No video

Mbunge Musukuma Noma aliamsha bungeni atoa pochi yake mfukoni "Hamna hata buku humu"

  Рет қаралды 162,156

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Күн бұрын

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 89
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 Жыл бұрын
Huyu Jamaa asilimia kubwa ya haja zake zinalenga haswa kumsaidia mtu wa chin kabisa Tena habagui.Hongera sana kwake👏
@erodeshayo123
@erodeshayo123 Жыл бұрын
Unanidham sana msukuma Mungu akusimamie na ukafike mbali zaid Nimekupenda gafla msukuma
@patientlazaro6930
@patientlazaro6930 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dr. Msukuma kichwa sana aseeeee mheshimiwa umanifurahisha.ahahaha. umeonge point nyingi sana japo mwisho umenichekesha ila kwa point akili nyingi
@edimundrevelian1246
@edimundrevelian1246 2 жыл бұрын
Shikamoo Dr. Msukuma 💫
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 2 жыл бұрын
Safiiiiiiiii Daktari Msukuma wewe mwenye udaktari usione wivu endelea kujiamini wewe ni Daktari tu Msukuma Daktari Mbunge hakuzuii wewe mwenye kuitwa daktari wa aina uliyonayo kuitwa daktari tupige kazi kinachomata taaluma yako ilete maendeleo na mafanikio usifurahie kuitwa daktari tuwe km wabeligiji
@focuserick6162
@focuserick6162 2 жыл бұрын
Dah msukuma ni mtu mwenye uezo mkubwa wa kujirleza na kudadavua na anapendaza kuendelea kumsikiliza muda wote,yan ana uezo wakujenga hoja na kui i defend vizur sana sana!!
@phiniasmugini9037
@phiniasmugini9037 2 жыл бұрын
Mtaka katika viongoz wote wa mikoa Tanzania Hana mpinzani kwani Mungu anamsimamia mno katika kufanya kaz yake akizingatia utu na kujua kuwa hao anaofanyia NAO wanafamilia....na watu wanaomtegemea....Mungu akutangulie mtumishi
@chikubundala2305
@chikubundala2305 Жыл бұрын
Msukuma Mungu akulinde
@robbymoy1702
@robbymoy1702 4 ай бұрын
Nlitamani msukuma angekua ndo m bunge wetu arusha magharibi.tungekua mbali sana.namuona noah lembris yuko bze kusoma vitabu bungeni kuliko kitoka hoja na kero za wananch wa Ar Magharib..😮😮
@AffectionateMarineShark-sv4tj
@AffectionateMarineShark-sv4tj 2 ай бұрын
This man is genius in nature
@joowzeyboyjoowzee4474
@joowzeyboyjoowzee4474 Жыл бұрын
Hongera Sana msukuma
@anosiata8242
@anosiata8242 2 жыл бұрын
Msukuma nakuaminia Uko vizuri
@paulmkhoi8144
@paulmkhoi8144 2 жыл бұрын
Hata mimi nimesoma lkn nashangaa kuona mbuge msomi anavyomchelewesha Mh Msukuma kushusha nondo zenye maslahi mapana ya nchi kwa taarifa ya kipuuzi.
@thetwen2167
@thetwen2167 2 жыл бұрын
Hahahaha msukuma nakukubali sanaa
@mollelstephano1364
@mollelstephano1364 Жыл бұрын
Msukuma upo vizuri sana
@eliassirocha3988
@eliassirocha3988 2 жыл бұрын
Mh msukuma pongeziii kwako kiongoziii mahiliii sana
@eliaswambura861
@eliaswambura861 2 жыл бұрын
Mheshimiwa uko sawa, mawazo hayo nilazima tupate mavuno yake 🤝🤝🤝🤝
@kiluwaselemani4246
@kiluwaselemani4246 2 жыл бұрын
Hongela mh Msukukuma ww una faa sana unasema kweli kabosa
@enologamapaloga8778
@enologamapaloga8778 2 жыл бұрын
Logaloga, hongera sana King hailiwi uko sawa
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 2 жыл бұрын
Huyuu jamaaa Yuko vyemaa Sana msukuma
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤chadema naipenda msukuma nakupa kura ila kumsifia samia niunafik
@user-ib6ik3wt2c
@user-ib6ik3wt2c 3 ай бұрын
Hongera yako msukum
@hawahawa6132
@hawahawa6132 Жыл бұрын
Kbs
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 2 жыл бұрын
Nida nitatizo ! Habari ya kuendelea kubaki namba hakutusaidie kwa 100% .Vitambulisho vyetu vitolewe halisia .ex nilijiandikisha ktk usajili ktk zoezi la awali lakini sijapata kitambukisho naishia kutumia namba za nida na wàkati mwingine makosa huduma kikamilifu kwa kutokuwa na kitambulisho halisi cha Taifa sio namba ya nida tu!
