@@christainc.5217 nilitaka kukujibu ila tu nilivyoona mwandiko wako nikasema eeh Mungu nisamee mimi!
@jamalisebarua95945 ай бұрын
Duniani tz ndo nchi ambayo wandishi wahabari bado hawajitambui
@kingdomnyonyoma28145 ай бұрын
Kabisa
@albertmshiu65785 ай бұрын
Inasikitisha sana hata kama ni utani not to that level Doto akili chache yani waandishi wanaompa trend ndio anawatukana kuwaita wezi nao bado wapo wapo tu ....waandishi hapa nimeamini hawajielewi
@rosemarymunyi50355 ай бұрын
Wow 👌 👏
@damianwambura83145 ай бұрын
Hili nalo umaarufu unalifanya linakua limbukeni. Kwani huwezi ongea vizur hadi uwashushue wenzio yaani kaa fara hv
@nareensaleh49575 ай бұрын
Hajiamini dida kilometa zishasoma
@davidsamwel115 ай бұрын
😅
@mohammedalikhan57665 ай бұрын
Route ya Dar to Joburg for 15years😂😂
@queenmilan20245 ай бұрын
Aisee dida kazeeka alafu eti anajifanyaga wa 30s😅😅😅😅😅😅
@shery-bf8xh5 ай бұрын
Age goooo😂😂😂😂
@mamafaiza17205 ай бұрын
Mbona katoto
@sheryphamwenevalley61245 ай бұрын
😁😁uso anauficha na mkono jua lishakuchwa
@Shuu.A5 ай бұрын
Dida anajificha macho hana miwani leo anaficha macho kama mchina😂😂😂
@lelaiddy68565 ай бұрын
Ndio maana hata anajificha sura
@salmamsangi99765 ай бұрын
Dida kwani apo Kuna jua sana duu miwani inakusitrigi sana duuuh sura nzito ka uji wa mapande et mbona kamera nyingi nyooooo
@amisamaurid18825 ай бұрын
Na hapa Tunduma ipo 😂😂Dotto magari wambie
@mwakiosalim29145 ай бұрын
Dotto kimchezomchezo amekua star nakukubali sana broo
@user-dx4eb2ss6x5 ай бұрын
dida mwenyewe bibi uyo hana maajabu akwende zake uko😅😅😅
@DianaMacha-jf8gw5 ай бұрын
Jamn Kwan yeye kakataaa kama yeye siyo mzee
@annethgod66425 ай бұрын
Hata ww utazeeka
@katambihamisi41305 ай бұрын
Kweli na hii ndio maana ya gari used ilipotoka imetumika na ikifika mikononi kwa watu wa magari used na wao wanaitimba mpka ikufikie wiki moja tu una paki.
@user-jm9mz7yq6r5 ай бұрын
Mmmmh dida pole dada
@user-ov7ge3ci6f5 ай бұрын
Mtangaji makuuu kwel
@mwakiboy9685 ай бұрын
Dotooo😅😅😂
@user-ft3fr1nu3w5 ай бұрын
Hizo nywele dotto unaosha kweli
@Hasnspop5 ай бұрын
😂😂
@oliviaseth46525 ай бұрын
Jamani mtu ameumbwa na Mungu, Dida ni mzuri.
@faidhacute5 ай бұрын
😮😮
@jamesmanala33945 ай бұрын
Panki kama mcheza ex wa uturuki😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@stellajoseph62125 ай бұрын
😂😂😂😂kaka anamaneno huyu😂😂
@Zuu6735 ай бұрын
Age gooo😂
@NicoOwaga5 ай бұрын
Haya!! Yetu macho
@mdmohammed94115 ай бұрын
Dida bila miwani hatobowi 😂😂😂
@JohnChibanhila-ld6vv5 ай бұрын
😂😂😂
@alexkalonga53235 ай бұрын
Dullah amebaki na mkorogo tu
@ashahassan21205 ай бұрын
Na ww doto wna washushua wenzio
@aminaramadhan38155 ай бұрын
Jamani anamimba wakati haji kasema ajazini yy muislam mpaka aowe
@vero575 ай бұрын
Dida mbona unaficha nini???
