SWALI GUMU KWA MAZINGE NA WAISLAMU: MUHAMMAD ALISALI NA VIATU, NYIE MMEPATA WAPI AMRI YA KUVIVUA?

  Рет қаралды 300,725

Advent Sound TV

Advent Sound TV

Жыл бұрын

Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023.

Пікірлер: 426
@saudaumar3354
@saudaumar3354 7 ай бұрын
mazinge azungumza ukweli kuhusu quran.mashallah Allah barik
@moramtanga-dar7372
@moramtanga-dar7372 Жыл бұрын
Mazinge proffesa dah Toca nimtambue nilikuwa mdogo Sana Allah ampe Long life
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 9 ай бұрын
Nampenda prof.Mazinge Allah akupe pepoo ya ngazii yajuu kwakweliii.....ana Experience Saana na hawo watu
@v_simon2677
@v_simon2677 5 ай бұрын
Mazinge ni ujanja ujanja usiokuwa na ukwel wote wote
@user-wi9zi1wm3m
@user-wi9zi1wm3m Ай бұрын
Yesu ndiye jia ya kweli na uzima wa milele
@sakinahassani1455
@sakinahassani1455 6 ай бұрын
MashaAllah,, Mazinge Allah akupe mwisho mwema
@gasperjohnson3388
@gasperjohnson3388 6 ай бұрын
Hawa watu hawako tayari kuamini kuwa yesu ndie bwana na mwokozi wa maisha yako
@johnatika5657
@johnatika5657 7 ай бұрын
Mungu ana haja na moyo c viatu,Bwana yesu asifiwe
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 5 ай бұрын
Masister wanajisitiri sana
@husseinguyo4929
@husseinguyo4929 Жыл бұрын
Professor mazinge Allah akupe maisha mrefu
@magrethdaniel8441
@magrethdaniel8441 4 ай бұрын
Kiukweli ndugu zangu mgesimama kuhusu kuwafundisha watu kuhusu njia ya ufalame wa mungu na si kubishana kwa ajili ya utukufu wa mungu mungu ndyo alileta hao watume wake na kila mtu ana haki ya kumuamini mungu kwa njia ya mitume hao
@UwimanaAzzia
@UwimanaAzzia 2 ай бұрын
Mashaallah Allah akutuhifadhiye kiongoz mazinge
@user-ze4su9pg3o
@user-ze4su9pg3o 5 күн бұрын
Uislamu ndiyo dini ya haki Allah tujaalie tuzidi kuupenda uislamu aamiin
@cabylake2320
@cabylake2320 Жыл бұрын
Allah akbar Allah akbar
@saidmasoud-vv1io
@saidmasoud-vv1io Жыл бұрын
Mazinge Allah bless you🙏🙏
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 7 ай бұрын
Allah Akbar ♥️♥️♥️
@user-ik8yg4gx4g
@user-ik8yg4gx4g 4 ай бұрын
MWANA YESU ASIFIWE ONGELENI KUFUNDISHA
@user-zv7mt2sn5h
@user-zv7mt2sn5h 6 ай бұрын
Allah akuinde professor mazinge akupemaisha marefu
@user-ot5cr4hy1c
@user-ot5cr4hy1c 5 ай бұрын
❤🙏🙏🙏✍️ Allah bless you mazinge
@ipyanapaulo4774
@ipyanapaulo4774 Жыл бұрын
Safi sana walimu wa kikristo mbarikiwe sana
@mohammedal7864
@mohammedal7864 8 ай бұрын
Safi kwa lipi wanajikanyaga tu nyie badilikeni huo sio ushabiki wa mpira mtajuta siku ambayo hayatowafaa majuto
@bekamwaba3571
@bekamwaba3571 8 ай бұрын
Wabarikiwe kwa kupotosha watu? M.Mungu hapendi uongo kama vyenye nyinyi wakristu mnafikiria
@elikinebeni4683
@elikinebeni4683 8 ай бұрын
@@bekamwaba3571 wao na Muhammad Nani muongo,
@paullazaro3127
@paullazaro3127 7 ай бұрын
​@@bekamwaba3571wapi kasema uongo?
