DK 20 ZA MAAMUZI YA SPIKA KUWAONDOA ASKARI "WANANCHI WANANYANYASWA NA HAO POLISI MARA MOJA"

  Рет қаралды 38,541

Millard Ayo

Millard Ayo

4 күн бұрын

Пікірлер: 74
@jamesbayo1910
@jamesbayo1910 2 күн бұрын
Hongera Spika TULIA umetenda haki Nyuma ya pazia la kutaka kupora Ardhi ya Wananchi na kunawadhulumaji Ndani ya Serekali ndiyo maana wanatumia POLISI . kuweni MAKINI Mungu awabariki WATETEZI WA HAKI ZA WANANCHI.
@robertphilip385
@robertphilip385 Күн бұрын
Hongera Gani Kwa huyu spika
@donaldbenedict5761
@donaldbenedict5761 Күн бұрын
Police wa nani na wananchi wa nani? Hii nchi viongozi wake watakuws na weledi lini? Kama kuna uongozi sikivu hii migogoro kila siku yanini
@josephk90
@josephk90 2 күн бұрын
Ila huyu mbunge wa Kiteto anajua kujieleza vizuri.
@bloodofjesus7542
@bloodofjesus7542 2 күн бұрын
Spika kama vile katokewa na Mungu usiku maan hizi siku mbili Yuko vzr 😂😂😂😂 au ndo hofu ya vita ya kenya
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 2 күн бұрын
Kabisa
@mwljohnray1725
@mwljohnray1725 Күн бұрын
Mfatilie Dr Tulia Since Ni Mkufunzi UDZM She is So Smart
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Күн бұрын
Hahahahahahahahahahaha !! so amekuwa kama pilato ee kabla ya hukum ya Yesu 😂😂😂😂
@bloodofjesus7542
@bloodofjesus7542 Күн бұрын
😂😂😂
@nicksonngaamanya1946
@nicksonngaamanya1946 2 күн бұрын
MADAM speaker keep it up unafa kua speaker wama speaker Good bless you in what ever your & in what ever you do let ur speech be blessed always ASIE kwelewa atakua mgum wa kwelewa.
@dianerditto
@dianerditto Күн бұрын
Anafanya kazi nzuri sana lakin mbeya yake kaisahau kabisa ukifika mbeya ya miaka 10 iliyopita ilikuwa inapendeza kuliko mbeya ya 2024😢
@polinatusmwemezi-pc2pl
@polinatusmwemezi-pc2pl Күн бұрын
Congradulation Dr Tulia Akson your Ideas are keen!
@alexanderfute4559
@alexanderfute4559 2 күн бұрын
Madam Speaker jitahidi kuendesha bunge Kama ulivyofanya Leo, hakika utapendwa na kukubalika sana
@aliakrabi8321
@aliakrabi8321 2 күн бұрын
Huyo Angela Kairuki hovyo hajui kujibu swali, hajui kufuatilia wizara yake
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 2 күн бұрын
Ndio Kwa maana wafanya biashara wanataka bungelitunge Sheria na sio matamko ya viongozi
@user-uo5em7im6b
@user-uo5em7im6b 2 күн бұрын
Spika yupo vizuri Kwa hoja hii .Kwa maswali ya mipaka
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 2 күн бұрын
Kenya iwe fundisho, hivi sasa waheshimiwa wabunge mmeona wenyewe raia maskini wa Kenya wakielekeza hasira bungeni. Naomba mfanye yale yatakayowapa wananchi amani kuondoa tafrani kama za majirani zetu.
@Kakozi-pj6ib
@Kakozi-pj6ib 2 күн бұрын
Ume chapa kazi ya wana kijiji vizuri sana ""* miaka mitano ina kusubiri """ mbunge mwenye asira kali mbeli ya vigogooo"** ebu nyie mawaziri kuweni makini,leo Kenya ime ingia pa baya juu ya kauli hizo zisizo eleweka ""** msiaombe ya kenya please tatueni mgogoro ya wananchi wenu hao ndo maboss wenu" kwn nyie mawaziri mtatumika kazi bila watu "** elimu zenu zime toka shuleni ama porini"
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 2 күн бұрын
Ameona mbunge alivyoleta hoja alikua na msimamo na akajua kinachoendelea Kenya
@user-tg7vq3ty8p
@user-tg7vq3ty8p 2 күн бұрын
Mali Asili ndio waliouanzisha mgogoro huo.
@MosesJoseph-hb5ob
@MosesJoseph-hb5ob 22 сағат бұрын
