No video

DIAMOND ALIVYOMZAWADIA ARISTOTE MIHELA AMPA MILIONI 30, SUTI BEGA NA VUNJA BEI WAONESHANA JEURI

  Рет қаралды 156,079

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Kwenye tukio la Harusi ya mfanya Biashara maarufu Aristote ulifika Muda wa zawadi na Hivi ndivyo ambavyo Mastaa na waalikwa walivyo toka mbele na kumtuza Aristote… Play kutazama

Пікірлер: 361
@magiehermess9949
@magiehermess9949 2 жыл бұрын
Huyu mwanamke,she is black beauty ❤️❤️❤️
@jumakassim8718
@jumakassim8718 2 жыл бұрын
Ndio mrembo mashaallah
@magiehermess9949
@magiehermess9949 2 жыл бұрын
@@jumakassim8718 nashangaa mwijaku anasema sio mrembo
@nenenelly1878
@nenenelly1878 2 жыл бұрын
sana2
@salimmdule405
@salimmdule405 2 жыл бұрын
✅✅
@gloryr9497
@gloryr9497 2 жыл бұрын
Huyu bwana harusi kiherehere sana Sasa kamlipa Mc wa Nini kweli bongo Kuna vijimambo🤔🤔
@zarezarebby7476
@zarezarebby7476 2 жыл бұрын
Mc hajui wenye pesa
@gabrieljr1422
@gabrieljr1422 2 жыл бұрын
Bwana harusi kageuka MC jaman sasa garab alifata nn huko 😀😀😀
@melangongo6490
@melangongo6490 2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@rahmaabdallah4514
@rahmaabdallah4514 2 жыл бұрын
Njaa inamsumbua...
@kaylahbaby6779
@kaylahbaby6779 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@hamisahodari9229
@hamisahodari9229 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣njaaaaaaa
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 2 жыл бұрын
Hii harusi kama yakenya mc hadi bwana harusi 😃😃😃
@jlosomi776
@jlosomi776 2 жыл бұрын
Jamani wangekuwa wanafanya kufuru hvyo Kwa kusaidiya yatima ingekuwa jambo LA maana sana
@marcompesa9073
@marcompesa9073 2 жыл бұрын
Mungu anawaona ngoja tuwaache ila yatima,wajane,wazee, masikini wa rika zote na walemavu wanaishi kwa shida mno
@habaritv6364
@habaritv6364 2 жыл бұрын
Pesa za masharti
@feronandsulubu6711
@feronandsulubu6711 2 жыл бұрын
Tuliiwaambia hawatuezii kipesa ata kiuchawii😂😂
@ikentertainment3145
@ikentertainment3145 2 жыл бұрын
Profesa jay wasn’t suppose to be in that room with full of jerks
@alvinmwendwa8356
@alvinmwendwa8356 2 жыл бұрын
Chawa wetu,, Mama levo ,,ananyemelea pesa ,, aty bosi wangu diamond ,, mshenzi kweli
@Kingtiger98
@Kingtiger98 2 жыл бұрын
J9. kzfaq.info/get/bejne/hcibiLiqmLa7oKs.html
@ayubukhamis8673
@ayubukhamis8673 2 жыл бұрын
Danh kwaiyo ktk watu wote walioko hapo hakuna mtu mwenye ela kumzid mond.maan bwan harusi anavyo jikomba duh.mke wake sijui anajiskiaje.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Watu wana pesa jaman daah 😢😢
@Kingtiger98
@Kingtiger98 2 жыл бұрын
Hi. kzfaq.info/get/bejne/hcibiLiqmLa7oKs.html
@johnkyara2016
@johnkyara2016 2 жыл бұрын
Awesome anajua kucheza na mastar kiakili hongera sana
@liliansingenda7492
@liliansingenda7492 2 жыл бұрын
oh mond sjui nini mishabiki mandazi hiyo angekua fup ungeskia sifaujinga kibao ila mondi kidume kutoka kupewa mizengwe yakutupiwa miyai stejin namijtu yaclous mpaka leo umekuwa zaid yao wanamtumia fup nakulialia ila hawataweza sisi tunakuelewa mzee baba usbweteke wapelekee moto
@Zubaiba
@Zubaiba 6 ай бұрын
Daimond mashaallah,naomba nisaidie kumlipia mwng ada ya mwaka million 3 ,nahagaika kuitafuta
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 2 жыл бұрын
Zaman ukiwa Kalibu na mtemi mtemi akifa unazikwa nae ww ukiwa mzima unafukiwa ndobaba levo
@Zuulito
@Zuulito 2 жыл бұрын
Watu wana pesa jamani, mimi nahaha ada😥
@kwanzamwisho2708
@kwanzamwisho2708 2 жыл бұрын
Kubali yaishe, kuna mengi nyuma ya pazia. ujui hizo hela zinakujaje
@johnsonmbwana1405
@johnsonmbwana1405 2 жыл бұрын
Ucjar wakati wetu upo tupambane
@shamsiadamu780
@shamsiadamu780 2 жыл бұрын
Akili ya hawa watu ni kuwatamanisha wengine kwa kujionesha ufahari wao wa kifedha sio jambo zuri fedha sio kipimo cha maisha mazuri ila ni sehemu ndogo tu ya maisha Kwan maisha yana mambo mengi
@athmanjuma3768
@athmanjuma3768 2 жыл бұрын
kajambe huko🤣🤣
@miritonbikura5487
@miritonbikura5487 2 жыл бұрын
Nimekuelewa ndugu
@syprianfrank3283
@syprianfrank3283 2 жыл бұрын
Pesa sio matako... heshimu pesa baada ya Mungu
@enjoomaliya1399
@enjoomaliya1399 2 жыл бұрын
Simba amependeza hyo suti.