@user-ze4vz9vr9f
@user-ze4vz9vr9f 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ ukovizur
@user-kr7wf1yg1c
@user-kr7wf1yg1c 7 ай бұрын
Hongera sana mh musukuma
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 2 жыл бұрын
Antony Mtaka oyeeeeeeeee wakondya brother upo juu km piereee
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Ukosawa nduguyetuu musukumaa 😅😅
@tumaintarra9960
@tumaintarra9960 2 жыл бұрын
Msukuma up vzur
@focuserick6162
@focuserick6162 2 жыл бұрын
Mbunge wa segerea bona karua anaenda kuuza sura tu jimboni ,hebu mskilize msukuma yan analeta raha kurndelea kusikiliza .
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 2 жыл бұрын
so smart
@maulidjulius
@maulidjulius 3 ай бұрын
Wewe ni kiongozi zaidi ya viongozi
@adelphinusbikonya8534
@adelphinusbikonya8534 2 жыл бұрын
Yaani mbunge akijalibu tu kuongelea mambo ya muhimu taarifa za kumharibia mudi zinaanza nyamb .......HONGERA MUSUKUMA
@boniventuresonda
@boniventuresonda 2 жыл бұрын
Spika wivu🤣🤣🤣#kataa wahuni🇹🇿🇲🇼
@anthonysulula766
@anthonysulula766 2 жыл бұрын
Msukuma,wewe ni Dr.
@sharifally3481
@sharifally3481 2 жыл бұрын
Huuyu jamaa ninoma kwelii
@saimonsaid7385
@saimonsaid7385 2 жыл бұрын
Daah huyu msukuma jamn daaah
@kauyegeorge3335
@kauyegeorge3335 2 жыл бұрын
Yan huyu jamaa anafaa kuw wazir
@otianasanga9106
@otianasanga9106 2 жыл бұрын
Zipo mpesa
@aleluyathobias9847
@aleluyathobias9847 2 жыл бұрын
Hi
@mathiasvicent9955
@mathiasvicent9955 2 жыл бұрын
Akili mingi mingi
@doktamathew
@doktamathew 2 жыл бұрын
hahahahahahahahahahahaahahahahahahahahaah
@shharifamirandou211
@shharifamirandou211 Жыл бұрын
Yaah
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 2 жыл бұрын
Safiiiiiiiii skulimet
@jeshilamtu863
@jeshilamtu863 2 жыл бұрын
R I P JPM 😭😭😭🇹🇿🙏
@UfunuoMsuva-yh2et
@UfunuoMsuva-yh2et Жыл бұрын
Msukuma yupo mzuli
@robertphilip385
@robertphilip385 2 жыл бұрын
Msukuma chakutudanganya hela umezificha kwenye soks
@lekumolukumay6832
@lekumolukumay6832 2 жыл бұрын
Msukuma unaeleweka sana
@phiniasmugini9037
@phiniasmugini9037 2 жыл бұрын
Msukuma Unaongea ukweli mno.
@zuberimkuba2324
@zuberimkuba2324 Жыл бұрын
Msukuma nakukubar saana ubunge wako unaufanyia kaz ipasavyo
@maluhismadila9593
@maluhismadila9593 Жыл бұрын
Msukuma nimeikubali hiyo
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 2 жыл бұрын
Mpina uko sahihi wapumbavu wakubwa hawajui
@deogratiusjoseph1758
@deogratiusjoseph1758 2 жыл бұрын
Saf sana
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 2 жыл бұрын
Huko nikutucheka wenzio mzee mwenzangu!
@zabronjmanyama4274
@zabronjmanyama4274 2 жыл бұрын
Mifano ipo Poa Sana doctor
@monicawasuha8650
@monicawasuha8650 Жыл бұрын
Uwamz wa Tanapa mbarali
@mrsjerome9981
@mrsjerome9981 Жыл бұрын
✋✋
@abrahamkibona7038
@abrahamkibona7038 2 жыл бұрын
Msukuma hapo kwenye bwawa sijakuelewa au umepiga hela
@user-dx7hb3de9e
@user-dx7hb3de9e Жыл бұрын
Dah natamni nifike hapo
@user-ze4vz9vr9f
@user-ze4vz9vr9f 5 ай бұрын
😂😂😂
@davidjohn8276
@davidjohn8276 Жыл бұрын
Umemaliza kwa mkwara mzito
@nyambegamatoro6817
@nyambegamatoro6817 2 жыл бұрын
Mh mbunge, siku hizi unaupiga mwingi mno. Habari za maendeleo ya bwawa la JNHP na sgr hayaridhishi .