@OMARYKAHUNGO-mn4mf
@OMARYKAHUNGO-mn4mf 4 ай бұрын
Allah awape viongozi wetu afya njema ili kuweka wazi yaliyofichika
@user-sg6iy4kv4y
@user-sg6iy4kv4y 4 ай бұрын
Dini ya haki ni uislam hapa dunian mpaka kwa mungu mungu ni mmoja
@ShukuruMinga
@ShukuruMinga 2 ай бұрын
Mungu awabariki walimu na wachungaji Kwa kuwafundisha hawa waislam
@Mwanatwaha
@Mwanatwaha Ай бұрын
Acha ujiga dini ya kweli ni kiclam na siukristo kwahiyo mtakemsitake wislam ndodini ya kweli
@jasonirakoze-jk9ic
@jasonirakoze-jk9ic Жыл бұрын
Tafsiri za mameno ya Mungu anatambuwa na wenye wanaongozwa na Roho mtakatifu,waislam watumiya ujuzi tuu ,ila Roho mtakatifu hawaana
@saumbliz8983
@saumbliz8983 8 ай бұрын
Roho mtaka vitu ama roho mtakatifu we kafiri
@mobigo2unlocker-iv7kn
@mobigo2unlocker-iv7kn 8 ай бұрын
Kama utatubu nimekutabilia njaa juu yaako amen
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 8 ай бұрын
​@@mobigo2unlocker-iv7kn😂😂😂😂😂 mtajpa uungu na bado ety njaa kal
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 6 ай бұрын
Wewe unajua maana ya roho mtakatifu au Unafikili roho mtakatifu ni Kama mnavyo jazana matangopori.
@magrethlubimbi4055
@magrethlubimbi4055 9 ай бұрын
Waislam YESU ATAWATENGENEZA TU
@halimahalifa
@halimahalifa 3 ай бұрын
You know nothing
@NditimanaEmanweri
@NditimanaEmanweri 2 ай бұрын
Mash Allah shehe wangu hapo endelea kuwakomesha
@AlfayoEliahu
@AlfayoEliahu 7 ай бұрын
mchungaji panga nguvu ilioko ndani ya damu ya yesu katika ulimwengu wa Roho vitu saba 7 katika damu a).Damu ni uhai mwanzo 9:4 b).Damu hua inazungumza mwanzo 4:10 c).Damu inafanya upatanisho kolosai 1:20 d).Damu inauwezo wa kufungua milango 1wafalme 18:24 ruka nenda 33 danieli 7:10 e).Damu inauwezo wakununua vitu vyote inategemea unanunua nini ufunuo 5:1-10 f).Damu inabadilisha majira na nyakati kutoka 12:1-3 g).Damu inabeba tabia mwanzo 19:36-38 mungu alimtoa yesu kafara ili atupate sisi ndomaana damu ya yesu aifanani na damu yoyote 1petro 1:18-19 matendo ya mitume 5:1-10
@BenardLazaro-nl6oy
@BenardLazaro-nl6oy 4 ай бұрын
Very good my teacher very nice
@nourdinpro
@nourdinpro 7 ай бұрын
Aendeleye kupumzika milele Yahya msomaji
@aminasaid5097
@aminasaid5097 16 күн бұрын
Allah akubalik can
@user-uf6rp7pp2l
@user-uf6rp7pp2l 6 ай бұрын
Waislamu tunahitajika sana kuisoma dini ytu na kuielewa kabla ya kuizungumzia hasa ktk mazingira haya ya mihadhara, kuna ubabaishaji mkubwa unaonekana ktk ujibuji wa maswali kwa masheikh kiasi kwamba mtu mwenye uelewa wa dini anashangaa kwa namna swali linavyojibiwa. Nasaha zangu tumche Allah na tujikite katika kuisoma kwanza dini kabla ya kuizungumzia. Wallahu-aàlamu.
@gwijitv
@gwijitv 4 ай бұрын
Uko sahihi, unajua Elimu dunia nayo ni muhimu sana, ili mtu uwe na uelewa pia,
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 ай бұрын
Lugha ya kigeni inatumika na Watu hawajaenda kusoma wataweza kujibu??hapo ndo wanawauza
@babyakasha4002
@babyakasha4002 Ай бұрын
umeongea point kubwa mnoo.
