Zuchu ni zuchu yammi ni yammi ko mcjisheue kumchamba zuchu kisa yammi , kwan zuchu alivyoanza kuimba almtaarfu yammi uo ni unafki jaman wote ni wasanii wetu na wanaitaj support zetu so msifanye k2 kwa kukandamiza upande mmoja mpoo, tena tatizo la watanzania wengi wapo wapo 2 wanafata upepo ko kila m2 ana sauti yake ko mcfananshe fananshe ovyo .. Je yammi asinge kuwa msani mngemfanansha na nani zuchu¿¿¿??? Bt kazen buti cc 2pokwajr ya kuwa suport
@user-mi9cg6dm6nКүн бұрын
Yammi mdada mzuri but still hujitambui ... Umemsahau Allah na kwenda kwa shetan 😅pole sana bint umekimbilia pabaya
@wahidamaulid9527 Жыл бұрын
zuchu aachwe juz juz alikuwa anaekwa kwa Nandy zuchu mmja akaekwa kwa angela huyo huyo kwa yami ina mana mkali ❤️💯 but u team haufai umoja ni nguvu wanawake wenyewe wachache kwenye industry
@iddjuma4126 Жыл бұрын
Yeah ❤
@MerlinaKubadesha2 күн бұрын
Namkubali dadangu zuchu❤😅😂😂😂
@user-me8vz7fe8o20 күн бұрын
Zuchu kiboko we yammi kaa pembeni asaaa
@fatumamohammed2485 Жыл бұрын
Nakuona mbali sana dadangu unajua kuimba napenda sana nyimbo zako.
@fauziakitenge8061 Жыл бұрын
Mnagombanisha watu kwa Kichwa Chenu cha habari…Mnataka kumuharibia wakati ni mtoto mdogo anajitafta mfyuuuu shenzy
@kalssambaboo9932 Жыл бұрын
Hawa waandishi niwachonganishi sana hawa
@nairatomar9389 Жыл бұрын
wenye wivu mjinyonge tyuu👌🏼❤️❤️ kw qeut Yammi mambo ni🔥🔥🔥 mjipange sn👌🏼🥳🥳🥳
@damaspius1620 Жыл бұрын
Siku zote wa2 uanza kwa moto badae upoa , bt ngj 2subr😊
@fadhilamlay407 Жыл бұрын
Kabisa
@priscaphedrick5970 Жыл бұрын
Katika wanamziki woote wakike bila uongo wala kupepesa macho ni RUBY sema tu wakumshika mkono ndio hakuna
@Mina.15 Жыл бұрын
💯👌🏾 Ruby anasauti bwana wamemroga TU 😂
@kaxoghursantos2696 Жыл бұрын
Ruby inaonekana discipline hana yuke
@ZenaMsumagilo22 күн бұрын
Nimependa ulivyosema ukweli Ruby ni kifaa anajua
@mongeramatondo1320Күн бұрын
Kweli kabisa
@SarahIbrahim-je1oo19 күн бұрын
Acha wivu wewe humfiki zuchu
@MussaChristopher Жыл бұрын
Nandy huyo mtoto ume mtolea wap man ni fire
@thedon846710 ай бұрын
HAKIAMUNGU ZUCHU NI MTANZANIA
@SafiaHabib-ie2se7 күн бұрын
Ikiwa kweli mama ako hakupenda uimbe kwasababu alikueomesha misingi ya dini ya Kiislam na leo anakusapot kwa unachokifanya basi hana msimamo thabit kwa Mola wake na yeye atakwenda jibu kwenye mahakama ya Allah, umetoka kwenye misingi ya Mola wako kisa dunia yakuishi muda mchache tu unakaa uchi mama ako anashangiria na Dua anakuombea uzidi kumkosea Muumba wako sijui Kama hayo ni mapenzi ya mzazi maana Moto wa dunia na wa Akhera haulingani yeye yupo tayari aje mtu aweke Moto mbele yake amwambie mama yako namchoma Yami hapa Leo atakubali? Kama hatokubali basi kwa Nini akubali ukachomwe kwa Moto wa Allah usio na mfano? Kisa pesa tu . Tukumbuke wazazi Lina siku ambayo haitamfa mtu mali yake wala watoto tuiyogope hio siku dunia tumeikuta na tutaiyacha.
