Maa shaa Allahu kipenzi changu roll model wangu!! I wish one day nihudhurie darsa lako liveee yn
@nismaali2982Ай бұрын
Maashallah Tabarak Allah ❤❤❤❤ukthy allah akujalie kila lenye kher nawe🤲🤲
@jasmintanga2474Ай бұрын
Maashaa Allah, shukran ukht kwa elimu
@arashe6351Ай бұрын
Ma sha Allah....Ma sha Allah.....shukrani sana kwa elimu.
@ZaidaNyanyagiАй бұрын
Masha Allah, nakupenda kwa ajili ya Allah
@Aida-qh3jqАй бұрын
Naaam maadam fatuma wanawake wengi ndo mama ndo bab kila unachokifanya bila wewe kutoka walala njaa na watoto hali wala kwenda shule na kuvaa lakini kwa mwanaume wenye kazi watafany hayo
@tumwesigyehamdan8587Ай бұрын
Wambie.. Daada
@zohoraramadan4540Ай бұрын
Ukhti darsa zako zinapatikana wapi kwa mabinti wari wanao olewa tunahitaji kuwaleta uwafundishe kabla ya kuolewa tafadhali
@MajuvaMajuvaАй бұрын
Masha Allah baraka llah fika
@OmaryIssa-uk4zhАй бұрын
Mashaallah mashaallah
@user-pt9uw3nz8cАй бұрын
Maa Shaa Allah,TabbarakaAllah❤❤
@ashuumuhammad8269Ай бұрын
MaashaAllah ukhty
@zohoraramadan4540Ай бұрын
Mashallah ukhuti
@a.856Ай бұрын
Jazakallah khayran
@thetruth8979Ай бұрын
hivo kama mume hazingatii wajibu wake hivo vinyoleo na sabuni unazipara wapi?na kingine unashinda na njaa nguvu zinatoka wapi ukhti wanawake wengi wanajitahid waume ni tatizo labda wewe mwenzetu unahuduma bora ndio mana unamudu hayo unayo sema usafi unatoka wapi huduma hakuna
@moanamessi1749Ай бұрын
Mashaallah tabaraka llah
@ZaidaNyanyagiАй бұрын
Masha Allah
@user-mr5yf1hp7tАй бұрын
Waambie wainga wainga wasio jijua NA majeuri yamewajaa wenyewe hawajui hata kujisafisha
@azizayassin3623Ай бұрын
Inamanisha mume no mtoto wa mwisho nyie😂😂😂😂😂 nimechoka mimi wakwangua anapenda ushindi au magadi
@ASIMOnlineTvАй бұрын
Tufundisheni watoto wa kiume usafi
@user-bo1cn3dw6oАй бұрын
Mbona unamambo ww nimnyoe kwani yy Hana mikono mnahangaika na hao wanaume hawana maana kesho wanakuletea wanawake wengine Sina muda huo
@user-dx6dm6lh1i29 күн бұрын
Mm nashangaa hawa wanaofindisha hv uislamu umefundisha mwanamke amfanyie mwanaume tu yy. Mwanaume hana yakumfanyia mkeo. Kiufup mwanaume ndio amfanyie mkewe sio mwanamke tu
@user-dx6dm6lh1i29 күн бұрын
Ndio hpo utasema ni mlemavu umfanyie hvo wengine hawatak ujinga huo wanajua kwamba mwanamke anachoak kazi za nyumba kuangalia watoto bdo uwangalie mpk kucha za mwanaume si kutupa kazi bila mshahara.