Hongera Spika TULIA umetenda haki Nyuma ya pazia la kutaka kupora Ardhi ya Wananchi na kunawadhulumaji Ndani ya Serekali ndiyo maana wanatumia POLISI . kuweni MAKINI Mungu awabariki WATETEZI WA HAKI ZA WANANCHI.
@robertphilip385Күн бұрын
Hongera Gani Kwa huyu spika
@donaldbenedict5761Күн бұрын
Police wa nani na wananchi wa nani? Hii nchi viongozi wake watakuws na weledi lini? Kama kuna uongozi sikivu hii migogoro kila siku yanini
@josephk902 күн бұрын
Ila huyu mbunge wa Kiteto anajua kujieleza vizuri.
@bloodofjesus75422 күн бұрын
Spika kama vile katokewa na Mungu usiku maan hizi siku mbili Yuko vzr 😂😂😂😂 au ndo hofu ya vita ya kenya
@muksinimbaruku12332 күн бұрын
Kabisa
@mwljohnray1725Күн бұрын
Mfatilie Dr Tulia Since Ni Mkufunzi UDZM She is So Smart
@EdwardSamson-uf1eeКүн бұрын
Hahahahahahahahahahaha !! so amekuwa kama pilato ee kabla ya hukum ya Yesu 😂😂😂😂
@bloodofjesus7542Күн бұрын
😂😂😂
@nicksonngaamanya19462 күн бұрын
MADAM speaker keep it up unafa kua speaker wama speaker Good bless you in what ever your & in what ever you do let ur speech be blessed always ASIE kwelewa atakua mgum wa kwelewa.
@dianerdittoКүн бұрын
Anafanya kazi nzuri sana lakin mbeya yake kaisahau kabisa ukifika mbeya ya miaka 10 iliyopita ilikuwa inapendeza kuliko mbeya ya 2024😢
@polinatusmwemezi-pc2plКүн бұрын
Congradulation Dr Tulia Akson your Ideas are keen!
@alexanderfute45592 күн бұрын
Madam Speaker jitahidi kuendesha bunge Kama ulivyofanya Leo, hakika utapendwa na kukubalika sana
Ndio Kwa maana wafanya biashara wanataka bungelitunge Sheria na sio matamko ya viongozi
@user-uo5em7im6b2 күн бұрын
Spika yupo vizuri Kwa hoja hii .Kwa maswali ya mipaka
@nsiamasawe45782 күн бұрын
Kenya iwe fundisho, hivi sasa waheshimiwa wabunge mmeona wenyewe raia maskini wa Kenya wakielekeza hasira bungeni. Naomba mfanye yale yatakayowapa wananchi amani kuondoa tafrani kama za majirani zetu.
@Kakozi-pj6ib2 күн бұрын
Ume chapa kazi ya wana kijiji vizuri sana ""* miaka mitano ina kusubiri """ mbunge mwenye asira kali mbeli ya vigogooo"** ebu nyie mawaziri kuweni makini,leo Kenya ime ingia pa baya juu ya kauli hizo zisizo eleweka ""** msiaombe ya kenya please tatueni mgogoro ya wananchi wenu hao ndo maboss wenu" kwn nyie mawaziri mtatumika kazi bila watu "** elimu zenu zime toka shuleni ama porini"
@nabimanyafesto50142 күн бұрын
Ameona mbunge alivyoleta hoja alikua na msimamo na akajua kinachoendelea Kenya
@user-tg7vq3ty8p2 күн бұрын
Mali Asili ndio waliouanzisha mgogoro huo.
@MosesJoseph-hb5ob22 сағат бұрын
Spika umeongea vizur sana na roho mtakatifu amekuongoza sana katika hili.. waangalie na wananchi wako wa jimbon kwako mbeya.. maliza mgogoro ule wa sae na kilimo.. mbona lukuvi aliruhusu alipokua wazir..
