OHOO! ZAYLISSA AFUNGUKA MAZITO YA DULA MAKABILA, CHANZO CHA NDOA YAO KUVUNJIKA - "KWELI ALINIPIGA"

  Рет қаралды 306,387

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

OHOO! ZAYLISSA AFUNGUKA MAZITO YA DULA MAKABILA, CHANZO CHA NDOA YAO KUVUNJIKA - "KWELI ALINIPIGA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 389
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv Жыл бұрын
Hakuna kitu Kibaya kama Kukosea kuoa au Kuolewa Allah akufanyie wepesi
@safiasaleh669
@safiasaleh669 6 ай бұрын
Ndio mana wifi kamuongele zai vizuri kumbe dula kicheche Mungu akusimamie Zai ..
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 Жыл бұрын
Vimilia vitu vyote ila kupigwa, ulevi ulipitiliza, na Uzinzi uliopitiliza, vurungu za kama mwehu. KAMWE USIVUMILIE. Fanya part dada hongera.
@callicevallice7383
@callicevallice7383 Жыл бұрын
Ndo maana hamuolewi, mnaishia kuwa single mothers
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 Жыл бұрын
@@callicevallice7383 Kwani kuolewa ni tunzo, au ajira. Upigwe kila usiku ukae tu Eti kisa umeolewa. Kwa tarifa yako single fathers nao wapo ni wengi tu, cha muhimu furaha, na amani.
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Жыл бұрын
Ndoa hata miez 3 jamn mhhhh eeee m/mungu naomba unijalie subra uko niendako Maana mtoto WA mama mkwe ndio anataka kwenda uko😅....Ila mashamsham ndio mambo haya muyapendayo
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious Жыл бұрын
Dah! DUNIA Imeisha Sasa! Ndoa Inafanyika Instagram Na Inakuja Kuvunjikia KZfaq😢 Mbona Dunia Imeenda Kasi Sana?
@allanothuman2941
@allanothuman2941 Жыл бұрын
KWASS AKUN UPEND WA DHATI N MAPENZ TUH ND MAANA AWAFIK MBALI KWASBB YA MPENZ N SIO UPEND WA KWEL
@sadilahindian3401
@sadilahindian3401 Жыл бұрын
Umeongea points
@neemamponezya5075
@neemamponezya5075 Жыл бұрын
😂😭
@olicej7837
@olicej7837 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mshambaused3840
@mshambaused3840 6 ай бұрын
Hatarii
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 Жыл бұрын
Sema na hii redio mnapenda sana kukuza mambo
@cdeleo9336
@cdeleo9336 Жыл бұрын
Walikurupuka kuoana wakati hawajuani vizuri. Wewe dada acha mambo ya kuolewa focus na life yako
@rosefrancis2043
@rosefrancis2043 Жыл бұрын
Hilo nalo neno una wahi kuingia kwenye ndoa wakati mtu humjui vizur
@lizzybrownlizzy6094
@lizzybrownlizzy6094 Жыл бұрын
Mwanamke uyo mwache aolewe tu
@svt3
@svt3 Жыл бұрын
waliingia kwenye ndoa sababu ya kukomesha ma ex wao ila sio kwa upendo wa dhati, hao hawajui hata ndoa ni nini wanafikiria sherehe ndio ndoa
@nasralikungwa5267
@nasralikungwa5267 Жыл бұрын
Ivi wamefika mwaka kwl awa
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Жыл бұрын
Ndio maana ni vizuri kuwa na utafika kwa muda ili I mjue mtu kabla haujamuoa.
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
Hawatabiriki,unaweza kuwa marafiki ila mkiishi pa1 ndo mtajuana
@trueexplorer894
@trueexplorer894 Жыл бұрын
Mara zote huwa nasema Juma hii sio taaluma yake kwa maswali ya kijinga anayoulizaga, dida kauliza kama Lisa ataridhia kurudiana na Dula akasema "no comment" then Juma anauliza kama anajuta kukutana na dula, come on!!!
