No video

Rais SAMIA amkosha MSUKUMA | Aimba bungeni, Spika ampiga marufuku | YANGA,SIMBA zatajwa

  Рет қаралды 327,156

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

2 жыл бұрын

Wabunge wakichangia hoja ya kumpongeza Rais wa Tanzania Samia Suluhu, baada ya kutajwa mmoja kati ya viongozi wenye ushawishi mkubwa Duniani na kupata Tuzo ya Rais aliyeongoza katika ujenzi wa barabara kwa nchi za Afrika iitwayo tuzo ya 'Babacar Ndiaye'

Пікірлер: 131
@menelus911mene5
@menelus911mene5 2 ай бұрын
Mhe Msukuma wewe ni bgp sana saluti kwako wewe nikiongozi hasa darasa nakujiongeza na zako msukuma nimmoja wapo hongera sana kiongozi mungu akulinde sana mhe msukuma piga kazi❤❤
@EliasMasanja-qg1wh
@EliasMasanja-qg1wh 2 ай бұрын
Namkubali sana ndugu yangu
@user-xq8tp2nl8d
@user-xq8tp2nl8d 3 ай бұрын
Mweshimiwa unanifurahisha Sana.
@GensonSpehano-no6hd
@GensonSpehano-no6hd 3 ай бұрын
mungu akulinde sana mbuge wetu wa mwanza
@JacksonJohn-v2b
@JacksonJohn-v2b 12 күн бұрын
Asante kiongozi wetu
@HatariLutelemla-zc8ck
@HatariLutelemla-zc8ck Жыл бұрын
Barabara kwetu mbovu kweli ukilinganisha na uhalisia wa maeneo mengine kama tumesahaulika tupo mbogwe kata ilolangulu
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 жыл бұрын
Mama Samia kazi iendeleee chapa kazi mama 🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👏
@drcharlesseka3474
@drcharlesseka3474 2 жыл бұрын
Huyu mmbunge Ni mnafiki tu
@bennyjohn1412
@bennyjohn1412 2 жыл бұрын
Msukuma sasa umenunuliwa
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Kujipendekeza tuu,hana lolote,bei gani hata wakumnunua huyu nani,bure tuu halijitambui hovyo hili,hata akili halina,sauti kama kameza chura,linafiki kikubwa,linajua kudhulumu watu mali zao na aridhi,kujipendekeza kwa Rais kuficha mabaya yake,jinga hilo hovyooo
@bennyjohn1412
@bennyjohn1412 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@zainabuyassini3095
@zainabuyassini3095 11 ай бұрын
Asante msukima
@fredymwawila7761
@fredymwawila7761 2 жыл бұрын
Nice
@menelus911mene5
@menelus911mene5 2 ай бұрын
Duh!!! Umeimba mutani 😁😁😁😁🤲🙏❤️
@NeemaJames-uy5vm
@NeemaJames-uy5vm 2 ай бұрын
Wamekula hela hawa wabunge hakuna lolote mbali tuombeni mungu t atusaidie t
@Abimesa1
@Abimesa1 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@SamiluSamilu-rg9qr
@SamiluSamilu-rg9qr 2 ай бұрын
Dah apo umetisha
@YusuphAmani-yx7ur
@YusuphAmani-yx7ur 2 ай бұрын
mama safi
@rajabuathumani2787
@rajabuathumani2787 2 жыл бұрын
kweli shiling inaweza kimfanya mjanja kua mjinga
@JulaybibiBabah
@JulaybibiBabah 2 ай бұрын
Mama Hana Ubaya na Watu Lakini Mbowe na Lissu Hawana Shukrani
@hamisiwandi3769
@hamisiwandi3769 2 жыл бұрын
Msukuma acha uongo sisi tunaishu majimon mbo hizo barabara zinazotengenezwa jmn acheni kujipendekeza wakati wananchi tunaona maisha yanavyokwenda.wakati wa kutudanganya umekwisha sifien kwa ajili ya matumbo yenu
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Hilo neno!👍👍wapo kwa ajili ya matumbo yao sio wanachi
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Hilo neno👍👍👍wapo kwa ajili ya matumbo yao,nasio kwa ajili ya wanachi
@marijanimustafa1876
@marijanimustafa1876 2 жыл бұрын
Inatakiwa nfanyiwe afya ya akil maana hata sielewi nn kinafanyika
@josephinelyimo2467
@josephinelyimo2467 2 жыл бұрын
Hivi afya ya akili ,imekaaje kwa Hawa wabunge ? Kuna shida hapa ndugu zangu !
