Yapo makosa mengi na madhara yake kwa mtoto yanatofautiana. Wazazi wengi sana wamefanya kosa hili na madhara yamekuwa lukuki.
Пікірлер: 2
@ValentinaSalingwa-zo4lgАй бұрын
Asante sana doctar kwa maelekezo mazuri ya malezi kwa hawa vijana wetu binafsi nimeelewa sana ila kwa hiki kizazi mungu tuu atupe maarifa na hekima namna inavofaa tuenende ktk makuzi yao ila mungu akutunze mtumishi uzidi kutupatia madini kadri utakavoongozwa na mungu.
@OdetteKahambuАй бұрын
Dr , Na shukuru sana kwa mashauri. Hakika ume nisaidia sana positivement