Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023.
Пікірлер: 426
@saudaumar33547 ай бұрын
mazinge azungumza ukweli kuhusu quran.mashallah Allah barik
@moramtanga-dar7372 Жыл бұрын
Mazinge proffesa dah Toca nimtambue nilikuwa mdogo Sana Allah ampe Long life
@ibrahimfarha38539 ай бұрын
Nampenda prof.Mazinge Allah akupe pepoo ya ngazii yajuu kwakweliii.....ana Experience Saana na hawo watu
@v_simon26775 ай бұрын
Mazinge ni ujanja ujanja usiokuwa na ukwel wote wote
@user-wi9zi1wm3mАй бұрын
Yesu ndiye jia ya kweli na uzima wa milele
@sakinahassani14556 ай бұрын
MashaAllah,, Mazinge Allah akupe mwisho mwema
@gasperjohnson33886 ай бұрын
Hawa watu hawako tayari kuamini kuwa yesu ndie bwana na mwokozi wa maisha yako
@johnatika56577 ай бұрын
Mungu ana haja na moyo c viatu,Bwana yesu asifiwe
@jabirkasunzu68415 ай бұрын
Masister wanajisitiri sana
@husseinguyo4929 Жыл бұрын
Professor mazinge Allah akupe maisha mrefu
@magrethdaniel84414 ай бұрын
Kiukweli ndugu zangu mgesimama kuhusu kuwafundisha watu kuhusu njia ya ufalame wa mungu na si kubishana kwa ajili ya utukufu wa mungu mungu ndyo alileta hao watume wake na kila mtu ana haki ya kumuamini mungu kwa njia ya mitume hao
@UwimanaAzzia2 ай бұрын
Mashaallah Allah akutuhifadhiye kiongoz mazinge
@user-ze4su9pg3o5 күн бұрын
Uislamu ndiyo dini ya haki Allah tujaalie tuzidi kuupenda uislamu aamiin
@cabylake2320 Жыл бұрын
Allah akbar Allah akbar
@saidmasoud-vv1io Жыл бұрын
Mazinge Allah bless you🙏🙏
@jabirkasunzu68417 ай бұрын
Allah Akbar ♥️♥️♥️
@user-ik8yg4gx4g4 ай бұрын
MWANA YESU ASIFIWE ONGELENI KUFUNDISHA
@user-zv7mt2sn5h6 ай бұрын
Allah akuinde professor mazinge akupemaisha marefu
@user-ot5cr4hy1c5 ай бұрын
❤🙏🙏🙏✍️ Allah bless you mazinge
@ipyanapaulo4774 Жыл бұрын
Safi sana walimu wa kikristo mbarikiwe sana
@mohammedal78648 ай бұрын
Safi kwa lipi wanajikanyaga tu nyie badilikeni huo sio ushabiki wa mpira mtajuta siku ambayo hayatowafaa majuto
@bekamwaba35718 ай бұрын
Wabarikiwe kwa kupotosha watu? M.Mungu hapendi uongo kama vyenye nyinyi wakristu mnafikiria
@elikinebeni46838 ай бұрын
@@bekamwaba3571 wao na Muhammad Nani muongo,
@paullazaro31277 ай бұрын
@@bekamwaba3571wapi kasema uongo?
@OMARYKAHUNGO-mn4mf4 ай бұрын
Allah awape viongozi wetu afya njema ili kuweka wazi yaliyofichika
@user-sg6iy4kv4y4 ай бұрын
Dini ya haki ni uislam hapa dunian mpaka kwa mungu mungu ni mmoja
@ShukuruMinga2 ай бұрын
Mungu awabariki walimu na wachungaji Kwa kuwafundisha hawa waislam
@MwanatwahaАй бұрын
Acha ujiga dini ya kweli ni kiclam na siukristo kwahiyo mtakemsitake wislam ndodini ya kweli
@jasonirakoze-jk9ic Жыл бұрын
Tafsiri za mameno ya Mungu anatambuwa na wenye wanaongozwa na Roho mtakatifu,waislam watumiya ujuzi tuu ,ila Roho mtakatifu hawaana
@saumbliz89838 ай бұрын
Roho mtaka vitu ama roho mtakatifu we kafiri
@mobigo2unlocker-iv7kn8 ай бұрын
Kama utatubu nimekutabilia njaa juu yaako amen
@saphinalutaha90778 ай бұрын
@@mobigo2unlocker-iv7kn😂😂😂😂😂 mtajpa uungu na bado ety njaa kal
@abdullahmasakata1706 ай бұрын
Wewe unajua maana ya roho mtakatifu au Unafikili roho mtakatifu ni Kama mnavyo jazana matangopori.
