No video

DR SLAA ANAHOJI MKOPO ULIOKOPWA NA SERIKALI YA ZANZIBAR.NANI ATAULIPA, ZANZIBAR HAINA HAKI YA KUKOPA

  Рет қаралды 14,439

Chanzo Tv Online

Chanzo Tv Online

Күн бұрын

Пікірлер: 82
@shaabanmakame2690
@shaabanmakame2690 2 ай бұрын
Mama,Dr,Mh Samia tuletee pesa ndugu zako Watanganyika wache waumie kuumia kwa zamu 😂😂😂😂😂😂😂
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 ай бұрын
Mkome kwani mliambiwa mvae koti
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 2 ай бұрын
Mimi ni Mzanzibari na Samia kura yangu anayo 2025 inshaallah
@user-wz7tm6bp1g
@user-wz7tm6bp1g Ай бұрын
Dah! Kumbe ndo hivyo MAMLAKA KAMILI muhimu jamani tuwafamu wenzetu ACT
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 10 күн бұрын
Haina haki yakukopa zanzbary nyie ndio mnahaki imesahau ile ilikua nchi inauhuru wake ilikua inabendere umoja wa mataifa leo hatuna haki yakukopa nyie ndio mnahaki
@k2plusstudio858
@k2plusstudio858 2 ай бұрын
Uzee tena Zanzibar inapata Uhuru hela yake sh 1 za na laundi 8 ya uingereza kitu cha umoja wa mataifa walitulipia Tanzania bara banki kuu walichangia asilimia zaidi ya 8 gawiwo lake inatakiwa apewe asilimia 8 ajalipwa miaka kibao sisi tunadaiwa na Zanzibar hela hatuwezi kuilipa
@rashidsaid7823
@rashidsaid7823 2 ай бұрын
Huyu mnafiki alikuwa aseme haya wakati alipopewa Ubalozi...Na ni uongo Mkopo hakusaini Mh.Sada,alisaini Dr.Natu Mwamba.
@user-kx4wd5vb4j
@user-kx4wd5vb4j 2 ай бұрын
Vunjeni muungano ili Zanzibar ikope na kulipa wenyewe.
@saidal-hind5338
@saidal-hind5338 2 ай бұрын
Sasa kwanini isikope ndio ujuwe haina haja ya muungano ss zanzibar
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 10 күн бұрын
Lazima moyo ukuume kwa sababu unaroho mbaya dikteta alimuuwa nani alimfunga nani alimtaifisha nani alimtukana nani alimjeruhi nani wewe udini vingozi walipita walibinapsisha mashirika mangapi mbona hayo hamkuyasema ni uchochezi tuu na ubaguzi
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 2 ай бұрын
BRAVO KOMREDI SILAA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....WATANZANIA TUNAKUELEWA NA TUKO NYUMA YAKO.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
User kama hueleweki
@AbdallaJuma-tx5ck
@AbdallaJuma-tx5ck 2 ай бұрын
Kama Nini kata muungano
@sayidabdillah8505
@sayidabdillah8505 2 ай бұрын
Asalam alykum Mzee slaa acha ujinga ww Ss wazanzibar mumetudhulumu kwa miaka mingi sana kuanzia tangia raisi wenu kambarage nyerere up to raisi wenu magufuli Leo Allah sw ametuletea mama etu mama samia juu ya haki zetu za Zanzibar inawaumiza Sasa sisi wazanzibar tumeshasema kuwa huu muungano hatufaii mukawa kimya bcoz nyinyi tanganyika mume vaa koti la muungano Sasa vunjeni muungano or wekeni mfumo wa kila nchi iwe na mamlaka yake ,iwe na mkuu wake wa nchii Tanganyika iwe na mkuu wake wa nchi na Zanzibar iwe na mkuu wake wa nchi Acheni maneno muacheni mama afanye kazi
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 2 ай бұрын
Watanganyika amkeni muvunje Muungano hata Sisi Wazanzibari tumewachoka ila hawa ma CCM yanatuganda Wazanzibari
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 2 ай бұрын
Nje ya Muungano hakuna nchi inayoitwa Zanzibar.
@omarhababuu3159
@omarhababuu3159 2 ай бұрын
​@@venancemwanya4212nazani. Akiliyako imeungana namshipa wamavi
@muflih85
@muflih85 2 ай бұрын
Zanzibar ipo tokea kabla ya muungao na iyo Zanzibar ndo inayojuulikana zaidi duniani kuliko iyo Tanganyika yenu na ingekua Zanzibar Wana passport zao iyo Tanganyika yenu ndo ingezidi kufa mana hakuna mtu angeijua
@rashidsaid7823
@rashidsaid7823 2 ай бұрын
Mlikuwa wapi siku zote?