@SamiluSamilu-rg9qr
@SamiluSamilu-rg9qr 2 ай бұрын
Kwanini unaongea hivyo braza
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 2 жыл бұрын
Huyu ni mnafiki tuu huyu
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
👏👏👏umeliona nawewe eeee!zombi hili linatafuna watu kwa unafiki
@allyhassan2973
@allyhassan2973 2 жыл бұрын
Msukuma kumbe nawewe ni hovyo tu. Ulikuepo kipindi cha mwendazake na ulikua ukiongea hivyohivyo. Yaani wabunge wa tz kupitia ccm kumbe wote ni hovyo tu, NI BENDERA FATA UPEPO!!. sijawahi kuona bunge lenye hoja ya kumsifu raisi. Hiyo sio hoja Bali wabunge WA tz mnatatizo la afya ya akili kama mnavyosema wenyewe hapo bungeni maana hamjui wajibu wenu mpompo tu hapo ndani.
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Yapoyapo tu!hasara kwa majitu ya hovyo kama haya!hata halina elimu ya kutosha,kuropoka tu kelele nyingi za kujaza matumbo yao,unafiki kujipendekeza kwingi,hovyo zombi kabisa hili,na mapumgufu yake wananchi watalichagua tena 2025 hovyoooo! linasimama kushabikia nini sasa hapo!ligonjwa hili afya ya akili!
@user-eh5bq1kq4f
@user-eh5bq1kq4f 2 ай бұрын
مساء النور
@juliusdonard933
@juliusdonard933 2 жыл бұрын
Siku hz bunge halijadl ya muhimu ndo maana baba alililifungia losioneshwe tuu boraa
@juliusdonard933
@juliusdonard933 2 жыл бұрын
Ila mama yetuu msimpee sifaa sanaa achapee kazi kama jpm
@mtekelechapemba5501
@mtekelechapemba5501 2 жыл бұрын
Hakika hapo sijaelewa chochote anachoongea mtu niliyemwamini kwamba alimuelewa nakumpigania Magu
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Huyu mnafiki,huyu ndo wale bendera hufuata upepo,huko jimboni kwake amewaliza wananchi kwa kuwadhulumu mali na.aridhi zao eti.analeta maendeleo jimboni kwake,kuwadhulumu wemgine kujifanya kusaidia wengine,maendeleo gani hayo?mapori yapo kibao unadhulumu aridhi xa wamasikini,anajua wamehangaika vipi kuzipata?hili ni zombi tuu,linajificha nyuma ya pazia linafiki likubwa
@jacobwarieba5841
@jacobwarieba5841 2 жыл бұрын
Leooo iwejee use me mama.samia.wakati ileee...magufli.wakoo.ulisema.magufuli asiruhusu upinzani wasingie ikuluuu
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Umeona eee!afya ya akili hiyo,ligonjwa hili,linafiki kujipendekeza,hata mama aliangalie vizuri halifai hili,huyo anajipendekeza badala apige kazi'yani!watu walio mchagua msukuma awawakilishe nahofu na afya zao za akili,wapo hovyo kama msukuma
@alexkhamis8334
@alexkhamis8334 Жыл бұрын
Hii nchi yamkini inaogelea kwenye laana tupu! Viongozi utopolo tu! Upuuzi gani Sasa huu??? Huyo mama yenu sisi Raia hatumwelewi; maisha magumu , Bei hazieleweki, madeni lukuki, hotuba za hovyo tu; halafu mnakaza kujisifu Muda wote? Musuku umenunuliwa? Mbowe Ikulu unatafuta Nini?