@magrethlubimbi40559 ай бұрын
Waislam YESU ATAWATENGENEZA TU
@halimahalifa3 ай бұрын
You know nothing
@NditimanaEmanweri2 ай бұрын
Mash Allah shehe wangu hapo endelea kuwakomesha
@AlfayoEliahu7 ай бұрын
mchungaji panga nguvu ilioko ndani ya damu ya yesu katika ulimwengu wa Roho vitu saba 7 katika damu a).Damu ni uhai mwanzo 9:4 b).Damu hua inazungumza mwanzo 4:10 c).Damu inafanya upatanisho kolosai 1:20 d).Damu inauwezo wa kufungua milango 1wafalme 18:24 ruka nenda 33 danieli 7:10 e).Damu inauwezo wakununua vitu vyote inategemea unanunua nini ufunuo 5:1-10 f).Damu inabadilisha majira na nyakati kutoka 12:1-3 g).Damu inabeba tabia mwanzo 19:36-38 mungu alimtoa yesu kafara ili atupate sisi ndomaana damu ya yesu aifanani na damu yoyote 1petro 1:18-19 matendo ya mitume 5:1-10
@BenardLazaro-nl6oy4 ай бұрын
Very good my teacher very nice
@nourdinpro7 ай бұрын
Aendeleye kupumzika milele Yahya msomaji
@aminasaid509716 күн бұрын
Allah akubalik can
@user-uf6rp7pp2l6 ай бұрын
Waislamu tunahitajika sana kuisoma dini ytu na kuielewa kabla ya kuizungumzia hasa ktk mazingira haya ya mihadhara, kuna ubabaishaji mkubwa unaonekana ktk ujibuji wa maswali kwa masheikh kiasi kwamba mtu mwenye uelewa wa dini anashangaa kwa namna swali linavyojibiwa. Nasaha zangu tumche Allah na tujikite katika kuisoma kwanza dini kabla ya kuizungumzia. Wallahu-aàlamu.
@gwijitv4 ай бұрын
Uko sahihi, unajua Elimu dunia nayo ni muhimu sana, ili mtu uwe na uelewa pia,
@trophywilson72113 ай бұрын
Lugha ya kigeni inatumika na Watu hawajaenda kusoma wataweza kujibu??hapo ndo wanawauza
@babyakasha4002Ай бұрын
umeongea point kubwa mnoo.
@AdamuJumaneАй бұрын
Dini ya kweli na ya haki ni uislam
@user-kz2lp9lv7i3 ай бұрын
Mazinge Allah akupe maisha marefu, ili wapuuzi wanyookee
@JamesMoses-jd1yq27 күн бұрын
Allah na mazinge wenyu ni comedian
@user-ot5cr4hy1c5 ай бұрын
❤🙏🙏🙏✍️mazinge Allah bless you
@kimanidatch60967 ай бұрын
Mazinge siyo mwalimu ni mkosoaji tu...Wala hawezi kusaidia WATU...Mazinge okoka tu,,MPOKEE Yesu KRISTO,,Kwa MAANA ukweli unaujua vizuri.