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 2 ай бұрын
WATANGANYIKA WALIO CCM NA WALIO VYAMA VYENGINE, NYOTE MTALIPA MADENI NA MIKOPO WANAYOKOPA WAZANZIBARI KWA DHAMBI MLIYOWAFANYIA!
@alisalum5845
@alisalum5845 2 ай бұрын
Tutalipa Watanzania sote, kama vile Tanganyika mukikopa tunalipa tanzania sote
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 ай бұрын
Watayalipa wazanzibar wenyewe,,,
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 2 ай бұрын
KATIBA MPYA NI LEO
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Wachawa CCM wanapiga makofi kwa kila neno linalo toka mudomoni mwake huyo mama yao
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Kama wanajeshi hawajalipwa alafu hawsemi kwa nini tuwasemee? Kama hawasemi basi wanafurahia hiyo hali. Dr Slaa asante kwa kutujulisha kinacho fanyika katika Tanganyika watu wenye akili wapate kuelewa ni wazalendo wasiyo wachawa CCM wote ni wachawa wakubwa. Professor Mkumbo alipokuwa tumbo halina kitu alikuwa na chama cha upinzani. Lakini baada ya kupata mshiko wa kujaza tumbo lake ni mbaya kuliko CCM original.
@user-ec8zv7lq8y
@user-ec8zv7lq8y 2 ай бұрын
Muungano wetu bado kuna mambo mengi hayajakaa sawa
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Watanganyika wengi kwa sababu ya matumbo yao na njaa zao hawaoni shida yo yote.
@isackcharukula-wy2hn
@isackcharukula-wy2hn 2 ай бұрын
Wanao bishi professor semeni nyie mnachokijua
@user-pf2qk8fz9o
@user-pf2qk8fz9o 2 ай бұрын
Asante mzee wangu Niko upande wako inatia saaana UCHUNGU 😂😂
@user-hu4sd7bg8n
@user-hu4sd7bg8n 2 ай бұрын
Wacha kelele wewe mzee basi muungano uvunjike ili na sisi wazanzibar tutambulike kimataifa na kuweza kukopa wenyewe kila mtu afe na chake
@rashidsaid7823
@rashidsaid7823 2 ай бұрын
Kwa Mujibu wa Katiba ya Muungano,Zanzibar haina mamlaka ya Kukopa ,wewe Boya Slaa ulitaka Zanzibar ikakope wapi na haina uwezo huo?
@prochesytesha8040
@prochesytesha8040 2 ай бұрын
Huyu mzee namkubali sana
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 ай бұрын
Wewe ni fitina hakuna kiongozi fitina kama huyu babu ni fitina na samia bado miaka 10 sio 5 mitano alipewa na katiba cc tutaanza 25 na 30 usijitoe akili leo sptali kujengwa unanuna dhaifu mkubwa
@user-lq8mi3zz2c
@user-lq8mi3zz2c 2 ай бұрын
Pole sana kwa kweli inauma sana yote unayosema ni kweli
@isackcharukula-wy2hn
@isackcharukula-wy2hn 2 ай бұрын
Duuu hatari
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 ай бұрын
Ulipopewa ubalozi ulikaa kimnya sasa hivi huupati tena ubalozo
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Kipindi kile madudu haya hawakuwepo.
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 2 ай бұрын
Ukweli unauma. Baba Dr. Slaa nchi hii mambo magumu! Hawa wanaosifia kila kukicha. Shida kubwa na waTanzania elimu hizi za siasa hatuna. Hawa CCM ni mchwa !!