@mathewnemes5469
@mathewnemes5469 2 жыл бұрын
Acha wivu ndg yng, muombe Mungu na ww ufanikiwe.
@mariamissa2828
@mariamissa2828 2 жыл бұрын
C Bora hata angevaa suti yako , hiyo suti kama muhudinu wa ndege .harusi ya watu mnaanza kujinadi majugu
@zaizaitwaha6633
@zaizaitwaha6633 2 жыл бұрын
Hii sio harusi ni sehemu ya kuwachambia wengine tu
@009biafra8
@009biafra8 2 жыл бұрын
Huyo ndo Msanii Big Platnumz 💎💎🔥 Sema pesa zake zinatesa vijana wanaotoka familia za kimaskini sana
@hadijachakori2352
@hadijachakori2352 2 жыл бұрын
Haswaaa njaaa zao
@KillionMakinda
@KillionMakinda 2 жыл бұрын
Bwana Harusi tamaa mingi. Tangu lini tena kageuka MC? Jifunze adabu bwana
@happinessmsila1896
@happinessmsila1896 2 жыл бұрын
Chawa amepewa kazi ya kushika fimbo
@theresiakaseno3163
@theresiakaseno3163 2 жыл бұрын
Jmn yn🤣
@ashuraumari1322
@ashuraumari1322 2 жыл бұрын
Ujaangalia vizuli fimbo kaiyacha ilopo kaa iyo yake baba Levo ludia tena kuangalia utagungua kitu ya mondi inan, gaa kama fedha
@zuhuzuli.5150
@zuhuzuli.5150 2 жыл бұрын
Mke mrembo mashallah jaman ❤❤❤❤❤❤❤❤❤👌
@magnusraphael2229
@magnusraphael2229 2 жыл бұрын
Hii ni kufuru naomba kujua kama watoto yatima, na wajane mtaweza kuwafanyia hivi ni wakat wa kuwakumbuka wenye dhiki na taabu na wenye magonjwa.
@mamachris6811
@mamachris6811 2 жыл бұрын
Wanapenda misifa na kujionyesha na mashindano
@itsjonahfather7941
@itsjonahfather7941 2 жыл бұрын
Ndugu yangu maswala ya pesa huwez kumlazimishaa mtu afanyiee nini, Tafuta na ww pesa ufanyee unachowezaa kama kusaidia au hapana, USIMPANGIE MTU MATUMIZI
@lulurubby2235
@lulurubby2235 2 жыл бұрын
Ukifanya wewe inatosha
@mao9622
@mao9622 2 жыл бұрын
Hela zake matumizi upange wewe
@shellaking6185
@shellaking6185 2 жыл бұрын
Diamond anapenda sifa hyo ni sifa tuh.
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 2 жыл бұрын
Wealth should be shared with the need and the poor! We should not use our wealth that God has given to us extravagantly. Poor people and orphans are dying out their because of hunger and lack of shelter,brothers. Spend your wealth for charity and not for fun. Remember the days that you had nothing,bro! You prayed to God to give you less that what you own today. Now that you have more than what you had prayed for,try to show your humanity by supporting the poor and not those who are able. Unless your wealth is from the devil,bro. You will be questioned for all stupid things that you are doing now! Take it from me,bro.