@abdallaameir31539 сағат бұрын
Nawakumbusha tu tupo 2024 2025 ipo karibu na kenya wanapigana sasa hii sio akili zao kuna vitu vimewaamsha
@issashekh4726Күн бұрын
Safi sana kwa kutuwakilisha vyema
@leeheyon2 күн бұрын
dah spika uko vzuri sana leo nimekuelewa san namna unavyo ongoza bunge 🎉
Wamasai vichwa sana. Tangu sokoine mpaka ngoyai lowassa. Ngoja nimkazanie yulee mmasai wangu na mimi😅😅😅😅
@allyfutto87632 күн бұрын
Inawezekana wawekezaji wanatumia UREFU WA KAMBA ZAO na kama ndivyo Taharuki inawezakuzuwasaratani kwa wenye udhahifu waAfya, moyo kisukari figo nyonga zina tahabika na kurudi nyoma Kimaisha na ndicho kiini ninacho kiona mimi, bali kujifunza kutakwisha pale tutapo Kufa na ufahamu unasimama, hivyo mgogoro upo na ni vibaya kuchereweshwa maisha ni mafupi mtu anadai kiwanjatangu anazaliwa mpaka akikipata Umri umwkwisha mawazo hayayanacuuza nafsi kudhurika na kuingiza chuki hasira farakani huruma simanzighazabu na kadharika , uchungu mmoja raha moja kuridhishana muhimu
@user-hb8vi9fx6gКүн бұрын
HUYO MREMBO HANA JAMBO!CHAGUENI MAWAZIRI SIO WAREMBO!
@alexlipili93432 күн бұрын
Msomi ni msomi tu anaweza kuwa spika boora toka miaka yote nimeanza kufuatilia vikao vyote vya bunge, daah hongera Dr. Tulia hakubali hoja kirahisi kama ina ukakasi hata itoke kwa nani yani!!
@lekishonmolele1859Күн бұрын
Tulia amendesha hii kikao kwa utulifu na kutenda haki ukiendelea hifi tutakua mbele
@jaydenbedas57292 күн бұрын
Tangu niipate akili huyu ndo spika smart kuliko wote
@Piscesblair2 күн бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Spika tunataka Bunge kama hili la kutetea wanyonge.
@justardzelphine6526Күн бұрын
Acha uongo
@davidmpiluka5224Күн бұрын
Ngoma ya Kenya imewapa adabu angalau.
@valenakomba7686Күн бұрын
WANANCHI , SIYO WANANCHI WAKO 😮😮.
@levinalyimo6240Күн бұрын
Jamani Kama ni spika Tanzania tunae
@mariamjamali1444Күн бұрын
Si msemi kwa ubaya lkn Angela Kairuki uwezo wake ni mdogo sana,ukiangalia anavyojibu maswali,anavyojenga hoja yaani huoni hiyo level ya kuwa waziri unless family background ndio huenda inambeba,Nadhani Mh.Rais apitie tena Baraza lake km akiona inampendeza apumzishe wengine! Mali Asili na Utalii ni wizara nyeti sana inahitaji kuwa na timu ya watu makini sana kwa sababu linagusa maslahi ya Serikali hasa kimapato na maslahi ya wananchi kwenye Ardhi yaani kilimo na ufugaji. So ni Wizara nyeti na ya pekee sana!
@SeleNdiboi20 сағат бұрын
lekata oyeee hapo nimekubali
@babalao9102 күн бұрын
Yaani Kila mtu anashangaa, spika kabadilika ghafla
@abdulrahmanmohammed44492 күн бұрын
Slaa yuko fiti
@stephanokaaya18812 күн бұрын
Mbunge anaejielewa kama huyu wananchi wamechagua mtu halisi
@hashimuuhehwa13202 күн бұрын
Tulia akili anayo sanaa ili anajifanyaga kapinda
@KiriaKipara2 күн бұрын
Daa leo nimekukubali na juwa unaweza kutenda haki ila sku nyingine unahasira
@benjaminmiselya2622Күн бұрын
Mmmh nadhani Kenya imetoa.funzo🤣😂😂
@user-lw3tg3yg5bКүн бұрын
Uchaguzi lazima abadilike ngoja wakipata uchaguzi mtayashudia Yale Yale ya nyuma
@aishakhamis299616 сағат бұрын
Kweli kabisaa
@AMEMUSSA-cr8myКүн бұрын
Spika nakukubali sana.
@lusakaone77822 күн бұрын
Muendeleee kufuatilia yanayoendelea 🇰🇪
@blandinamwarabu50252 күн бұрын
Shida mkiwaondoa Askari wananchi watapata shida
@victorjames3730Күн бұрын
Waziri wa maliasiri haeleweki
@nsiamasawe45782 күн бұрын
Mhe. Spika pokea maua yako.
@JosephinaKibiritiКүн бұрын
Ivyoivyo aoniwaongo sana
@saidimpako51862 күн бұрын
Huyo kairuki ndio mzigo kabisa
@Whoisthismantalking2 күн бұрын
Msipoondoa Kodi za m pesa na luku tutaandamana.
@user-yu2sl9ji6v2 күн бұрын
Huyu Mama kichwa sana
@jackisonmlaari45562 күн бұрын
Huyo mwana mama ni mbishi kaa nini sijui ni wasiri gani