@user-qb3ew1qc8o
@user-qb3ew1qc8o 3 ай бұрын
Lik😮😢🎉❤
@ManyamaWanjara
@ManyamaWanjara 2 ай бұрын
Brytn
@adambaragwe4811
@adambaragwe4811 Жыл бұрын
Mmmh hatali sana bungeni hakuna lolote
@nyamwekomatoke9951
@nyamwekomatoke9951 2 жыл бұрын
Hiviii mmerogwa eh Mnaimani gani na samia Msukuma eh wasukuma hawanaga Msukuma mjinga usituaibishe wasukuma bana
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Hili nani kaliamini hasaa?kulichagua kuwa mbunge?zombi hili,hovyo kabisa,huko jimboni kwake linadhulumu watu mali na ardhi zao bila fidia,lunajipendekeza kwa Rais samia halijui wajibu wake ni kutetea wananchi,linaona maendeleo ni kudhulumu wengine na kuwapa wengine
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Wasukuma mjue mnahara kuwa na jitu hovyo kama hili,afya ya akili inahusu!linaumwa afya ya akili hili😂😂aibu kujiita msukuma!ana aibisha wasukuma
@user-eh5bq1kq4f
@user-eh5bq1kq4f 3 ай бұрын
مساء النور
@Alexcoster-eu3mw
@Alexcoster-eu3mw 3 ай бұрын
Duuuh, hatar sana.
@mgemasteven2193
@mgemasteven2193 2 жыл бұрын
ww naee msukuma tulikuwaa tunakuamini kumbee na ww ndo walewalee kumbee unajivunia nn kwa samia ww
@ShaidaAfati
@ShaidaAfati 2 ай бұрын
Barabara zote kazijenga magufuli Samia kajenga ipi sisi wenye akili timamu tunajua wabunge washapewa chakwao mapema
@mgemasteven2193
@mgemasteven2193 2 жыл бұрын
hatumuelewiii
@jacobwarieba5841
@jacobwarieba5841 2 жыл бұрын
Chadeemaaa gani?.wabunge.wameshafutiwaaa
@user-jy3sh3ns3w
@user-jy3sh3ns3w 4 ай бұрын
Goods msukuma
@KenedyMawazo
@KenedyMawazo 2 ай бұрын
askari nzovwe
@eliaabethlyd5568
@eliaabethlyd5568 2 жыл бұрын
Namupongeza saana Musukuma
@NeemaJames-uy5vm
@NeemaJames-uy5vm 2 ай бұрын
Tumemchoka hyo mama enu samia watu wanateseka ww unatetea kweli
@NzundaDanieli
@NzundaDanieli 2 ай бұрын
Mbunge wetu sisi wanainchi tunaomba tusaidie kunawatu wanaojidai wanakopesha hela mtantaon tutakuta wameweka picha yamweshimiwa walizi kumbe nimatapeli tusaidie I
@DeoKimbe-gt4op
@DeoKimbe-gt4op 3 ай бұрын
Hata kwetu jimbo lakalenga balabala ya ipogolo kwenda kilolo
@awesuhambal1348
@awesuhambal1348 2 жыл бұрын
Bungeni sioni kinachoendelea
@cymonymlugu7280
@cymonymlugu7280 2 жыл бұрын
Kweli Tanzania Uhuru umezidi
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 2 жыл бұрын
Msukuma kwa sasa ni mnafiki sana yaani hueleweki. Kwani humo ndani mna wabunge wa upinzani? Bunge hili ni la mazuzu kweli kweli
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Elimu iko wapi kwa msukuma!unadhani atachangia nini mtu mwenye afya ya akili?barabara mbovu huko jimboni kwake,jimbo limekaa hovyo kama alivyo yeye,anajua kupora mali za watu bila kulipa fidia,zombi kenge hili
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Afya ya akili hiyo,elimu tu'hana unaona kuna kitu hapo,mnafiki anashindwa kutoa hoja anajipendekeza kwa mama,utampa nini mama wewee!labda ukaibe mifugo ya watu,mali zako zote ni za dhulma,barabara jimboni kwako niza hovyo kama ulivyo wewe
@josephinelyimo2467
@josephinelyimo2467 2 жыл бұрын
Baada ya kupata huo udaktari wa mchongo , Sasa anategemea upate uteuzi,naibu wa wizara fulani !