@kagirasta1476
@kagirasta1476 2 жыл бұрын
Very True
@Phoenix_TechAnalyst
@Phoenix_TechAnalyst 2 жыл бұрын
I think this so negative. You are not in a position to dictate the spending of someone, unless you’re tripping bro.
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 2 жыл бұрын
Au kamwolea Diamond maana pesa nyingi mtu akutunze hivyo ahhhh ndio maana wanamtegeshea mimba anapesa ajui azifanyie nin 😁😜😜😁😁
@newahomwashiuya8858
@newahomwashiuya8858 2 жыл бұрын
Mungu akubariki diamond❤️💋
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 жыл бұрын
Mzee mwenzangu profer J ajionea nyotanyota tu kama mie dada ake 🙄😆😆.
@zainabumohamed4763
@zainabumohamed4763 2 жыл бұрын
Kama MTU hujawahi kwenda Kwa mganga basi usimwite mwenzio mchawi maana wote ni washirikina.yule ambaye hajawahi kwenda basi ndie aongee,
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
kabisa mn unajuaje km mchawi km hujenda kumchawiya jamani diamond wa2 wanampiga vita yule harmonize hakustahili kusema vile lkn washauri wake wabaya
@neemawilliam8415
@neemawilliam8415 2 жыл бұрын
GaraB pole my dear yaan sidhan Kama umewah kufanya kazi yenye machawa mengiii hv wakakunyima Uhuru wa kazi yako!!!!! Yaaan umepigwa na kitu kizito kichwan halooo
@roseukanda6015
@roseukanda6015 2 жыл бұрын
Diamond uwo ndiyo uhutu kabisa mungu akubariki
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 2 жыл бұрын
PESA SI KITU JAMAN. TUNAZIACHA HAPA DUNIAN. TUREKEBISHE NA MUNGU MAISHA YETU JAMAN
@aboubaqarally9834
@aboubaqarally9834 2 жыл бұрын
Baba levo umekuwa chawa mpka unaboaa
@angelbarnabas7075
@angelbarnabas7075 2 жыл бұрын
Jamani aristote ana vituko sogezeni camera 📸🤣🤣🤣
@jp1780
@jp1780 2 жыл бұрын
Kwasababu wajinga wangelisema yalikuwa fake kwaiyo alifanya vizuri
@catherineamos7087
@catherineamos7087 2 жыл бұрын
Duuuuuh!!! Hii Harusi nikuchambana kwanza halafu ubwabwa 🤣🤣🤣🤣
@hamisahodari9229
@hamisahodari9229 2 жыл бұрын
Bwana harus kageuka MC...🤣🤣🤣🤣
@rizikikhalid5119
@rizikikhalid5119 2 жыл бұрын
Uyo mama levo kama kipofu na iyo fimbo
@hamisahodari9229
@hamisahodari9229 2 жыл бұрын
@@rizikikhalid5119 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yaaaan
@anordgerison8639
@anordgerison8639 2 жыл бұрын
Million 80 bana acheni kupunguza bana
@saidibrahim2375
@saidibrahim2375 2 жыл бұрын
Waambie bro
@omarkalita5340
@omarkalita5340 2 жыл бұрын
Mmmmh kama alimzawadia kiwanja wapi hati miliki hapo kuna mchezo mana wbc kwa uongo ni namba 1
@ibrahimyussuf3079
@ibrahimyussuf3079 2 жыл бұрын
Mimi pia nawa chawa wa diamond sio Kwa pesa hizo
@malmavoice8989
@malmavoice8989 2 жыл бұрын
Chawa ukijitunza kama aristote, lokole na Baba levo we nizaidi ya boss wako maana anavyokuthamini hadi anajisahau yeye.
