Naomba sanaaaa Nasib ubaki na hizo nywele unakua sawa sana
@elizabethmagambo97854 жыл бұрын
Kafanana na nilan
@geofreylucas94694 жыл бұрын
Akusikii huyo
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Kapendeza Diamond
@goldgrace77734 жыл бұрын
Kabsa
@hbh34364 жыл бұрын
Allah anampa mja mali vile anataka yeye mwenyewe Mungu. Mashallah, nasisi Allah atujalie tupate pesä. Aameen
@nafisaabdalla25994 жыл бұрын
amin ss wengine twazipata kwa shida izo lkni wenzetu wanazipata vizuri tu ndio maana kuzitumia hawazionei uchungu
@khamishabas24024 жыл бұрын
@@nafisaabdalla2599 una muomb mungu akup pesa kaziufny unazan utaziokt
@salmaseif87554 жыл бұрын
Amiiin
@amneynuhu74624 жыл бұрын
Ameen inshaallah
@agukagospel4 жыл бұрын
ebony what >? kzfaq.info/get/bejne/q5x-e7WIlpnGfmg.html
@nuraabdi13794 жыл бұрын
Nasibu ukiwa na nywele hizo unapendeza zaidi mashallah
@pillykupaza10984 жыл бұрын
Kweli hata mimi napenda akiwa na nywele hizo
@mariamkissiwa25494 жыл бұрын
Exactly
@brobabuu39734 жыл бұрын
Mnaona mbali sana,... nyie n wakali...
@daimually48654 жыл бұрын
Huwa anajichanganya tuu lkn mbona yupo pw naanajielewa kbs
@iammusic34044 жыл бұрын
HB🔥😘
@rachelmbeyu43854 жыл бұрын
Diamond style ya nywele imekutoa vizuri sana umependeza
@gloriaatupele90904 жыл бұрын
Kampuni zinazofirisika kaombeni msaada kwa mondi anachezea pesa kama karata huku nyie mwafunga ofc
@nawal31044 жыл бұрын
Gloria ATUPELE has I’ll oop p
@princessnthenya61514 жыл бұрын
Tena sana
@dorislema18144 жыл бұрын
kwel kuliko yale marac
@mwanahamisirashidi34393 жыл бұрын
Mwenyewe pesa sio mwenzenu jamani
@minzageorge14174 жыл бұрын
Mung nisamehe mm nimasikin baado naweka baando kila siku kuangalia ujinga namafanikio ya wenzang nakuzid kujitia umaskn zaid bola niwe natowa sadak ela yang Wenda nami mung ataniinuwa inshallah
@nyambogosunday90303 жыл бұрын
Ameen..
@tabikanini29204 жыл бұрын
Waaa bibi harusi anapenda pesa waaa ona anavyotabasamu hadi anashika pesa
@chidybizz86844 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@officialmrtop10184 жыл бұрын
Nani asopenda pesa?
@ALIALI6184 жыл бұрын
Wewe hupendi pesa jamani
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
Sasa unataka ashike nini?
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Nilijua nimeona peke yangu
@Mammymuhamed14 күн бұрын
Ukiwa na pesa ni mtihani usipokuwa nazo pia ni mtihani. Allah atupe kila.lenye kheri na sisi.