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 ай бұрын
Dah inahuzunisha sana kumbe dulla kayataka mwenyewe saiv anajiliza😢
@luciaadventures3290
@luciaadventures3290 Жыл бұрын
Daaah pole dear...
@mamylnkuzi8482
@mamylnkuzi8482 Жыл бұрын
Dada angalia UHAI WAKO tengenexa furaha yakoo mwenyewe. MUNGU AKUSAIDIE
@yasintadavid1296
@yasintadavid1296 Жыл бұрын
Duuh 😢😢
@user-xl7tb9xr9t
@user-xl7tb9xr9t 6 ай бұрын
This lady she is right
@SemeniBaby-rj2he
@SemeniBaby-rj2he Жыл бұрын
Uyo mwanamke ameongea ukweli ata me nilikua namfumania mume wangu na akawa ananipiga yy iyo ipo na mm nimepitia kuna wanaume wengine hawakubali makosa yao
@janechaula2870
@janechaula2870 6 ай бұрын
Point ndivyo walivyo
@shejamy06
@shejamy06 Жыл бұрын
Ukipata nafas ya kuwa singleeee shukuru Mungu na utumie nafas vzr ndoa hizi🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@blessingjacob7928
@blessingjacob7928 Жыл бұрын
Kabisa ndugu yangu
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Mi siwezi kaa single 😁
@joykenya
@joykenya Жыл бұрын
Kabisa dear
@shejamy06
@shejamy06 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 🤣🤣🤣🤣
@sylvierlumbasio4226
@sylvierlumbasio4226 Жыл бұрын
Sana yani mwagilia moyo ukija Olewa kaa kama bonzo kuondoka tena fullstop😅
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Ndoa inaraha ikiwa wawili wataelewana 🎊 Mapenzi ndio Maisha ❤
@user-nd8gg4ig7m
@user-nd8gg4ig7m Жыл бұрын
Haswa❤❤
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
@@user-nd8gg4ig7m hao wakati Waraha hawatuhisishi wakati wa shida ndio wanatujuza Ili tuokope ndoa mi napenda saana Maisha ya ndoa 👍 Mungu awape waume wema wenye hawajapata amiin 🤲
@catherinekiwipa9271
@catherinekiwipa9271 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 Kwan wakat wa Raha ukuwaona mtandaoni
@abbashussein-hz4dr
@abbashussein-hz4dr Жыл бұрын
Sheria ya dini inasema talaka 3 huwa inahesabika moja tu mkae chini musome dini on line hadi lini Astaghafirullah😢😢😢
@SafiaOmar
@SafiaOmar Жыл бұрын
Kuna kauli mbili tofauti. Wapo maulamaa wanao hesabu Moja. Na wapo wanao hesabu kuwa ni talaka 3
@jamillahngala9087
@jamillahngala9087 Жыл бұрын
Watu awafuatilii sheria na steps za talaka heri wapeane tu talaka wallah inauma mm nikiona mtu ameshapewa talaka hua Nahisi vibaya.. Alafu kitu Ingine social media zinaharibu ndoa za watu na marafiki pia ila pole kwake Zay
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 Жыл бұрын
Duuh😢😢😢
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Жыл бұрын
Eeee m/mungu nijalie subra uko niendako Maana mtoto WA mama mkwe anatak kufanya nusu ya dini ndoa ndoa ndoa
@shejamy06
@shejamy06 Жыл бұрын
Ndoa za bongo movie kibokoo😂😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@vanessastafford5120
@vanessastafford5120 Жыл бұрын
Ndoa sio project Dada,. Jiamini usirudi nyuma.