Spika umeongea vizur sana na roho mtakatifu amekuongoza sana katika hili.. waangalie na wananchi wako wa jimbon kwako mbeya.. maliza mgogoro ule wa sae na kilimo.. mbona lukuvi aliruhusu alipokua wazir..
@abdallaameir3153
@abdallaameir3153 9 сағат бұрын
Nawakumbusha tu tupo 2024 2025 ipo karibu na kenya wanapigana sasa hii sio akili zao kuna vitu vimewaamsha
@issashekh4726
@issashekh4726 Күн бұрын
Safi sana kwa kutuwakilisha vyema
@leeheyon
@leeheyon 2 күн бұрын
dah spika uko vzuri sana leo nimekuelewa san namna unavyo ongoza bunge 🎉
@MusaAlly-wf6tm
@MusaAlly-wf6tm 2 күн бұрын
umetisha spika
@konemelau9068
@konemelau9068 Күн бұрын
Congratulations mbunge wetu olelekaita hakika unaipigania kiteto
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Күн бұрын
Wamasai vichwa sana. Tangu sokoine mpaka ngoyai lowassa. Ngoja nimkazanie yulee mmasai wangu na mimi😅😅😅😅
@allyfutto8763
@allyfutto8763 2 күн бұрын
Inawezekana wawekezaji wanatumia UREFU WA KAMBA ZAO na kama ndivyo Taharuki inawezakuzuwasaratani kwa wenye udhahifu waAfya, moyo kisukari figo nyonga zina tahabika na kurudi nyoma Kimaisha na ndicho kiini ninacho kiona mimi, bali kujifunza kutakwisha pale tutapo Kufa na ufahamu unasimama, hivyo mgogoro upo na ni vibaya kuchereweshwa maisha ni mafupi mtu anadai kiwanjatangu anazaliwa mpaka akikipata Umri umwkwisha mawazo hayayanacuuza nafsi kudhurika na kuingiza chuki hasira farakani huruma simanzighazabu na kadharika , uchungu mmoja raha moja kuridhishana muhimu
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g Күн бұрын
HUYO MREMBO HANA JAMBO!CHAGUENI MAWAZIRI SIO WAREMBO!
@alexlipili9343
@alexlipili9343 2 күн бұрын
Msomi ni msomi tu anaweza kuwa spika boora toka miaka yote nimeanza kufuatilia vikao vyote vya bunge, daah hongera Dr. Tulia hakubali hoja kirahisi kama ina ukakasi hata itoke kwa nani yani!!
@lekishonmolele1859
@lekishonmolele1859 Күн бұрын
Tulia amendesha hii kikao kwa utulifu na kutenda haki ukiendelea hifi tutakua mbele
@jaydenbedas5729
@jaydenbedas5729 2 күн бұрын
Tangu niipate akili huyu ndo spika smart kuliko wote
@Piscesblair
@Piscesblair 2 күн бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Spika tunataka Bunge kama hili la kutetea wanyonge.
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 Күн бұрын
Acha uongo
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 Күн бұрын
Ngoma ya Kenya imewapa adabu angalau.
@valenakomba7686
@valenakomba7686 Күн бұрын
WANANCHI , SIYO WANANCHI WAKO 😮😮.
@levinalyimo6240
@levinalyimo6240 Күн бұрын
Jamani Kama ni spika Tanzania tunae
@mariamjamali1444
@mariamjamali1444 Күн бұрын
Si msemi kwa ubaya lkn Angela Kairuki uwezo wake ni mdogo sana,ukiangalia anavyojibu maswali,anavyojenga hoja yaani huoni hiyo level ya kuwa waziri unless family background ndio huenda inambeba,Nadhani Mh.Rais apitie tena Baraza lake km akiona inampendeza apumzishe wengine! Mali Asili na Utalii ni wizara nyeti sana inahitaji kuwa na timu ya watu makini sana kwa sababu linagusa maslahi ya Serikali hasa kimapato na maslahi ya wananchi kwenye Ardhi yaani kilimo na ufugaji. So ni Wizara nyeti na ya pekee sana!
@SeleNdiboi
@SeleNdiboi 20 сағат бұрын
lekata oyeee hapo nimekubali
@babalao910
@babalao910 2 күн бұрын
Yaani Kila mtu anashangaa, spika kabadilika ghafla
@abdulrahmanmohammed4449
@abdulrahmanmohammed4449 2 күн бұрын
Slaa yuko fiti