@ramadhanmbalamulah67874 жыл бұрын
Jamani punguzeni sifaa mm natafta hata elfu 5 nyi mnachezea yaan duh: Inshahalah
@jafariramadhani32643 жыл бұрын
Freemason ndg yangu
@hashimhashimmuimbehadimoyo11643 жыл бұрын
Angalieni msijikweze msije kwezwa
@nunniznurcky97243 жыл бұрын
Kama umerudi kusebu zile pesa zilitajwa kwenye enteviw ya zamaradi gonga like😂🤣🤣👊
@irenemjema38953 жыл бұрын
Hahhahahahhaaha
@thomaschristian7694 жыл бұрын
Dah eeh Mungu nione na mimi baba walau nipate tu hata kodi tu na pesa ya kuendesha maisha 😭😭😭 Nisingependa niwe na utajiri mwingi kama wa Nasibu mimi nipate tu zile za kuendeshea maisha
@prossonassoro525 Жыл бұрын
Uhakika
@monicapeter90658 ай бұрын
Achana nao tuu hapo ni kufuru tuu maana Kuna maskin hawana hata ya kununua unganwa uji wenyew wanatamba nazo ujinga tuuu
@zaitunikweka9794 жыл бұрын
Daimond nyoa ivyo ivyo u akuwa smat vizur good🤝
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Kweli anapendeza sana
@zaitunikweka9794 жыл бұрын
@@m.mmarckus6298 sana
@mwambafamily4 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/hL9-i61438mqYJc.html
@kulwapeleka11634 жыл бұрын
SANAAA
@heraldloshi18644 жыл бұрын
Zaituni Kweka ,Ni kweli👍🏾👍🏾
@issangyabertha57414 жыл бұрын
Mwanamke anatamaa yapesa sanaaaaa
@maestrojayysule56604 жыл бұрын
Jana mm hapa tunagombana na Bos wangu kwa elfu tano .angalau nipate kula .wenzetu pesa wanazifanya kama karata
@johncavishe3534 жыл бұрын
Hahahaha noma sanaaa
@brobabuu39734 жыл бұрын
tupambane kutafuta pesa bana..
@happynessmarki27804 жыл бұрын
maestro jayysule daaaa achaaaaa tu maisha hayaa
@brobabuu39734 жыл бұрын
@@happynessmarki2780 balaa tupu dada
@eurozbsimoniz68664 жыл бұрын
😂😂😂
@valeriachipeta7744 жыл бұрын
Kumependeza sana na mmependeza sana pia. Wenye wivu wajinyongeeeee
@monicapeter90658 ай бұрын
Mfyuuuuuu we mwenyew chawa tuuu
@ummoislam48324 жыл бұрын
Bi harusi nae anapenda pesa kama mcheza kamare
@aminamarie23874 жыл бұрын
🙆😂😂😂😂
@brobabuu39734 жыл бұрын
@@aminamarie2387 Hahhah ata mimi pesa nazipenda kwa kweli
@aishatanzania11944 жыл бұрын
@@brobabuu3973 😋😋😋🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
@brobabuu39734 жыл бұрын
@@aishatanzania1194 ww hupendi naona 😂
@janemusumba8204 жыл бұрын
Kabisa na kiherehere
@mzalendomzalendo25674 жыл бұрын
Daah bibi harusi yuko kwenye pesa tuu anachunga pesa
@aisaonlinetv88094 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@rehellongo91253 жыл бұрын
Naombeni elfu moja tuuuu
@wahiduitsverycommentmane54214 жыл бұрын
Esmaa una kiherehere Kama vilee wachagua mitumba soko kuu tulia bibii utachokwa pesa sio kituu utajiri sio kituu ulizaliwa ukavikuta na utaviacha muombee munguu akufanyie wepes wa ndoa na usiende kutixhia wake wenzaa na izo malii wahexhimu na uwe mwanamkee wa mfanoo
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Hee kumbe kuna wake wenzie waliotangulia wala hatakaa huyo kaenda kuwa kivuruge
@ijueimanikatoliki9804 жыл бұрын
Nashauri wasiwasahau pia YATIMA na WAJANE pamoja na WAGONJWA wasiojiweza MUNGU ATAWABARIKI ZAIDI
@barakabahati43154 жыл бұрын
Bt mond anasaidia sana
@vanessastafford51204 жыл бұрын
Sio siku yao
@agneskadzo61053 жыл бұрын
Diamond Brother mzuri sana,ajua kuchangisha pesa za harus zirudi kimpango.. good Job Diamond
@barrysulty17564 жыл бұрын
Mashallah mungu awape zaidi na maelewano pia ndio muhimu awape na watoto wenye hekima na kufuata njia zilizonyoka, nangaalia nikiwa udachini!
@naomimabula26604 жыл бұрын
Rizika na chako ulichonacho, uctamani vya watu, cz hujui asili yake.