@aminabashirmohamed5752 Жыл бұрын
Usiguse Moto utanguunguzaaa,achana na zuchu namba one
@user-me8vz7fe8o20 күн бұрын
Kwanz huyu yammi hajui ata kuvaa kw kwel😂
@yusternyirenda7231 Жыл бұрын
Vina muda basi zuchu she is something else wasikudanganye dada mgeni, yammi kuimba anaimba sawa lakini kumfikia zuchu bado mno, hizi comment za walimwengu dada mgeni zisikuvimbishe kichwa ukajiona wewe unajua mno bora uendelee kupambana ili ufike mbali nenda kwenye post za zuchu na interview za zuchu za zamani wakati ametambulishwa kuwa ni msanii mpya uone comment za waja zilivyokuwa nzuri nzuri kama hizi hizi zako lakini sasa ivi nenda kwenye post zake mpya na interview mpya uone comment anazopewa hahaha utafurahia shoo hao ndio vigwegwe wanaopatikana kwenye nchi inayojiita tanzania
@happinessburton7529 Жыл бұрын
Hahahahha ashindan na boss wake kwanz
@sarishy0664 Жыл бұрын
Kwanii amesema anataka kumfikia zuchu😜
@yusternyirenda7231 Жыл бұрын
@@sarishy0664 muulize huyo kilandage wako ndugu matangazaji aliyetuletea huo upuuzi
@ZakiyaollerRadjuКүн бұрын
Ata wew hawushind zuch puwakam langurube
@user-hn6vo2sn6e11 ай бұрын
Hata pi a zuchu alianzia chini poa yeye alilia xaa pia kitu chaanziwa chini msaport ni moto sana
@SafiaHabib-ie2se7 күн бұрын
Yami we kweli umeukoka Moto na utakuunguza kweli maana kutoka kwa Allah kwenda kwa shetani.shetani katuahidi machafu na Allah katuahidi msamaha namuomba Allah akurudushe kwake akutoe kwa shetani. Dunia ni mapito hutokwenda kwa Mola wako na Nandi utkwenda peke yako na uliyoyafana ukiwa Duniani. 13:27
@mwabiawahadi6247 Жыл бұрын
Zuch Humuenz Jipange Zuch Level Nyengine
@aishamagoshi2852 Жыл бұрын
Amesemaanamweza
@anthonybanda4483 Жыл бұрын
Who said so
@mwanaidibushiri9048 Жыл бұрын
Achen kugombanisha wa2 jamani kama unaon hajui kaimbe wewe all in all wanaweza
@damaspius1620 Жыл бұрын
Daaah wasanii wanakazi sana cjuh wanaona wanachoongea mashabiki
@lisauroble3122 күн бұрын
Yami unasauti nzuri weembo umenifrahisha
@SafiaHabib-ie2se7 күн бұрын
Yami maasi yako unafananisha na rehma za Allah huo ni mtihani imeingia kwenye sauti ya shetani kakuita umemfuata na mwisho wa siku anakutaa anakwambia hukumuona hio ndio sifa ya Ibilisi aliyelaaniwa. 13:27
@salamalsawaqi120620 күн бұрын
Huyu bado mikojo mtupuuuu
@getrudaFransis-zo7kp15 күн бұрын
Nakupend nlikupenda Zaid kweny tiririka
@ushyentoabdulnunu8044 Жыл бұрын
Hahahahahahaha weee Yammi kiboko zuchu ayumo ....Yammi mpole maskin n pia yaonekana life ilikuwa ngumu maskin ila kuwa msiriwa waja wambea dadangu
@ashuu7772 Жыл бұрын
Zuchu ni hela ndio maana anafananishwa na wasanii wengi
@rosejosephat9690 Жыл бұрын
Mbona mtangazaj anaongea na Yammy kama vile amemuelewa? Au nyie mnaonaj duuuuh! Au pengne hyo nmeiona pekeangu 🤷
@user-ep4kd3rv6y10 ай бұрын
haha hatari??
@fbr5113 Жыл бұрын
WASANII WANAUME WANAHANGAIKA NA DIAMOND WANAWAKE NA ZUCHU DUH KWELI NDIO UJUE KWAMBA DIAMOND NA ZUCHU NI TISHIO NA NDIO WAKO JUU KULIKO WASANII WOTE TANZANIA NA EAST AFRICA
@Joylinemakeup6 ай бұрын
Kumfikia zuchu bado sana my dear 😊
@user-pw2bl4qd8w9 күн бұрын
Yammy we mzuri sana ❤❤❤❤
@zena6203 Жыл бұрын
Usijisifu unambio wakati hujakimbizwa subiri ukimbizweeee kwanza
@user-up7lr3fe5j10 ай бұрын
Zuchu kama zuch
@mwanamisimwangaro8001 Жыл бұрын
Zuchu apingwi kwakua yuko kwa diamond( wasafi) tu ngoja pekeake kama nandy ama wasanii wengine ....atakua chini sana tu
@antonywilliama2868 Жыл бұрын
hasa huyu yami si ndo anajitafta mmeshaanza kumjaza kichwa
@khadjamhozya Жыл бұрын
Wa tz bhana,!!!,🤔 saivi zuchu mumemsahau, mumeisahau, watsubir Sana , mwambie apunguze kampeni, Jimbo rshacukuriwa, my namba one na ley,vanny, na lmiss you , na vanny Yan arisema sere gogo, na kwikwi na sukari nanisamee na, ninamuogesha namnyonyesha,na nyumba ndogo,,,, na kpendwa lahaa zngnezo aloimba na mboso na wasan wengine na wa injee za kngereza zilzofanya vzur , mpaka leo nandy mwenyewe kwa zuchu hagusi iweje huo mwenye mipua Kama ya babalevo anamzidi, labuda zuchu ashindanihwe na sarafina sio huo kijuso🤧🤧🤧🤧zuchu 🤍🤍🤍🤍
@damaspius1620 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 umeamua utaje kbsa na orodha ya nyimbo za zuchu 😂😂😂😂😂😂 we kiboko bac taja naza yammi😋😋
@kanyihambamontana5971 Жыл бұрын
Uyo ni moto sana,anamzidi zuchu mbaliiii kuimba tena bila wongo
Kuna msemo fulani niliusikiliza kwenye wimbo fulani eti umejifunza ngumi so unataka kupigana na Tyson... Utaweza kweli wewe dada, wewe si level ya Zuchu kwanza anza kushindana na bosi Wako umpiku.
