your humanity by supporting the poor and not those who are able. Unless your wealth is from the devil,bro. You will be questioned for all stupid things that you are doing now! Take it from me,bro.
@kagirasta14762 жыл бұрын
Very True
@Phoenix_TechAnalyst2 жыл бұрын
I think this so negative. You are not in a position to dictate the spending of someone, unless you’re tripping bro.
@allthingdranabeauty2 жыл бұрын
Au kamwolea Diamond maana pesa nyingi mtu akutunze hivyo ahhhh ndio maana wanamtegeshea mimba anapesa ajui azifanyie nin 😁😜😜😁😁
@newahomwashiuya88582 жыл бұрын
Mungu akubariki diamond❤️💋
@nakundwamkubwe78232 жыл бұрын
Mzee mwenzangu profer J ajionea nyotanyota tu kama mie dada ake 🙄😆😆.
@zainabumohamed47632 жыл бұрын
Kama MTU hujawahi kwenda Kwa mganga basi usimwite mwenzio mchawi maana wote ni washirikina.yule ambaye hajawahi kwenda basi ndie aongee,
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
kabisa mn unajuaje km mchawi km hujenda kumchawiya jamani diamond wa2 wanampiga vita yule harmonize hakustahili kusema vile lkn washauri wake wabaya
@neemawilliam84152 жыл бұрын
GaraB pole my dear yaan sidhan Kama umewah kufanya kazi yenye machawa mengiii hv wakakunyima Uhuru wa kazi yako!!!!! Yaaan umepigwa na kitu kizito kichwan halooo
@roseukanda60152 жыл бұрын
Diamond uwo ndiyo uhutu kabisa mungu akubariki
@shaddybmc83422 жыл бұрын
PESA SI KITU JAMAN. TUNAZIACHA HAPA DUNIAN. TUREKEBISHE NA MUNGU MAISHA YETU JAMAN
Duuuuuh!!! Hii Harusi nikuchambana kwanza halafu ubwabwa 🤣🤣🤣🤣
@hamisahodari92292 жыл бұрын
Bwana harus kageuka MC...🤣🤣🤣🤣
@rizikikhalid51192 жыл бұрын
Uyo mama levo kama kipofu na iyo fimbo
@hamisahodari92292 жыл бұрын
@@rizikikhalid5119 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yaaaan
@anordgerison86392 жыл бұрын
Million 80 bana acheni kupunguza bana
@saidibrahim23752 жыл бұрын
Waambie bro
@omarkalita53402 жыл бұрын
Mmmmh kama alimzawadia kiwanja wapi hati miliki hapo kuna mchezo mana wbc kwa uongo ni namba 1
@ibrahimyussuf30792 жыл бұрын
Mimi pia nawa chawa wa diamond sio Kwa pesa hizo
@malmavoice89892 жыл бұрын
Chawa ukijitunza kama aristote, lokole na Baba levo we nizaidi ya boss wako maana anavyokuthamini hadi anajisahau yeye.
@mariamissa28282 жыл бұрын
Ungekakimya ingependza Ili watu wakushereheshe
@009biafra82 жыл бұрын
Huyo ndo Msanii wengine wabana makoo tuu ila njaa zinawaua..Big Simba 🦁💪🙌🙌
@cutemamy96022 жыл бұрын
Kila mtu na Chawa wakee jamaniii🤣🤣🤣
@jeremiahpaul93452 жыл бұрын
Chawa baba levo
@ashurachariomar17012 жыл бұрын
Wasiompenda diamond bure yao mm nampenda bureee
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
kabisa mie ndo usiseme nampenda sana haswaa na mwanangu pia anampenda haswa na hayuko Tz
@Werema37602 жыл бұрын
Million 80! Uku 30 tushike lip Simba kama simba
@leokamil62842 жыл бұрын
Kiwanja cha million hamsini na million thalathini cash
@MBGolden2 жыл бұрын
Asante kwa kupiga nimbo yangu 🙏🏾🙏🏾
@judytabby27772 жыл бұрын
Bwana harusi kiereere kaa nini
@zaiiomary89702 жыл бұрын
Anapesa ama anataka kufunika kombee kujishauwa tuuu
@neemaballati75262 жыл бұрын
Ila kuna vijembe hatarii
@neemaballati75262 жыл бұрын
Ila mwijaku anakera jmn D wangu mungu akuweke baba
@Kingtiger982 жыл бұрын
Y7. kzfaq.info/get/bejne/hcibiLiqmLa7oKs.html
@nersonjoseph53692 жыл бұрын
Mzee wa kunyoosha maneno
@allamki26612 жыл бұрын
Ni kutaka tu sifa...watu wamsifu....angempa..jeki bila mtu kujuwa
@remmysbrand2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni tajiri ila mshamba..... Matajiri wa Kibongo kwa kujitutumua bwana!
