Рет қаралды 3,576
Siku ya Alhamis Tarehe 21.4.2022 (Bungeni) Mbunge wa Mkinga aliuliza swali lake kuhusu Jiwe la Rubi la kilo 2.8 lililopo katika maonysho katika mji wa Dudai na linakusudiwa kupigwa mnada kama Tanzania inanufaikaje na mnda huo..? Naibu Waziri Mhe. Dkt. Steven Kiruswa alitolea ufafanuzi.
Lakini leo kwenye semina ya Wabunge iliyoandaliwa na Shirika la Madini Tanzania Madini (STAMICO), Mbunge wa Geita Mjini Mhe. Constantine Kanyasu na Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Salome Makamba, waliuliza tena swali hilo na kuomba ufafanuzi wa kina, Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko, amelitolea ufafanuzi jiwe hilo katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates