Maashaallah Allah akupe umri mrefu uzidi kuwepo kuipigania dini ya Allah Inshaallah Allah atakulipa
@user-rd6he3pu2o2 ай бұрын
Hakika Dr sule ni Nuru na zawadi kubwa katka uislam katk kuilingania dini mungu akupe maisha marefu inshallah.
@abuushomari75335 ай бұрын
Mashaallah umeelezea vizur kwenye nyongo na digestion system 😊😊
@RamadanPaul5 ай бұрын
Wakristo hawawezi kuelewa hii,,,, Dr sulle u always great 👍👍
@user133755 ай бұрын
Kumbe mlango upo India😢😢 sijuwi tunafanyeje huku si tuhamie karib na milango😂😂😂
@favoritebrayo5 ай бұрын
so nyinyi ndo mnaelewa kumuabudu mohammed😁
@Catherine-mh8sw5 ай бұрын
@@favoritebrayoMuongo mkubwa we, waislam toka lini waka mwamini binaadam.
@aminahassani-jh5rp2 ай бұрын
Mashallah Shekhe wetu mungu akuweke sana tu
@user-jb1qk1rk7o5 ай бұрын
Sheikh mungu akujaalie maisha malefu tuweze kupata elimi iliyopanuka ila makosa aliyoyafanya Adam kwa kudanganywa na Hawa hujaiyaja au haifahamiki
@user-kl6vb4yv6i5 ай бұрын
MashaAllah nakupenda sheikh Dr. Sule
@user-mi9ll7zr3x5 ай бұрын
Unajua Sana Dr sule
@Yahyasalim-wg1fi5 ай бұрын
Mashaallah kazi nzuri
@fahadherrera81725 ай бұрын
MashaAllah shukran Maalim
@saudaumar33545 ай бұрын
Mashallah Mashallah Mashallah
@naxirybeachboy5 ай бұрын
Inshaallah Dr sule MUNGU azid 2wezexha
@user-uw7qr6wk9q5 ай бұрын
Inshaallah mwenyezi Mungu atubariki
@mariamharoon18405 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mashaaallaah
@Fardadihd5 ай бұрын
Nakupata vizuri kutokea Dubai nakufatilia sana
@RamadanPaul5 ай бұрын
Mashaallah
@user-ed3ny9hi6t4 ай бұрын
Safi sanaa Dr sule Allah akuzidishie❤
@jamesrichard39715 ай бұрын
Asante shekh,, nakuelewa Sana, Ila ndacha nikichwa maji Sana,, anaogopa kurudisha Gari ya kanisa na nyumba ya kanisa 😅
@tuliaalimasi64045 ай бұрын
Mungu akusamee.
@mohammedrajabumwamba13225 ай бұрын
@@tuliaalimasi6404 😂😂 mungu akusamehe ww
@miishhassn5 ай бұрын
Wee kumbe sikuwa najua hilo😂😂
@umdtv27495 ай бұрын
@@mohammedrajabumwamba1322 mna mezeshwa vitu vya ajabu sanaaaaa. Mwambie atoe ayo maneno anayo yaongea anatoa wapi. Atoe na maandiko kwenye iyo quaran. Aache uongo basi mungu sio mwanadamu shauri yenu
@ahmedmpimbi96845 ай бұрын
Kwamba wewe umeisoma quran kuliko yeye na unaona anachokisema ni uongo au sio 😃@@umdtv2749
@AbuuSiiriin5 ай бұрын
Sule mwenyewe mbovu Allah amuongoze
@Kizua4174 ай бұрын
Mashaallaah
@BashiriAllyibrahim-kr3fb5 ай бұрын
Nakufatilia Dr sule kutka marekani napenda historia kama hizo
@RamadanPaul5 ай бұрын
Mashaallah
@Nily-kz3db5 ай бұрын
MashaAllah Dr Sule Allah Atuhfadh waislam wte
@user-pn8se5li5p5 ай бұрын
Hizi hadithi ni nzuri na zinachekesha sana
@hamisimuhammad36565 ай бұрын
Nakufatilia dr sulle kutoka miwaga dimani kibiti
@fabimbilinyi25295 ай бұрын
Ishrra
@ibrahmsafiry15755 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@naxirybeachboy5 ай бұрын
kutoka kenya Dr upo sawa kihistory
@MasizieRahim-gw1bf4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@mariamharoon18405 ай бұрын
Naipataje hiyo kadi sasa mimi nipo oman
@user-jg4zc9fk8p5 ай бұрын
Akuna binadamu mwenye kiswa bofu kama kumuona Dr sulle,anatoa MANENO ya kasfa lánatula nawashukia sana-sana
@kaoretosha66685 ай бұрын
Uelewi usuchojua
@hadjiemedy4944 ай бұрын
😮b
@fatumaomari59785 ай бұрын
Mashallah ❣️❣️❣️🥰🥰
@user-kn2bg7ki6u5 ай бұрын
Kuteremka kutoka mbingun kwan kuna ushahid kuwa adam kaumw mbingun allah anasema fil ardh nyny mnasema fi samai
@IbrahimMwinyi5 ай бұрын
Kasem nan
@miambayankeba10845 ай бұрын
Hawa alivuka mitoni mapori vipi mpaka afike saudi Arabia?