@mutwirithirinja24572 жыл бұрын
Tz mtatuonyesha mambo 🥰
@yeyemardin91192 жыл бұрын
Nc
@kavoomshana72892 жыл бұрын
Apeleke ulimbuken wake huko huyo sadala Hana lolote,nikuminya wasanii ndo anajua na kuja kuonyesha ufahali kwenye harusi..
@zenadaudzena28492 жыл бұрын
Anapenda sifa sana aonekane
@marthamalila86302 жыл бұрын
Wivu huo unakusumbua loo
@marthamalila86302 жыл бұрын
Wivu huo unakusumbua loo
@leylamark31932 жыл бұрын
Mbona makasiriko !!!Kwan amekuminya ww!!!
@osoromageta33812 жыл бұрын
Kikubwa uzima na amani unaweza pata pesa ndefu lakini mm kapuru nikakuzidi amani 😂
@udakutv69732 жыл бұрын
WAMAKONDE WAMJIA JUU HARMONIZE WAMTAKA AOMBE MSAMAHA KWA DIAMOND kzfaq.info/get/bejne/itWcl8imxLy9pJs.html kzfaq.info/get/bejne/itWcl8imxLy9pJs.html kzfaq.info/get/bejne/itWcl8imxLy9pJs.html
@mkumbosamson79812 жыл бұрын
Acheni mambo ya kuabudu sanamu mwabuduni Mungu aliye hai
@winfridadominancy34922 жыл бұрын
Kwan umeona in m2 kapiga magoti
@winfridadominancy34922 жыл бұрын
Nyooooo
@johnyagat9732 жыл бұрын
Mbona tu Mach mane anataka kumwaga moto atulii sehem moja mwijaku na ye yumo tu
@habibukilango77382 жыл бұрын
Anataka acheze na akili zetu...Tz wake up sa huyu bwana harusi au Mc 😅😅😅....ongelea maisha yako wewe utaishi vp na mkeo we wamsifia mtu Ahahahahah kaz kwel kwel
@fatmaabdul14072 жыл бұрын
Full mipasho mweeh!! Kila mmoja na chawa wake na majigambo yake kazi ipo!!
@stellamsangi42812 жыл бұрын
Aristotee wewe umekuwa MC? Unaongea hadi kichefuchefu Yaani
@Emmamusiccmb2 жыл бұрын
*Ndugu zangu kwa heshima naomba muangalie video ya wimbo uitwao Je Utavumilia kwa bofya picha pembeni 👈💕🙏👈 kuutazama naamini utaupendaaa*
@ramadhanmohamed17122 жыл бұрын
Poa man
@angeladorrell94542 жыл бұрын
Safi
@anthonysemiono35792 жыл бұрын
Alistoteeeeeee😆😆😆😆
@zenj19862 жыл бұрын
Acheni ushamba kuvaa miwani nyeusi usiku🤔🤔🤔🤔🤔
@sumecute25132 жыл бұрын
Jmn,mondi unakosea,mbn hiyo pesa yote usimnunulie babako nyumba,we unawazawadi marafiki hata kama sio babako lkn alikulea maskini nzee Abdul
@unclepwechnov13812 жыл бұрын
Usimpangie wa usimuingilie mtu kwenye maisha yake, siri za ndani na whatever transpired toka akiwa mtoto hakuna ajuaye the whole story. Kuhumu binadamu ni kazi ya Mungu peke yake.
@sumecute25132 жыл бұрын
@@unclepwechnov1381 🙌sijaingilia maisha ya mtu wala sijampanhia mtu hayo maoni tu
@abubakarkassimmwinyimwinyi63822 жыл бұрын
Wewe ushamnunulia Baba baikeli? Hayakuhusu
@dcgcnyanza88772 жыл бұрын
Mond ana misifa kweli anashindwa kutengeneza mazngra ya mzee abdul,
@unclepwechnov13812 жыл бұрын
Kuna watu wamegeuka wasemaji wa 'mzee' Abdul bila kujua undani wa maisha yao, wengi ni haters wa Diamond ambao feelings zake means nothing to them. Kila mja ana machungu moyoni mwake na kusamehe aliyopitia ni hiyari wala si lazima.
