Marekani hawamini hii dunia imeumbwa na nani wao wanaamini wanaamini katika sayansi maumbile yote viumbe ni nature ni jamii ya mayahudi.Sasa basi mwenye akili anajua kwamba alichokiumba mwenyezi hata kidogo hakiwezi kumpangia mwenyezi mungu.hiyo mipango anayoipanga haitafanikiwa hata kidogo kwa nguvu za mungu.Historia zinaeleza kulikuwa na Tawala kubwa zilitawala dunia kwa malengo mabaya mungu aliziangusha.Tumuombe mwamba afanikiwe dunia iwe na heshima nafikiri mwamba anayesimamia nidhamu ya dunia ni Putin mungu ampe nguvu zaidi na ushindi.AMIN
@dinocastico8495
Mzee ana uchambuz mzuri sana hakika
@siasia5469
Muwe mna mleta mara nyingi ana madini mengi Allah amuhifadhi
@abdulbonomali6548
Na wmefanikiwa kutufanya tusiwe na uwezo mkubwa wa kufikiri na kufanya maauzi sahihi
@jumakapilima7295
Truly!!
@rasheedabby2871
Mwamba ana madini sana chuma kamili
@noorbazaar9063
Shukran 🙏🇹🇿
@nicksonlyimo1562
Sio marekani tuu hata wewe myu aki inuka na kupinga maslahi yako na familia yako hata wewe hutamuelewa huyo mtu, watu wanauana hata afrika kwaajili ya maslahi yao huwezi kumtenga mtu na maslahi yake kwani maslahi ndio maisha ,usidhani kama weee ni kiongozi halafu uache kuitetea heshima ya nchi yako na watu wako utakua wewe hujitambui.
@King_Of_Everything
👍✌️👊.
@Greatamir
8:38
@batashqiraa9936
Swadakta sheikh umenena ukweli
@Johnmalekela14 күн бұрын
Nilikua nakuelewa
@MohdHamad-zr8ll
Nikweli hata mambo ya uzazi wa mpango ni mbinu ya mayahudi.
@mussamabawa2973
PROFESSOR NZOZI
@clarencehilary5588
Yaani hawezi kuzungumza Jambo bila kutaja uislam wenye dini yao waarabu wapo kimya nyinyi mijitu myeusi mnahangaikia uarabu
@paschalcharles6097
Hivi hii mtu kutaka ni kitu gani????
@josephmasanja8584
Waislamu acheni kujitia mnajua saaana wakati hamtaki elimu ya duniani!!!!!