@sarahlimbu9305
@sarahlimbu9305 Жыл бұрын
😂
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
😢😢😢😢duuu nlijua utani
@abdulab6202
@abdulab6202 Жыл бұрын
Sawa ulivyo fanya umesali rakaa 2 hongera sana
@mkongwekhamis4331
@mkongwekhamis4331 Жыл бұрын
Jamani wifi Siwa upo wapiiiii?! 😂😂 Uje kuyajenga ya nduguyo....... Uje kuyasuluhisha hukuu😅😅😅!!!...
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 Жыл бұрын
Akuna talaka tatu kwa pamoja waende kwa mashee wakulize wanaweza ludiana❤❤😊
@tatukhamis6501
@tatukhamis6501 Жыл бұрын
Hizo ni talaka 3
@sadahgullam8228
@sadahgullam8228 Жыл бұрын
@@tatukhamis6501 ndo sheria ya dini hakuna talaka tatu kwa pamoja sheria talaka inatolewa moja mwanamke anakaa eda ikipita miezi mitatu hajarejewa ndo anaachika watu hawasomi dini wanafuata mkumbo
@issakamangila4143
@issakamangila4143 Жыл бұрын
Dulla ni mkorofi atari ajui mapenzi aja maliza bd ujana
@jumatajiri585
@jumatajiri585 Жыл бұрын
Ndoa hamziwezi mnakimbilia nini
@uwimana6533
@uwimana6533 6 ай бұрын
Dullah chizi mkubwa 😂😂😂
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Жыл бұрын
Jamani
@user-ln9px2vh6r
@user-ln9px2vh6r Жыл бұрын
Huyu si ameolewa juz😮😮😮😮😮
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Жыл бұрын
😂😂😂😂mpaka walipoachana walikuwa nà siku 54
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 Жыл бұрын
Pole sana
@khalifaalmugheiry9232
@khalifaalmugheiry9232 Жыл бұрын
Hii inapaswa kukemewa na mashekhe, na kutowa elimu hususan kwa kipindi kikubwa kama hichi wanasema kuwa talaka 3 sawa na talaka moja, hii haijakaa sawa Masham Sham mnapotosha Jamii, lipaswe kukemewa kwa mamlaka husika za dini na misikitini pamoja na kupewq onyo kwa kila wenye vipindi kupotosha vitu vya serious specially vya dini .. dini sio amapiano mkaichezea kama jambo hamlijuwi hupaswi kuliongelea.
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Жыл бұрын
Mbona kama umepaniki kk😅
@khalifaalmugheiry9232
@khalifaalmugheiry9232 11 ай бұрын
@@jaymandy8136 kwaiyo tunyamaze kwenye upotishaji au sio ?? Ukiwa hujielewi utanyamaza kimya kwa anaejuwa dini yake inakataza nini kukemea lazima kukaa kimya ufala kama mafala
@KaumbyaTibenda
@KaumbyaTibenda 6 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭pole sana Zai Mungu mkubwa ona amekufungulia njia nyingine jamani
@RandB_Channel
@RandB_Channel Жыл бұрын
Mnaumiza sana tatizo mnapendana Leo kesho mnafunga ndoa. Na mnakuwa hamujajuwana ndoa za bongo nivichekesho. Muache kujishebeduwa oooo nimefunga ndoa oooo sitaachika sijuwi mawifi kujishebeduwa mara mafumbu kuwanawake walio pita . Lakini mko mnachezeya ndoa. Huruma Leo ndoa kesho kuachika . Ma x ba Zailisa wanafurahi
@fatmaahmed972
@fatmaahmed972 Жыл бұрын
Kabisa mtu anajuana leo kesho anataka mfunge ndoa yan wabongo wana mambo wa ajabu sana
@RandB_Channel
@RandB_Channel Жыл бұрын
@@fatmaahmed972 yani baache tu kuwa wanapoteza pesa zakufanya hizo ndoawano wapeleke wasaidiye wasio jiweza . Du sijawayi ona ndoa ya mwezi mmoja natala ju 😳😳😳
