Eti msiwalike wazazi wacheni nimeipenda hiyo😂😂😂😂😂❤❤❤❤
@nahlahassan-fd6le10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂hatari
@charlesmwambinga435510 ай бұрын
Vunja bei na Frank Nozzzzzy imetajwa mara nyingii...
@mshefabiro329910 ай бұрын
hehehe huyu amelenga mbali
@iddirajabu-vk7ej10 ай бұрын
Doto magaribunapotolea mfano Mtume Mohammad S.A.W angalia kwa umakini ikiwezekana acha mtume alioa ,nakuuliza je wozu kaoa?
@Anuaryomary-su9cd10 ай бұрын
Crazy uyu Dotto utafikili sio mtoto wa kiislamu
@user-qu1dz2ed1b4 ай бұрын
Dotto iyo imeenda 😮😮😮😮
@fatmasalim829310 ай бұрын
Mama hana makosa usimtukane mama wawatu anamtakiya mtoto wake mazuri kakaa kwenye zinaa amuachiye acha porojjo brother
@user-zj1ep6hn4p10 ай бұрын
Alikuwa wap mama kumkanya mpaka kwenye sherehe mama hajtambui
@DavalsonMarlony10 ай бұрын
Angemsemea nyumbn kama kwl anampenda kwel
@erickchitumbi130810 ай бұрын
Mama uzee unakaribia sijui anatafuta dogodogo😂😂😂nimenukuu toka kwa doto
@nahlahassan-fd6le10 ай бұрын
Polee mungu akusaidiee
@sofitanzanian95510 ай бұрын
Liwema zinifu ata likiambiwa halisikii
@user-hi9xd9ok1e10 ай бұрын
Doto magari
@saidizuber88318 ай бұрын
dah kaka nakukubali sana ila hapo kwa mtume umekosea m tume alioa hakuwa anazini
@Mpakauseme10 ай бұрын
Duh kumbe hauna akili aisee
@daudminzi-pb3je10 ай бұрын
Nakubali sana doto magali
@rashidomar155810 ай бұрын
Mwamba leo umechemka sana
@user-nl6wu6cq1i10 ай бұрын
Mama ajamuelewa whozu 😂😂 kabisa iyo siku alikuaa anaisubiliaa kwahamu
@DavalsonMarlony10 ай бұрын
S ndyoo
@bennamush461610 ай бұрын
Ni kweli kabisa yule mam hajamwelewa wozu
@fatmasalim829310 ай бұрын
Usimtaje mtume lahaula walakuwat ilabilah 😢😢😢😢
@nahlahassan-fd6le10 ай бұрын
Linajfanya halina akili eti chizi mjinga uyuu
@kelvindagine95718 ай бұрын
Kwan kaongopa au mtume anatajwa wp .. achen mihemko ya Iman
@estonsaimon667110 ай бұрын
Hili jamaa linaabudu watu lakn sio kufuata maadili na sio busara kama lenyewe linavosema kwahyo wakiwepo anaowataja ata kama wanakosea awe anasifu tu
@PriscaPhedrick-bl7kh10 ай бұрын
Wewe huna mamlaka juu ya mama wema tulia acha kuingilia watatengenezana wenyewe
@alipizaro183510 ай бұрын
Sasa mwaeka interview ambayo haina sauti mwamchoresha influencer
@user-uj8yv6vx3i4 ай бұрын
😂😂 uhakika doto waelekeze
@fatumakiwera714510 ай бұрын
😂😂 Frenk Nouce Vunjabei
@ngowibeatrice170110 ай бұрын
Kaongea sana
@rashidiadamu46748 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅huyu jamaaa noma sana aisee oy sio poa mama umekosea mama umefeli
@AishaAly-nl5ud10 ай бұрын
Mama hana makosa alicho kikosea mama nisehemu ya kutapika dukuduku lake siku ya sherehe yale maongezi yale yalikuwa ni yakifamilia
@fidelfidel-jz4iw9 ай бұрын
Upo Sawa bro
@user-wn4jl7bi3c10 ай бұрын
Kubari sanaa
@rahimchardluck10 ай бұрын
KAMA NI MZAZI NA UNAWATOTO AMBAO UMEWALEA NA UNAMPANGO WAFIKE MBALI UTAFEEL UCHUNGU WA MAMA ALIVYOONGEA.KWELI DUNIA INAPOELEKEA TUTACHOKA SANA.KIJANA MDOGO ANAONGEA IVI MTANDAONI!