@AdamuJumane
@AdamuJumane Ай бұрын
Dini ya kweli na ya haki ni uislam
@user-kz2lp9lv7i
@user-kz2lp9lv7i 3 ай бұрын
Mazinge Allah akupe maisha marefu, ili wapuuzi wanyookee
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 27 күн бұрын
Allah na mazinge wenyu ni comedian
@user-ot5cr4hy1c
@user-ot5cr4hy1c 5 ай бұрын
❤🙏🙏🙏✍️mazinge Allah bless you
@kimanidatch6096
@kimanidatch6096 7 ай бұрын
Mazinge siyo mwalimu ni mkosoaji tu...Wala hawezi kusaidia WATU...Mazinge okoka tu,,MPOKEE Yesu KRISTO,,Kwa MAANA ukweli unaujua vizuri.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 ай бұрын
Na Akienda Nyumbani roho inamsuta ,Na Ipo siku atakutana Na Yesu live atatuhadithia
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 3 ай бұрын
Wewe ni kichaa
@SaalimmodyAbubakar
@SaalimmodyAbubakar 2 ай бұрын
Wew umelewa
@user-zs6qg7ql1i
@user-zs6qg7ql1i Ай бұрын
Kafiri ww uokoke ww unaemuabud mtu katahiriwa govi
@legendaction202
@legendaction202 Ай бұрын
Kwani ww ni uluminati mpaka wataka mazinge aingie kwa dini yako ya uluminati
@NancyBunja-gd5vz
@NancyBunja-gd5vz Жыл бұрын
Wachungaji mjichunge xaaana na hao waislamu. Kwani wako n mzaha mwingi na neno la mungu
@karenzifaustin2177
@karenzifaustin2177 6 ай бұрын
Wasabato wanaijua biblia sana
@user-oj1dv7ci1v
@user-oj1dv7ci1v 7 ай бұрын
Amina mungu awabaliki sana mchungaji
@user-yl7zp6dd1d
@user-yl7zp6dd1d 7 ай бұрын
Mashaallah kheykh 🎉
@SaleheAmiry-mx1yn
@SaleheAmiry-mx1yn 7 күн бұрын
Mashaallah
@christophercostantine7497
@christophercostantine7497 7 ай бұрын
Hili limezungumziwa kwenye Mathayo 24 ,Unabii wa Yesu Kristo dalili za nyakati za mwisho "kutakuwa na Vita " ,Vita hivi ni vya kiroho (Vita vya Mafundisho) - Imani ya dini flani dhidi ya Imani ya dini flani , Pia akasema watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe kwa kuzifurahisha nafsi zao. KUWENI MAKINI NA WATU HAWA .
@rhiophiri6857
@rhiophiri6857 6 ай бұрын
professor Mazinge you are indeed the professor, the pastor has failed beyond Lamentation
@user-dm6ol8cc7j
@user-dm6ol8cc7j 7 ай бұрын
Only Jesus is truthfuly no one else
@abbastetere653
@abbastetere653 5 ай бұрын
Boo ni
@user-zw8sx1lk9f
@user-zw8sx1lk9f 3 ай бұрын
Mungu ipo moyoni amini mungu washa wasiwazi
@nayeemn9275
@nayeemn9275 6 ай бұрын
Takbiiiiiiiiiiiir
@JohnMashamba
@JohnMashamba 3 ай бұрын
Biblia inaponyaza Mungu ni Mungu wa amani si Mungu wa machafuko,Mungu awabariki.