@tanzaniatouristsattraction16224 жыл бұрын
Kweli kabisa ukijua zinapotoka unaweza tapika
@thomasponera60184 жыл бұрын
Umeongea vizur, sema huyu aliyekuja kusema kutapika. Ni wivu unamsumbua
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Hata maandiko yanasema hivyo
@dukeofkisii4 жыл бұрын
True
@njemasaid5814 жыл бұрын
kweli kabisa
@imanimussa40764 жыл бұрын
Bi harus acha kuonesha hisia zko ktk pesa
@siaammo11044 жыл бұрын
Hahahahaha
@salmaseif87554 жыл бұрын
Kweli kbs
@salumabdallah66804 жыл бұрын
Wee hujui kua pesa ni sabuni ya roho😂😂
@zuwenaalamini41583 жыл бұрын
Jaman mm narudia baada ndoa kuvunjika ngonga like Kama na wewe mbea Kama mimi
@dorcasarakaza3406 Жыл бұрын
Mm hapa😂😂😂
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
Akili kichwani,Mungu rohoni, pesa mfukoni alafu makaratasi.
@monicapeter90658 ай бұрын
Kikubwa napata ya kula na kunywa zngne hzo ztaishia kutuzwa bank tuu Afu yang hata iwe ndog inanitosha na inanifarij maana naitafuta kwa njia sahihi ya KUMPENDEZA mungu
@nassorsada2134 жыл бұрын
Mwenzio akipat muombee kwa mung Chuk haz saidii chochot
@lilylily4354 жыл бұрын
Umeona alie pewa kapewa
@yuveshangaikoyuveshangaiko76874 жыл бұрын
K P
@yuveshangaikoyuveshangaiko76874 жыл бұрын
N
@iammusic34044 жыл бұрын
Kula pesa mama kaka unae ila respect mmeo napunguza macho kwenye pesa😂😂😂🔥😘
@nasramakau61394 жыл бұрын
Kwakweli jamani mana bi harusu macho kodo
@farajajuddy43913 жыл бұрын
Kwakweli macho kwenye pesa
@charleskimanzi38184 жыл бұрын
Hairstyle ya mondi imeweza.,anakaa fiti sana na hiyo hair cut......
@popoweumambo80574 жыл бұрын
Kindly put some English Subtitles pliz we love u bt language is a barrier !!I still watched to the end bt cant understand wat u saying to yo sis and inlaw
@NiraSaire4 жыл бұрын
Its a money battle, Simba started by putting on some foreign money, The pound, the USD, the Indian Rupia, and he was complaining that the opponent is only putting Randi which is not as valuable.. at last they agreed that when Simba puts they should provide Randi of the same amount! At last they gave up! But the last guy came and say he is ready for Tanzanian shillings battle
@gracegenadio82914 жыл бұрын
Very sorry dear
@tasianaantoni64774 жыл бұрын
Unatisha simba
@mtimkavu60624 жыл бұрын
Bora ulivyokosa kuelewa maana ungeingiwa na Tamaa bure
@shancyskitchen30444 жыл бұрын
Diamond Ni Mjanja Sana😁Anamtafutia Dada Yake Mtaji Wa Kwa Shemeji
@saumsalim99664 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@VibextazSports4 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/mqxknbpnprXTeYE.html
@kondeboyplatnumz17704 жыл бұрын
vf
@jizomontana18994 жыл бұрын
😆😆😆 mamae
@jafariramadhani32643 жыл бұрын
Kwelii kabisa
@nancychissamo3794 жыл бұрын
Jmn diamond ana sifa hd anatia hasira kha!!!🤦🤦🤦🙆🙄. Hela hz mweh
@zabronadamsony8704 жыл бұрын
umeona we anaona anajifananishaa na wezake
@shabanjuma31453 жыл бұрын
Here yaan mpako nimechoka cc kupata laki ni kaz jaman hasa wanaume tutafutane pesa
@japhetalex9714 жыл бұрын
Mwenyez mungu n mwema hakika ipo sku tulio chini tutainuliwa kama hawa alivyo kwisha wainua inshallah
@rommyabduly60364 жыл бұрын
Inshaaalaah
@aishatanzania11944 жыл бұрын
Daaa😭😭😭 inshallah habib mungu wetu sote🙏🙏🙏🤦🏿♂️🤦🏿♂️
@japhetalex9714 жыл бұрын
Hakika hana hiyana
@enockmaige89363 ай бұрын
Mungu nitumiku na mm walau niwe na uhakika tu a kula hata chakula Cha kawaida
@witomsafiri4 жыл бұрын
Kama na wewe umesikia current badala ya currency gonga like.