@trophywilson72113 ай бұрын
Na Akienda Nyumbani roho inamsuta ,Na Ipo siku atakutana Na Yesu live atatuhadithia
@h.alshidhani89713 ай бұрын
Wewe ni kichaa
@SaalimmodyAbubakar2 ай бұрын
Wew umelewa
@user-zs6qg7ql1iАй бұрын
Kafiri ww uokoke ww unaemuabud mtu katahiriwa govi
@legendaction202Ай бұрын
Kwani ww ni uluminati mpaka wataka mazinge aingie kwa dini yako ya uluminati
@NancyBunja-gd5vz Жыл бұрын
Wachungaji mjichunge xaaana na hao waislamu. Kwani wako n mzaha mwingi na neno la mungu
@karenzifaustin21776 ай бұрын
Wasabato wanaijua biblia sana
@user-oj1dv7ci1v7 ай бұрын
Amina mungu awabaliki sana mchungaji
@user-yl7zp6dd1d7 ай бұрын
Mashaallah kheykh 🎉
@SaleheAmiry-mx1yn7 күн бұрын
Mashaallah
@christophercostantine74977 ай бұрын
Hili limezungumziwa kwenye Mathayo 24 ,Unabii wa Yesu Kristo dalili za nyakati za mwisho "kutakuwa na Vita " ,Vita hivi ni vya kiroho (Vita vya Mafundisho) - Imani ya dini flani dhidi ya Imani ya dini flani , Pia akasema watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe kwa kuzifurahisha nafsi zao. KUWENI MAKINI NA WATU HAWA .
@rhiophiri68576 ай бұрын
professor Mazinge you are indeed the professor, the pastor has failed beyond Lamentation
@user-dm6ol8cc7j7 ай бұрын
Only Jesus is truthfuly no one else
@abbastetere6535 ай бұрын
Boo ni
@user-zw8sx1lk9f3 ай бұрын
Mungu ipo moyoni amini mungu washa wasiwazi
@nayeemn92756 ай бұрын
Takbiiiiiiiiiiiir
@JohnMashamba3 ай бұрын
Biblia inaponyaza Mungu ni Mungu wa amani si Mungu wa machafuko,Mungu awabariki.
@MathewMalivaАй бұрын
Seventh day Adventist church is a ministry of truth
@user-pz3ux1np8x6 ай бұрын
Louvado seja o nosso senhor Jesus Cristo
@MeneMhepela-hq4of5 ай бұрын
Mungu anaangalia mayo mazinge saw
@binseif22162 ай бұрын
Am proud to be muslim tunahoja za msingi nahakuna atakae tutoa kwenye mstari
@seiflugendo7141 Жыл бұрын
Hilo sio.swali gumu Kwa waislam wakristo mnatapatapa sana
@NtezimanaLubhingagiza-us2iz28 күн бұрын
Hongereni wachungaji wetu
@Mjdlvt-ug4en5 ай бұрын
Amina Amina
@baumaeddytoutestprophetiqu63225 ай бұрын
Anayezani anasimama kumbe ameanguka! Nyote hamusheriya sababu hamujaamini Mungu. Munapenda kujionesha tu kwamba munaujuzi zaidi. Mungu hatumiki na kicwa ila na roho kwa tarifa yenu wote hapo
@user-zk3gt9ol9h6 ай бұрын
👍👍👍 good mchungaji
@isaacotieno79008 ай бұрын
hizi mijadala ni kuharibiana wakati ju hakuna mahali watakubaliana
@mutulaObedi2 ай бұрын
Nafikiri Musingi ya manambi na mitume si viatu' naikiwa Mungu alimwambiya Musa vuwa viatu ilikuwa nineno maana kila mara Mungu alitumiya mifano' naye yesu ivyo ivyo' yani kuvuwa viatu niko acha zambi hii ndiyo maana yake' yani kwa wa eslamu na kwa wa kristu tunaomba sote tuvuwe viatu tukaache zambi tu mwamini kristu yesu kristu wapendwa
@user-ue6iu6go5d7 ай бұрын
Mazinge ni mjingà sana. Ole wao anaowafunza
@mussacharles53117 ай бұрын
Amina
@bekamwaba35718 ай бұрын
Pastor muogope Mungu haki. Wacha kuzua kwa kutetea uongo ulonao kwa kusudi la kumtumikia shetani. Msiwapotoshe wenzenu ilhali ukweli mnajua ila mnaficha ili mpate wafwasi ndo mpate mkate. Bila hiyo kazi ya kudanganya wenzenu M.Mungu bado atawapeni rizq zenu tu
@gadielpaulo89253 ай бұрын
Ustaadhi Dominick mapima
@ashurafarhan83354 күн бұрын
Yaan hao wenzetu hawajui swali kazi ni ubishi mmeshaambiwa yesu sio mungu