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
@@josephinelyimo2467 udaktari uchwara!hata walio mpa hawako sawa kiakili,maana hawakuona watu wa mana wenye kustahili,huyu mtu udakitari wapi nawapi🤔amelewa ubunge,udakitari,na sasa ana njaa ya kuwa waziri fulani hivi,hovyo sana atawachezea wagonjwa wa akili kama yeye
@AndreaMgaya
@AndreaMgaya 3 ай бұрын
Wewe ndio mnafiki na ujitafakari mambo mazuri huyapendi
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 2 жыл бұрын
Tuzo hiyo waperekewe watoto wa marehem magufuri .
@korneliovusindawa7525
@korneliovusindawa7525 2 жыл бұрын
Msukuma sema kwenu tu wamepata hiyo bahati usiseme kila Jimbo kwani wewe umetembea kila Jimbo sio kweli tembea majimbo nyingene utalia
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
kwake kwenyewe jimboni anadhulumu watu aridhi bila kuwalipa fidia,rinafiki hili,zombi hili la kisukuma,wanachaguliwa kuumiza wananchi,nasio kuwaletea maendeleo,anakula pesa za GSM migodi na za serikali,na wadau wamaendeleo,leta maendeleo sio kudhulumu watu aridhi yao kenge huyu,linafiki kujipendekeza kwa Rais
@Alex-zu6dd
@Alex-zu6dd Жыл бұрын
Save
@abdalahabdalah8160
@abdalahabdalah8160 2 жыл бұрын
Mm sisemi
@lovenessmay8075
@lovenessmay8075 Жыл бұрын
LAVALA
@jacobwarieba5841
@jacobwarieba5841 2 жыл бұрын
Umeshundwaaa tuu autarudi.bungni.tena
@ridhiwankivugo878
@ridhiwankivugo878 2 жыл бұрын
Humo ndan chadema ni nan?
@sadockcharles22
@sadockcharles22 2 жыл бұрын
Yanga
@nyamwekomatoke9951
@nyamwekomatoke9951 2 жыл бұрын
Baba au mama anapokuwa mkopaji saaaana anakuja Kuwa mtumwa wa madeni na kuiahibisha familia yake
@zainabuyassini3095
@zainabuyassini3095 11 ай бұрын
Hakuna asie kopa
@user-xd2tg8eq1h
@user-xd2tg8eq1h 24 күн бұрын
Kila siku magu magu au kwa kuwa mkiristo mwenzenu alah
@EzraMaliyatabu
@EzraMaliyatabu 3 ай бұрын
Mmmmmmh
@leonardalphonce8924
@leonardalphonce8924 Жыл бұрын
hvi huyu msukuma amekua mwehu mbona amekua mnafki hvo sawe hata hujui kusoma uwaziri hupewi
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 2 жыл бұрын
Umeanza kupotea kwenye ubora msukuma acha hizo simama kwenye ukweli .wananchi bado wanateseka uonevu kwa wananchi nimkubwa
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Toka lini huyu msukuma akawa na afadhali,amedhulumu mali za watu kwa kujitengezea sifa kuwa analeta maendeleo ktk jimbo lake,lkn amekuwa akidhumu mali na ardhi ya watu bila kulipa fidia, huyu ni kiongozi mwema kwa wananchi wake?huyu hafai ni dhulma, anakula pesa za fidia,hawalipi watu wenye ardhi,akiona ardhi yako ni nzuri na kubwa anaichukua kwa madai eti anaweka miradi ya wananchi,mbwa huyu,linajipendekeza kwa rais samia,hovyo sana jinga la mwisho hata akili halina
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Halina hata ubora hili ni lizombi tuu,jinga,zuzu na zoba kabisa hili,limbukeni la uongozi,na sauti kama lime meza chura!