@azzamahamdu70392 жыл бұрын
Mhm kazi ipoo watazamaji tumepgwa na kitu kizito kichwan
@zainabwage46582 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mbeguclassic33872 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 hapo mama levo anatamani aolewe na yeye atunzwe 🤣🤣🤣
@gloryr94972 жыл бұрын
😄😄😄😂😂😂
@fatmamsiliwa84852 жыл бұрын
Kweli kabisa
@sablinitanzania22152 жыл бұрын
😂😂😂😂
@petercosta13172 жыл бұрын
Daah watu na pesa zaoo
@browskymuba69232 жыл бұрын
Baba levo chawa wa maana sana
@ethiopidemakaveli66442 жыл бұрын
Kusoma ni vizuri rafiki zangu.ujinga mubaya na kulelewa namamako tu si vizuri .domo sadala ni mujinga, mchafu, shoga na mushamba.harmonize kamukondesha hakili
@stevemwakisimba59862 жыл бұрын
We mkundu acha ujinga wako mbona baba yako mama yako hawajasoma na bado wakakuleta wewe ambae hata vidudu hujasoma achana na diamond atsendelea kupakatwa
@jimmybusiliye5882 жыл бұрын
Mpe nawe huo mkundu akufile
@baimarrajahbuayan62372 жыл бұрын
Mmmmmmmm, tutafute pesa Jaman!!! Maan mc 3 had baba levo
@halush1752 жыл бұрын
30 na mwenyewe wasafi wameandika 80m
@abdallahomary14802 жыл бұрын
Kwani ukitaki diamond aje kwenye shughuli yako una pija ngapi ngapi eti jaman
@zakiahaji16832 жыл бұрын
😀😀😀😀
@kapendalubowa5342 жыл бұрын
Malissa Godlisten una nafasi yako Mbinguni.
@fatmatwalib81792 жыл бұрын
Baba Levo haaa upunguze mda mwengn
@davidpaschal53632 жыл бұрын
D anapenda SFA xn
@Jassmin-media-official2 жыл бұрын
Hii ilikua rambirambi sio harusi make sio kwa upuuzi huu umegeuka ombaomba kwenye harusi, pia pole Mc make hii ilikus kigodoro
@leokamil62842 жыл бұрын
Kweli rambirambi
@sabinambega25992 жыл бұрын
Baba levo chawa au bordgurd
@pascaljr.54392 жыл бұрын
Zawadi co mpk uonyeshe mbele kadamnasi kwamb una hela cku zikiwaishia mtaficha wapi sura zenu
@andrewisaac1712 жыл бұрын
Hakuna pesa inaweza kuhamiswa kwa cheki 15m mwisho huwa ni 10m
@Phoenix_TechAnalyst2 жыл бұрын
You’re Confusing, it’s possible. Okay
@darklovely68772 жыл бұрын
I don't believe D gave him money just like that🤑🤑🤑please ppl you all need to wake up is business!!!! 😪😜
@binthkhamisi10972 жыл бұрын
Ela zaenda kwenye w2 wenye ela...duuh
@hawahabibu3881 Жыл бұрын
Diamond cku nyingine utupege na Cye wenye uhitaji wanaongezewa wenye nazo tu🙄
@mutwirithirinja24572 жыл бұрын
Ata uwe boss aji choo utaenda miguu😭😭😭👎
@dicksonluena32662 жыл бұрын
Oy Maisha Ya Amani Sio Pesa,,,,Pesa Chanzo Cha Presha,,Pesa Ina Asilimia Robo Kwa Maisha,,,Robo Tatu Upendo wakweli Siopesa
@malemiconstruction14492 жыл бұрын
Aristote n nan hapa tz.
@zippypretty69492 жыл бұрын
Baba levo akiona Hela🤤🤤🤤🤤🤔
@zenadaudzena28492 жыл бұрын
Uongo mtupu baadae zinarudishwa hizo huo mchezo upo
@Kazubassyathyvry892 жыл бұрын
Kazi ya uchawa anaiweza kabisa,mpongezeeee
@Sifam6342 жыл бұрын
Nawe fanya yako
@hadijachakori23522 жыл бұрын
Unauhakika alikualika
@edinawilliam29432 жыл бұрын
Mc hakuwa na kz zaidi ya kushangaa
@pastor_benjie2 жыл бұрын
akili zetu wabongo, hapo sijaona cha maana kabisa , kwanza uyo Bwana harusi au MC?, bored
@yassinsaid11192 жыл бұрын
Ukitaka kujua sio kitu kizur mwangalie mtu mzima proff jay anavyopata mshangao
@fortidaskashaigili74962 жыл бұрын
Sifa za hivyo mtu unayejitambua lazima uzikatae
@Ilhamsamia2 жыл бұрын
Oi wewe ni tahira
@trumptz68212 жыл бұрын
Respect allystote
@lovenessedward54782 жыл бұрын
Ovyoo kabisa eti "Diamond this! Diamond that" Kma machoko unamuongeleaje mwanaume mwenzio hivyo kweli chawa ni bimdogo
@syphroseshazala68542 жыл бұрын
🔥🔥
@othumanikamilagwa11292 жыл бұрын
Huyo chawa au bodigadi bichwa kubwa hata haoni noma.....?
@josephjohn95782 жыл бұрын
Huyu bwanaharusi nae kiherehere sasa alimleta mc wann huku snaongea yy 2
@shukurulymo98822 жыл бұрын
👃 saivi kawa bodigadi jamani wew ela
@rukiarashid36692 жыл бұрын
Wewe diomond siunipe hata mie mtaji niuze hata mbogamboga