@rizlambajuni4 жыл бұрын
😂wengine wamelike bila kujua unaamaanisha nini🙄
@rizlambajuni4 жыл бұрын
Ila me nimekuelewa😂😂😂
@khadijamzee27394 жыл бұрын
Nilifikiri nimesikia peke yangu
@rizlambajuni4 жыл бұрын
Khadija Mzee 😂😂😂
@eppiemodest4 жыл бұрын
Una like bila kujua kama yuko kwenye grammar. English anaijua Mond juuuuu
@sailatobias43434 жыл бұрын
Kama mungu angekua anagombaniwa hivi ingekuwa laha sana 💞🙏🤲🤲
@zainathcuwimigishazchelsea21134 жыл бұрын
MashaAllah M MUNGU awazidishie, nasi ALLAH aturuzuku pia
@T5Gold4 жыл бұрын
this is the original diamond we used to see in ''mbagala'' and ''kamwambie''
@hassanimussa57764 жыл бұрын
Wanaume wenzangu,tutafute ela
@victortarimo19434 жыл бұрын
Tuzitafute kakaangu
@auntiemylee31574 жыл бұрын
Ongeza volume hawajackia
@gloriouslameck69094 жыл бұрын
😅😅😅😅
@anitamwehonge82874 жыл бұрын
😂😂😂👍
@rosedesdery70264 жыл бұрын
@@auntiemylee3157 mi nimesikia natafuta wa kubatle nae
@bigbossmanbossman69464 жыл бұрын
Nikiskia million nimeshtuka nilidhani ni mita ya hapa kwetu kumbe mita huko ni 46k za hapa home 😂😂😂😂
@allymngwaya13694 жыл бұрын
Sasa hizo 46K za hapo kwako wewe unazo?.
@chulitolove66484 жыл бұрын
Bando lenyewe ninalo tumia kuangalia aya mamilioni yanayomwagwa apa shida... Nikalale tu.... Congratulations esma😍
@hawaomary40842 жыл бұрын
Hahahahaaaaaa! Nimekupenda buleee
@stellambeca59134 жыл бұрын
Wow it's so colorful,,, D..... ana look fyn with those outfit,, classy 😍😍
@mamafloraofficial43154 жыл бұрын
Kodi ya nyumba inanizingua, wengine wanamwaga pesa kama makaratasi
Like zenu kwa aliemuona msimulizi wa story book jamal april
@Lamecksultan4 жыл бұрын
Mm bro namtafuta 😂😂
@VibextazSports4 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/mqxknbpnprXTeYE.html
@baimarrajahbuayan62374 жыл бұрын
Kufuru Kwa wenye nazo, wengine walala njaaa, mungu jamaniii 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
@allyhussein51923 жыл бұрын
Naomba kuuliza hivi hili sebene linalopigwa hapa mwanzo ni la msanii gani
@iammusic34044 жыл бұрын
Isipoingia on trending hii ki2 utube wachawi👌 Trust me
@frankmnale19004 жыл бұрын
Bob Utafirisika, achana na Mond ni kiwango kingine
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
kwani mond ana pesa nyingi sana.