@MathewMaliva
@MathewMaliva Ай бұрын
Seventh day Adventist church is a ministry of truth
@user-pz3ux1np8x
@user-pz3ux1np8x 6 ай бұрын
Louvado seja o nosso senhor Jesus Cristo
@MeneMhepela-hq4of
@MeneMhepela-hq4of 5 ай бұрын
Mungu anaangalia mayo mazinge saw
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
Am proud to be muslim tunahoja za msingi nahakuna atakae tutoa kwenye mstari
@seiflugendo7141
@seiflugendo7141 Жыл бұрын
Hilo sio.swali gumu Kwa waislam wakristo mnatapatapa sana
@NtezimanaLubhingagiza-us2iz
@NtezimanaLubhingagiza-us2iz 28 күн бұрын
Hongereni wachungaji wetu
@Mjdlvt-ug4en
@Mjdlvt-ug4en 5 ай бұрын
Amina Amina
@baumaeddytoutestprophetiqu6322
@baumaeddytoutestprophetiqu6322 5 ай бұрын
Anayezani anasimama kumbe ameanguka! Nyote hamusheriya sababu hamujaamini Mungu. Munapenda kujionesha tu kwamba munaujuzi zaidi. Mungu hatumiki na kicwa ila na roho kwa tarifa yenu wote hapo
@user-zk3gt9ol9h
@user-zk3gt9ol9h 6 ай бұрын
👍👍👍 good mchungaji
@isaacotieno7900
@isaacotieno7900 8 ай бұрын
hizi mijadala ni kuharibiana wakati ju hakuna mahali watakubaliana
@mutulaObedi
@mutulaObedi 2 ай бұрын
Nafikiri Musingi ya manambi na mitume si viatu' naikiwa Mungu alimwambiya Musa vuwa viatu ilikuwa nineno maana kila mara Mungu alitumiya mifano' naye yesu ivyo ivyo' yani kuvuwa viatu niko acha zambi hii ndiyo maana yake' yani kwa wa eslamu na kwa wa kristu tunaomba sote tuvuwe viatu tukaache zambi tu mwamini kristu yesu kristu wapendwa
@user-ue6iu6go5d
@user-ue6iu6go5d 7 ай бұрын
Mazinge ni mjingà sana. Ole wao anaowafunza
@mussacharles5311
@mussacharles5311 7 ай бұрын
Amina
@bekamwaba3571
@bekamwaba3571 8 ай бұрын
Pastor muogope Mungu haki. Wacha kuzua kwa kutetea uongo ulonao kwa kusudi la kumtumikia shetani. Msiwapotoshe wenzenu ilhali ukweli mnajua ila mnaficha ili mpate wafwasi ndo mpate mkate. Bila hiyo kazi ya kudanganya wenzenu M.Mungu bado atawapeni rizq zenu tu
@gadielpaulo8925
@gadielpaulo8925 3 ай бұрын
Ustaadhi Dominick mapima
@ashurafarhan8335
@ashurafarhan8335 4 күн бұрын
Yaan hao wenzetu hawajui swali kazi ni ubishi mmeshaambiwa yesu sio mungu
@leilasaid3623
@leilasaid3623 4 ай бұрын
Takbiri waislamu takbiri
@UwimanaAzzia
@UwimanaAzzia 2 ай бұрын
Allahou Akbar
@baumaeddytoutestprophetiqu6322
@baumaeddytoutestprophetiqu6322 5 ай бұрын
Shika sana ulicho nacho. Hata siku moja hamuta elewana. Foot ball na hand ball hamuchezi match moja. Nyiye wote wanadimi tu, ila hamujuwi Mungu, hamujuwi neno la Mungu hata. Yaani Mungu awajaliye neema tu, ndio nawaombea
@NaimaSalim-hv6bd
@NaimaSalim-hv6bd 8 ай бұрын
Nawasikitikiya Sana wakiristo cz hawajui wanachokisema kama kweli nisawa kwenda kanisani uchi maana kuvaa mini troza je yesu alisema watu waende uchi kanisani🙄🙄
@AllanMisiko-dp5ew
@AllanMisiko-dp5ew 5 ай бұрын
Mkisto ako sawa
@josephkilambo5529
@josephkilambo5529 4 ай бұрын
Simple Yesu hakuingia kanisani
@AliMohammedAli-ms5zu
@AliMohammedAli-ms5zu 3 ай бұрын
Good thing congrat
@user-ws8yb8xu4o
@user-ws8yb8xu4o 6 ай бұрын
Amen
@eyesonsecurity8384
@eyesonsecurity8384 6 ай бұрын
Ameen
@Esther-os7fi
@Esther-os7fi Ай бұрын
Tena sanaaa
@MasanjangwesaJiganga
@MasanjangwesaJiganga 4 ай бұрын
Hao hawana roho wa Mungu wala hakili za kawaida hazipo kama swali linajibiwa afu mtu anakataa majibu wahubiri kweli bila roho mtakatifu Haiwezekani maana kuna maudhi ya shetani kwa wanadamu
@rashidgona1808
@rashidgona1808 Жыл бұрын
Mchungaji nimekuelewa vizuri tu yesu alikuwa tajiri mpaka Bank za Dunia hazikuweza kuhifadhi pesa zake akaweka kwa samaki👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 8 ай бұрын
😂😂😂😂 yesu hakuwa tajir wa mali labda tajir wa imani
@Abdulhamid_Suleiman
@Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын
Allahu Akbar M.Mungu ni Mkubwa wakristo hawana ushahid wanazunguka zunguka tu kama Saa ya Ujiti...