@leilasaid36234 ай бұрын
Takbiri waislamu takbiri
@UwimanaAzzia2 ай бұрын
Allahou Akbar
@baumaeddytoutestprophetiqu63225 ай бұрын
Shika sana ulicho nacho. Hata siku moja hamuta elewana. Foot ball na hand ball hamuchezi match moja. Nyiye wote wanadimi tu, ila hamujuwi Mungu, hamujuwi neno la Mungu hata. Yaani Mungu awajaliye neema tu, ndio nawaombea
@NaimaSalim-hv6bd8 ай бұрын
Nawasikitikiya Sana wakiristo cz hawajui wanachokisema kama kweli nisawa kwenda kanisani uchi maana kuvaa mini troza je yesu alisema watu waende uchi kanisani🙄🙄
@AllanMisiko-dp5ew5 ай бұрын
Mkisto ako sawa
@josephkilambo55294 ай бұрын
Simple Yesu hakuingia kanisani
@AliMohammedAli-ms5zu3 ай бұрын
Good thing congrat
@user-ws8yb8xu4o6 ай бұрын
Amen
@eyesonsecurity83846 ай бұрын
Ameen
@Esther-os7fiАй бұрын
Tena sanaaa
@MasanjangwesaJiganga4 ай бұрын
Hao hawana roho wa Mungu wala hakili za kawaida hazipo kama swali linajibiwa afu mtu anakataa majibu wahubiri kweli bila roho mtakatifu Haiwezekani maana kuna maudhi ya shetani kwa wanadamu
@rashidgona1808 Жыл бұрын
Mchungaji nimekuelewa vizuri tu yesu alikuwa tajiri mpaka Bank za Dunia hazikuweza kuhifadhi pesa zake akaweka kwa samaki👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
@saphinalutaha90778 ай бұрын
😂😂😂😂 yesu hakuwa tajir wa mali labda tajir wa imani
@Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын
Allahu Akbar M.Mungu ni Mkubwa wakristo hawana ushahid wanazunguka zunguka tu kama Saa ya Ujiti...
@gigimarco25928 ай бұрын
Mohammed alikua Shetani wale walio kataliwa na Mungu.
@miltonjohn97796 ай бұрын
Huna hata aibu
@MICHEZODAIMATV22 күн бұрын
Nipe haya kutoka kwenye kitabu cha kislam inayosema mvue viatu
@petergitonga859011 күн бұрын
Nakuwaga na swali kwa wachungaji...Ndani ya BIBILIA KWA NINI VTABU ZIKATOLEWA kama Kitabu cha HENOKO???
@JuliusKinyuanduyo-me7nb6 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mungu awasaindie wasilam kujua ya kwamba yesu ndie muokosi
@daudinyello40336 ай бұрын
ILA SIO MUNGU
@kalifree2855 Жыл бұрын
Yesu alikuwa mtoni wakati huo na yohana mbatizaji alikuwa hapo mtoni akibatiza sio katika mjengo wa ibada ,
@user-ue6iu6go5d7 ай бұрын
Mtoni akifanya ibada . Panafanyiwa ibada takatifu ni nyumba ya Bwana
@lizndunchez7205 ай бұрын
Waisalamu mnaujinga sana ntna mna utoto sna ata mkipewa maswali z ukijinga sna mnauliza swali ju y swali alfu swali moja 😊😊
@halimahalifa3 ай бұрын
Acha k2kana waislam yes so mng kma kwl mum mbn akli A mng amsaidie asisulubiwe
@MwanatwahaАй бұрын
Achaujinga wewe dd😊😊😊😊😊
@salluhimuhammed862 Жыл бұрын
Kanisa tushageuza msikiti kenya uko kwa mara nyengni, bakini na kuishi na ujinga tu
@mobigo2unlocker-iv7kn8 ай бұрын
Hatuna undugu na uislamu wenye roho mbaya
@NimoJama-iw6tg2 ай бұрын
You people do you Muslims are leading Muslim are leading
@Nancybosibori-sz5nb7 ай бұрын
Hallelujah
@LadyKenya-uw5qn4 ай бұрын
Amen 🙏
@saphinalutaha90778 ай бұрын
Maznge ❤❤❤❤❤❤
@Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын
(28:54 Qur-an) These will be granted their reward twice over because they remained stead fast;they repel evil with good, and spend (in alms) out of the sustenance We provided them,
@user-op9fx3by1k6 ай бұрын
Ndio mtume wetu aliswali na viatu(khofu) Na inafaa sio kila aina ya viatu
@unclejonah73507 ай бұрын
Tujifunze kwa upole wa moyo wa Yesu..