@boazchibudenga78274 жыл бұрын
Cham kubwa
@saumsalim99664 жыл бұрын
@@msetikebwasi6895 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@saumsalim99664 жыл бұрын
Frank umeongea ataka kushndana na Mondi na hyo akilala akiamka hela injaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@calvinloveambroce8424 жыл бұрын
yes diamond ni tajiri mkubwa sana kwasasa
@leonardpeter98273 жыл бұрын
Walikuja kurudia kuangalia baada ya kusikia maji yamezidi unga
@user-xh7vw4kk7o3 жыл бұрын
Nice sherehe japo jini mkata kamba alingiya kati from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦❤️❤️❤️❤️
@bjzee19813 жыл бұрын
Huyu jamaa hakua fala kumbe Alisha wasoma namba kitambo. Mwanamke alitaka mipesa apite hivi. Nani mwingine ana angalia baada ya Esma kuachwa. Kamati roho chafu tujuane 😂
@ramadhanijuma42044 жыл бұрын
Hayakuwa maisha ya dunia ila ni starehe idanganyayo.
@hadijasalum63734 жыл бұрын
Exactly
@nurathissa14224 жыл бұрын
Naam na maisha ya dunia nimafupi sana
@ramadhanikasim74854 жыл бұрын
Unapo patanafac itumie
@hasheemabby25834 жыл бұрын
Ukitafuta pesa ukazipata hauta pata muda hata waku coment kwenye maisha ya wengine wala huwezi jua kama wanamkosea mungu tutafute pesa ndugu yangu
@vincentngesa79254 жыл бұрын
Nani kakudanganya Kuna maisha mengine hehehe ama ni waarabu
@josephinejoseph97024 жыл бұрын
Diamond nibalaa kiukweli nimependa pia umetokelezea sana gonga like kama unaona katokelezeaa
@khazinak90833 жыл бұрын
Amjengee babaake nyumba nzuri pesa mwisho zitayayuka km moto kuwa na mapenzi na watu wote unawasaidia maskini msaidie baba yko m.mungu atakupa kher zsidi
@juliethgervas31944 жыл бұрын
Bi harusi alikuwa na wengee😂😂😂hatulii
@mohamednoti71194 жыл бұрын
Wanaume wenzangu tutafute pesa aisee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@peterokalo96324 жыл бұрын
I always like diamond for one thing his original smiley 😃 always showing truly happiness face
@hahmadhabibu20764 жыл бұрын
This man is rich rich...that's why..see how they are battling with money
@franksichula26624 жыл бұрын
P
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Kwanza hii siyo sahihi tambueni kwamba kuna watu wana wtt hawajui kesho watakula nini??mambo ya kutunza pesa kwa style hiyo ipigwe marufuku watafute njia nyingine ya kutunzana angalieni nchi jirani za kiafrika hakuna mambo hayo, kama unayo hela au huna maisha yanaenda kuliko hivi kuonyesha mashindano badala ya kuomba uje uishi vema kwenye ndoa
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Ni nani asiyejua kuwa Diamond ana hela na anasaidia watu wengi na Mungu ampe zaidi na zaidi
@nelsonkalengamulunda18912 жыл бұрын
@@hahmadhabibu2076 BYE
@moshiomarymnyeda89074 жыл бұрын
Mwamke kaolewa ana kiherehere na hela za kaka yake 😂 😂 wanawake wanapenda hela aisee ckuizi nomaa kama huna hela usioe 😂😂😂
@Abrahamem44 жыл бұрын
Aibu sana
@juliuskulokhoma80203 жыл бұрын
Haahaa ukweli
@hasheemabby25834 жыл бұрын
😄😄😄 coment zetu maskini utazijua tu hoo mungu atawa onyesha hoo kasaidie wasio jiweza hoo hana heshima acheni hayo mambo tutafute pesa acheni mawazo mafupi
@yunaisamir20994 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@dg24594 жыл бұрын
😂😂😂
@hahmadhabibu20764 жыл бұрын
Bwahaha
@chancehoffmann90834 жыл бұрын
Umenena
@Nelly_Kifano..20144 жыл бұрын
Esma anaziokota zikianguka 😂😂😂😂😂
@mwambafamily4 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/hL9-i61438mqYJc.html
@gloryshimi96444 жыл бұрын
Mama Tee 😁😁😁😁😁😁😁
@nurudinehamimu56584 жыл бұрын
Mond nakukubali lakini hichokitendo Alla akipendez jifunze kabra mwenyezimungu aja zaririsha. Take care
@siriyangu47244 жыл бұрын
Mashallah yani leo nacbu umependeza kiukweli na izo nywele wacha mambo ya kusonga
@emmanuelmchomvu26764 жыл бұрын
Jaman tafuteni hela, ooh saidia watto yatima Kwan amesaidia wangp ad leo???? Acha wafanye Kama wamepewa hela jmn,Shda zk wew n familia yk, Omba Mungu akupe hekima n pumzi yote tutayaacha apa duniani.......