@gigimarco2592
@gigimarco2592 8 ай бұрын
Mohammed alikua Shetani wale walio kataliwa na Mungu.
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 6 ай бұрын
Huna hata aibu
@MICHEZODAIMATV
@MICHEZODAIMATV 22 күн бұрын
Nipe haya kutoka kwenye kitabu cha kislam inayosema mvue viatu
@petergitonga8590
@petergitonga8590 11 күн бұрын
Nakuwaga na swali kwa wachungaji...Ndani ya BIBILIA KWA NINI VTABU ZIKATOLEWA kama Kitabu cha HENOKO???
@JuliusKinyuanduyo-me7nb
@JuliusKinyuanduyo-me7nb 6 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mungu awasaindie wasilam kujua ya kwamba yesu ndie muokosi
@daudinyello4033
@daudinyello4033 6 ай бұрын
ILA SIO MUNGU
@kalifree2855
@kalifree2855 Жыл бұрын
Yesu alikuwa mtoni wakati huo na yohana mbatizaji alikuwa hapo mtoni akibatiza sio katika mjengo wa ibada ,
@user-ue6iu6go5d
@user-ue6iu6go5d 7 ай бұрын
Mtoni akifanya ibada . Panafanyiwa ibada takatifu ni nyumba ya Bwana
@lizndunchez720
@lizndunchez720 5 ай бұрын
Waisalamu mnaujinga sana ntna mna utoto sna ata mkipewa maswali z ukijinga sna mnauliza swali ju y swali alfu swali moja 😊😊
@halimahalifa
@halimahalifa 3 ай бұрын
Acha k2kana waislam yes so mng kma kwl mum mbn akli A mng amsaidie asisulubiwe
@Mwanatwaha
@Mwanatwaha Ай бұрын
Achaujinga wewe dd😊😊😊😊😊
@salluhimuhammed862
@salluhimuhammed862 Жыл бұрын
Kanisa tushageuza msikiti kenya uko kwa mara nyengni, bakini na kuishi na ujinga tu
@mobigo2unlocker-iv7kn
@mobigo2unlocker-iv7kn 8 ай бұрын
Hatuna undugu na uislamu wenye roho mbaya
@NimoJama-iw6tg
@NimoJama-iw6tg 2 ай бұрын
You people do you Muslims are leading Muslim are leading
@Nancybosibori-sz5nb
@Nancybosibori-sz5nb 7 ай бұрын
Hallelujah
@LadyKenya-uw5qn
@LadyKenya-uw5qn 4 ай бұрын
Amen 🙏
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 8 ай бұрын
Maznge ❤❤❤❤❤❤
@Abdulhamid_Suleiman
@Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын
(28:54 Qur-an) These will be granted their reward twice over because they remained stead fast;they repel evil with good, and spend (in alms) out of the sustenance We provided them,
@user-op9fx3by1k
@user-op9fx3by1k 6 ай бұрын
Ndio mtume wetu aliswali na viatu(khofu) Na inafaa sio kila aina ya viatu
@unclejonah7350
@unclejonah7350 7 ай бұрын
Tujifunze kwa upole wa moyo wa Yesu..
@nundaboy6752
@nundaboy6752 Жыл бұрын
Haleluya,
@NaimaSalim-hv6bd
@NaimaSalim-hv6bd 8 ай бұрын
Takbiri Allah akibar
@user-dl1dy6fo1j
@user-dl1dy6fo1j 6 ай бұрын
❤❤❤❤
@ChrisPaul-vw2ts
@ChrisPaul-vw2ts 3 ай бұрын
Kweli uislamu ni ukombo.yaani mnaonyesha haya zenye zinajibu utata wenu na bado muwazushi tu.
@abuuazhar3738
@abuuazhar3738 Жыл бұрын
Hoja zi kipumbavu sana mnajadili, yani badala ya kujadili mambo ya kitaalaum mnajadili hoja nyepesi sana. Council of nicea, doctrine of trinity and the diety of Jesus christ. Hayo ni mambo ya kisomi sidhan kama mtaelewa.