@akidajulius8397
@akidajulius8397 2 жыл бұрын
BUNGE LA CCM,jaman,mala waluke sarakas, mala wapige magoti,mala walie,haya Sasa wamegeuka bendi wanaimba Sasa,mda wakujadili mambo ya mcngi wao wanatuletea vituko,lkn posho ndo imeshangia tayali,wanahaki ya kuimba na kuluka masarakasi,muhimu posho tu,
@zainabuyassini3095
@zainabuyassini3095 11 ай бұрын
Amukosi jambo la kulaumu mama Samia piga kazi
@kisamurashid346
@kisamurashid346 3 ай бұрын
Msukuma yupo vizri aisee
@jacobwarieba5841
@jacobwarieba5841 2 жыл бұрын
Wewe mhongooosaana hufai kuja bungeni
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Halifai zombi hili,sauti kama chura
@fidelisvalelian
@fidelisvalelian Жыл бұрын
Kuna wabunge nimataira kabisaaaaa
@fidelisvalelian
@fidelisvalelian Жыл бұрын
Duuuu!!! Mjinga lazima amaifie mjinga kwakweli jaman . An mnajisifu ujingauo duuu
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 2 жыл бұрын
Bnge.hlinilaovyo kb
@daudifrank5886
@daudifrank5886 2 жыл бұрын
Jamaa ni linafiki Sanaa hili Hali a msmamo
@richardmagaka9525
@richardmagaka9525 2 жыл бұрын
Wamwache mama afanye kazi yake kwa moyo wake na dhamira maana sasa wanamsifu kwa kujikomba tangu lini msukuma afurahie kuinuka kwa upinzani
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
@@daudifrank5886 linafiki zombi hili
@user-nb5od8qz1o
@user-nb5od8qz1o 5 ай бұрын
Hy poa
@domysulley1887
@domysulley1887 2 ай бұрын
Mkafagie vyoo tu nyie wabunge mafuta tuu
@edwardmagige874
@edwardmagige874 2 жыл бұрын
kama matoto vile
@user-uf9nd4ji5k
@user-uf9nd4ji5k 7 ай бұрын
Sukumaaa
@iddymbogowogo-yu3gv
@iddymbogowogo-yu3gv Жыл бұрын
Sasa hivi watu wananunuliwa ili wasifiwe hamna kitu hapo mtajisifia sana
@zainabuyassini3095
@zainabuyassini3095 11 ай бұрын
Binadamu bwana ukimsifia inataka uwaziri. Awana lakisema
@fahadmussa8879
@fahadmussa8879 Жыл бұрын
Msukuma nichawa ilabungeni sasa hamna jipya kazi yauchawa
@dioclesefaustine1076
@dioclesefaustine1076 Жыл бұрын
Badala ya kuongea fact bungeni, unatuletea nyimbo za kisukuma bungeni. Wakati wananchi wapo mitaani tu hawajui lile wala hili. Nimegundua ni kwann wasomi uwazalau walioishia la saba. Hivyo kabisa.
@user-db9fi8bi2p
@user-db9fi8bi2p Жыл бұрын
Simba nayanga
@chasejackson6681
@chasejackson6681 2 жыл бұрын
Wabunge wetu wanaumwa ugonjwa Gani? Kweli Kuna wananchi wanaoweza kumtuma mbunge wao akaimbe bungeni?