@mariamissa2828
@mariamissa2828 2 жыл бұрын
Ungekakimya ingependza Ili watu wakushereheshe
@009biafra8
@009biafra8 2 жыл бұрын
Huyo ndo Msanii wengine wabana makoo tuu ila njaa zinawaua..Big Simba 🦁💪🙌🙌
@cutemamy9602
@cutemamy9602 2 жыл бұрын
Kila mtu na Chawa wakee jamaniii🤣🤣🤣
@jeremiahpaul9345
@jeremiahpaul9345 2 жыл бұрын
Chawa baba levo
@ashurachariomar1701
@ashurachariomar1701 2 жыл бұрын
Wasiompenda diamond bure yao mm nampenda bureee
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
kabisa mie ndo usiseme nampenda sana haswaa na mwanangu pia anampenda haswa na hayuko Tz
@Werema3760
@Werema3760 2 жыл бұрын
Million 80! Uku 30 tushike lip Simba kama simba
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Kiwanja cha million hamsini na million thalathini cash
@MBGolden
@MBGolden 2 жыл бұрын
Asante kwa kupiga nimbo yangu 🙏🏾🙏🏾
@judytabby2777
@judytabby2777 2 жыл бұрын
Bwana harusi kiereere kaa nini
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 2 жыл бұрын
Anapesa ama anataka kufunika kombee kujishauwa tuuu
@neemaballati7526
@neemaballati7526 2 жыл бұрын
Ila kuna vijembe hatarii
@neemaballati7526
@neemaballati7526 2 жыл бұрын
Ila mwijaku anakera jmn D wangu mungu akuweke baba
@Kingtiger98
@Kingtiger98 2 жыл бұрын
Y7. kzfaq.info/get/bejne/hcibiLiqmLa7oKs.html
@nersonjoseph5369
@nersonjoseph5369 2 жыл бұрын
Mzee wa kunyoosha maneno
@allamki2661
@allamki2661 2 жыл бұрын
Ni kutaka tu sifa...watu wamsifu....angempa..jeki bila mtu kujuwa
@remmysbrand
@remmysbrand 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni tajiri ila mshamba..... Matajiri wa Kibongo kwa kujitutumua bwana!
@mutwirithirinja2457
@mutwirithirinja2457 2 жыл бұрын
Tz mtatuonyesha mambo 🥰
@yeyemardin9119
@yeyemardin9119 2 жыл бұрын
Nc
@kavoomshana7289
@kavoomshana7289 2 жыл бұрын
Apeleke ulimbuken wake huko huyo sadala Hana lolote,nikuminya wasanii ndo anajua na kuja kuonyesha ufahali kwenye harusi..
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 2 жыл бұрын
Anapenda sifa sana aonekane
@marthamalila8630
@marthamalila8630 2 жыл бұрын
Wivu huo unakusumbua loo
@marthamalila8630
@marthamalila8630 2 жыл бұрын
Wivu huo unakusumbua loo
@leylamark3193
@leylamark3193 2 жыл бұрын
Mbona makasiriko !!!Kwan amekuminya ww!!!
@osoromageta3381
@osoromageta3381 2 жыл бұрын
Kikubwa uzima na amani unaweza pata pesa ndefu lakini mm kapuru nikakuzidi amani 😂
@udakutv6973
@udakutv6973 2 жыл бұрын
WAMAKONDE WAMJIA JUU HARMONIZE WAMTAKA AOMBE MSAMAHA KWA DIAMOND kzfaq.info/get/bejne/itWcl8imxLy9pJs.html kzfaq.info/get/bejne/itWcl8imxLy9pJs.html kzfaq.info/get/bejne/itWcl8imxLy9pJs.html
@mkumbosamson7981
@mkumbosamson7981 2 жыл бұрын
Acheni mambo ya kuabudu sanamu mwabuduni Mungu aliye hai
@winfridadominancy3492
@winfridadominancy3492 2 жыл бұрын
Kwan umeona in m2 kapiga magoti
@winfridadominancy3492
@winfridadominancy3492 2 жыл бұрын
Nyooooo
@johnyagat973
@johnyagat973 2 жыл бұрын
Mbona tu Mach mane anataka kumwaga moto atulii sehem moja mwijaku na ye yumo tu
@habibukilango7738
@habibukilango7738 2 жыл бұрын
Anataka acheze na akili zetu...Tz wake up sa huyu bwana harusi au Mc 😅😅😅....ongelea maisha yako wewe utaishi vp na mkeo we wamsifia mtu Ahahahahah kaz kwel kwel
@fatmaabdul1407
@fatmaabdul1407 2 жыл бұрын
Full mipasho mweeh!! Kila mmoja na chawa wake na majigambo yake kazi ipo!!