@iyanivan54574 жыл бұрын
Jamni naomben namba za Diamond....
@dorisfabian37034 жыл бұрын
Kwa raha zaooo hadi raha jamaniii na kawivu kamenijia tutafute pesa jamaniiiii
@hildascorner23274 жыл бұрын
😃😃
@getrudecharles62124 жыл бұрын
Dada kamsahau mume kweli pesa ni hatar
@happymushi81974 жыл бұрын
Diamond umenyoa nywele umependeza sana
@nuraabdi13794 жыл бұрын
Diamond naomba unifundishie mwanangu shule ameanza fom1 uwezo sina fungu lako utalikuta Kwa Allah anania ya kusoma sana naomba msg hii ikufikie ulipo inshaallah
@D-Man.B-Free4 жыл бұрын
Mtafute in DM Instagram au upige simu kwenye the switch show...
@partnersah88024 жыл бұрын
Mfuate insta pia dada yangu. Mpaka Tiktok utume ujumbe huu kila siku. Naamini atauona dada yangu. Ata shule ya mil 1 kwa mwaka anaweza msaidia. Mwenyezi Mungu akuongoze na ufanikiwe na afanikiwe mwanao pia
@teychriss32484 жыл бұрын
Safi!
@aminamarie23874 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atakujaaliya umpate akusaidiye Kwa uwezo wa Allhah
@augustinomwamasinga22004 жыл бұрын
Naamin inawezekana mond anajitoa sana
@janeshigami87695 ай бұрын
Esma.... pole sana.
@kaburaakbar48384 жыл бұрын
Simbaaaa tumia pesa baba lao umetafuta kwa shidaaaaaa kabisa mzee baba
@adijaniyonkuru97314 жыл бұрын
Sana ❤❤❤❤🔥🔥🔥
@valeriachipeta7744 жыл бұрын
Jamani wenye midomo, walizitafuta pesa ili wazitumieee ndio maana ukiwa huna unaona ni kufuru. Jaman ipate pesa ili ujue matumiz yake. Ninyi inawauma nn hata wakizitupa chooni ni za kwao walizitafuta kwa jasho lao msiwapangie matumizi. Tafuten na nyie zakwenu tuje tuwasikie mkiwa nazo.
@Rosetemba974 жыл бұрын
Umenena
@siaammo11044 жыл бұрын
Vizuri sanaaaa
@exaverymakoyebatromeo32574 жыл бұрын
Sahihi
@chancehoffmann90834 жыл бұрын
Una ongeya ukweli sana
@elizabethkavishe88504 жыл бұрын
Ndo kwanza namuona bi harusi was hivi kihele hele mno
@shukurudeo75634 жыл бұрын
Anaboa sana bhn
@standfortherefugeeafrica4 жыл бұрын
Mr. Simba Diamond naomba kabisa uweze kiimarisha my talents please kwakuwa wewe ndie BABA LAO Tanzania and beyond.
@sadickrajabu2974 жыл бұрын
Naungana na nei kweli mungu yupo na nikweli watu wote no sawa ,dini ni zaukweli au nazo uongo nashindwa pata jibu mungu gawa liziki sawa kunawatu wanalala nje wanateseka kwa kukosa pesa ila kunawatu unawabariki mpaka watu wanashindwa kuamini km mungu yupo kweli
@saumuhassan37964 жыл бұрын
Izo pesa Daimond ungeli nipa japo kidogo usingeli jutia ningekumwagia madua usiku kucha Mungu akazibarikiwallahi
@jacksonebrahim79614 жыл бұрын
Hahaha
@happykimaya27624 жыл бұрын
Mbona Bi harusi ni km comedy hapo mbele
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Happy kapagawa na hizo pesa anatamani bi harusi huyo azichukue hapo
@aadam7224 жыл бұрын
mtapasuka msambwa Mondi in a diffrent level. Simba mwacheni.