@nundaboy6752 Жыл бұрын
Haleluya,
@NaimaSalim-hv6bd8 ай бұрын
Takbiri Allah akibar
@user-dl1dy6fo1j6 ай бұрын
❤❤❤❤
@ChrisPaul-vw2ts3 ай бұрын
Kweli uislamu ni ukombo.yaani mnaonyesha haya zenye zinajibu utata wenu na bado muwazushi tu.
@abuuazhar3738 Жыл бұрын
Hoja zi kipumbavu sana mnajadili, yani badala ya kujadili mambo ya kitaalaum mnajadili hoja nyepesi sana. Council of nicea, doctrine of trinity and the diety of Jesus christ. Hayo ni mambo ya kisomi sidhan kama mtaelewa.
@BIZOZAMEDIATZ Жыл бұрын
Unajihangaisha sasa 😢😢😢
@dadamuebrania1539 Жыл бұрын
Hawa akina Mazinge ni mukebe mtupu🙆
@user-jl9yj1gf9u2 ай бұрын
Wakina mazinge mpo wawili lakini mnamshindwa ndacha jaman
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon27 күн бұрын
Yesu alingia kanisani na viatu haina upinzanu kanisa nimkutano siyo jengo,nyumba ya ibada ambayo ni misikiti ya kitaudi hakuingia na viatu maana ilikuwa hailusiwi,Jibu ni laisi tu
@safaringaku50405 ай бұрын
Wanachukulia mambo juujuu. Kuvua viatu ukiingia kwenye nyumba ya ibada haimaanishi viatu alivyo vaa mtu. Bali inamaana: Yale mambo machafu uliyonayo kwa kuwaza, au uliyotenda usiyafikirie tena. Abraham aliambiwa hivo kwa maana alikuwa ameua mtu kule Egypt na akatoroka.
@ShebeAlawi5 ай бұрын
❤
@v_simon26775 ай бұрын
Yaan waislaam tatzo una ubish sana ukwel upo waz kabsa
@Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын
Wakristo wanakusanyika kwa hasara tu na kwa maelezo haya kanisani ni sawa na Bar tu maana ndani yake kuna walevi kama wote Innalillah wainna ilayh rajioun
@barakaanangisye4812 Жыл бұрын
pepon kuna mvinyo iyo vipi😂
@callennyabonyi5580 Жыл бұрын
Eti ?????muislamu anastasia na sigara mfukuni na miraa
@lwagamwakalinga80388 ай бұрын
Hivi leo aje kiumbe toka sayari nyingine akae na kundi la wakristo kwa mwezi then akakae na kundi la waislamu kwa mwezi atagundua wepi kichwani hamnazo ?
@SebastianJugle-lb7ob6 ай бұрын
Msikitini kuna Malaya na wabakaji watupu
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏
@trophywilson72113 ай бұрын
Wala Yesu hajawahi sema habari za Viatu ungesema hata Moses alipoenda kukutana Na Mungu
@daudilangat61236 ай бұрын
Huyo jamaa kuelewa ndo sida mpatize amjue yesu😅😅😅
@sebastiansalamba3136 ай бұрын
Mazinge Mzee Sasa akizidi kukosa uelewa na mambo ya masihara tu hajui na hajui kwamba hajui
@MICHEZODAIMATV22 күн бұрын
Nayeye atujibu andiko linaonesha watu wavue viatu msikitini kutoka kwenye qu ran