@kassimukipingu79175 ай бұрын
Waandishi wa habari mnaonekana kama wajinga Wengine mpaka wanaogopa kuuliza maswali duu hao wanaohojiwa kama wanalazimishwa kumbe ndio wanapenda.
@user-kg7of9fr5x5 ай бұрын
Huwezi kusema mbingu na ardhi vimesimama sababu ya kuvishana Pete wewe mwehu vikisimama Basi mwisho wa dunia
@faridanurdin96355 ай бұрын
Pumzi zinamhadaa huyu anaropokwa tu hajitambui,njaa kali
@jamilajamal15845 ай бұрын
Hajiamini maskini na sura yake😂😂😂
@vero575 ай бұрын
Izo nywele afadhali ukate tuuu unaonekana kama vipi sijui 😂😂
@KassimAlly-xp4dz5 ай бұрын
Ndo utambulisho wake
@angelalyimo28625 ай бұрын
Chokoraa
@shuudewizzygal84355 ай бұрын
Huyu dotto😂😂😂😂😂
@user-rf4vw1in5g5 ай бұрын
Huyu dida ni dd ake jei mo, nauliza jamani 3:10
@husnaally8675 ай бұрын
Mbona dida anajificha uso😅
@lihavileah30545 ай бұрын
Hivi uso huwa na nini? Kama sio miwani ni kofia
@fathiyahmuzney73675 ай бұрын
😂😂😂😂😂ila jmn waja
@ashuramhandoashuramhando67985 ай бұрын
Dotto kama Dotto hakuna mwingine wale Ngedere wa Kigoma hamuwezi Dotto hata waroge 😂😂
@user-mi9bu2yf1z5 ай бұрын
Kwani anaumwa macho jamani😊
@joselinejonathan88185 ай бұрын
Anaogopa kuonesha sura yake ya uzee
@angelalyimo28625 ай бұрын
Da Dida miwani vp
@user-fy9pw2zr8l5 ай бұрын
doto acha kuachamba watu😅😅😅
@KassimAlly-xp4dz5 ай бұрын
Yupo kazini
@joewasike68755 ай бұрын
Dotto😂😂😂 noma
@magrethsanga9425 ай бұрын
😂😂😂
@chinolanez8385 ай бұрын
Mcheza X wa uturuk 😂😂😂😂
@Naju6455 ай бұрын
Dida anajificha nn
@nareensaleh49575 ай бұрын
Hajavaa miwani maana camera zikimnyaka hatoboi
@nareensaleh49575 ай бұрын
Uzee
@avitrugakingirajr16695 ай бұрын
😂😂😂😂 doto umenishida tabia 😂😂
@user-cr7vi4qp9c5 ай бұрын
Lah mtu mzima
@RacherBakari-qh2gx5 ай бұрын
Ujue zamani tulikua atuuingizi pesa saizi ndio watu wanaingiza pesa
@nyamandecharles37955 ай бұрын
Dida anasura nzito mbaya loooh😂😂
@rukkysayid66135 ай бұрын
Ulimuumba ww umba wako msitie kufuru kwa maumbaji ya M.Mungu chunga mdomo wako😏😏😏
@ElizabethWamcha5 ай бұрын
😂
@munyaoemmanuel96165 ай бұрын
Hila Dotto Magari ni Kiboko, ha hapa ipo
@ummukulthummohd54035 ай бұрын
Dida anaona aibu sura yake mwenyewe
@user-oy8sb7jg3s5 ай бұрын
Visimame kwan ndoa huo ni ujinga wenu mlio jipangia wenyewe eti mbingu isimame kwa lipi
@noraazan91245 ай бұрын
Wanaume wa siku hizi shikamooo
@augustinemainde27305 ай бұрын
Mi naenda Bayport kukopa nimpate Dida
@dianazambi24475 ай бұрын
Dida kazeeka ataki ata picha😅😅😅
@RahmaFadhili5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@KarimOmar-fp5kq5 ай бұрын
Dotto magari nakkubali snaa nikija dar nitakuja tambuu motors nikuone
@ForodhaniZanzibar5 ай бұрын
Leo nimeamini kama ili doto lilikua teja
@bernardjohn87885 ай бұрын
Du huyo dada kama angekuwa mwanakwaya anaimba sauti ya ngapi?