@lucialeonard26754 жыл бұрын
Kwan hii shereh ya ngap maana hela zilizo mwangwa kwenye shereh zilizopita n nying
@ayshaayush85394 жыл бұрын
Bi harusi kiherehere huyo mmmh
@khdijaahmed84584 жыл бұрын
Umeonaeeh
@whatif..69614 жыл бұрын
Mi nimemuona Aristote tu hapo😂😂😂😂
@standfortherefugeeafrica4 жыл бұрын
Watali Tanzania Mr. Simba Mungu aweze kukurefushia misha ndugu yangu, kweli wewe huwa unani kuna kwa kweli Maisha yako kwako Mungu kwisha kupasulia njia kabisa. CEO and Film Producer Alex Bucunga Mr. Inzi Fly.
@danielromario51834 жыл бұрын
Utapata wapi hii jeuri Kama umeajiriwa🤣🤣
@dadon86234 жыл бұрын
Mamae huwez pataaa
@siaammo11044 жыл бұрын
Hahahahahahhaah huweziii
@KhadijaNAlly4 жыл бұрын
tutazionea kwa wenzetu
@hassanmsipi40944 жыл бұрын
Hahahahhhh!!! Wallah ninawaza sana hiki kitu nikiona gar nzuri mjini ninasema mfanyabiashara huyooo
@BeaconTvKE4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤭
@mwanamisikibumi424 жыл бұрын
Hapa ndo tujue queendarleen hajulikani katika hela ya chibu ukimueka ESMA na mama dangote
@salmaseif87554 жыл бұрын
Inauma sanaa lkn queen anajikaza tyuuuu
@florabaruti80324 жыл бұрын
Undungu wa kalibu ni wa tumbo moja tu
@julihanjosephyjs63614 жыл бұрын
Kwani darini ndo wa baba mmoja au sio ausiki mama ni mama
@mwanamisikibumi424 жыл бұрын
@@julihanjosephyjs6361 yeah dorini n kwa baba kisha esma kwa mama
@happyneslugutu316 Жыл бұрын
Mhhhhhhhhh jaman wapo vzr
@victorkivuyo61263 жыл бұрын
HELA ZA WASANII HAZINA JASHO NDIYO SABABU WAKAFANYA MCHEZO NA HELA NA BIBI HARUSI ANAONYESHA NI MPENDA HELA SASA BASI MUME KUWA MAKINI USIFILISIKE,. MR BOB SOSY A,K,A, KATIA WA ARUSHA MURIETI KARIBU KABISA NA MHESHIWA GAMBO
@mgayaatanas94934 жыл бұрын
Ume nyowa vizuri sana safi
@zainabwage46584 жыл бұрын
Biharus kaz akuna anabwebwe km atakaa na mume duh!😏
@infinitemixentertainment533 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@fatumakadenge76963 жыл бұрын
Haha
@sophiemwanina59793 жыл бұрын
Lishatokea😂
@suleimanhasan50553 жыл бұрын
Diamondy nishida
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Zainabu huyo kenda toa mkosi kwani wenzie siyo wanawake aliowakuta
@user-ui1qs9yl1n2 ай бұрын
NIMEMUONA RAY
@janeshigami87695 ай бұрын
Woooiii...kumbe hii ndoa ilikuwa ponoko.
