Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 89
@raphaelmwamakimbula9642 Жыл бұрын
Huyu Jamaa asilimia kubwa ya haja zake zinalenga haswa kumsaidia mtu wa chin kabisa Tena habagui.Hongera sana kwake👏
@erodeshayo123 Жыл бұрын
Unanidham sana msukuma Mungu akusimamie na ukafike mbali zaid Nimekupenda gafla msukuma
@patientlazaro69302 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dr. Msukuma kichwa sana aseeeee mheshimiwa umanifurahisha.ahahaha. umeonge point nyingi sana japo mwisho umenichekesha ila kwa point akili nyingi
@edimundrevelian12462 жыл бұрын
Shikamoo Dr. Msukuma 💫
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Safiiiiiiiii Daktari Msukuma wewe mwenye udaktari usione wivu endelea kujiamini wewe ni Daktari tu Msukuma Daktari Mbunge hakuzuii wewe mwenye kuitwa daktari wa aina uliyonayo kuitwa daktari tupige kazi kinachomata taaluma yako ilete maendeleo na mafanikio usifurahie kuitwa daktari tuwe km wabeligiji
@focuserick61622 жыл бұрын
Dah msukuma ni mtu mwenye uezo mkubwa wa kujirleza na kudadavua na anapendaza kuendelea kumsikiliza muda wote,yan ana uezo wakujenga hoja na kui i defend vizur sana sana!!
@phiniasmugini90372 жыл бұрын
Mtaka katika viongoz wote wa mikoa Tanzania Hana mpinzani kwani Mungu anamsimamia mno katika kufanya kaz yake akizingatia utu na kujua kuwa hao anaofanyia NAO wanafamilia....na watu wanaomtegemea....Mungu akutangulie mtumishi
@chikubundala2305 Жыл бұрын
Msukuma Mungu akulinde
@robbymoy17024 ай бұрын
Nlitamani msukuma angekua ndo m bunge wetu arusha magharibi.tungekua mbali sana.namuona noah lembris yuko bze kusoma vitabu bungeni kuliko kitoka hoja na kero za wananch wa Ar Magharib..😮😮
@AffectionateMarineShark-sv4tj2 ай бұрын
This man is genius in nature
@joowzeyboyjoowzee4474 Жыл бұрын
Hongera Sana msukuma
@anosiata82422 жыл бұрын
Msukuma nakuaminia Uko vizuri
@paulmkhoi81442 жыл бұрын
Hata mimi nimesoma lkn nashangaa kuona mbuge msomi anavyomchelewesha Mh Msukuma kushusha nondo zenye maslahi mapana ya nchi kwa taarifa ya kipuuzi.
@thetwen21672 жыл бұрын
Hahahaha msukuma nakukubali sanaa
@mollelstephano1364 Жыл бұрын
Msukuma upo vizuri sana
@eliassirocha39882 жыл бұрын
Mh msukuma pongeziii kwako kiongoziii mahiliii sana
@eliaswambura8612 жыл бұрын
Mheshimiwa uko sawa, mawazo hayo nilazima tupate mavuno yake 🤝🤝🤝🤝
@kiluwaselemani42462 жыл бұрын
Hongela mh Msukukuma ww una faa sana unasema kweli kabosa
@enologamapaloga87782 жыл бұрын
Logaloga, hongera sana King hailiwi uko sawa
@mgongolwajoseph69012 жыл бұрын
Huyuu jamaaa Yuko vyemaa Sana msukuma
@user-ti8fn1wn1w5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤chadema naipenda msukuma nakupa kura ila kumsifia samia niunafik
@user-ib6ik3wt2c3 ай бұрын
Hongera yako msukum
@hawahawa6132 Жыл бұрын
Kbs
@alphoncekagezi49502 жыл бұрын
Nida nitatizo ! Habari ya kuendelea kubaki namba hakutusaidie kwa 100% .Vitambulisho vyetu vitolewe halisia .ex nilijiandikisha ktk usajili ktk zoezi la awali lakini sijapata kitambukisho naishia kutumia namba za nida na wàkati mwingine makosa huduma kikamilifu kwa kutokuwa na kitambulisho halisi cha Taifa sio namba ya nida tu!
@user-ze4vz9vr9f5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ ukovizur
@user-kr7wf1yg1c7 ай бұрын
Hongera sana mh musukuma
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Antony Mtaka oyeeeeeeeee wakondya brother upo juu km piereee
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Ukosawa nduguyetuu musukumaa 😅😅
@tumaintarra99602 жыл бұрын
Msukuma up vzur
@focuserick61622 жыл бұрын
Mbunge wa segerea bona karua anaenda kuuza sura tu jimboni ,hebu mskilize msukuma yan analeta raha kurndelea kusikiliza .
@BarakerZeonlist2 жыл бұрын
so smart
@maulidjulius3 ай бұрын
Wewe ni kiongozi zaidi ya viongozi
@adelphinusbikonya85342 жыл бұрын
Yaani mbunge akijalibu tu kuongelea mambo ya muhimu taarifa za kumharibia mudi zinaanza nyamb .......HONGERA MUSUKUMA
@boniventuresonda2 жыл бұрын
Spika wivu🤣🤣🤣#kataa wahuni🇹🇿🇲🇼
@anthonysulula7662 жыл бұрын
Msukuma,wewe ni Dr.