@stellamsangi4281
@stellamsangi4281 2 жыл бұрын
Aristotee wewe umekuwa MC? Unaongea hadi kichefuchefu Yaani
@Emmamusiccmb
@Emmamusiccmb 2 жыл бұрын
*Ndugu zangu kwa heshima naomba muangalie video ya wimbo uitwao Je Utavumilia kwa bofya picha pembeni 👈💕🙏👈 kuutazama naamini utaupendaaa*
@ramadhanmohamed1712
@ramadhanmohamed1712 2 жыл бұрын
Poa man
@angeladorrell9454
@angeladorrell9454 2 жыл бұрын
Safi
@anthonysemiono3579
@anthonysemiono3579 2 жыл бұрын
Alistoteeeeeee😆😆😆😆
@zenj1986
@zenj1986 2 жыл бұрын
Acheni ushamba kuvaa miwani nyeusi usiku🤔🤔🤔🤔🤔
@sumecute2513
@sumecute2513 2 жыл бұрын
Jmn,mondi unakosea,mbn hiyo pesa yote usimnunulie babako nyumba,we unawazawadi marafiki hata kama sio babako lkn alikulea maskini nzee Abdul
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 2 жыл бұрын
Usimpangie wa usimuingilie mtu kwenye maisha yake, siri za ndani na whatever transpired toka akiwa mtoto hakuna ajuaye the whole story. Kuhumu binadamu ni kazi ya Mungu peke yake.
@sumecute2513
@sumecute2513 2 жыл бұрын
@@unclepwechnov1381 🙌sijaingilia maisha ya mtu wala sijampanhia mtu hayo maoni tu
@abubakarkassimmwinyimwinyi6382
@abubakarkassimmwinyimwinyi6382 2 жыл бұрын
Wewe ushamnunulia Baba baikeli? Hayakuhusu
@dcgcnyanza8877
@dcgcnyanza8877 2 жыл бұрын
Mond ana misifa kweli anashindwa kutengeneza mazngra ya mzee abdul,
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 2 жыл бұрын
Kuna watu wamegeuka wasemaji wa 'mzee' Abdul bila kujua undani wa maisha yao, wengi ni haters wa Diamond ambao feelings zake means nothing to them. Kila mja ana machungu moyoni mwake na kusamehe aliyopitia ni hiyari wala si lazima.
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 2 жыл бұрын
Mhm kazi ipoo watazamaji tumepgwa na kitu kizito kichwan
@zainabwage4658
@zainabwage4658 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mbeguclassic3387
@mbeguclassic3387 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 hapo mama levo anatamani aolewe na yeye atunzwe 🤣🤣🤣
@gloryr9497
@gloryr9497 2 жыл бұрын
😄😄😄😂😂😂
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@sablinitanzania2215
@sablinitanzania2215 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@petercosta1317
@petercosta1317 2 жыл бұрын
Daah watu na pesa zaoo
@browskymuba6923
@browskymuba6923 2 жыл бұрын
Baba levo chawa wa maana sana
@ethiopidemakaveli6644
@ethiopidemakaveli6644 2 жыл бұрын
Kusoma ni vizuri rafiki zangu.ujinga mubaya na kulelewa namamako tu si vizuri .domo sadala ni mujinga, mchafu, shoga na mushamba.harmonize kamukondesha hakili
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 2 жыл бұрын
We mkundu acha ujinga wako mbona baba yako mama yako hawajasoma na bado wakakuleta wewe ambae hata vidudu hujasoma achana na diamond atsendelea kupakatwa
@jimmybusiliye588
@jimmybusiliye588 2 жыл бұрын
Mpe nawe huo mkundu akufile
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Mmmmmmmm, tutafute pesa Jaman!!! Maan mc 3 had baba levo
@halush175
@halush175 2 жыл бұрын
30 na mwenyewe wasafi wameandika 80m
@abdallahomary1480
@abdallahomary1480 2 жыл бұрын
Kwani ukitaki diamond aje kwenye shughuli yako una pija ngapi ngapi eti jaman
@zakiahaji1683
@zakiahaji1683 2 жыл бұрын
😀😀😀😀
@kapendalubowa534
@kapendalubowa534 2 жыл бұрын
Malissa Godlisten una nafasi yako Mbinguni.