@zuhurakilua71634 жыл бұрын
Bi harusi ana kihele hele jamani
@biubwaabdalla42934 жыл бұрын
Na mm nigaiyeni hizo pesa diamond niendeleze biashara yangu
@zuwenaalamin89852 жыл бұрын
Jmn wote tuliorudia hii 2022 tujuane gonga like
@lugosemary334 жыл бұрын
Ni harusi ama kubeti mbona sielewi 😆😆
@safariadrien53484 жыл бұрын
Comments nyingi za chuki wengi maskini unataka maisha yashida watu wote wayaishi 🤣🤣tutafute pesa tuache maneno jamani na kupangia watu waishi je
@ferarimarando94354 жыл бұрын
Point
@adijaniyonkuru97314 жыл бұрын
Kweli acha wafurai ❤❤❤
@emidaphoneth88044 жыл бұрын
Umenenaaaaaaa sana,,,,,,
@latiffertiffer85514 жыл бұрын
Agiza kinywaji popote ulipo nakuja kulipa unaakili sana 😘😘😘
@hamisialimzara83624 жыл бұрын
Tell them
@valeriachipeta7744 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 yuda kwa ela balaa anachekelea hadi mwisho. Umejua kunifurahisha
@lilianpaulbaganda29714 жыл бұрын
Nassibu mwenzio cna hata unga we unachezea hela kama karatas jmn
@user-ke9bg1dm9c2 ай бұрын
😂
@barakabaraka9134 жыл бұрын
Nisawa kwa yoyote mwenye hela lazma afanye kifahali sasa wapumbavu wanaponda sijui nin
@adijaniyonkuru97314 жыл бұрын
Wanaoponda wajinga na wana wivu tu. Ongera Daimond plantnum kwa kumjali Dada yke
@duniamapitosotewamungu34674 жыл бұрын
Ukitaja watu wenye hela waje mbele mond hatoki huo alofanya yy ni ushamba
@maulidabdulkadirguled12574 жыл бұрын
Sio kila neema anayuekupa mungu unifaharishe nayo kwa viumbe wako ukiwa na neema usiitumiye ndio uislamu unatufundisha dini yetu haija acha kitu huwezi juwa kama ufatiliii dini yako
@momadeatibo67294 жыл бұрын
@@duniamapitosotewamungu3467 acha wivu
@barakabaraka9134 жыл бұрын
@@duniamapitosotewamungu3467aahaaaa kumbe anamawe hahaha babako anashingapi ata mo kwenye list ya dunia ya matajili miatno bora ayumo lakni Bongo tunamuona Ndio King wetu acha ufara rafiki yangu hela aztoshi hahahaha
@sarahmawby92244 жыл бұрын
Leo family imependeza Sana yaani kuvaa dangote family Leo mmevaa vizuri hadi queen Darleen mtaalam wa kuchapia mavazi Leo katoboa. .mama D umependeeee saana na wanao wote... Sijamuona Mzee Abdul jamani
@faithmsangi93334 жыл бұрын
Mi naomba milion tatu tuu Diamond, Wasafi
@jaydawonanji43064 жыл бұрын
Pumbavu
@AlexAlex-vp8yf4 жыл бұрын
IKO SIKU ZITAKWISHA NAMTAJUTA HAKIKA; Amen
@francisruambothetechnician4 жыл бұрын
Tatizo wabongo wengi humu kwenye comment mna wivu, kila mtu anafuraahi kwa alichonacho ww kama huna uwezo kama wao usihumie roho acha maneno mabaya, acha hisia mbaya, waache wafanye walichojaariwa, wengine wanasema wanakufuru mara kuna masikini sasa yy ashindwe kuishi maisha yake sababu ya maisha ya watu wengine. Acheni ushamba wabongo.
@soniafashion32584 жыл бұрын
Iyo ni ndoa au kubert pesa
@sundayharris85494 жыл бұрын
huo ni ushamba wa pesa... sytle za kizamani zama hizi watu hawatembei na cash... kuna vitu vyenye thamani zaidi tena vya maana... hapo hakuna ishu
@princepiuskamugisha56264 жыл бұрын
Mbwa wewe, huna pesa kaa kimya. Wivu ni kidonda mbwa koko wewe
@rhodarichard74774 жыл бұрын
Naomba nisomeshee mwanangu mwanangu akipata kazi tukakulipa inshallah 🙏🙏