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Yetu macho na kusikiliza Hotuba Maoni ya watanzania na vyana vyote Tunachoomba Amani tu Tanzania
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 ай бұрын
Mpuuzi wewe zazibary isikope nyee mkope wewe babu huna akili mmeidhulumu zazazibr kwa miaka 60 nyie mjenge barabara sisi tusijenge
@AbdallaJuma-tx5ck
@AbdallaJuma-tx5ck 2 ай бұрын
Nyinyi watanganyika sasa mnajuwa kuhusu muungano.miaka 60.mnatuibia wazanzibar sasa mutulie kama moja kutesa kwa zamu.wajinga nyinyi
@RukiyaKombo-mm5pr
@RukiyaKombo-mm5pr 2 ай бұрын
Ww mzee mbinafsi sana na nyinyi ndio munao iekea mmguu Zanzibar tangu zaman tunawajua saiv unaumia hutaki kuona maendeleo yoyot ktk nnchi ya Zanzibar duh apao ulipo utubu ufanye ibda t utakufa ulimi nnje kwa ubinasi wabaya wenzio wot washtangulia
@bongo39
@bongo39 2 ай бұрын
Mama yako aliopo kijijini ndio atalipa
@haidarybabuu2075
@haidarybabuu2075 2 ай бұрын
Vunjeni muungano kwanza ila tuache zanzibar ijitawala
@bernardndemba2253
@bernardndemba2253 2 ай бұрын
jitawaleni ns mtoke wote huku kwetu .
@lucasmkui3160
@lucasmkui3160 2 ай бұрын
Unayecoment kwakutoamaneno yauchochezi achamaramoja amri.
@rashidsaid7823
@rashidsaid7823 2 ай бұрын
Uongo mwengine mkopo ule haukutolewa na EXIM BANK ya China
@alinassor1201
@alinassor1201 2 ай бұрын
Bado hamjasema
@user-qv4jb7mt5q
@user-qv4jb7mt5q 2 ай бұрын
Baba unapokata tamaa na kusema ungetamani kufa, maana yake unataka sisi watoto wako au wafuasi wako tufe pia kwavile wewe ndio dira yetu, mfano mwingine ni kama vile waisraeli walivyotaka kubaki utumwani kwenye mateso Misri badala ya kwenda nchi ya ahadi, na Moses akawakemea.
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 ай бұрын
Watanganyika bado hatujapata uhuru mpaka kesho hiyo 61 ilipata uhuru Tanu pekeake na leo inaitwa CCM na kwa kuwa Nyerere alifanya maamuzi ya Vyama vingi kimakosa basi ndio kinachotutafuna mpaka kesho,laiti kama Nyerere angekubali kura za chama kimoja huenda hii nchi leo ingekuwa mbali kimaendeleo kuliko Taifa lo lote hapa Africa,7bu kila mwanasiasa angepanga foleni ktk chama kimoja na wangekuwa juu zaidi kwakuwa akina Lissu wangeshakuwa Maraisi na Mbowe unadhani tugekuwa hapa tulipo
@shaabanmakame2690
@shaabanmakame2690 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂TANGANYIKA OYEEEEEEEEE DADEKI MPK MUSEME DADEKI
@RukiyaKombo-mm5pr
@RukiyaKombo-mm5pr 2 ай бұрын
Ww mze mnafiki hakiamungu hayo unayosema ww yot wazanzibar washayasema kabla ya rais samia ikafika hadi masheh kufungwa ila uliufyta kimya kisa raisi anaetawala sio mzazibar ila saiv unaongea uo unafiki wako ww na ubaguzi t
@ahmedhemed3983
@ahmedhemed3983 2 ай бұрын
Hi
@user-wp3fp9ts2q
@user-wp3fp9ts2q 2 ай бұрын
docta Slaha usomi wako wote hujajuwa kuwa akopae ndie alipae
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j 2 ай бұрын
Wewe mzee huaminiki una tabia ya uzushi uliwasingizia chadema kuna kundi la utekaji na utesaji na una ushahidi, kisa ulihadaika na madaraka mafupi ya ubalozi....
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 ай бұрын
Hawa watanzania wanaoiunga ccm mkono nilini watafunguka akili zao
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Kama vile tumefiwa.
@user-vi1ds6gw9g
@user-vi1ds6gw9g 2 ай бұрын
Asante mzee Slaa watz tuliharibiwa toka mwanzo kabisa, siku zote mimi namlaumu mwalimu alitukosea sana kutufundishwa kiswahili peke yake hili limekuwa tatizo kubwa sana la uelewa wa mambo kwa upana wake, tutazunguka na kuwalaumu watanzania lakini tatizo letu liko hapo hapo tu, yaani kuongoza watz ni rahisi mno maana ni kuswaga tu!😭😭😭🇹🇿🇹🇿
@ZuenaSharifu
@ZuenaSharifu 2 ай бұрын
Atasaiz hujacherewa kuongea kingereza
@isaliisu3408
@isaliisu3408 18 күн бұрын
Huyu slaa hajuwi zaidi bibiliya ndiyo udokta wake kwa hiyo mengine ni mzungu wa Reli
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 ай бұрын
Acheni udhaifu acheni uroho acheni wivu acheni udini roho zenu mbaya sana samia bodo anamiaka 10
@user-dd1ci8eu1c
@user-dd1ci8eu1c 2 ай бұрын
Ume ongea kwa uchungu mkuu hadi mimi nime bubujikwa na machozi😂😂
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 2 ай бұрын
Jana husein mwinyi ameongezea watumishi wake hadi transport allowance vipi rais wetu samiah?