@halimakassim70658 ай бұрын
Soto.unafirahisha
@hassanchuji896510 ай бұрын
Mdogo wangu doto humeongea vitu hambavyo nilivyo kuwa Nina viwaza mimi sema nina kuku bali sana😂😂
@MxVisualsTz10 ай бұрын
Kama lana kila mtu ana lana 😂😂
@edithnduwayo220710 ай бұрын
❤😂😂😂😂DOTTO WEWE CHIZZY KWELIII ATI MAMA KAONDOKA NA UBBER😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@eggysulle798810 ай бұрын
Uyu vip mama kawaambia sana hawaskii ndo maana kawachana live,,na hajakataa waish wote hayo n makbliano ila wajlkane nymbn kama ndo ww ungefrai umeecha bdy y mwanao ukute wanarambanarambana utajiskieje?acha kittea ujinga
@mshefabiro329910 ай бұрын
hehehehe vunja bei na frank noise msenge umewataja sana..
@user-eq7tz2lv6i10 ай бұрын
Kweli 👌
@sofitanzanian95510 ай бұрын
Wewe achana namtume koma kumtaja mtume shenzi we
@cheiknamouna205810 ай бұрын
Hahahaaa ati mama karudi na huba😂😂😂
@godymastermind953410 ай бұрын
Yule ni mama na yale maneno kamweleza mwanae, huwezi jua ameongea nae mara ngap ila hawakujali na ndio sababu kaona aongee pale. Ukiona moshi ujue ulianza moto. Cha msingi Wema na Whozu wafanye kama mama alivyo agiza coz anaonekana hakubali mahusiano hao
@mwananganzi9 ай бұрын
Haaaaa michanooo
@teminajeuri34710 ай бұрын
Very true sio mahala pake amekosesa sana
@ghulamhaji78562 ай бұрын
Mtume hakukaa kwa hawara wala mwanamke Mtume amekaa kwa mke kaoa sio mwanamke tu mama yupo sawa tu hajakosea Dotto
@yusuphrashidi-dr1kb10 ай бұрын
Dotto mambo ya mtume wetu tunakuomba tafadhali tutakupiga hanisi
@Brunotarimo1010 ай бұрын
Nikiwa Nairobi gikomba . Kutoka Rombo
@frankngoloka541610 ай бұрын
Kweli mama ameongea maneno makali,furaha ya siku ya kuzaliwa Ika ppoa,mama kakosea
@naimarishedy152310 ай бұрын
Dotto umeongea kweli. Ila ukimchunguza mama Kuna kawivu flani. Maana si lhiyo tu. Wazazi mnachosha. Mtume S. W. Bi Aisha naye aliishi na mtume wetu.
@barakatabdul321210 ай бұрын
Mama karudi na Uba sijui karudi na gari ganii😂😂😂😂
@nahlahassan-fd6le10 ай бұрын
Wewe unamfata mtume muhammad (saw)? Mtume hakuvaa cheni zakike mbona ww umevaa? Wewe usimfananishe mtume muhammad (saw) na chizi mwenzio whozu, koma wewe! Na ingekua unamfata mtume muhammad usingepinga maneno ya mama sepetu kumkana binti yake, coz mtume alkua anajua kama mzazi hakosei maana alkua anajua na alkua anafundisha kuheshimu wazazi, ukome kujifananisha na mtume wakati hamumuwezi kumuiga na hakuna mwanamme yeyote wa kiislam kujifananisha na mtume mukomee!! Hamumuwezi.
@rehmakondo10 ай бұрын
We fala kwel kama anafatwa mtume kwann wasiowane??? Cjui kwann ww na mwijaku mkiongea mnajifanya kama mmesoma dini kumbe mnachukua vpnde vya mashekhe wanavyoongea,acheni mambo yenu ya kiki eti hata wakikaa utupu waache weeee huna wtto??yule mama anajitambua yule hana shida ya maokoto yakampekeka motoni kwa kuhamasisha uzinifu
@luhengosluhengo692610 ай бұрын
Mama hajakosea liwe fundisho Kwa wazinifu wote yaaani anamuokoa mwanawe na moto acha kulaumu mzazi ndio mwenye jukumu lá kukataza hizo sifa unazosema wasifiwe hazina nafasi hapo kajitoa na Allah kashudia maneno ya mama bani Israel waliangamizwa Kwa kutokukatazana mabaya kwahiyo mama Hana kosa naam
@DM_1510 ай бұрын
Mama kazingua tuu kiukweli kama anauchungu na mwanae angesha mnyoosha.tangu enziza yule mwana mziki wa dance kabla ya diamond. Aliwaihojiwa nakuhusu kesiile yakanumba alizingua tuu
@DavalsonMarlony10 ай бұрын
Kakosa busara kropoka vt vya kifamilia kwenye media
@nauwarykabuma379310 ай бұрын
Mama aliongea point sana kwa mwanawe ww unaongea pumba tu
@rahmaabubakarisaanatu196110 ай бұрын
Jmn Doto umeniua kwa kucheka Eti kina nulu diva .