@shafiikiloko747
@shafiikiloko747 Жыл бұрын
Majina ya kina dula ni mtihan kwakwel
@zuu9996
@zuu9996 Жыл бұрын
Sana wallah
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Na kina zai
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 Жыл бұрын
Kweli kaka majina ayo atali alafu waongo sana kina dula
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
😂
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
@@walizanasiri4963 sana
@aishaibrahim5607
@aishaibrahim5607 Жыл бұрын
Bdowanapenda sema makabila kakurupuka na nais anajuta
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Жыл бұрын
Dullah jikaze Kaka ujui Mungu kakuepusha na nn huyo dada mzuri Ila matendo yk machafu Malaya tu kila mume akimuoa anamuacha ndani ya mwezi tu kazoea huyo mdangaji wa chamazi
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Ndoa sikuhizi mh😢
@SamiraKionga
@SamiraKionga Жыл бұрын
Kwani bado kuna watu wanashikiana cm kweye cm za wenzenuuu Eeeh hayaaa endeleeni Mnachokitafuta mtakipata
@hafswahamisi9685
@hafswahamisi9685 Жыл бұрын
😂😂😂😂 wewe n mimi kabisaa kila mtu na simu yakeee
@ashaali2853
@ashaali2853 Жыл бұрын
Mwanaume akikupa talaka tatu hio inaesabiwa moja sio tatu
@NusrathRamadhani-wq8yj
@NusrathRamadhani-wq8yj Жыл бұрын
Wapo mumy
@abcmnbb2610
@abcmnbb2610 Жыл бұрын
Pole sana lisa sim yamwanaume Usirudi kucukuwa sim yamumeo Ifanya kama kituo capolisi
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Mkiona hamuwezi kutulia kwa ndoa ni bora tuu mtulie muangalie wezenu
@khadijaamur6032
@khadijaamur6032 Жыл бұрын
Na walee watoto
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@khadijaamur6032 watoto wapi hao?
@lelaiddy6856
@lelaiddy6856 Жыл бұрын
Kabisaa..maana wanaharibu hela za watu eti wanawachangiaaa kufanikisha shughuli
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@lelaiddy6856 yaan wanavyokazana na michango
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Kama navofanya mie ndomana yakitokea haya mambo naona raaaha! Na hakuna kurudiana ndo shasema
@janetdundul3858
@janetdundul3858 Жыл бұрын
Kunamuda muwe munatupenda hata wakina sisi dahaaaaa mukuje uku uswanzi 😊
@kekovasudi7388
@kekovasudi7388 Жыл бұрын
Haha na nyie muwe mnakubali kuolewa hata na sisi tusio maarufu
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 Жыл бұрын
Yani dah
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Жыл бұрын
Dida wee mbona hijakaxiwa kirudi kwa kumbilamoto
@roqayaro9439
@roqayaro9439 Жыл бұрын
KAMA KWELI AMEPEWA TALAKA 3 HAWAWEZI KULUDIANA ITABIDI ZAYLISSSA AOLEWE NA MWANAUME MWINGINE AKIACHIKA NDO AMUOE DULLAH
@adilaadila1128
@adilaadila1128 Жыл бұрын
Hakuna talaka 3 kwa pamoja apo inahesabika ni Talaka Moja km wapendana warudiane
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
HAO MASHAM MASHAM NDO MAMBO WANAYOYAPENDA HAYO,,,KUVUNJIKA VUNJIKA KWA NDOA ZA WATU,,,,UYO DIDA AKUMBUKE AACHE KUSHADADIA NDOA ZA WATU.