@bellasi3493 ай бұрын
Yan ni vichekesho eti walipoteana miaka 40 😂😂😂 yani hawa jamaa kwa visa😂vya kijinga wana diplôme
@BadiMwanengo5 ай бұрын
Sadakta
@user-hg5zj3it3j4 ай бұрын
Hadith gani au aya gani inasema ivoo?
@allysaidlyambange45005 ай бұрын
Shehe hivi wakina adamu wanashushwa duniani wafrika TULIKUWEPO AU HATUKUWEPO
@bellasi3493 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 eti kuna milango 37 za kwenda peponi ila hakuna iliyoko africa 😂😂😂😂😂
@BadiMwanengo5 ай бұрын
Tatizo lako shekh video zako zaina hatupati next video
@miishhassn5 ай бұрын
Ipo ya pil rud utaiona
@Abdulrahmanhassan185 ай бұрын
Dr sule je kufanya mazoezi ya meditation mazoezi ya kukaa kimya peke Yako na kutafakari ukiwa umefunga macho je ni haram? Kwajina lingine wanaita yoga
@umdtv27495 ай бұрын
Lakini alkahaba ilikuwa sehemu ya kuabudia masanamu ilikuwaje ikawa nyumba takatifu. Leo ndo nimeamini mtume muhamadi alifanya mingu yote ya pale alkahaba kuwa mungu moja kubwa na kuabudiwa adi saiz.
@Catherine-mh8sw5 ай бұрын
Aliye jenga alkaba Ibrahim kwa taarifa yako
@umdtv27495 ай бұрын
Iyo milango sio ya kuingilia mbinguni ila ni kuzimu
@ahmada20723 ай бұрын
27:44 P.O V
@user-kn2bg7ki6u5 ай бұрын
Peponi sawa cio mbinguni pepo yao ilikuw hapa hapa dunian ...mnapotesema wameshushwa mbingun ndo unajichanganya
@ManenoPapalu-ku3vl5 ай бұрын
Mbona nimesikia sauti ya mpira kwenye hii video
@RamadanPaul5 ай бұрын
Chumba cha jirani wanaangalia mpira...
@user-zs7eq8up5s5 ай бұрын
Sabb mpira sio haram
@user133755 ай бұрын
😂😂😮😮
@obedkalinga97045 ай бұрын
waongopee waislamu, eti milango 36 ya kuingilia mbinguni
@MuuYascohy-oc7os3 ай бұрын
Lione ili kafiri linavyoteseka kwan kakwambia ww uamini kenge ww??
@bellasi3493 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@umdtv27495 ай бұрын
Hahaha 😂🙂😂 adam alilipa mahali kwa nani wakati wao ndo walikua watu wa kwanza
@user-jf2gp7wb9i5 ай бұрын
Enseleeni kudanganyana waislam mnaishi kwa hadithi
@mwarabumbarak43425 ай бұрын
Kumbe Biblia ni maneno ya kuhadithiwa Luka 1 .1 Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu, 2 kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo, 3 nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu, 4 upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.
@miishhassn5 ай бұрын
We mwenyewe unaish kwa hadith we ulimkuta yesu wew ama ulikuja kuhadithiwa na babu zako kuna yesu😏
@bellasi3493 ай бұрын
Yan ivi kuna mtu anaweza kuamini huo upumbavu eti muhamadi alienda mbinguni ?
@mosesmutharimi58375 ай бұрын
Swali ni je mtume alienda mbinguni kwa mwili au ni roho
@bellasi3493 ай бұрын
Hakuna😂cha kwenda mbinguni ni upumbavu tu mbinguni hakwéda Mussa ibrahim😂aende muhamadi yani kweli africa wajinga hawataisha
@nicholouskavindi85125 ай бұрын
Historia za waislamu n za kutunga sana kila shehe na stori yake kuhusu israa mnasoma kitabu gani?
@nicholouskavindi85125 ай бұрын
Adam Na Eva walikua Eden Sio peponi Eden n hapahapa Duniani
@nicholouskavindi85125 ай бұрын
Hiyo mahali ya Hawa alipewa nani
@miishhassn5 ай бұрын
@@nicholouskavindi8512kwanz unajua mahali yake ilikuewa nn ama unauliza tu
@miishhassn5 ай бұрын
Shekh yupi kaelezea tofauti ama ni chuk zako tu
@nicholouskavindi85125 ай бұрын
Hakuna chuki ukisoma ktk Qur'an yenyewe huwezi Ona hiki wanachosimulia masheikh ndomana kila mtu Na chumvi zake shk Othman msikilize au shk Othman maiko nae
@princeacama4015 ай бұрын
Wapi imeandikwa milango yakuingia mbinguni ni 36?? Hii ni elmu ya mashetani yako cjui unatoa wapi hizi hekaya za abunwasi??