@ShaniBihoiki-lx9jl9 ай бұрын
😂😂
@LukeloKibumo-uu2oh10 ай бұрын
Kumbehatawewedoto mwehu
@allahakujazekheriwowww569410 ай бұрын
Acauongo mtume mu hammad s w w yeye aliowa siyo awo wanafanya zina waowane siovibaya mwanaume kuishi kwamwanaume kama hana uwezo ila sio zina
@nasrahamisi4799 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@mustafaalli469810 ай бұрын
Duh...😂
@Chemba6710 ай бұрын
ETI MAVYUMA HAYO YANAUZWA BUGURUNI😂😂😂😂
@reginamanyangu725810 ай бұрын
Dotto kaongea kwer
@MunahSadiq-bh7ol10 ай бұрын
Doto magari ameongea vizuri sana🎉🎉
@christinamabula41610 ай бұрын
😂😂😂karudi na huba
@sidikassim675910 ай бұрын
Watoto wananyonya wle kwn hyo wema mwanmme w ngapi yle ni mtu mzma htak aibu mtto mwny mmja anchzew na wangpi
@abubakarymaulidy568110 ай бұрын
Mtume anatangazwa nyie mnapaniki mbn me sjaona baya apo amesema tusione ajabu kukaa kwa mwanamke si mtume alikabidhiwa mali ya khadija au??!
@mshefabiro329910 ай бұрын
kwly haja mtaja kwa ubaya watu wanaelewa vibaya
@stanleynyale275510 ай бұрын
Kifaranga cha kuku wamejaa mjini
@azaniayoub697110 ай бұрын
Bwana mkubwa usilete ujinga kwenye dini za watu unamjua mtume muhammad wewe ata umfananishe na Whozu mfananishe Whoz na baba ako si mtume koma mjinga wewe.😡
@nahlahassan-fd6le10 ай бұрын
Umeon ee chizi mkubwa uyuu
@DijaMriri-wc4qd10 ай бұрын
Umaarufu unamlevya
@eggysulle798810 ай бұрын
😂😂😂
@mwinyiabdallah438310 ай бұрын
Mshamba huyu limbukeni
@Rizikialiamechannel76310 ай бұрын
Kipenzi chetu cha mwenyezi mungu hajawa mzininifu mpuuzi huyu
@saeedmassoud25610 ай бұрын
Mtume alikaa kw mwanamke sawa lkn alikua ndani ya ndoa sio nje ya ndoa mpuuzi mkubwa ww na ukome kumtaja Mtume wetu kwny vitu vyenu vya kipumbavu ghabi
@kelvindagine95718 ай бұрын
swala alikaa kwa mwanamke. . kwa hiyo akiwa kwenye ndoa anaruhisiaa . . unamkinga mtume halafu unatukana mtume wetu aliishi kwa mwanamke na baadae aliondoka ndo alichosema doto
@sidikassim675910 ай бұрын
wandashi wa hbar wa mchongo kizungu cha kajamba nani kwn hmuez kuongea lugha ynu y kiswahili mkapndzesha lugha ynu
@sofitanzanian95510 ай бұрын
Mbwa we kakosea nini
@JacklineNamundengozi10 ай бұрын
Mbwa niwewe🤣
@sofitanzanian95510 ай бұрын
@@JacklineNamundengozi nimeona nikujibu kabla sijafa sasa nikuulize yeye kataja mtume mtume aliishi nakimada
@sofitanzanian95510 ай бұрын
Kuwa naabadu ukitaja mtu mbwa wewe namamaako
@sofitanzanian95510 ай бұрын
Hujielewi eti ndio maana unaona sw
@sofitanzanian95510 ай бұрын
Mshenzi.we
@davidrulobhavako855110 ай бұрын
Mzee wa fact
@sidikassim675910 ай бұрын
we we we acha ujinga we unjuwa maish y mtume wwe unzengua naon saiv maish y mtume unayjua wwe kwhio mtume alkuwa mzinzi unavykusdia kusema au kuw na adbu na dini za wenzio mtume wtu mohmad alioa wke zaidi y 10 kw amri y mngu we ulimuon kaish na mwanmke bla ndoa alfu hyo ni storia ya karne sio wwe kulet ujinga
@JacklineNamundengozi10 ай бұрын
Very true Dotto she said the right things at a wrong time she's such a bad woman.