@YasiniMahomba-mx6ux5 ай бұрын
Msimalize maneno muweke na akiba uyo mwanamke kafuata pesa tu
@user-ov7ge3ci6f5 ай бұрын
Mtngazaji wa uwongo huyu
@user-vb7tu5zs9d5 ай бұрын
Minywele kama kichaa
@eenockmaroo365 ай бұрын
jamaa ana maneno MACHAFU sana kwanini mnampa airtime???
@MejaYaro5 ай бұрын
😅😅😅😅
@reganclarence46575 ай бұрын
Uyu doto ni zaidi ya mkojani
@lilybarongo81195 ай бұрын
Simpendi huyu mbwa anavyowadhalilisha waandishi wa habari,na Hawa wanaomfata huyu mjinga akili zao sio
@raymondclaud60265 ай бұрын
Ni ujinga halafu anajifananisha na wakina mwijaku wakati hawapi heshima waandishi
@JacklineNamundengozi5 ай бұрын
You sound stupid and jealous.😂@@raymondclaud6026
@JacklineNamundengozi5 ай бұрын
You sound stupid 😂 jealous 😏
@ameirameir49305 ай бұрын
Wacheni hzo wandishi gn hawajui kuhoji wala kuuliza wananaswali hvyo hvyo hvyo kabisa sidhani km wanaisomea hii fani
@stellasheba8425 ай бұрын
Hafanyi vyema. Bila Hao waandishi huwez kuonekana popote.heshimu taaluma za watu
@sadajackson32095 ай бұрын
Dida siyo mzee sema sula yake nizito
@ashaahmad7205 ай бұрын
shida waandishi wa habari pia wanakuwaga na maswali ya kiwaki yan hayana maana kabisa😂
@zafarmohamedy30135 ай бұрын
Hahahhah
@lainamohamed-px6el5 ай бұрын
Sio ugonjwa wa macho umemfikia
@user-sq2zk9lu4z5 ай бұрын
Anamaneno machafu simpendi dotto 😏
@salumuseif33245 ай бұрын
ex wangu mbwa yule alivyokonda 😂😂😂😂
@user-li6hy1rr5c5 ай бұрын
Diba anficha uso kwann jmn😂
@rukiamziwanda74585 ай бұрын
Dotto acha sifa
@elishajailosy49165 ай бұрын
Umaharufu ukishanuka🕵️
@halimaamani40955 ай бұрын
Kijuso kibovu
@JacklineNamundengozi5 ай бұрын
Dotto 😂❤
@nassjenas27145 ай бұрын
dotto 🤣🤣
@abednego38765 ай бұрын
Doto mpumbv
@mengifrank80705 ай бұрын
Doto bwana eti mafulana yenu yanavufungo 😂😂
@ShadyaSeifu5 ай бұрын
Hiyo minywele ukakate upo kama ndondocha
@songombingo1085 ай бұрын
Huwa najiuliza watu wa aina hii wanaoitwa Chawa huwa ni wanaume kweli? Yaani kukaa na kumsifu Mwanaume mwenzio Tena kwa kujitapa mbele yake ukijikombakomba kama unayempa kinyeo. Kwani watu wa aina hii huwa hawana kazi nyingine Kule Dsm zaidi ya KUJIPENDEKEZA kwa watu na KUJIFANYA kuwaongelea kwa mazuri tu utadhani ni Malaika. Upumbavu huu upo huko Tz tu. Mtu mzima kukaza mshipa wa shingo KUSIFU Mwanaume mwenzio.
@msafirifabian21435 ай бұрын
We ukilipwa pesa za kutosha kwa ajili ya kumsifu tu mtu hufanyi hiyo kazi??
@user-fi9gm2et5r5 ай бұрын
😂😂😂
@stanleymanya4385 ай бұрын
Hao wapo kwaajili ya wanaopenda kusifiwa, hata kwenye MAFANIKIO yako wapo😂😂😂😂
@rerisamba5 ай бұрын
Nenda ukafanye kazi za mijengo uumize na za kubeba magunia sokoni uumize mwiili wako in the name ya kuitwa mwanaume basi
@jescasanga20055 ай бұрын
Doto😂
@henger_msafy_0015 ай бұрын
Huyo manara kiboko yake konde boy 2😂😂😂😂😂😂😂😂😂 alililiwa rushayna huku anaonaaaa😂😂😂😂