@callicevallice7383
@callicevallice7383 Жыл бұрын
Yeye mwenyewe si amejaza failed marriages kwenye CV 😂😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Wambea wakubwa
@sadilahindian3401
@sadilahindian3401 Жыл бұрын
Wapo kzn mkumbuke
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
Kuna kutangaza na ushushu,,,kwani redio nyingne hazijui hiyo taarifa?,KUACHANA KUPO,,,INSHU KUSHADADIA YASIOKUHUSU,,
@queenhenagu3496
@queenhenagu3496 Жыл бұрын
@@hassanbakari4525 jaman wamefanya kile watuu hupendaa kusikiaa yaan umbeaa kama huu ww ungeacha sikilizaa sasa si umevutiwa na kichwaa cha habar ukajaa angaliaa ama umejipata bahat mbaya 🤣🤣🤣🤣🤣
@asalkhan9168
@asalkhan9168 Жыл бұрын
mastaa wa bongo wanashida sana kwenye mahusiano na ndoa
@elisifaaron5662
@elisifaaron5662 Жыл бұрын
Sio masataaa tu ata mitaani saiv nipasua kichwa
@salmarajabu4890
@salmarajabu4890 Жыл бұрын
Nilikua nakulaum xana zay wangu kumbe cvyoo unampnda mme wak
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Жыл бұрын
Dah pole sana mambo ya kushikiana simu sio yenyewe sasa kupigana tena angemuuwa mwenzio kha bora niwe mjane ndoa hizi drama
@williamuaza7541
@williamuaza7541 Жыл бұрын
Ushikwe uchi simu usishikiwe uongo huo vyote tunashika
@user-mv3gd5ox9b
@user-mv3gd5ox9b Жыл бұрын
Hahahah bado anampenda huyo😅😅 anashindwa kujibu short namtaka au simtaki oooh anapenda kupigwa jmn
@luttahofficial9463
@luttahofficial9463 Жыл бұрын
Maaaaaaaaaaaaviiiiiiiiiii yake
@sifamugwaneza8774
@sifamugwaneza8774 Жыл бұрын
Hiyo no Comment ndo naweza kurudi maana asingeweza kumrudia angesa simtaki simpend 👌
@leonleon6323
@leonleon6323 Жыл бұрын
Mbona wanaweek tu😂
@ashaissa2435
@ashaissa2435 Жыл бұрын
Ilkn dida ndoa yake alikua mkali kuuliziwa za wenzie midomo juuuu kushadadia 5:35 5:36
@mercypeledawson1622
@mercypeledawson1622 Жыл бұрын
Huyu zay akae ajiangalie... maana hata mahusiano alokua nayo alipigwa hv hv 😢
@rerisamba
@rerisamba Жыл бұрын
Pengine walimroga
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Жыл бұрын
Huyu mjeuri wakupindukia na Kisha chini kunamuwasha hatali kaachwa Mara kwa Mara navile ajui kupika 😂😂😂
@najmahamso8364
@najmahamso8364 Жыл бұрын
​@@mrsmumewangu4907🤭🤭🤔🤔
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 Жыл бұрын
Umeckia mwenyewe anasema mumewe anadai anamdomo
@GiftAbduly
@GiftAbduly 11 ай бұрын
​@@mrsmumewangu4907mhmmmm
@abuthuraiyyahsalum8335
@abuthuraiyyahsalum8335 Жыл бұрын
Inaumiza sna zaylisha alikuwa serous na ndoa yake
@NasraOmary-hy6ep
@NasraOmary-hy6ep Жыл бұрын
Uyu dad inaonekana n kibur wanaume wangap aw kila mwanaume anampiga anajivunui uzur wake
@zuumlondwa9518
@zuumlondwa9518 Жыл бұрын
Uyu dada inaonyesha anampenda bado mumewe ila dulla ndo mtihani
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 Жыл бұрын
mmeishi kwa shida n raha miezi miwili!!!!!!!!! cumon
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Жыл бұрын
Atuchezea sanaaa.... shida na Raha yamiezii Miwiliii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah!
@hafswahamisi9685
@hafswahamisi9685 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@hanifa9153
@hanifa9153 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@musakaphu4581
@musakaphu4581 Жыл бұрын
Kwa ndoa ya namna hii lazima siku zihesabiwe kama za jela ndomana wameishi kwa shida na raha 😂
@naumikabila5880
@naumikabila5880 Жыл бұрын
Sio miwili mmoja na nusu
@naomimwahosi8177
@naomimwahosi8177 Жыл бұрын
Kwa kweli huwezi nyamaza ukiumizwa.