@stephanokaaya1881
@stephanokaaya1881 2 күн бұрын
Mbunge anaejielewa kama huyu wananchi wamechagua mtu halisi
@hashimuuhehwa1320
@hashimuuhehwa1320 2 күн бұрын
Tulia akili anayo sanaa ili anajifanyaga kapinda
@KiriaKipara
@KiriaKipara 2 күн бұрын
Daa leo nimekukubali na juwa unaweza kutenda haki ila sku nyingine unahasira
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 Күн бұрын
Mmmh nadhani Kenya imetoa.funzo🤣😂😂
@user-lw3tg3yg5b
@user-lw3tg3yg5b Күн бұрын
Uchaguzi lazima abadilike ngoja wakipata uchaguzi mtayashudia Yale Yale ya nyuma
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 16 сағат бұрын
Kweli kabisaa
@AMEMUSSA-cr8my
@AMEMUSSA-cr8my Күн бұрын
Spika nakukubali sana.
@lusakaone7782
@lusakaone7782 2 күн бұрын
Muendeleee kufuatilia yanayoendelea 🇰🇪
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 2 күн бұрын
Shida mkiwaondoa Askari wananchi watapata shida
@victorjames3730
@victorjames3730 Күн бұрын
Waziri wa maliasiri haeleweki
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 2 күн бұрын
Mhe. Spika pokea maua yako.
@JosephinaKibiriti
@JosephinaKibiriti Күн бұрын
Ivyoivyo aoniwaongo sana
@saidimpako5186
@saidimpako5186 2 күн бұрын
Huyo kairuki ndio mzigo kabisa
@Whoisthismantalking
@Whoisthismantalking 2 күн бұрын
Msipoondoa Kodi za m pesa na luku tutaandamana.
@user-yu2sl9ji6v
@user-yu2sl9ji6v 2 күн бұрын
Huyu Mama kichwa sana
@jackisonmlaari4556
@jackisonmlaari4556 2 күн бұрын
Huyo mwana mama ni mbishi kaa nini sijui ni wasiri gani
@user-mp6zd2ui7r
@user-mp6zd2ui7r 2 күн бұрын
Sipka wa Tz tunakuelewa
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 2 күн бұрын
Dah, siku hizi speaker unakitendea haki kiti
@shebemakey2349
@shebemakey2349 Күн бұрын
Kispika iki nakikubali sana
@jackisonmlaari4556
@jackisonmlaari4556 2 күн бұрын
Sipika uko sahihi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 2 күн бұрын
12:06 Kuendelea, nani kasema ahsante, Mtazamo, 😂😂😂
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Күн бұрын
Hahahahahahahah, kumbe na wewe umesikia ee. tena ni sauti ya mwanamke ile
@AbdulMajid-kj5bi
@AbdulMajid-kj5bi 2 күн бұрын
Mh spika heshima kwako
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 2 күн бұрын
Tulia akson sikuiz naanza kukuelewa uko vzur
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq Күн бұрын
Alichomfanya Mpina je?
@user-vr6lu8tq1n
@user-vr6lu8tq1n 2 күн бұрын
Mume watulia amepata mke
@user-cg9df5nt1f
@user-cg9df5nt1f 2 күн бұрын
Ko maduka
@brunonsungwe8389
@brunonsungwe8389 2 күн бұрын
Hakika hatukukosea kukuchagua
@AbdallahBakar-oc3ue
@AbdallahBakar-oc3ue 2 күн бұрын
Kiteto migogoro mingi sana
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 2 күн бұрын
Yaani mbunge akishateuliwa kuwa waziri anakuwa adui wa wananchi
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 2 күн бұрын
Hawa masai kila poli wanavamia mnawaendekeza sana kama wako nahaki wapewe kama hawana muwatoe bila huluma
@michaelmelita5273
@michaelmelita5273 Күн бұрын
Mnataka tulete ngo'mbe mijini au
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op 2 күн бұрын
Kiteto mmepata mbunge
We Got Expelled From Scholl After This...
00:10
Jojo Sim
Рет қаралды 73 МЛН
Homemade Professional Spy Trick To Unlock A Phone 🔍
00:55
Crafty Champions
Рет қаралды 60 МЛН
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 393 М.