@salimukimwaga-fu8cc
@salimukimwaga-fu8cc 2 ай бұрын
Bado inataka kujengwa Barbara ya dar to zanz sijui Kuna faida gani au usafiri wa kwenda zanz kununua mihogo ni kuijazia madeni nchi
@user-zk9ox3di4b
@user-zk9ox3di4b 2 ай бұрын
asante sana baba Dr silaa je nauliza madeni ya Zanzibar yatalipwa na. Tanganyika itakua ni kinyume Cha Sheria atutapenda kulipia Zanzibar madeni yake je nauliza nikwanini basi sisi watanganyika tutawaliwe kwa njia iyo tunataka Zanzibar wapewe ulinzi tuuu
@saidal-hind5338
@saidal-hind5338 2 ай бұрын
Mulitumwa muungane hata ccm zanzibar tunahitaji uhuru wetu hatutaki kukopewa hakuna nchi hiyo
@rashidsaid7823
@rashidsaid7823 2 ай бұрын
Ulitakiwa kujiuliza kwanza kwanini Zanzibar haiwezi kukopa ?
@RukiyaKombo-mm5pr
@RukiyaKombo-mm5pr 2 ай бұрын
Kila raisi hakosi Wat wanafiki km hawa Ww muache mama apige kazi mbona hukusema kipind chamagu kikwete wakat wenzako wanamsema hao ila kwa chuki zako t kwa huyu mama saiv ndo unaporoja t roho mbaya io yko kisia mzanzibar
@bernardndemba2253
@bernardndemba2253 2 ай бұрын
kazi gani anapiga kuzurura ndiyo kazi.pole
@jituakilimali15
@jituakilimali15 2 ай бұрын
Watalipa wabara tu Dada yetu kopa tu nyie mmestuka sasa hivi kuna mikopo mingi tu kila Safari Ya samia si munamuona Saada yupo tulieni kabisa
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 ай бұрын
Dr Slaa. Wewe ni muongo angekuwa hana hela angeweza kwenda Korea pamoja na wote alioondoka nao mpaka wasanii
@user-dd1ci8eu1c
@user-dd1ci8eu1c 2 ай бұрын
Kwani huwezi kwenda na wasanii kwa mkopo tulia wewe huekewi kinacho endelea
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Edson hujui kuwa hayo ni matumizi mabaya ya pesa kusafiri na lundo la watu tele huku watu wabapata tabu kwa Bima za Afya hasa kwa Mama Wajawazito na Watoto hawatibiwi bure
@salimukimwaga-fu8cc
@salimukimwaga-fu8cc 2 ай бұрын
Watanganyika hawana u hungu na nchi Yao tumewaachia wa hachache kuisemea Tanganyika
@shaabanmakame2690
@shaabanmakame2690 2 ай бұрын
Uzalendo utakuwepo wapi ?wkt muna taifa la kukodi toeni tanganyika yenu nyie wazembe wa Kitanganyika😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ZuenaSharifu
@ZuenaSharifu 2 ай бұрын
Watanganyika wanaumi hahaha atabado samia bado 10 achatuwatawale
@ahmedhemed3983
@ahmedhemed3983 2 ай бұрын
Hi
Prank vs Prank #shorts
00:28
Mr DegrEE
Рет қаралды 4,2 МЛН
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 16 МЛН
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 38 МЛН
CHADEMA YAJIBU MASWALI YA WAANDISHI WA HABARI, TUNDU LISSU
8:14
BUKOLITZ MEDIA
Рет қаралды 10 М.
ISMAIL JUSSA HAJAPOA AAMUA KUWEKA WAZI UCHAFU MWENGINE WA CCM NA SERIKALI YAKE.
24:28
معركة مع القضاء الأمريكي | د.سامي العريان | 139
2:45:17
بودكاست بدون ورق
Рет қаралды 682 М.
Prank vs Prank #shorts
00:28
Mr DegrEE
Рет қаралды 4,2 МЛН