@sharifally34812 жыл бұрын
Huuyu jamaa ninoma kwelii
@saimonsaid73852 жыл бұрын
Daah huyu msukuma jamn daaah
@kauyegeorge33352 жыл бұрын
Yan huyu jamaa anafaa kuw wazir
@otianasanga91062 жыл бұрын
Zipo mpesa
@aleluyathobias98472 жыл бұрын
Hi
@mathiasvicent99552 жыл бұрын
Akili mingi mingi
@doktamathew2 жыл бұрын
hahahahahahahahahahahaahahahahahahahahaah
@shharifamirandou211 Жыл бұрын
Yaah
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Safiiiiiiiii skulimet
@jeshilamtu8632 жыл бұрын
R I P JPM 😭😭😭🇹🇿🙏
@UfunuoMsuva-yh2et Жыл бұрын
Msukuma yupo mzuli
@robertphilip3852 жыл бұрын
Msukuma chakutudanganya hela umezificha kwenye soks
Msukuma hapo kwenye bwawa sijakuelewa au umepiga hela
@user-dx7hb3de9e Жыл бұрын
Dah natamni nifike hapo
@user-ze4vz9vr9f5 ай бұрын
😂😂😂
@davidjohn8276 Жыл бұрын
Umemaliza kwa mkwara mzito
@nyambegamatoro68172 жыл бұрын
Mh mbunge, siku hizi unaupiga mwingi mno. Habari za maendeleo ya bwawa la JNHP na sgr hayaridhishi .
@deogratiusyudatadei56582 жыл бұрын
Hicho kitambulisho kimebakia kwaajili ya kubadili kadi ya benk tu hakuna lolote ufala tu Kenya na Uganda wanatumia Kama passport lakini hapo kwenu hajui nn maana ya kitambulisho Cha taifa mama mwenyew anahangaika kujipendekeza na mataifa ya ulaya ninge muona mjanja Kama kitambulusho kitakuwa Kama passport Kenya Uganda wakifika boda wanatoa kitambulisho Cha taifa tu mchezo umeisha
@mariethaodilo-mp3hi Жыл бұрын
Msukuma nakubal sana waambie
@jamessimba7492 жыл бұрын
Hutu jamaa kwenye NIDA hapo angekazia
@timboxlee919 Жыл бұрын
Hili li king ni bonge la zuzu,lina watetea wanzibari wakati kwake hakuna lami,Rip JPM
@edwardmalila52302 жыл бұрын
MSukuma unaongea vizr ila usipindixhe pointi ila wanaohusika ni wote yaan serikali na mkuu wa nchi, unajua utendaji ukiwa mbovu anayelaumiwa sio wazr ila ni rais
@sambulugu99882 жыл бұрын
Wewe Msukuma mjinga tu! Wewe mvuvi haramu!
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@user-ti8fn1wn1w5 ай бұрын
Bogas wewe
@mrsjerome9981 Жыл бұрын
Ukovinzr kaka
@RamadhanNapinda3 күн бұрын
huyundio mbunge
@SamsungGalaxy-kx2zj2 жыл бұрын
Dada huna akili yy kasema ukweli kunanchi gani yenye vitambulisho Mia
@hizamwaimu39182 жыл бұрын
😳😳😳😳😳😳
@patrick-qm7xo2 жыл бұрын
Vizuli Sana Msukuma una tafuta cheo kwa mama
@paulinanzunda4 ай бұрын
Karibulupachunyamsukumajimbolalupatunambungehewa
@saderaodupoi43332 жыл бұрын
Huduma number card loading in Tanzania.
@omansinaw75382 жыл бұрын
Musukuma umpewe urizi pesa warudishiwe pesa zao
@omansinaw75382 жыл бұрын
Ninakuerewa kabisa msukuma
@ahz69072 жыл бұрын
Samia mitano tena 2025
@kingkendrickk2 жыл бұрын
Bunge la mazwazwa
@kikongajoel51722 жыл бұрын
Msukuma?????????????
@enologamapaloga87782 жыл бұрын
Mh logaloga nakuamini King King MSUKUMAAAAAAAAAAAA
@puyaka18492 жыл бұрын
Msukuma kwenye issue ya bwawa la Nyerere unaleta uchawa! Unaongea upuuzi wewe
@rashidngwawile90622 жыл бұрын
Kumbe nawe umeona. Kushukuru kwa kurijuwa hilo
@jonhjoseph Жыл бұрын
Hong era kasheku
@godfreybikukana20792 жыл бұрын
Upewa Rushes ndio maana unajipendekeza
@saidybhokey57442 жыл бұрын
nikweli msukuma
@onesmojustice23482 жыл бұрын
Hao tatizo linalowasumbua wanafikiri wakifanya kinyuma na alivyofanya jpm eti wanamkomoa kwa sababu walikuwa hawampendi kwa kuwa alikuwa anawafavour Wat wenye kipato cha chini. Wao Sasa Sera yao ata Kama hujaenda shule utagundua ni kuwafavour watu wenye kipato cha juu matajiri na kuwakandamiza watu wenye vipato vidogo ndo mkakati wao. Yaani wanapambana na mtu aliyekufa sijui ni uongoz wa namna gani. Yaani unawaongezea Kodi watu wenye kipato kidogo halafu unajinadi unataka kukuza uchumi. Halafu mnaogopa kusema kweli mnazunguka