@noelmusa3502
@noelmusa3502 Жыл бұрын
Ila wasafi nawakubali aiseeee kwa umbea we bibie eeeeeeeeh uko vzr😂😂😂😂😂😂
@esthercharles5119
@esthercharles5119 Жыл бұрын
Wanawake wa siku hz sijui mnatoaga wap wanaume wadundaji khaaa!!😢😢 mtakuja kufa
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Жыл бұрын
Hivi mpaka leo bado kuna Wanaume wanapiga wanawake?
@aishajuma18
@aishajuma18 Жыл бұрын
Na huyu nae sijui Anamatatizo gani kila siku anapigwa Tu na anaume zake
@gagalinodenatrick1652
@gagalinodenatrick1652 6 ай бұрын
Cku ukioa ndio utajua
@kamalissabig4631
@kamalissabig4631 Жыл бұрын
Acha umbea mtu akupige Bila sababu kwan Dullah n Chizi hakuna mwanaume atae kupiga bila sababu tena Kwa makosa yake
@vumiliarichard9347
@vumiliarichard9347 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂dida mungu anakuona
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 Жыл бұрын
Dida😂😂😂😂🙌🙌🙌
@DulaKhamis
@DulaKhamis Жыл бұрын
Namtaka huyo na Mm nimfuse 😂
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Juma roho inakuuma ulivoona hajibu kama watarudiana or not! Mi mwenyewe sijapenda! Warudiane ili kiwe nini??? Hakuna kurudi mtu hapo😡😡😡
@melitalaunoni4018
@melitalaunoni4018 Жыл бұрын
Mafisi
@user-bp2lm3pg1o
@user-bp2lm3pg1o Жыл бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@ummuadam2423
@ummuadam2423 Жыл бұрын
Hajui ndoa dula bdo hajamaliza ujana,talaka 3 kwampigo haitolewi hvo mshamba tu, hyo no comment bdo anapenda kipigo hyo
@vero57
@vero57 Жыл бұрын
Mwanamke wake wa USA ATAKU anachekelea tuu huko saizi khaa!!!
@makindimbo1851
@makindimbo1851 Жыл бұрын
huyo demu alikuwa anataka umaarufu kwa mwamba ila kiukwel huyo demu sio wa kuolewa bado kijana xna ana muwasho ndoa inataka akili iliyokomaa...
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Nyinyi musiongelee dini hamuijui talaka tatu kama moja kawambia nani
@user-go6xm3ef1o
@user-go6xm3ef1o Жыл бұрын
Talaka inaisabika moja tu hakuna talaka tatu kwa mpigo apo inaisabika talaka moja tu
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
@@user-go6xm3ef1o mhmm subutuu
@maimunashaban4932
@maimunashaban4932 Жыл бұрын
Yaan ndan ya miez2 mpk vikao tyr mlikuwa mmeanza kukaa duuh! Kwel ata mneendelea bado mngegombana tu
@zaynabmwanjovu1002
@zaynabmwanjovu1002 Жыл бұрын
🤣🤣🤣jaman
@shyllahnekesa216
@shyllahnekesa216 Жыл бұрын
Lkn Zay ni malaya tuu
@sautikaliitz934
@sautikaliitz934 Жыл бұрын
Duuuh
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Dulla anaonekana ana Gubu😂😂😂
@wendyabduly3732
@wendyabduly3732 11 ай бұрын
Hiv hiki kipindi huonyeshwa lin wasaf na sangap?