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 2 жыл бұрын
Hicho kitambulisho kimebakia kwaajili ya kubadili kadi ya benk tu hakuna lolote ufala tu Kenya na Uganda wanatumia Kama passport lakini hapo kwenu hajui nn maana ya kitambulisho Cha taifa mama mwenyew anahangaika kujipendekeza na mataifa ya ulaya ninge muona mjanja Kama kitambulusho kitakuwa Kama passport Kenya Uganda wakifika boda wanatoa kitambulisho Cha taifa tu mchezo umeisha
@mariethaodilo-mp3hi
@mariethaodilo-mp3hi Жыл бұрын
Msukuma nakubal sana waambie
@jamessimba749
@jamessimba749 2 жыл бұрын
Hutu jamaa kwenye NIDA hapo angekazia
@timboxlee919
@timboxlee919 Жыл бұрын
Hili li king ni bonge la zuzu,lina watetea wanzibari wakati kwake hakuna lami,Rip JPM
@edwardmalila5230
@edwardmalila5230 2 жыл бұрын
MSukuma unaongea vizr ila usipindixhe pointi ila wanaohusika ni wote yaan serikali na mkuu wa nchi, unajua utendaji ukiwa mbovu anayelaumiwa sio wazr ila ni rais
@sambulugu9988
@sambulugu9988 2 жыл бұрын
Wewe Msukuma mjinga tu! Wewe mvuvi haramu!
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 5 ай бұрын
Bogas wewe
@mrsjerome9981
@mrsjerome9981 Жыл бұрын
Ukovinzr kaka
@RamadhanNapinda
@RamadhanNapinda 3 күн бұрын
huyundio mbunge
@SamsungGalaxy-kx2zj
@SamsungGalaxy-kx2zj 2 жыл бұрын
Dada huna akili yy kasema ukweli kunanchi gani yenye vitambulisho Mia
@hizamwaimu3918
@hizamwaimu3918 2 жыл бұрын
😳😳😳😳😳😳
@patrick-qm7xo
@patrick-qm7xo 2 жыл бұрын
Vizuli Sana Msukuma una tafuta cheo kwa mama
@paulinanzunda
@paulinanzunda 4 ай бұрын
Karibulupachunyamsukumajimbolalupatunambungehewa
@saderaodupoi4333
@saderaodupoi4333 2 жыл бұрын
Huduma number card loading in Tanzania.
@omansinaw7538
@omansinaw7538 2 жыл бұрын
Musukuma umpewe urizi pesa warudishiwe pesa zao
@omansinaw7538
@omansinaw7538 2 жыл бұрын
Ninakuerewa kabisa msukuma
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Samia mitano tena 2025
@kingkendrickk
@kingkendrickk 2 жыл бұрын
Bunge la mazwazwa
@kikongajoel5172
@kikongajoel5172 2 жыл бұрын
Msukuma?????????????
@enologamapaloga8778
@enologamapaloga8778 2 жыл бұрын
Mh logaloga nakuamini King King MSUKUMAAAAAAAAAAAA
@puyaka1849
@puyaka1849 2 жыл бұрын
Msukuma kwenye issue ya bwawa la Nyerere unaleta uchawa! Unaongea upuuzi wewe
@rashidngwawile9062
@rashidngwawile9062 2 жыл бұрын
Kumbe nawe umeona. Kushukuru kwa kurijuwa hilo
@jonhjoseph
@jonhjoseph Жыл бұрын
Hong era kasheku
@godfreybikukana2079
@godfreybikukana2079 2 жыл бұрын
Upewa Rushes ndio maana unajipendekeza
@saidybhokey5744
@saidybhokey5744 2 жыл бұрын
nikweli msukuma
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 2 жыл бұрын
Hao tatizo linalowasumbua wanafikiri wakifanya kinyuma na alivyofanya jpm eti wanamkomoa kwa sababu walikuwa hawampendi kwa kuwa alikuwa anawafavour Wat wenye kipato cha chini. Wao Sasa Sera yao ata Kama hujaenda shule utagundua ni kuwafavour watu wenye kipato cha juu matajiri na kuwakandamiza watu wenye vipato vidogo ndo mkakati wao. Yaani wanapambana na mtu aliyekufa sijui ni uongoz wa namna gani. Yaani unawaongezea Kodi watu wenye kipato kidogo halafu unajinadi unataka kukuza uchumi. Halafu mnaogopa kusema kweli mnazunguka
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 20 МЛН
Happy birthday to you by Tsuriki Show
00:12
Tsuriki Show
Рет қаралды 12 МЛН
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 50 МЛН
MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.
10:48
Kamala Harris's full speech to the Democratic National Convention
37:39
CBC News: The National
Рет қаралды 338 М.
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 20 МЛН