@fatmatwalib8179
@fatmatwalib8179 2 жыл бұрын
Baba Levo haaa upunguze mda mwengn
@davidpaschal5363
@davidpaschal5363 2 жыл бұрын
D anapenda SFA xn
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 2 жыл бұрын
Hii ilikua rambirambi sio harusi make sio kwa upuuzi huu umegeuka ombaomba kwenye harusi, pia pole Mc make hii ilikus kigodoro
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Kweli rambirambi
@sabinambega2599
@sabinambega2599 2 жыл бұрын
Baba levo chawa au bordgurd
@pascaljr.5439
@pascaljr.5439 2 жыл бұрын
Zawadi co mpk uonyeshe mbele kadamnasi kwamb una hela cku zikiwaishia mtaficha wapi sura zenu
@andrewisaac171
@andrewisaac171 2 жыл бұрын
Hakuna pesa inaweza kuhamiswa kwa cheki 15m mwisho huwa ni 10m
@Phoenix_TechAnalyst
@Phoenix_TechAnalyst 2 жыл бұрын
You’re Confusing, it’s possible. Okay
@darklovely6877
@darklovely6877 2 жыл бұрын
I don't believe D gave him money just like that🤑🤑🤑please ppl you all need to wake up is business!!!! 😪😜
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 жыл бұрын
Ela zaenda kwenye w2 wenye ela...duuh
@hawahabibu3881
@hawahabibu3881 Жыл бұрын
Diamond cku nyingine utupege na Cye wenye uhitaji wanaongezewa wenye nazo tu🙄
@mutwirithirinja2457
@mutwirithirinja2457 2 жыл бұрын
Ata uwe boss aji choo utaenda miguu😭😭😭👎
@dicksonluena3266
@dicksonluena3266 2 жыл бұрын
Oy Maisha Ya Amani Sio Pesa,,,,Pesa Chanzo Cha Presha,,Pesa Ina Asilimia Robo Kwa Maisha,,,Robo Tatu Upendo wakweli Siopesa
@malemiconstruction1449
@malemiconstruction1449 2 жыл бұрын
Aristote n nan hapa tz.
@zippypretty6949
@zippypretty6949 2 жыл бұрын
Baba levo akiona Hela🤤🤤🤤🤤🤔
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 2 жыл бұрын
Uongo mtupu baadae zinarudishwa hizo huo mchezo upo
@Kazubassyathyvry89
@Kazubassyathyvry89 2 жыл бұрын
Kazi ya uchawa anaiweza kabisa,mpongezeeee
@Sifam634
@Sifam634 2 жыл бұрын
Nawe fanya yako
@hadijachakori2352
@hadijachakori2352 2 жыл бұрын
Unauhakika alikualika
@edinawilliam2943
@edinawilliam2943 2 жыл бұрын
Mc hakuwa na kz zaidi ya kushangaa
@pastor_benjie
@pastor_benjie 2 жыл бұрын
akili zetu wabongo, hapo sijaona cha maana kabisa , kwanza uyo Bwana harusi au MC?, bored
@yassinsaid1119
@yassinsaid1119 2 жыл бұрын
Ukitaka kujua sio kitu kizur mwangalie mtu mzima proff jay anavyopata mshangao
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 2 жыл бұрын
Sifa za hivyo mtu unayejitambua lazima uzikatae
@Ilhamsamia
@Ilhamsamia 2 жыл бұрын
Oi wewe ni tahira
@trumptz6821
@trumptz6821 2 жыл бұрын
Respect allystote
@lovenessedward5478
@lovenessedward5478 2 жыл бұрын
Ovyoo kabisa eti "Diamond this! Diamond that" Kma machoko unamuongeleaje mwanaume mwenzio hivyo kweli chawa ni bimdogo
@syphroseshazala6854
@syphroseshazala6854 2 жыл бұрын
🔥🔥
@othumanikamilagwa1129
@othumanikamilagwa1129 2 жыл бұрын
Huyo chawa au bodigadi bichwa kubwa hata haoni noma.....?
@josephjohn9578
@josephjohn9578 2 жыл бұрын
Huyu bwanaharusi nae kiherehere sasa alimleta mc wann huku snaongea yy 2
@shukurulymo9882
@shukurulymo9882 2 жыл бұрын
👃 saivi kawa bodigadi jamani wew ela
@rukiarashid3669
@rukiarashid3669 2 жыл бұрын
Wewe diomond siunipe hata mie mtaji niuze hata mbogamboga
@rukiarashid3669
@rukiarashid3669 2 жыл бұрын
Kwani mwenye suti ya orange kaitwa?
@maheeraltooby6862
@maheeraltooby6862 2 жыл бұрын
Baba levo wewe chawa mkuu kwakweli hahaahahaa
WATCH LIVE: 2024 Democratic National Convention Night 4 | Direct feed
11:54:59
diamond Platnumz - Alivyoshtukiza kwenye Harusi ya Professorjay
17:36
Diamond Platnumz
Рет қаралды 2 МЛН
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 53 МЛН
🔴LIVE: DIAMOND AFUNGUKA MAZITO KWENYE NDOA YA DON FUMBWE
38:10
NETAFRICA WEDDING
Рет қаралды 70 М.
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН