Dr. Chris Mauki: Tabia 9 zitakazokuongezea ujasiri maishani

  Рет қаралды 44,271

Chris Mauki

Chris Mauki

3 жыл бұрын

Je unajiona unakosa ujasiri? Je umeishi katika mazingira yaliyo athiri ujasiri wako? Hizi hapa tabia 9 ambazo ukizifuata zitakusaidia sana kuongeza ujasiri kwenye maisha yako.
#DrChrisMauki#Tabia#Ujasiri

Пікірлер: 62
@NZAMUYEJoseph
@NZAMUYEJoseph 5 күн бұрын
Nakupendaaa sanaa umeniwezishaaa njmemtekaaa kipenz kwa mbinu zile
@CatherineKalua-bk8vg
@CatherineKalua-bk8vg Ай бұрын
Kiukweli umenibadilisha Sana kaka ,,ubarikiwe Sana
@leahloth6711
@leahloth6711 2 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mafunzo mazuri tokea nimeanza kukufatilia nimeona mabadiliko makubwa sana naendelea kujifunza
@SammyMagindu-ft8gy
@SammyMagindu-ft8gy 2 ай бұрын
Mawasiliano tafadhalii Dk
@theresiachigali9482
@theresiachigali9482 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana DR unaendelea kunijenga kiakili najifuza vitu vingi sana kwa kutazama chaneli yako hivi naweza kuongea na we DR
@enoshmukama4783
@enoshmukama4783 11 ай бұрын
Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri sana nimejifunza kitu Leo ubarikiwe DR
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 3 жыл бұрын
Ubarikiwe dr Chris mauki
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
amen asante sana
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Asante mungu akusaidie❤️🙏
@mwl.frankmadembo7472
@mwl.frankmadembo7472 3 жыл бұрын
Thanks Dr for the good lesson
@erastitesha943
@erastitesha943 2 жыл бұрын
Asante dr wng
@CharlesValentinefaustine-tq5te
@CharlesValentinefaustine-tq5te 8 ай бұрын
Asant kwa kunielimisha Mungu akubaliki sana
@erikalutevele8362
@erikalutevele8362 3 жыл бұрын
Ahsante dr kwa somo nzuri kabisa
@Anna-se9gp
@Anna-se9gp Жыл бұрын
Dr be blessed bcoz of things to say are really good to do it
@suzanemwambe6320
@suzanemwambe6320 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri,,,tunajifunza vitu vingi, vizuri kwako,mungu akubariki sana
@debraswai9131
@debraswai9131 3 жыл бұрын
Asante Sana doctor nimejifunza mengi Mungu akubariki sanaa
@hawwahawwa8533
@hawwahawwa8533 3 жыл бұрын
Safi sana 👍
@polinewesonga8121
@polinewesonga8121 2 жыл бұрын
Asante...kwa kweli nimejifunza pakubwa.
@solangesoso3100
@solangesoso3100 3 жыл бұрын
Asante sana nimependa somo la leo
@karimabdoul7619
@karimabdoul7619 3 жыл бұрын
Somo zuri sana Dr.chris mauki ✊✊✊
@aminaalmas110
@aminaalmas110 3 жыл бұрын
Vzr
@tabiamaheke
@tabiamaheke Жыл бұрын
Upo sahh sana
@ErickMwawite-hm6uj
@ErickMwawite-hm6uj Жыл бұрын
Asante kwa somo
@olivanooraladin5436
@olivanooraladin5436 2 жыл бұрын
Inshu hpa kwenye kusimamia kitu unachoka mini lkn nataman kuwa mtu furan mim km mimi lkn Kuna vitu ambvyo vinanivunja moyo but na mshukuru mungu kwa yote pia huwa nakufatilia Sana na kunavitu najifunza
@issaimwasha1185
@issaimwasha1185 2 жыл бұрын
Somo zuri Sana mkuu, ubarikiwe sana
@catherinenasambu5366
@catherinenasambu5366 2 жыл бұрын
Asantee kwa wazo boss
@sufoorembo5925
@sufoorembo5925 2 жыл бұрын
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
@beatricemabula4783
@beatricemabula4783 2 жыл бұрын
Ahsate sana.karibu.sana kibaha japo utukusanye wamama wa kanisa la anglacan tupate .madini yako
@neemajeremiah6577
@neemajeremiah6577 Жыл бұрын
Asante kwa chakula kitamu Cha ubongo
@leonardytarzantarzan481
@leonardytarzantarzan481 3 жыл бұрын
Safi sana kaka ...
@user-sn7gk3fd2o
@user-sn7gk3fd2o Жыл бұрын