@favoritebrayo5 ай бұрын
mimi namshangaa kwanza mohammed alikufa yeye anasema alienda mbinguni
@josephchrizostom84375 ай бұрын
na pia safari hiyo ilikuwa ndoto kwa mujibu wa quruani 17:60
@miishhassn5 ай бұрын
Jam huielew Quran ni vyema ujar kimya usiaibike aya unasema hatukuifanya ndoto inamaanisha haikuwa ndot ungesena tuliifanya ndot hapo sawa tungesema ilikuwa ndoto ama ulimkimbia teacher wa kiswahil saiv kibakulamba huelewi lugha😂
@nicholouskavindi85125 ай бұрын
N ilkua ndoto hakuna Alie mshuhudia Hata mmoja hivi kweli akiwa Hai alipaa kwenda mbinguni Ila alpofariki mkamzika kwanini asingepaa maana mbingu alishaonyeshwa?
@miishhassn5 ай бұрын
@@nicholouskavindi8512 kila nafsi itaonja mauti ndio maan wote hata walio wema waliobja maut hata yey lzm angepitia hapo
@hansiselemani80255 ай бұрын
Sm dini br
@shabanramadhan76325 ай бұрын
Niwaambie TU Jamani mnakosea sana eti video ni ya mawaidha lakini ukiifungua inaanza na tangazo la mziki hivi kweli mko serious
@shubebunyesi5425 ай бұрын
Kumbuka hii mitandao ni mitandao ya watu ayo matangazo hawaweki wao ni gugo wenyewe wanaweka na ndio unapoangalia tangazo ndio pesa inaingia lkn lengo la mashekhe ni kufikisha ujumbe
@abdulazizitwalib58595 ай бұрын
@@shubebunyesi542FACTY
@miishhassn5 ай бұрын
Acheb ushamba hayo ni matangazo ya weny media zao ama umenunua sim juz😂
@shabanramadhan76325 ай бұрын
@@miishhassn kwahyo unasapot kwenye taarifa ya msiba watu wacheke kidogo.
@miishhassn5 ай бұрын
@@shabanramadhan7632 unaonrkan urlewa wako mdogo elewa sio wao wanaweka ni anaemiliki app ya KZfaq ndio maan inahesabu hapo pemben ukibonyeza hiyo skip baafa hizo sekunde inaonfoke we umrkaza fuvu unasema ni wao sio wao hata katikati wanaweza kata video eawek tangazo la kampun flun mgano glovo kwan dr sule anamilik glovo kuea muelewa bas hee
@umdtv27495 ай бұрын
Kwakua nyie mnao wake weng sema ndoa zako sio ndoa yako. Ila mtu unaoa wake 4 huko ni kudhini bwawa
@Catherine-mh8sw5 ай бұрын
Watu wa bara wa ngapi na wa kristo wana wake zaidi ya mmoja?
@obedkalinga97045 ай бұрын
milango ni miwili tu wa kuzimu na peponi basi.mingine hiyo ni uongo kujifanya unajua bali upotoshaji
@bellasi3493 ай бұрын
Kwa kudanganya wapo vizuri
@obedkalinga97045 ай бұрын
waislamu eti unamwelewa sule. badala ya kuhoji, kwanini aende yerusalem na sio macca munaoamini ndio mji mtakatifu, ameenda mbinguni nani alimuona?, alikutana na allah?, aliona nini huko mbinguni?, alifikaje mbinguni?
@emilioadremaneadremane27065 ай бұрын
I kiboko
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct5 ай бұрын
Shehe iyo milango uliiona au ni hadidhi zenu zile za siku zote ? Kwa nini mlango usiwepo tanzania? Kwa hiyo tukifa hapa tanzania tunakwenda kuingilia india kha!
@amadimagadi79784 ай бұрын
Wewe mbona hukuumbwa paka umeumbwa binadamu...mlango kutokuwepo Tanzania ni mipango ya Mungu huezi mpangia Mungu cha kufanya bwege ww
@hashamyusuph29124 ай бұрын
Sio wewe ni lohoyako wewe utabakia uliko zikwa roho itakwenda kwenye iyo milango
@bellasi3493 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bellasi3493 ай бұрын
@@amadimagadi7978mjibu kwaiyo watu wa africain wataîgilia india na wataéda kwa ndege😂au nini upumbavu jamani africa hapana
@ShomiLongwaАй бұрын
Asante kwa kwa kumuelewesha chizi
@josephchrizostom84375 ай бұрын
soma vitabu cha wito kwa mflme cha ahmad mizra utajifunza pepo ni nin mbingu ni nini