@BIZOZAMEDIATZ
@BIZOZAMEDIATZ Жыл бұрын
Unajihangaisha sasa 😢😢😢
@dadamuebrania1539
@dadamuebrania1539 Жыл бұрын
Hawa akina Mazinge ni mukebe mtupu🙆
@user-jl9yj1gf9u
@user-jl9yj1gf9u 2 ай бұрын
Wakina mazinge mpo wawili lakini mnamshindwa ndacha jaman
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon 27 күн бұрын
Yesu alingia kanisani na viatu haina upinzanu kanisa nimkutano siyo jengo,nyumba ya ibada ambayo ni misikiti ya kitaudi hakuingia na viatu maana ilikuwa hailusiwi,Jibu ni laisi tu
@safaringaku5040
@safaringaku5040 5 ай бұрын
Wanachukulia mambo juujuu. Kuvua viatu ukiingia kwenye nyumba ya ibada haimaanishi viatu alivyo vaa mtu. Bali inamaana: Yale mambo machafu uliyonayo kwa kuwaza, au uliyotenda usiyafikirie tena. Abraham aliambiwa hivo kwa maana alikuwa ameua mtu kule Egypt na akatoroka.
@ShebeAlawi
@ShebeAlawi 5 ай бұрын
@v_simon2677
@v_simon2677 5 ай бұрын
Yaan waislaam tatzo una ubish sana ukwel upo waz kabsa
@Abdulhamid_Suleiman
@Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын
Wakristo wanakusanyika kwa hasara tu na kwa maelezo haya kanisani ni sawa na Bar tu maana ndani yake kuna walevi kama wote Innalillah wainna ilayh rajioun
@barakaanangisye4812
@barakaanangisye4812 Жыл бұрын
pepon kuna mvinyo iyo vipi😂
@callennyabonyi5580
@callennyabonyi5580 Жыл бұрын
Eti ?????muislamu anastasia na sigara mfukuni na miraa
@lwagamwakalinga8038
@lwagamwakalinga8038 8 ай бұрын
Hivi leo aje kiumbe toka sayari nyingine akae na kundi la wakristo kwa mwezi then akakae na kundi la waislamu kwa mwezi atagundua wepi kichwani hamnazo ?
@SebastianJugle-lb7ob
@SebastianJugle-lb7ob 6 ай бұрын
Msikitini kuna Malaya na wabakaji watupu
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 ай бұрын
Wala Yesu hajawahi sema habari za Viatu ungesema hata Moses alipoenda kukutana Na Mungu
@daudilangat6123
@daudilangat6123 6 ай бұрын
Huyo jamaa kuelewa ndo sida mpatize amjue yesu😅😅😅
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 6 ай бұрын
Mazinge Mzee Sasa akizidi kukosa uelewa na mambo ya masihara tu hajui na hajui kwamba hajui
@MICHEZODAIMATV
@MICHEZODAIMATV 22 күн бұрын
Nayeye atujibu andiko linaonesha watu wavue viatu msikitini kutoka kwenye qu ran
@user-oj1dv7ci1v
@user-oj1dv7ci1v 7 ай бұрын
AMEN Amen Amen Amen
UWEZO WA NDACHA KATIKA KUJIBU MASWALI YA HAINA YA MTEGO  KATISHA ZAIDI
13:38
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 6 МЛН
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 7 МЛН
KISA CHA NABII MUSSA //Dt Pro MAZINGE
18:45
arkas online tv
Рет қаралды 20 М.
MAZINGE NA MCHUNGAJI
18:15
Madrasatulfurqani Tv
Рет қаралды 49 М.
MAZINGE AMLIPUA MCHUNGJI _  NIWAPI YESU KAMRUDISHA PUNDA?
6:38
JUMA KIBWANA
Рет қаралды 4,6 М.
YUPI WA KUFUATA KATI YA YESU NA MUHAMMAD: BUKAVU CONGO
1:43:34
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 10 М.
Hatimae mazinge abatizwa tanga #Debate #tangamjini #shalbaonlinetv
21:37
SHALBA OnlineTV
Рет қаралды 301 М.
MDAHALO WASLAMU WASHINDWA KUTETE IJUMA
27:13
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 816 М.