Nashukuru,prof kwa ujumbe mzuri samahani nisaidie hapa mm ilishawahi kutokea ugomvi na jirani yangu ambaye nafanya naye kazi ofisi mmoja, na chanzo Cha ugomvi ni madharau masimango yy huwa ni mbea sana na Ana madharau sana Sasa yy no mtu wa mda mrefu apa mm Nina Kama miaka miwili Sasa kilichotokea baada ya mm na yy kuzozana ni kunisema vibaya kwa wafanyakazi wenzetu ,mitaani na Kila korna afu watu wananichikia Apo nifanye nn ebu nisaidie mtu ishi
@tawalazephuline4950
@tawalazephuline4950 2 жыл бұрын
Ahsante
@mugeraanthony1873
@mugeraanthony1873 3 жыл бұрын
Great
@user-te6ej9mb3l
@user-te6ej9mb3l Жыл бұрын
Asante kaka
@othmanmuhammad1650
@othmanmuhammad1650 3 жыл бұрын
Such a great lesson, it absolutely perfect ten,.!.so valuable,.
@jerukakayi
@jerukakayi Жыл бұрын
Nimeamini kuwa ww ni daktari umenitibu akili na Mungu akupe hekima na maarifa zaidi
@yohanamdui7458
@yohanamdui7458 Жыл бұрын
Dr Chris mauki nakufatilia sana mafundisho yako yananijenga sana unanisaidiaje na mm niwe kama wewe??
@neemashillah3770
@neemashillah3770 3 жыл бұрын
👍vizuri
@khadijarajab8383
@khadijarajab8383 2 жыл бұрын
🙏
@user-xq2vu8sk4d
@user-xq2vu8sk4d Жыл бұрын
Somo zuri sana
@dianamshana5847
@dianamshana5847 3 жыл бұрын
Asante sana Dr ubarikiwe
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
amen asante sana
@johnmtobesya7683
@johnmtobesya7683 3 жыл бұрын
Nice
@gloryminjs9744
@gloryminjs9744 11 ай бұрын
Dr leta tips za mwanaume kuchange dini kumfata mke na girl kuchange dini kumfata mme ni love au nn Kwenye ndoa hatabadilika au hatabadilika plz
@subiraomari5908
@subiraomari5908 3 жыл бұрын
Asante Sana
@halimaiddy158
@halimaiddy158 2 жыл бұрын
Naomba no doctal naitaji kuongea na wew
@naimahassan5955
@naimahassan5955 3 жыл бұрын
Good
@mariamnestory6715
@mariamnestory6715 2 жыл бұрын
Asante Sana mungu akubariki nimebarikiwa Sana mafundisho yako naitaji nipate namba zako za cm nipo kigoma asante
@saadarashidi2428
@saadarashidi2428 3 жыл бұрын
Nafurshishwa saana masomoyako
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
amen asante sana
@omarhusen7121
@omarhusen7121 Жыл бұрын
Asant san dk kwa kukuuza ubong wang
@neemajesmas9035
@neemajesmas9035 Жыл бұрын
Asante doctor
@lightinessmichael5767
@lightinessmichael5767 3 жыл бұрын
Barikiwa kwa somo zuri
@onesmosanga8408
@onesmosanga8408 3 жыл бұрын
Tuko pamoja
@MnyimbiOfficial-cn1nw
@MnyimbiOfficial-cn1nw Жыл бұрын
Dr mauki naomba namba zako nataka ushauri pravite
@tabithajoseph7249
@tabithajoseph7249 3 жыл бұрын
Ubalkiwe
@janethseba8795
@janethseba8795 3 жыл бұрын
Ninakuelewa kaka sasa mimi kwa upande wangu nilifanya maamuzi sahihi kwenye mahusiano kwa upande wa mwenzangu anasema alikosea.niishi vipi naye
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Fatilia watu wanaokupenda,anaekubagua nawe mbague,,
@estarkapinga6126
@estarkapinga6126 3 жыл бұрын
SoMo zuli nime elewa na unanipa nguvu ya kupambania maisha yangu
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
amen asante sana
@norbypoltv
@norbypoltv 3 жыл бұрын
Yes kaka asante kwa somo zuri.. Pia wajifunze tabia hizi za kuacha 2021 ili wafanikiwe 👇👇 kzfaq.info/get/bejne/b8qXiJZ71q-Rnok.html
Dr. Chris Mauki: Mambo 8 ya Kukusaidia Kuishinda Hofu
12:14
Chris Mauki
Рет қаралды 31 М.
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 9 МЛН
Makosa saba (7) ya kuepuka kwenye mahusiano yako
12:24
Chris Mauki
Рет қаралды 99 М.
Dr.Chris Mauki:Vitu 3 Vitakavyo Yavuta Mafanikio Yako Kwa Kasi
9:34
Dr. Chris Mauki: Tabia 5 zitakazo kusaidia kustahimili mapito
8:47
CHRIS MAUKI- UKITAKA KUFANIKIWA MTUNZE MKEO (FULL VIDEO)
36:54
Tacmen Group
Рет қаралды 65 М.
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН