Dk Bagonza, Father Kitima na Askofu Mwamakula wafunguka miswada, kubadilisha sheria za uchaguzi

  Рет қаралды 26,529

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

9 ай бұрын

Viongozi mbalimbali wa dini waliokuwa mstari wa mbele kwenye kutaka tume huru ya uchaguzi akiwemo Father Charles Kitima, Aksofu, Askofu wa Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza pamoja na Askofu wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Emmaus Mwamakula wakizungumzia hatua ya Serikali ya kupeleka bungeni miswada inayolenga kufanya mabadiliko kwenye tume ya uchaguzi.
Viongozi hao wamezungumza leo Ijumaa, Novemba 10, 2023 nnje ya ukumbi wa bunge ambapo awali walishuhudia mishwada mitano iliyosomwa bungeni kwa mara ya kwanza.

Пікірлер: 63
@user-sj7fn1wt6d
@user-sj7fn1wt6d 8 ай бұрын
kwa kweli uchaguzi ulikuwa ni kichekesho.Mama hongera sana umetutoa kwenye aibu kubwa au igizo la uchaguzi
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 9 ай бұрын
Watumishi wa Mungu hawa, Mungu awatunze🙏
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 9 ай бұрын
Umoja na Mshikamano alitoachia Muasisi wa Taifa letu Hayati Rais Nyerere ni lazima tuunze na tusikubali kuchonganishwa na tofauti zetu za Kidini, Ukabila na Kisiasa. Kidumu Chama cha Mapinduzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 8 ай бұрын
Dua kwako kitima nakubali mungu awe nawe
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 9 ай бұрын
Asante padre kitima
@leonardramiye8207
@leonardramiye8207 9 ай бұрын
Safiiiii sana mama samia
@csato9415
@csato9415 9 ай бұрын
Ila ukweli ni kwamba CCM na serikali yao watakupa kwa mkono huu na kukupora kwa mkono mwingine. Haya ngoja tusubiri kinachoendelea .
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 9 ай бұрын
KATIBA MPYA NI LEO
@twahirburhan3726
@twahirburhan3726 9 ай бұрын
Bado hamjasema..mpaka msemee!
@amosiabdulallh7965
@amosiabdulallh7965 8 ай бұрын
We vaa vizur kofia yako nyekundu
@dismasmtui729
@dismasmtui729 9 ай бұрын
Tusifurahie ila tuwe makini, kwa sababu CCM ni zaidi ya kinyonga!
@BahameJuke-wp5cs
@BahameJuke-wp5cs 8 ай бұрын
Maccm yamepora ng'ombe zote tuyashambu Kila Kona Kwa mtazanià mwenye hakiri timamu
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 9 ай бұрын
Maccm wanatendamambo yao kwakiinimacho tu, kwasabbu wanatabia yaubinafusi narohombaya zakishetani bila kujari hatima yavizazi vya taifa hili
@ChristerShao
@ChristerShao 9 ай бұрын
Tuzingatie anachoelezea hacheni kashfa za kishabiki tujitambue tanzania ni nchi yetu.
@mathewyoung2159
@mathewyoung2159 9 ай бұрын
Good news
@greysonmatogo4662
@greysonmatogo4662 9 ай бұрын
Baba Kitima huwapi nafas wapumue hata kidogo, ni mwendo wa kuwapumlia pumzi ya moto tu, Taifa linakuhitaji sana nadhan kuliko tunavyofikiri, endelea kutupigania baba.
@idrissamtonda737
@idrissamtonda737 8 ай бұрын
Bro tupongeze pia utashi wa kisiasa qa awamu hii. Vinginevyo isingewezekana. Kwani kina father Kitima wamezaliwa leo!!? Huko nyuma walisema na walipuuzwa
@bmdele5816
@bmdele5816 9 ай бұрын
Baba Kitima, wewe ni mtu unayehitajika kwa wakati wa sasa!..
@user-mb5cj2ip7n
@user-mb5cj2ip7n 8 ай бұрын
U I. 😅😮
@peterdoisso2414
@peterdoisso2414 8 ай бұрын