@sihamnjagi
@sihamnjagi Жыл бұрын
Lakini watu wanatoa wapi energy ya kushika simu za waume zao
@bahatielias6443
@bahatielias6443 Жыл бұрын
Ukweli simu zetu mngekuwaga mnaziacha tu ,simu za wanaume zinamambo mengi mno,
@najmahamso8364
@najmahamso8364 Жыл бұрын
Mi si shiki kila siku ila kama kuna maaswi yatafanyika uwa niko na wasiwasi na nikishika tu anagomba msamaha mana uwa yuajua nimegundua lengo lake mpaka sasa ushukuru kwa kua namgundua alafu hafanyi aliyo ya panga na mwenzake 😂😂😂
@neemanyimbi2355
@neemanyimbi2355 Жыл бұрын
Simu bila kushika angejuaje wewe kaa ivoivo usishike uletewe magonjwa simu nashika vixuri
@bahatielias6443
@bahatielias6443 Жыл бұрын
@@neemanyimbi2355 lakin neema, mwanaume akiamua kuchepuka atachepuka na Wala ukishika Sim Bado hutajua kitu, kiufupi sisi tunajijua jinsi tulivo, lakin wew Kama mke ukaamua kuchepuka ndani ya miezi miwili tayali ushakamatika.🤣🤣🤣
@user-ex1ld4ee2f
@user-ex1ld4ee2f Жыл бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@givensanga3524
@givensanga3524 Жыл бұрын
Ndoa wito jamani
@janethedward4631
@janethedward4631 Жыл бұрын
WANAUME ....KUNA WANAWAKE WAKUOA NA KUNA WANAWAKE WAKUVUCHUPI NAKUPITA IVI. TATIZO LENU WANAUME NYIE MNAPENDA WANAWAKE WAZURI AMCHUNGUZI MTU NDO MANA NDOA ZINAVUNJIKABJUMA PILI ADI JUMATATU TUJITAIDI KUCHUNGUZANA KABLA YA NDOA
@zulphaiddy1191
@zulphaiddy1191 Жыл бұрын
Ngoja tuanzie hapo kwe kuswal rakaa mbili, Wakat huo ulikua huna Rasta kichwani na rangi kweny kucha na makucha marefu ama?
@aisharajimbo6784
@aisharajimbo6784 Жыл бұрын
Dida wewe ulikua mkali ulipokua ukiulizwa kuhusu kuachwa lkn saa eee washadadia ya wenzako
@Teddy-fq5oc
@Teddy-fq5oc Жыл бұрын
Umeona eeee
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 6 ай бұрын
Jamani mie nafurahigi sana nikiwasikiaga hawa watu wawili maneno yao juma na dida.nachekaga mpaka mwisho.wamezidi umbea
@biggievandar254
@biggievandar254 Жыл бұрын
Wasafi mwapenda sana umbea mbna msimwongelee zuchu na diamond
@irakoze3762
@irakoze3762 Жыл бұрын
Wafukuzwe kazi 😂
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 Жыл бұрын
Nawashangaaa kwakweli
@bintyk5149
@bintyk5149 Жыл бұрын
Hatariiii ndo mastar😢
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Жыл бұрын
AKA kio cha jamii
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 Жыл бұрын
Yaan mtihan kweli kweli jmn duuh!!!
@halimaomar2986
@halimaomar2986 Жыл бұрын
Masha Allah mke bado ana mpenda mumewe.. Allah ajalie warudiane...
@user-yo8bi9bn2z
@user-yo8bi9bn2z Жыл бұрын
Mmmh uyu mwanamke ajielewi mnakumbuka kipindi kile alivyo jibugi Leo anasema vyingine bado ataenyeka na wanaumewote wadaa na wazaziwake nawo washamuchoka ndomaana akiachwa wanampokea sababu wanajuwa mwanawo nitaila wa mapenz ana lolote yani kila siku wewetu mtoto wanaume wote wanamakosa we ndo mzuli kuna jambo so bule jaman angalieni mbele 😂😂😂😂😂😂 anaishi kwa bwana uyo akutoka uku anaingia kule yani weektu ndoa angalien namimi ni mwanamke bali siwezi kuwa kama uyu dada tena ni wajina wangu ajielewi bado ❤
@maramegamahega1991
@maramegamahega1991 Жыл бұрын
😅😅😅😅 lazima nicheke mana mimi yalinikuta 😅😅😅 niliwahi pigwa na panga 😢😢😢
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 Жыл бұрын
Pole dear
@WemaOmary-of6to
@WemaOmary-of6to 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 sijui nacheka nini naboupo unadubda kama kitenesi sisi wanawake tunapepo yetu
@so_nasty
@so_nasty Жыл бұрын
Uyu naila muongoo 😂😂😂😂
@neamusic2601
@neamusic2601 Жыл бұрын
Katoa talaka 3 jamani asee kweli ana hasira sana...nahx hawakujuanavizuri.