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Wanaumwa ugonjwa wa akili na tamaa,njaa mbaya zinawasumbua,wanachaguliwa n kutumikia na kuwatetea wananchi wao wanaanza kujaza matumbo yao kwanza,njaa zinawasumbua wanafiki
@chasejackson6681
@chasejackson6681 2 жыл бұрын
@@aairraahseif5648 Yeah.Wanadhani tukiwaona wakipiga sarakasi kuimba na kupiga magoti tutawakumbuka 2025. Tusubiri tuone
@fidelisvalelian
@fidelisvalelian Жыл бұрын
Kuna baadhi yawabunge inatakiwa wapimweakili Kama waliondoka majumban nakwenda bungen kuimba !! Iyo Sasa niatar
@abedikimeshu4238
@abedikimeshu4238 2 жыл бұрын
Acheni kumsifia mama kwa maslahi yenu binafsi angalieni wananchi wana hali gani sio kila siku mnapandisha vitu bei halafu hela za serikali zinachezewa ovyo kwa kukosa wasimamizi
@iddymbogowogo-yu3gv
@iddymbogowogo-yu3gv Жыл бұрын
Nikweli bwana pesa inaliwaliwa hovyo na waliokua wafuasi wa Mzee magu hawana nafasi kwa mama
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 Жыл бұрын
Mmmmmh huy msukuma kumbe mnafik hv namuonang anamsimamo kumbe shinda tupuuu eti lami vijijn wp kuna vijijn hakun maji hakun maji hakun lami mpoo kimasilah yenu wambunge🥲🥲😭
@komblecharles2777
@komblecharles2777 2 жыл бұрын
Mbuge niccm hakuna raha
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 2 жыл бұрын
KWA UNAFIKI NA UJINGA HUU, I WILL NOT LOVE CCM FOR EVER, UNAFIKI WA NJAA NI HATARI KWA MAISHA YA WANANCHI WANAO WAWAKILISHA
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Hasara kuwa na watu wa aina hii bungeni,linafiki zombi hili,kudhulumu mali za wananchi nakujifanya linaleta maendeleo jimboni,huko jimboni kwake hakuna analolifanya la maendeleo,ni kudhulumu tuu,na kurudisha nyuma maendeleo aliyo yakuta,shule na vituo vya afya mpaka sasa havijakamilika,barabara jimboni kwake hazipitiki,limebakia kelele sauti mbaya kama chura
@Maswi-zz9jo
@Maswi-zz9jo 5 ай бұрын
Pg
@HatariLutelemla-zc8ck
@HatariLutelemla-zc8ck Жыл бұрын
Kama pesa zipo kila jimbo mbona hazifanyi kazi?
@acrybungabaye9824
@acrybungabaye9824 Жыл бұрын
Muongo balabala mbovu
@masungamasanja3296
@masungamasanja3296 2 жыл бұрын
I'm
@sibagilepeter9539
@sibagilepeter9539 2 жыл бұрын
Kumbe na wewe ni mama sasa soon chadema inaingia madalakani
@zainabuyassini3095
@zainabuyassini3095 11 ай бұрын
Mimi sipigii kura chadema na familia yangu. Maana chadema bado sana
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 2 жыл бұрын
Unafaa kuwa waziri
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
Waziri?wee unaugonjwa kama wake,mkatibiwe haraka msije leta madhara kwa wananchi
@user-xd2tg8eq1h
@user-xd2tg8eq1h 24 күн бұрын
Pumbavu zenu mkubalini samia nyie wajinga acheni udini wenu wa kisenge waislamu kwanini hamuwependi nyie makafiri
@MasalaKilulu
@MasalaKilulu 3 ай бұрын
Xxxx
@lucaskashimwita6386
@lucaskashimwita6386 2 жыл бұрын
𝐇𝐢𝐯𝐢 𝐰𝐨𝐭𝐞 𝐦𝐧𝐚𝐤𝐮𝐚𝐣𝐢 𝐣𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 🤤🤤
@lucynagerald9427
@lucynagerald9427 2 жыл бұрын
Uyu jamaa anamfatafata nakumsifiasifia anatafuta uwaziri yy na gwajima tumeshawajua
@komblecharles2777
@komblecharles2777 2 жыл бұрын
Wote ccm kunanini mara mzgufuri Leo hayupo wanamponde kweri ccm
@ridhiwankivugo878
@ridhiwankivugo878 2 жыл бұрын
Humo ndan chadema ni nan?
@JajiMandai
@JajiMandai 4 ай бұрын
Yanga
@WilliamSairimo
@WilliamSairimo 2 ай бұрын
🎉
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 28 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 12 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 11 МЛН
MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.
10:48
Kauli 10 Tata za Magufuli Lazima Uzikumbuke Kabla Ya Uchaguzi 2020
7:20
Top Stories Tanzania
Рет қаралды 3,2 МЛН
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 28 МЛН