Tazamna full interview ya Yammi (Msanii wa Nandy) amefunguka mastori kibao, Zuchu na Nandy walivokutana hivi karibu, alivyokua na Mbosso studio! Subscribe, Like, Comment & Share
Пікірлер: 42
@Shebbymoudy2 ай бұрын
My best lovely musician yammi 💕 love you
@elizabethchabluma-zw5qz4 ай бұрын
Sasa unajielezea vizuri safi sana kaza buti usishuke mamii
@musaali51514 ай бұрын
Lil ommy punguza mapozi..its God not guard
@damianmcba95254 ай бұрын
Sauti mashallah ,,yammy
@patricksivalingana54254 ай бұрын
Yammy huyoni wangu🇨🇩✌️✌️✌️
@Socrate1114 ай бұрын
King of interview mvp lilommy
@seyyactor14184 ай бұрын
Kwakwel nandy ana kazi hapa tusimseme muacheni tu amsuke vzr tupate kilicho bora zaid😢❤
kwenye interview uyu bint bado sio mzoefu avutii kbsa nand mzoeshe kwenye media tour
@mercypeledawson16224 ай бұрын
Anajibu direkt kile alichoulizwa.... hayo mengine wanayofanya wengine ni nyodo tu wanafanyaga
@rahjah58824 ай бұрын
Mbona hujamuuliza Madrasa amefikia wapi?
@margaretbirenge40814 ай бұрын
😂😂😂cijapentaa
@salhamrishoi49434 ай бұрын
Cute ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Nampenda saana uyu binti
@sulekato43304 ай бұрын
Why kila mtu Madrasa??
@kidatokassim76164 ай бұрын
Madrasa watu uimba sana qaswida wengine uanza mapenzi na muziki hapo
@svt34 ай бұрын
@@kidatokassim7616alafu wanaita mziki haramu 😂😂😂 watu wanafiki daah
@rahmaoman4704 ай бұрын
Kwa7bu madrasa huwa inasaidia kutampka herufi vizuli na kuna miondoko frani ya sauti kama sika bayat nahawndi ajemi hizi saut ukizijua ukilet kweny mziki wowte iwe taarabu au bongo freva huwa inaleta mziki mzuli na
@azizaali6874 ай бұрын
@@svt3Yammy upo vizuri we unae sema anashina zuchu mbuyu ulianza kama mchicha
@svt34 ай бұрын
@@azizaali687 sikatai ila uwekezeji wa kutoshq unaitaji kwenye mziki,ukifuata interview ya Kill mu masai kwenye interview kasema wazi Nandi msanii wako Amy akienda ku shoot jaribu kumupatia camera nzuri (namnukuu) sasa msanii chini ya lebel anaenda shoot video na camera mbovu uwekezaji gani huo?
@BarbaraPatience-qt9cc4 ай бұрын
Yummy anajilazimisha kuingia anga za Zuchu!!! Huwezi dada
@fadyabajaber96544 ай бұрын
Weh nawe huyo zuchu ana anga zipi mpka aingiliwe😂😂😂😂
@svt34 ай бұрын
@@fadyabajaber9654kilicho hapo ukweli ni zuchu iko kwenye lebel ambayo wana brand, lebel inawekeza pesa kwa wasanii wao, lebel ambayo inajuwa ku promote hizo ni anga ambazo hakunap lebel mbili tz kama Wasafi