@BigZhumbe
@BigZhumbe Жыл бұрын
Kwani watu wa Cuba wanasemaje 😂😂😂
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
😮😮😮😮😮mbona Beyonce wa mbagala😂😂😂😂 Ila jamani hizi ndoa za mastaa ,tumechokaaaa😂😂😂
@datty.wozaah865
@datty.wozaah865 Жыл бұрын
Nakwambia 😅😅😅😅😅
@oliveroscar8493
@oliveroscar8493 Жыл бұрын
Hata hvo ex wake alisemaa bnaa 😂 aliwaimbia hadi nyimbo ila mingo bna 🤣🤣 Kama mtabili vile
@mariambakari4659
@mariambakari4659 Жыл бұрын
Nayapitia hayo
@shabanimbugi8372
@shabanimbugi8372 Жыл бұрын
Njo kwangu mama
@alaidertolatine4750
@alaidertolatine4750 Жыл бұрын
Yaan zailisa anapata wanaume wa kupiga kama mim😢
@Mina.15
@Mina.15 Жыл бұрын
Siuwapige na WEWE
@saukhah6365
@saukhah6365 Жыл бұрын
Juma uwache udanganyifu talaka 3 hapo hakuna ndoa na hawezi kumrudia ten juma heeeh walimwengu tumeisha kwa kwel
@user-ms8zt2im6x
@user-ms8zt2im6x Жыл бұрын
Jamani msiwalaumu watu wengn mademu wamewajua kuingia kwenye game yamuzik
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 Жыл бұрын
Kwanza uyo dida mwenyewe anasemaje tuanze hapo kwanza
@InnocentMwingwa-wz1js
@InnocentMwingwa-wz1js 6 ай бұрын
Mmesikia xhuma ich cha dullaa
@fahadmussa8879
@fahadmussa8879 Жыл бұрын
Wanawake wembamba hawaliziki namwanaume mmoja
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 Жыл бұрын
Mmeishi kwa raha na shida mwezi mmoja na Nusu
@tobosha3236
@tobosha3236 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 Жыл бұрын
hahaha
@salmasaid1521
@salmasaid1521 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 Жыл бұрын
@@salmasaid1521 unacheka nn na ww
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Wazazi mchangulieni mwanenu mwenza mwema, na mtu akishakupiga na ukamruhusu jua hyo ndo Tabia yake, mwanaume timamu hapigani
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 6 ай бұрын
Mwache aende
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 38 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 2,7 МЛН
1,000 Diamonds! (Funny Minecraft Animation) #shorts #cartoon
00:31
toonz CRAFT
Рет қаралды 40 МЛН
MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''
17:07
TAZAMA MWANZO HADI MWISHO NDOA YA DULLA MAKABILA
58:47
ZamaradiTV
Рет қаралды 32 М.
Самый Лучший Дедушка ❤️
0:15
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 3,3 МЛН
All creatures are from God #jesus #jesuschrist #jesuslovesyou
0:19
Jesus By Your Side
Рет қаралды 57 МЛН
Арбузорезка 🍉
0:42
Сан Тан
Рет қаралды 4,4 МЛН
Они так быстро убрались!
1:00
Аришнев
Рет қаралды 2,2 МЛН