@aishamohamed99815 ай бұрын
Mama alikua sawa kukataa usiimbe... Mbele ya Mungu anamajibu...
@TopTop-vo6pe23 күн бұрын
Hujamfikia zuhura dada, nandy ackudanganye, zuhura motor sana, jitahidi sana ukitaka mfikia zuhura
@hasaniomary9399 Жыл бұрын
Zuchu sio levo ya nand jaman labda gani na wasanii wengine chipukizi
@user-oj4rw2jr7n Жыл бұрын
Yamy i like your songs❤❤❤❤❤ mungu akuzidishie
@user-do9fp4js3q25 күн бұрын
Yammmin nakukubar pambana dada angu
@user-ck4cv5rh7i10 күн бұрын
Yammy anafanana na ruby
@HannanAlly-o8k11 күн бұрын
We mtoto was juzi tuuu funga ilo domo lako
@hadijachionda5580 Жыл бұрын
Anaweza sana
@GraceWife-e7r11 күн бұрын
Saw
@SharrifCharo-mi1bn10 ай бұрын
Sasa huyu unamuigiza zuchu
@idayaassumani4102 Жыл бұрын
❤❤
@user-us7id9hp7p4 ай бұрын
Ucmfananishe zuhura na vitu vya ajabuuu
@maalimkicheko87315 ай бұрын
Huyu Anaweza duu hii nibayyati maimuna
@patimamadaha9160 Жыл бұрын
Iko kipand3ee nakipenda mno
@user-se7oh4xu5r7 күн бұрын
Komwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rukiaathumanathuman78757 ай бұрын
Yaamy yuko moto
@ghadaalzuhari2739 Жыл бұрын
Mashallah unajywa❤️
@asiaedward5247 Жыл бұрын
Ul
@ashaali7154 Жыл бұрын
Wanaowapaisha Zuchu na Diamond ni hao hao watangazaji na ndio hao wanawaharibia kwa madongo yao. Wasanii wengine wanahangaika na maisha yao tu hawana muda wa ugomvi.
@salamalsawaqi120620 күн бұрын
Anaibaga taarab
@wahidamaulid9527 Жыл бұрын
mkali ila zuchu asithubutu kushindana nae asivimbe kichwa kiivo 😂 zuchu level zile
@halidhemed7524 Жыл бұрын
Label inambeba... Ila talent n kawaida
@wahidamaulid9527 Жыл бұрын
@@halidhemed7524 na uyo nae c kabebwa na lebo au zuuuchu achwe jitihada pia anayo
@halidhemed7524 Жыл бұрын
@@wahidamaulid9527 ulivyosema asithubutu kushndana nae .... Wote walkuwa hawafahamik.... Ila kiuhalisia bila kuangalia nan kaanza kutoka kwng game.... Mwny talent ya kuimba Yammy sio Zuchu, hii haimaansh kwmb Zuchu hajui kuimba.. lahasha
@wahidamaulid9527 Жыл бұрын
@@halidhemed7524 zuchu anajitihada na talent yami nyimbo zake hazifikii za Zuchu uwo nd ukweli sema watu Zuchu huangalia makosa sana kama ile performance alosema mic sijui watu tena nd sababu ya kumuona kuwa zuchu hana kipaji mi naona siyo kweli ata iyo lebel ingebeba watu wengi wakafika level za zuchu mbna wameshindwa je una uhakika ata fika level xa zuchu? siamini msanii ukiwa huna jitihada hata lebel mzigo 2 kina angela wamefika wapi ,lavalava au hata mbosoo hana ata tuzo na yupo lebel iyo unosema zuchu hana lolote kabebwa
@wahidamaulid9527 Жыл бұрын
@@halidhemed7524 tumuangalie mana pia zuchu hakuanza vibaya alianza vizuri zaidi ya yammi na akaendelea na kukua zaidi hii haimaanishi kila msanii anaweza wapo waloanza vizuri ila kumeintein nd mtihani