Ni vigumu sana kumwondoa mtu nyumbani kwake ambapo alisha zoea kuishi.
@emanuelpiniel5277
@emanuelpiniel5277 9 ай бұрын
Hamjatuambia mmefikaje kushuhudia utiaji Saini mkataba bandari
@pascasmathew424
@pascasmathew424 9 ай бұрын
Mmi nauliza hili . Hivi ikiwa kwa mfano jumla wakioandikishwa kupiga kura kwenye uchaguzi ni 10000 nauchaguzi umefanyika mshindi akapata kura 500 na 8000 zimemkataa ,bahati mbya alipitshwa kama mgombea pekee hapo itakuwaje?
@emanuellukwaro1032
@emanuellukwaro1032 9 ай бұрын
Kwani mnatuwekea matangazo yenu kwa ghara ma zetu? 😊
@belinamwambeleko370
@belinamwambeleko370 9 ай бұрын
Mlivyoitikia huo wito nikosa kubwa mbona yeye hajaitikia waraka mlio toa? na hapo wameshapata njia kwamba mlienda kuridhia mkataba usainiwe hao machwa sio wakuamin tutasikia tu.
@ezekielmabwai4614
@ezekielmabwai4614 9 ай бұрын
Kama huwezi kuandika kiingereza vizuri, kuongea je? Wachangiaji andika lugha unayoielewa, usilazimishe kupata aibu ya kuandika kiingereza fyongo
@rastheunique
@rastheunique 8 ай бұрын
Nitakuwa wa pili kutoka mwisho kuona ufanisi wa kilichofanyika!
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 9 ай бұрын
Hawa wote ni wachumia tumbo!!
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 9 ай бұрын
Una uhakika hawa maaskofu ni wachumia tumbo pole sana kwa ukosefu wa uchambuzi wangekuwa hivyo wangenyamaza siku nyingi
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 ай бұрын
@@Kwelihukuwekahuru tulia dawa ikuingie
@user-ry1pe3tu5s
@user-ry1pe3tu5s 9 ай бұрын
Sheria ya kupita bila kupingwa ni sheria kandamizi iliyotumiwa na maccm kuiba ushindi kwa wagombeaji wa upinzani ,,,
@kakawataifa6752
@kakawataifa6752 9 ай бұрын
Ukila amini na CCM amekalia rungu ukikaa vibaya anakupasua kichwa (CCM hawaaminiki
@dismasmtui729
@dismasmtui729 9 ай бұрын
Ina maana mswada umepelekwa bungeni bila kujadiliwa na wadau?!!, mbona kama kuna kuviziana!.
@chrispinemabwenga3587
@chrispinemabwenga3587 9 ай бұрын
TCD kulikuwa na wadau
@godfreykitebo7382
@godfreykitebo7382 9 ай бұрын
Je wakishinda wa chama kimoja na tume huru napo mtasemaje
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 9 ай бұрын
Haitakaa iwezekane hapa duniani eti upendwe na watu wote impossible and extremely impossible
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 9 ай бұрын
Mjadala muhimu unaweka matangazo yanayoondoa tafakari
@user-uq7kk4dw2o
@user-uq7kk4dw2o 8 ай бұрын
😅😅😅
@simongwandu7392
@simongwandu7392 9 ай бұрын
Mwamakula siyo askofu ni wa siasa
@edwardkasubi5135
@edwardkasubi5135 9 ай бұрын
Sio Askofu unasema wewe ila hapo Bungeni ametajwa jina lake lote Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 9 ай бұрын
@@edwardkasubi5135 askofu wa mchongo huyo
@amosiabdulallh7965
@amosiabdulallh7965 8 ай бұрын
Matapeli hao maskofu
@user-mh5mx1kn8j
@user-mh5mx1kn8j 9 ай бұрын
Mbona maaskofu mko kwenye siasa jamani sioni mashekhe hapo twendeni makanisani na misikitni kuna kazi huko za kufanya tuwaache wanasisa tu dini na siasa wapi na wapi tumeijenga inchi kwa muda muda
@ellylema9042
@ellylema9042 9 ай бұрын
Kwani wao hawana haki.
@renatusmatungwa2508
@renatusmatungwa2508 9 ай бұрын
Hivi huwa unaona ufahari kuandika ujinga?
@mwanache
