DUDUBAYA ACHAMBUA SHOW YA ALIKIBA NA DIAMOND ULAYA, AMPIGIA SALUTI ALIKIBA, ADAI DIAMOND ALICHEMKA

  Рет қаралды 10,956

Mino TV

Mino TV

28 күн бұрын

Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook, Instagram na Twitter gusa link za zetu apo chini.
.
FACEBOOK: / minotv
INSTAGRAM: / minotv_tz
TIKTOK: / minotv_tz .

Пікірлер: 24
@abasilihundu200
@abasilihundu200 26 күн бұрын
Kwa waliozichoka Ngoma za Amapiano Mimi ni wa kwanza aisee
@omardaudi2928
@omardaudi2928 25 күн бұрын
Tupo wingi sana
@hemedynyuki4389
@hemedynyuki4389 26 күн бұрын
Chid Benz aliongea tayar kuusu alikiba so ndo hvyo😂😂
@GeorgeMarcky-og6os
@GeorgeMarcky-og6os 26 күн бұрын
Huo ndio ukubwa kuwa mkweli nyeusi nyeusi nyeupe nyeupe kiba kaua mond kachemka
@user-vb8ki3jo9t
@user-vb8ki3jo9t 26 күн бұрын
Uko vizuli kaka
@LeylaaYusuph-pk5qp
@LeylaaYusuph-pk5qp 26 күн бұрын
Mino karibu zanji
@LeylaaYusuph-pk5qp
@LeylaaYusuph-pk5qp 26 күн бұрын
Oya meno karibu zanji
@utamutv_
@utamutv_ 26 күн бұрын
Show ya alikiba ilikua inaanza asubui mwisho sahaa 3 ucku bro na ck nzima alikua anapanda msanii Moja TU.
@LeylaaYusuph-pk5qp
@LeylaaYusuph-pk5qp 26 күн бұрын
Wakwanzaa
@JojyLuhasa
@JojyLuhasa 26 күн бұрын
👊
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 26 күн бұрын
Kutoka Gikombaa Nairobi Dudu Baya Ukitaka Tusifuatie Mahojiano Yako Usimsifie Mwambino
@angelakudenya2353
@angelakudenya2353 26 күн бұрын
Kiba aliperform wa mwisho na ilikuwa ni saa 2 hadi 3 ucku, huku summer time jua linachelewa kuzama,wakati mwingine saa 4 ucku Kuna mwanga, kwenye ratiba yy ndiye aliyefunga AfroFest 2024, hakukuwa na mwendelezo wa ratiba nyingine hadi 2025. Waandishi ili kushibisha wasikilizaji wenu tafuteni usahihi wa habari na iwe kwa kina, usirukie tu jambo na kulirusha mkiwa hamna details, angalau iwe hta nusu basi
@Hancy_barrow
@Hancy_barrow 26 күн бұрын
What's your point mama 😂
@Baira240
@Baira240 26 күн бұрын
Point yake huyo ni mondi 😂😂😂 na kachemka​@@Hancy_barrow
@WahuBoth
@WahuBoth 26 күн бұрын
​@@Hancy_barrowamakweli wewe ziro Sasa Kama umeshindwa kuelewa apo uelewi tena 🤕 sikia king 👑💪ame ua
@Hancy_barrow
@Hancy_barrow 26 күн бұрын
@@WahuBoth 🤣🤣🤣🤣Tena ziro brain kwakweli team King 👑 tujuane Kwa like
@imranissa5095
@imranissa5095 26 күн бұрын
Nakaa ukijua kumaliza show sio poa inahitaji vibe sana maana watu wanakuwa wamechoka so King 👑 iz KingKiba
@nikkitokke8162
@nikkitokke8162 25 күн бұрын
😂😂😂👍👑
@aulidriver3102
@aulidriver3102 25 күн бұрын
Bila ya kupiga hodi mtoni unafufua na kuoga ovyo ovyo lazima umchokeze mamba tuu.😅😅😅😅😅😅
@user-ny5ug4qo6c
@user-ny5ug4qo6c 25 күн бұрын
Natoka kenya.ila huyu jamaa anaongea poa alikiba kafanya vizuri .ushabiki kando
@bizmaterial594
@bizmaterial594 22 күн бұрын
KinG
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 26 күн бұрын
Ndo nini sasa
@daynesakulu3169
@daynesakulu3169 26 күн бұрын
Nkonki ana ongea eleza na kufafanua vizuri sana msani mdogo ndo ana funguwa show ili watu wa ingie❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@shikuhata
@shikuhata 26 күн бұрын
Duduu ndiyo amekuwa mchambuzi wawasanii saivii
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 102 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 52 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Diamond Platnumz alivyowaacha hoi wanachuo Nairobi kwenye THE TREND
28:08
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 102 МЛН