@mwanache 8 ай бұрын
Waulize Masheikh… pili, hakuna hata mmoja wao aliyeanza maelezo yake kwa kuanza kusema “Bwana asifiwe🙏🏿 Hallelujah… Biblia ktk sura ya… kuanzia aya… inasema kuwa Taifa linatakiwa…” wote wameongea bila kusema lolote lile linalohusu Imani yao. Wameongea kama wananchi wenye haki ndani ya Katiba ya kusema na kutetea Haki yao ya msingi na ya Taifa kwa ujumla. Kama viongozi wa Imani pia, wana haki ya kuongelea yale wanayoona yanawaathiri waumini wao kimaisha, kiroho na kiuchumi. Wakati mwingine ni bora kupima na kukitafakari KILICHOSEMWA AU HOJA na SIO kuangalia njia au msemaji… na mara nyingi Mungu utumia wanyonge au yule asiyekubalika kuleta ujumbe wake. Kichaa anaweza kusema moto moto au nyoka nyoka… ukadharau kisa ni kichaa --> baadae yanakuwa MAJUTO NI MJUKUU🤷🏿‍♂️
@bongo39
@bongo39 9 ай бұрын
Mwamgalie huyo mwembamba njaa tupu kalauka kwa njaa mdomo umemkauka maskini hebu makonda msaidie mtaji hata wa kigenge cha nyanya vitunguu maisha yaendelee
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 9 ай бұрын
Utumia haja mkubwa kichwani
@denismisango6166
@denismisango6166 9 ай бұрын
Kwani ww umeshiba?
@issackmwakyami2740
@issackmwakyami2740 9 ай бұрын
We zerobrain kichwani mwako anakitu ubongo wako uku matakoni
@ulimbagakipole3971
@ulimbagakipole3971 9 ай бұрын
Umezaliwa Kijijini na smarti ulitumiwa na dada Yako ndiyo maana unamtukana mtetezi wako.
@edgarmbegu1974
@edgarmbegu1974 9 ай бұрын
Wewe una kichwa kikubwa lakini kimejaa tope
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 9 ай бұрын
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na Watanzania tuna Imani na Serikali ya Awamu ya 6 inaongozwa na Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utendaji wa Utekelezaji wa Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Pastorsteverotali
@Pastorsteverotali 8 ай бұрын
MAASKOF WALIPINGA KUHUSU BANDARI, SAMIA AKAWAPIGA CHINI WOTE, PAMOJA NA MATAMKO YAO, TANGANYIKA NA VIONGOZI WAKE, HAKUNA MWENYE NGUVU JUU YA RAIS.
@sarafinafranci8481
@sarafinafranci8481 8 ай бұрын
Walibadilika kikomo miaka 30. Walijisafisha wenyewe.
@simongwandu7392
@simongwandu7392 9 ай бұрын
Ni kero kwa viongozi wa kanisa kuingia kwenye siasa ni mshangao mkubwa
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 9 ай бұрын
Ebu kasome bibiliatakatifu 1samweri sura ya nane msitali wakwanza nakwendelea utaona maana yakuwa na madriko
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 9 ай бұрын
Mungu ni kiongozi mkuu wa dini. Kama dini na siasa haviendani angeifuta siasa asingeiruhusu kuwepo duniani kwake
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 9 ай бұрын
Uko sahihi 💯
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 8 ай бұрын
Sheria nyingi zinatokana msaafu mitakatifu na sheria ndiyo inayojendesha siasa na hauwezi kutenganisha siasa na sheria
NUMANOVIĆ O POLITICI SAD: OVO JE NEŠTO OZBILJNO, DODIK JE U OFFSIDEU
27:55
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 29 МЛН
Askofu Bagonza atema nyongo
10:40
Mwananchi Digital
Рет қаралды 22 М.
SAKATA LA BINTI ANAYEDAIWA KUBAKWA KUMALIZIKA, HIVI KARIBUNI MSEMAJI ATA...
8:38
MBUNGE BWEGE AVUNJA UKIMYA, ATAJA KINACHOWEZA KUIN'GOA CCM IKULU 2025
10:17